@@mosesmtegwa1680 wanawake kuimba kanisani sio dhambi, wala sio kosa. Wanacho katazwa wanawake ni kuwa na mamla juu ya Anaume au kuwa na position yoyote yaku tawala mwanaume. Lakini kuimba tu sio tatizo.
@@mosesmtegwa16801 WAKORINTHO 14: 34-35 Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo. 35Nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa 1 WAKORINTHO 11: 4-7 4 Kila mwanamume, asalipo, au anapotoa unabii, naye amefunikwa kichwa, anaaibisha kichwa chake. 5Bali kila mwanamke asalipo, au anapotoa unabii, bila kufunika kichwa, anaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.
Amen Amen Mtumishi wa mungu
Amina Amina Amina 🙏
Amen Amen
Mwalim Naomba unisaidie ninataka kujua je wanawake waimbe kanisani au wasiimbe wakae kimua?
@@mosesmtegwa1680 wanawake kuimba kanisani sio dhambi, wala sio kosa. Wanacho katazwa wanawake ni kuwa na mamla juu ya Anaume au kuwa na position yoyote yaku tawala mwanaume. Lakini kuimba tu sio tatizo.
@@langistany6811
Je wanawake wanaweza kupanda kwenye MIMBARI au MADHABAHU kufanya usafi au kupamba nitambaa?
@@mosesmtegwa16801 WAKORINTHO 14: 34-35
Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo. 35Nao wakitaka kujifunza neno lolote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa
1 WAKORINTHO 11: 4-7
4 Kila mwanamume, asalipo, au anapotoa unabii, naye amefunikwa kichwa, anaaibisha kichwa chake.
5Bali kila mwanamke asalipo, au anapotoa unabii, bila kufunika kichwa, anaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.