Комментарии •

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m 14 дней назад +3

    Wazindikwe wachezaji na moo Alena ikazindikwe visomo viwe vingi bro SIMBA NGUVU MOJA❤❤❤

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw 14 дней назад +1

    Kaka GB64 Maisha marefu mungu azidi kukupa nguvu 💪
    Hongera Sana kwa kulitambua hilo uchawi upo bro..ONANA yule kwel siku ya Simba day kafunga mbele ya mama samia bonge la goal..😢😢 Yanga wachawi sana. Ila kwa kuwa hilo mumelitambua jambo lakheriiii sana..
    ✍️ Mabetu &Co

  • @user-lt2wb6hb9h
    @user-lt2wb6hb9h 13 дней назад

    Wanasimba matola naye wanini kama kocha kaja na benchi lote la ufundi tunaomba aondoke,

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p 13 дней назад

    Gb Leo sio uongozi Tena imekuwa misumali Tena mbona ulikuwa unalia na uongozi

  • @OmarJoho
    @OmarJoho 9 дней назад

    Tatizo yanga mnaimandi sana sima

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m 9 дней назад

    Safi sana gb64 matola atuache

  • @RashidKaoneka-bj8mm
    @RashidKaoneka-bj8mm 14 дней назад

    Anakunja uso kama anavuta bangi utawakataa hawa ligi ikianza

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 14 дней назад

    Kabda ya rigi kuanza wafanyiwe kisomo,,mapema sana,,na watuzwe na wale wanaofua JEZI za wachezaji watolewe nao wanatumika

  • @IddiHassan-mr3sb
    @IddiHassan-mr3sb 13 дней назад

    Nakuona bado upo unalia lia tu

  • @arthurmwakalukwa9471
    @arthurmwakalukwa9471 11 дней назад

    GB64 naomba tuongee nje ya mtandao umeongea vtu muhimu Nina la kukupa

  • @RashidiAlly-et1sg
    @RashidiAlly-et1sg 14 дней назад

    Number 9 timu ya taifa uganda 🇺🇬 mukwala GB anaunguluma

  • @mwinjilistielibarikismarar1480
    @mwinjilistielibarikismarar1480 14 дней назад

    Ni kweli kabisa G64 uko sahihi

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n 14 дней назад

    GB nakukubali sana

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis776 14 дней назад

    Kaka sema,wachezaji wa simba,wanafaniwa ushenz

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 14 дней назад

    Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 14 дней назад

    MH! KAZI IPO......FIKRA ZA KITUMWA

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 14 дней назад

    Ata miraji Alishaongea kuwa kuna vitu wachezaji wanafanyiwa sasa ongeeni na kiongozi wetu Ajue cha kufanya wasije wakawa kama Aubini kramo kaja huku wamemzimisha

  • @upendofreddy6431
    @upendofreddy6431 8 дней назад

    Waache waendelee kutuita makoro .Ila hawajui .wamuulize Haji manara maanayake Sisi wajombazao ak.a mama zako tunawalea

  • @KatongeOmari
    @KatongeOmari 14 дней назад

    😅😅😅😅mtu bad tunakukubali brother

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 14 дней назад

    Wachezaji tunawaacha krabu bingwa na shilikisho ambao tumewaona awa wote ware ware

  • @user-dy7pc4tm6u
    @user-dy7pc4tm6u 13 дней назад

    Nilikua nakuamini sana lakini leo nimekuona chizi.karoge wewe tuone kama timu itakuwa mzuli

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi 14 дней назад

    Kwann wanachukua wa chezaji we2 tulio waacha? Kuna ki2 ndan yake

  • @user-qw9zu3ly8m
    @user-qw9zu3ly8m 14 дней назад

    😊😊NSSF FC

  • @FumaoFumao-d8w
    @FumaoFumao-d8w 14 дней назад

    Sisitiza sana Hili la dua

  • @andrewcharles2038
    @andrewcharles2038 14 дней назад

    Kikokotoo FC

  • @AndreaAliseni
    @AndreaAliseni 14 дней назад

    GB muongo uxhapewa sukari ili uchawa viongoz

  • @OmarJoho
    @OmarJoho 9 дней назад

    Simba hatuna ushamba kama yanga

  • @user-lt2wb6hb9h
    @user-lt2wb6hb9h 13 дней назад

    Uto walozi fc,

  • @AndreaAliseni
    @AndreaAliseni 14 дней назад

    Gb uxhapewa ela ili uwe chawa

  • @JafariKanju
    @JafariKanju 13 дней назад

    Mawazo mgando

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 13 дней назад

    nyinyi wandishi amna kazi mnawaoji mpaka warevi uyo gb 1akiri ya mpira ana anajuwa majungu ana anachokijuwa wachezaji wa mchongo unataka ubingwa wa wapi ndiyo maana wenye akiri timam warikuweka rokap usije kureta maafa uwanjani

  • @iddally1021
    @iddally1021 14 дней назад

    Wewe Gb wewe sasa kama sio wabovu mmeawaacha kwanini, nabunasema mmestuka why usifanye mpango hiyo misumari wanayo pigwa wasipigwe tenaaaa!!

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 14 дней назад

    Unasemaje mwenzio mchawi kama wewe siyo mchawi alijaribu kuloga akashindwa ndiyo maana anahangaika sana makolo mtateseka sana

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 14 дней назад

    Alafu mchome mwangalieni vizuri yule shabiki mandazi ndio mchawi wa wachezaji simba bwege yule mchawi mkubwa sijuhi kwa nini mnaruhusu Avae hile jezi mchawi wa simba wa kwanza mchome

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 14 дней назад

    Wewe tumia muda huu kufurahi, karibu furaha yako itatamatishwa ligi ikianza😂😂😂 We zobo kweli!

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 14 дней назад

    Subili Ligi ainze usije kana hiii clip yako. Ogopa Mungu na Technologia

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 14 дней назад

    Baleke Kwa mkopo

  • @RashidSaid-v8n
    @RashidSaid-v8n 14 дней назад

    Ukosawabroo matola shobo

  • @barakajamalis776
    @barakajamalis776 14 дней назад

    Kamati ya ufundi,iwe makin

  • @eugeniuslugangira7899
    @eugeniuslugangira7899 14 дней назад

    Kwani mchezaji akiwa MVP ni kwamba anaweza kuwa bora kwenye kila falsafa?
    Kuropoka kumbe nacho kipaji.

  • @OmaryAllykumba
    @OmaryAllykumba 14 дней назад

    😂😂 NSSF. fc

  • @HamzaMduda
    @HamzaMduda 14 дней назад

    Wachezaji tumewaona klab bingwa na shilikisho tumewaacha awa ni ware ware ikianza ligi tutawatukana