Malkia Karen - Nakuachaje (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Malkia Karen - Nakuachaje
"Nakuachaje " OUT NOW: onerpm.link/Na...
Follow Malkia Karen on:
/ malkiakaren
Lyrics:
Ah mzee mwenzangu
kwa pigo zako
kila mtu atakung'ang'a
Ushachukua moyo wangu
uko nao kwako
ona nimeshajifia
Uliponiroga karoge tena
mana nainjoy
sisikii la shari wala la wema
sipumui sikohoi
Yalosemwaga Kumbe niyakweli
kwamba subira ndo huvuta heri
Umenifanya nisivute fegi sheli
Waambie hapauzwi
ogopa matapeli weh!
Kwa raha nazozipata (Nakuachaje sasa)
eh baba we!
Kwa starehe nnazozipata
ehh aahh weh!
Na waseme na waseme na waseme
Watajua wenyewe
Acha Waseme na wasemeee Mh
Ilibaki Kidogo mapenzi yangenishinda
olooooh oh
kumbe ningekukataaa ah
ningekua mjinga
Eeh!
Yalosemwaga Kumbe niyakweli
kwamba subira ndo huvuta heri
Umenifanya nisivute fegi sheli
Waambie hapauzwi
ogopa matapeli weh!
Kwa raha nazozipata (Nakuachaje sasa)
eh baba we!
Kwa starehe nnazozipata
ehh aahh weh!
Kwa Mfano ukinihonga gari
(nakuachaje Sasa)
Ehh Baba we
(nakuachaje Sasa)
Unipe Hati nyumba ya masaki
(nakuachaje Sasa)
eeh Baba weh
(nakuachaje Sasa)
Kila shughuli unkatie kijora
(nakuachaje Sasa)
Na kila wili unlipie kikoba
(nakuachaje Sasa)
Nikikucheat unisamehe
(nakuachaje Sasa)
Ukinipa Password zako
(nakuachaje Sasa)
Eeh Meneja Zack ... Msalimie Star Jay Eeh
Yalosemwaga Kumbe ni ya kweliii
Kwamba subira ndo huvuta kheriii
#malkiakaren #Nakuachaje
wanaomkubali malkia wetu kalen gonga like
Huu wimbo mzuri sana aisee ila sasa hawatoi airtime kwa dada yetu huyu
Kwa mara yakwanza napenda nyimbo yako❤
Walio mjua Malkia caren baada ya kifo cha baba ake tujuane
Nan kasikia melody Kama ya jide
Kuna sehemu nilijua jide
Hii sauti kama ya Mama ake mdogo
Sauti yke kama jide
Naiskia “maya mayaaaa mayaa mayaaa oooh”😊 wakongwe watanielewa
Song zur
Nyimbo yenye asili yetu bravo dada yetu❤
UNAJUA sana kuimbaaa sana , nataman uimbe nyimbo z injili
Bonge la ngoma sema wabongo tunapenda ujunga
Mtoto kanyooka hatar😋
Acha nikaongee na mzee abashi chumbagen
Aweeeeeeee😊😊😊😊😊❤❤❤❤❤
R.i.p star jay
Nyimbo nzulisana umeweza
Instrument hajaitendea haki, alitakiwa aweke ngoma kweli hapo
🙌🎷🎵
Sio kwa paja hilo
nice joint...
Kama jide kwa mbaliiii
VIDEO ILIO KUA SHOOT BY SIMU 😮😮 HATAREE
Ngoma amazing video matata sana. Keep up the good work Karen
Waoh amaizing............! I like it
❤❤❤❤❤
🔥🚀💯
❤🔥❤🔥❤🔥❤💯
Good
Wozaaaaa🔥🔥
I lost your number..i need to pay some cocktail 🍸 bills 😊
🤣🤣🤣
she resembles Abigail chams
Nimekujua kwenye intaview ya millad kumbe msanii mzuli
🎉🎉🎉