MDUMANGE, Ngoma ya Asili ya Kabila la Wasambaa kutoka Kicheba, Muheza. Mdumange Dance
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2020
- #Ngoma #Tanzania #Tanga #Travel #HodiAfrika #travelblogger #BAFIMA
Katika filamu hii fupi tunafuatilia historia ya kikundi cha Mdumange kinachojulikana kama cha Kihiyo hapo Kicheba, wilaya ya Muheza. Kihiyo, kiongozi wa kikundi hichi cha ngoma anatupeleka mbali sana kuhusu mwanzo wa ngoma hii na kikundi chao. Zaidi ya hapo tunaona umahiri wa upigaji ngoma na utungaji mashairi na jinsi gani ngoma hii imejenga undugu na fahari ya kuwa mwanachama wa Kihiyo na kuwa Msambaa.
English: In this short documentary, we follow the Mdumange dance group from Kicheba village in the beautiful Usambara mountains. We hear about the history of mdumange and the dance group from Kihiyo, the founder of the group. Through interviews and scenes of different performance we witness how this dance has forged a common identity and create a pride of being a member of the Kihiyo group and Msambaa. Приколы
Safi sana pia mnaweza kuongea na uongozi wa ziwa la magoroto pale watalii wanakuja wengi mnaweza kuwaburudisha pia na kupata kipato
Jamaa wanatengeneza boha.
Hongera sana kihiyo
Kihiyo namsikia tokea miaka hiyo mpaka leo yupo! About 30 yrs ago!
Shida moja ya ngoma hizo ni hatari kwa watoto hasa teenagers!
Hii ni hazina kaka.
Raha sana nimekumbuka kwetu jmn
Safiii sanaa
Mashallah kaka yng nilikuwa natamani kipaji chako kionekane
Had raha
Kicheba mpaka kanyarikaa moja
..👏👏👏 Safi sana
Mzee vp
3K now ahsanteni wadau wote tuendelee kusambaza upendo ili nawengine waweze kuona hii
Hatari sana
Nza miss kuona mkooto
Mimi ni msambaaa buanh tenh msambaaa og kutoka rushoto son
Muzankumbusha Kaya Otatenaneee
Uhii iwe😂😂
wou..... hatua hii nzuri. nimependa vile watu walivyo risi mikoba tangu mwaka 74 to 2020.ni band nzuri sana kwa uwezo na umoja ulio kuweo
Urithi wenu huo watu wa Tanga. Hazina kubwa sana hio.
Umeshawahi kufika Kicheba?
Safi hii 👏🏼👏🏼👏🏼
Safi Sana nzuri na mwamba kapiga uzi wa yanga 😂 😂 😂 safiii
Imenikumbusha mbali ningefrai mtatuma nyingi ikiwezeka niwekee mdundo jamanamkubalisana na nijamaangu sana sijui sikutukikutana itakuaje naonaitakua frahatup
hayo marimbo na maneno ya mdumange yanavutia sana. kazi safi sana @gomakuu
Kihiyo tunaweza kumwita manju, yaani mtaalam aliyebobea kwenye fani ya upigaji ngoma
Waooooo kichemba kwetu
Kabsa sanaaa
Ngoma za kuvutia sana
Tushaisafiria sana kutoka misozwe usikukwausiku miaka ya 2009 ilakwasasa tunatafuta maisha tupo Zambia.
Shukran kaka, pambana kaka. Naomba tuu wajulishe wanaKicheba kuhusu hii video na tutafute namna ya kuendeleza hichi Kihiyo.
Kama una harusi, kampeni, ubatizo ama shughuli zingine unaweza kuwaleta hawa jamaa kuleta shamra shamra.
Jamani zahoto wa manyoni yukosp
jamani kihiyo ulikuja misonzwe mwarimba jamani
Hongereni ndugu zangu tu nawapenda a. K. a Joyce mfuko uzunguni
Shukran sana naomba isambaze kwa wengine huu ni utalaam wa hali ya juu sana.
Nataman ndugu zangu mpate saport nitachanga namimi mkataa kwao mtumwa pawe pazur pabaya ila homenihome love you woteeee
Waume nyatama. Nyemi
Kunamtu alikuwa anaitwa zahoro alikuwa anapiga malimba
Kama unaangalia hii ngoma ya kihiyo unakumbuka wapi enzi hizo nipo misozwe
Kikundi cha Kihiyo kimehusika kwenye kampeni za afya kama kuelimisha wanakijiji kuhusu athari ya magonjwa kama ukimwi.
Naomba namba za hawa jamaa nataka marimba
Imekaa pouwa Sana
Mmmh super
Nyumbani
🔥🔥🔥🔥🔥
kupiga ngoma 14 ni kupaji kikubwa sana maana unazipiga ukijua kila moja ina mlio wake
Nauliza hiv kihiyo yupo kweli maana dumange likipigwa kipindi hicho tunatembea umbali mlefu kwenda kulicheza natokea mikwamba muheza mpaka tingeni au magila ilikua balaa
Yupo kabisa na anaendeleza kazi. Wametoa Album ya muziki wao na iko sokoni.
KIHIYO bado yupo mimi ni mzaliwa wa magila nime kumbuka mbali sana by yuda master
Hakuna kitu kinachonifurahisha kama Marimba sauti yake niikiskia mtaani naifuata Mpaka nipate wapi inapotokea sauti hio
Lakini pia nimependa ubunifu WA kihio kupiga ngoma nyingi
Waoo oo kaka kihiyo mm nipo Omani nimefulahi sanakuona ngomaza kwetu 💖💖💖💖💋💋💋💋💋💋
Ngwna semwaimu
Naona mmeipenda hii. Tumetengeneza ingine kuhusu mji wa kihistoria uiitwayo Kimbiji: ruclips.net/video/I-nTbQinsk8/видео.html
Haya nzeze. Sasa wewe uliyeposti hii ngoma kwanza mungu akujalie sanasana, lakini tunahitaji uposti ngoma hii ya kihiyo ambayo haina maelezoelezo kwakua sisi wengine inatutoa stimu maana tunataka tusikie sound ya kihiyo mwanzo hadi mwisho, hii ngoma inakinyemi.
Kaka nashukuru sana. Kihiyo na ndugu zake walikuwa wenyeji wangu nilivyokuwa naishi Kicheba. Kwa kweli huyu mtu ni manju, gwiji ambaye anatakiwa apewe heshma na ada ya mchango wake kwa utamaduni. Na kuhusu swali lako la kuwapa burudani full usiogope inakuja hio.
@@gomakuu poa
@@gomakuu ❤️
we are almost there on 5k views let's keep sharing friends
Kama mmependa mdumange burudikeni na kisa hichi pia kuhusu wasegeju:ruclips.net/video/BUDcnuZjsR0/видео.html
Rama amehusika pia kwenye hii ngoma: bafimawasanii.hearnow.com/
Naomba namba yako
Naomba
Namba
Kuvua bila wavu wala boti wa ndoano Tanga:ruclips.net/video/7wyFnjlKkGM/видео.html
Pitieni huku Kuna kazi pia nyingi
ruclips.net/video/tSfTpNL4FmQ/видео.html