MDUMANGE, Ngoma ya Asili ya Kabila la Wasambaa kutoka Kicheba, Muheza. Mdumange Dance

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2020
  • #Ngoma #Tanzania #Tanga #Travel #HodiAfrika #travelblogger #BAFIMA
    Katika filamu hii fupi tunafuatilia historia ya kikundi cha Mdumange kinachojulikana kama cha Kihiyo hapo Kicheba, wilaya ya Muheza. Kihiyo, kiongozi wa kikundi hichi cha ngoma anatupeleka mbali sana kuhusu mwanzo wa ngoma hii na kikundi chao. Zaidi ya hapo tunaona umahiri wa upigaji ngoma na utungaji mashairi na jinsi gani ngoma hii imejenga undugu na fahari ya kuwa mwanachama wa Kihiyo na kuwa Msambaa.
    English: In this short documentary, we follow the Mdumange dance group from Kicheba village in the beautiful Usambara mountains. We hear about the history of mdumange and the dance group from Kihiyo, the founder of the group. Through interviews and scenes of different performance we witness how this dance has forged a common identity and create a pride of being a member of the Kihiyo group and Msambaa.
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 67

  • @hamzadaffa5434
    @hamzadaffa5434 3 года назад +2

    Safi sana pia mnaweza kuongea na uongozi wa ziwa la magoroto pale watalii wanakuja wengi mnaweza kuwaburudisha pia na kupata kipato

  • @idrissatuppa3997
    @idrissatuppa3997 Год назад +1

    Jamaa wanatengeneza boha.

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 Год назад +1

    Hongera sana kihiyo

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 Год назад +2

    Kihiyo namsikia tokea miaka hiyo mpaka leo yupo! About 30 yrs ago!
    Shida moja ya ngoma hizo ni hatari kwa watoto hasa teenagers!

    • @gomakuu
      @gomakuu  Год назад

      Hii ni hazina kaka.

  • @Tatuabdi123
    @Tatuabdi123 3 года назад +2

    Raha sana nimekumbuka kwetu jmn

  • @faridasaleh2743
    @faridasaleh2743 2 года назад +2

    Safiii sanaa

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 3 года назад +2

    Mashallah kaka yng nilikuwa natamani kipaji chako kionekane

  • @juliethkipeja4791
    @juliethkipeja4791 11 месяцев назад +1

    Had raha

  • @mariamuramadhan6838
    @mariamuramadhan6838 Год назад +1

    Kicheba mpaka kanyarikaa moja

  • @funguoyabank7110
    @funguoyabank7110 3 года назад +2

    ..👏👏👏 Safi sana

  • @saidkihiyosemwaimu
    @saidkihiyosemwaimu Год назад +1

    Mzee vp

  • @APEffects
    @APEffects 3 года назад +3

    3K now ahsanteni wadau wote tuendelee kusambaza upendo ili nawengine waweze kuona hii

  • @user-wc2oo3wv4j
    @user-wc2oo3wv4j Месяц назад

    Hatari sana

  • @abuuissa1642
    @abuuissa1642 2 месяца назад

    Nza miss kuona mkooto

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 Год назад +1

    Mimi ni msambaaa buanh tenh msambaaa og kutoka rushoto son

  • @issasalim7688
    @issasalim7688 3 года назад +4

    Muzankumbusha Kaya Otatenaneee

  • @jumamohamed6966
    @jumamohamed6966 4 года назад +2

    wou..... hatua hii nzuri. nimependa vile watu walivyo risi mikoba tangu mwaka 74 to 2020.ni band nzuri sana kwa uwezo na umoja ulio kuweo

    • @gomakuu
      @gomakuu  4 года назад

      Urithi wenu huo watu wa Tanga. Hazina kubwa sana hio.

    • @gomakuu
      @gomakuu  4 года назад

      Umeshawahi kufika Kicheba?

  • @chicharito4201
    @chicharito4201 4 года назад +2

    Safi hii 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @flavianchuwa1533
    @flavianchuwa1533 4 года назад +3

    Safi Sana nzuri na mwamba kapiga uzi wa yanga 😂 😂 😂 safiii

    • @shabanilukindo8858
      @shabanilukindo8858 3 года назад

      Imenikumbusha mbali ningefrai mtatuma nyingi ikiwezeka niwekee mdundo jamanamkubalisana na nijamaangu sana sijui sikutukikutana itakuaje naonaitakua frahatup

  • @muragedan6304
    @muragedan6304 Год назад

    hayo marimbo na maneno ya mdumange yanavutia sana. kazi safi sana @gomakuu

  • @gomakuu
    @gomakuu  4 года назад +2

    Kihiyo tunaweza kumwita manju, yaani mtaalam aliyebobea kwenye fani ya upigaji ngoma

  • @hlwheatley
    @hlwheatley 4 года назад +2

    Ngoma za kuvutia sana

  • @mussatwahilu3087
    @mussatwahilu3087 3 года назад +1

    Tushaisafiria sana kutoka misozwe usikukwausiku miaka ya 2009 ilakwasasa tunatafuta maisha tupo Zambia.

    • @gomakuu
      @gomakuu  3 года назад

      Shukran kaka, pambana kaka. Naomba tuu wajulishe wanaKicheba kuhusu hii video na tutafute namna ya kuendeleza hichi Kihiyo.

  • @mohamedyunusrafiq6930
    @mohamedyunusrafiq6930 4 года назад +4

    Kama una harusi, kampeni, ubatizo ama shughuli zingine unaweza kuwaleta hawa jamaa kuleta shamra shamra.

