Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Jamani tusimsahau na Aucho anafanya kaz nzuri Sana ya kutuliza timu uwanjani.
Kweli kabisa
Wana wapenda wachezaji waooooo
Yanga raha
❤❤ila aucho jmn
Anapeleka kanisani kesho ❤
Mungu atujalie mechi zetu zote tupate ushind Inshaallah kher
Amen 🙏
Kwakwel kuchezea yanga raha sana
Hii ndio raha ya yanga 💚💚💛💛
Hongera sana max yanga oyeeeeeeeee
Yanga raha sanaaa🎉🎉
Waoo jmn
Mechi ijayo jaman na aucho apatiwe
Yanga bingwa
Jamani na aucho
Aucho mbona anasahaulika sana? Huyu ndiye injini ya Yanga.
Max 😂 bhana mkuye mkuye tanzania amani tele
Simba inawauma sana hii waige wanye
Kwan tff wana tatizo na khalid aucho
Aucho kwa kweli anadamu ya kunguni,siyo siri,kazi yote hiyo anayofanya mashabiki hawamuoni kweli
Mechi ijayo aucho apewe na yeye
mbona kwenye mechi za Simba hii kitu hamna!???
Makolo Wana roho mbaya
Punde si punde nao wataiga
Hongereni utopolo Kwa kutinga robo fainali
Acha shobo na timu yetu 😂pia 😂
Unaumia ukiwa wapi etiiiii
@MerryLukas-k5u atuache kabisaaa,tunajipanga upyaaaa,aache kutusm vibyaa
Kolo mmoja mjinga huyo
Kolo kama kolo kwenye page ya mumewake
Jamani tusimsahau na Aucho anafanya kaz nzuri Sana ya kutuliza timu uwanjani.
Kweli kabisa
Wana wapenda wachezaji waooooo
Yanga raha
❤❤ila aucho jmn
Anapeleka kanisani kesho ❤
Mungu atujalie mechi zetu zote tupate ushind Inshaallah kher
Amen 🙏
Kwakwel kuchezea yanga raha sana
Hii ndio raha ya yanga 💚💚💛💛
Hongera sana max yanga oyeeeeeeeee
Yanga raha sanaaa🎉🎉
Waoo jmn
Mechi ijayo jaman na aucho apatiwe
Yanga bingwa
Jamani na aucho
Aucho mbona anasahaulika sana? Huyu ndiye injini ya Yanga.
Max 😂 bhana mkuye mkuye tanzania amani tele
Simba inawauma sana hii waige wanye
Kwan tff wana tatizo na khalid aucho
Aucho kwa kweli anadamu ya kunguni,siyo siri,kazi yote hiyo anayofanya mashabiki hawamuoni kweli
Mechi ijayo aucho apewe na yeye
mbona kwenye mechi za Simba hii kitu hamna!???
Makolo Wana roho mbaya
Punde si punde nao wataiga
Hongereni utopolo Kwa kutinga robo fainali
Acha shobo na timu yetu 😂pia 😂
Unaumia ukiwa wapi etiiiii
@MerryLukas-k5u atuache kabisaaa,tunajipanga upyaaaa,aache kutusm vibyaa
Kolo mmoja mjinga huyo
Kolo kama kolo kwenye page ya mumewake
Hongera sana max yanga oyeeeeeeeee
Hongera sana max yanga oyeeeeeeeee