  • @HappyMahimbo-fn4jo
    @HappyMahimbo-fn4jo 4 месяца назад

    Jamani zahoto wa manyoni yukosp

  • @mohandalrahbi8942
    @mohandalrahbi8942 3 года назад +2

    jamani kihiyo ulikuja misonzwe mwarimba jamani

  • @husnamfuko6136
    @husnamfuko6136 3 года назад +1

    Hongereni ndugu zangu tu nawapenda a. K. a Joyce mfuko uzunguni

    • @gomakuu
      @gomakuu  3 года назад

      Shukran sana naomba isambaze kwa wengine huu ni utalaam wa hali ya juu sana.

    • @husnamfuko6136
      @husnamfuko6136 3 года назад

      Nataman ndugu zangu mpate saport nitachanga namimi mkataa kwao mtumwa pawe pazur pabaya ila homenihome love you woteeee

  • @hassanlamumba5054
    @hassanlamumba5054 4 года назад +1

    Waume nyatama. Nyemi

  • @idrisamwinyi6294
    @idrisamwinyi6294 3 года назад +2

    Kunamtu alikuwa anaitwa zahoro alikuwa anapiga malimba

  • @idrisamwinyi6294
    @idrisamwinyi6294 3 года назад +2

    Kama unaangalia hii ngoma ya kihiyo unakumbuka wapi enzi hizo nipo misozwe

  • @gomakuu
    @gomakuu  4 года назад +2

    Kikundi cha Kihiyo kimehusika kwenye kampeni za afya kama kuelimisha wanakijiji kuhusu athari ya magonjwa kama ukimwi.

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Месяц назад

    Naomba namba za hawa jamaa nataka marimba

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius 3 года назад

    Imekaa pouwa Sana

  • @wemakashushura9161
    @wemakashushura9161 4 года назад

    Mmmh super

  • @user-ws6vx6gr9e
    @user-ws6vx6gr9e 4 месяца назад

    Nyumbani

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 года назад

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @APEffects
    @APEffects 4 года назад

    kupiga ngoma 14 ni kupaji kikubwa sana maana unazipiga ukijua kila moja ina mlio wake

  • @luizakiluwa2953
    @luizakiluwa2953 3 года назад +1

    Nauliza hiv kihiyo yupo kweli maana dumange likipigwa kipindi hicho tunatembea umbali mlefu kwenda kulicheza natokea mikwamba muheza mpaka tingeni au magila ilikua balaa

    • @gomakuu
      @gomakuu  3 года назад

      Yupo kabisa na anaendeleza kazi. Wametoa Album ya muziki wao na iko sokoni.

    • @user-yp1nu9gq5g
      @user-yp1nu9gq5g Месяц назад

      KIHIYO bado yupo mimi ni mzaliwa wa magila nime kumbuka mbali sana by yuda master

  • @APEffects
    @APEffects 4 года назад +1

    Hakuna kitu kinachonifurahisha kama Marimba sauti yake niikiskia mtaani naifuata Mpaka nipate wapi inapotokea sauti hio
    Lakini pia nimependa ubunifu WA kihio kupiga ngoma nyingi

    • @samilaayomba4203
      @samilaayomba4203 3 года назад +2

      Waoo oo kaka kihiyo mm nipo Omani nimefulahi sanakuona ngomaza kwetu 💖💖💖💖💋💋💋💋💋💋

    • @chamboomari8842
      @chamboomari8842 2 года назад

      Ngwna semwaimu

  • @gomakuu
    @gomakuu  Год назад +1

    Naona mmeipenda hii. Tumetengeneza ingine kuhusu mji wa kihistoria uiitwayo Kimbiji: ruclips.net/video/I-nTbQinsk8/видео.html

  • @omaryally5555
    @omaryally5555 3 года назад +1

    Haya nzeze. Sasa wewe uliyeposti hii ngoma kwanza mungu akujalie sanasana, lakini tunahitaji uposti ngoma hii ya kihiyo ambayo haina maelezoelezo kwakua sisi wengine inatutoa stimu maana tunataka tusikie sound ya kihiyo mwanzo hadi mwisho, hii ngoma inakinyemi.

    • @gomakuu
      @gomakuu  3 года назад

      Kaka nashukuru sana. Kihiyo na ndugu zake walikuwa wenyeji wangu nilivyokuwa naishi Kicheba. Kwa kweli huyu mtu ni manju, gwiji ambaye anatakiwa apewe heshma na ada ya mchango wake kwa utamaduni. Na kuhusu swali lako la kuwapa burudani full usiogope inakuja hio.

    • @omaryally5555
      @omaryally5555 3 года назад

      @@gomakuu poa

    • @mssikaadam6909
      @mssikaadam6909 Год назад

      @@gomakuu ❤️

  • @bafima
    @bafima 3 года назад

    we are almost there on 5k views let's keep sharing friends

  • @gomakuu
    @gomakuu  2 года назад +1

    Kama mmependa mdumange burudikeni na kisa hichi pia kuhusu wasegeju:ruclips.net/video/BUDcnuZjsR0/видео.html

  • @gomakuu
    @gomakuu  4 года назад +1

    Rama amehusika pia kwenye hii ngoma: bafimawasanii.hearnow.com/

  • @gomakuu
    @gomakuu  4 года назад

    Kuvua bila wavu wala boti wa ndoano Tanga:ruclips.net/video/7wyFnjlKkGM/видео.html

  • @APEffects
    @APEffects 3 года назад +1

    Pitieni huku Kuna kazi pia nyingi
    ruclips.net/video/tSfTpNL4FmQ/видео.html