KILICHOMKUTA MWANDISHI WA MILLARD AYO KISA KUREKODI TUKIO LA WATOTO KUPOTEA ARUSHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KILICHOMKUTA MWANDISHI WA MILLARD AYO KISA KUREKODI TUKIO LA WATOTO KUPOTEA ARUSHA.
    GADI TV ndiyo
    Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
    Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
    Thanks.

Комментарии • 98

  • @lovenesdickson1824
    @lovenesdickson1824 7 дней назад +19

    Huyu mwandishi huwa mkweli, na mkubali sana.

  • @RomanusBussa-g7q
    @RomanusBussa-g7q 7 дней назад +11

    Yaaahani nimeamini mkubwa mkubwa ToKA MAKONDA atoke likizo amepowa xanaaa mama must go

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o 7 дней назад +17

    Mimi ndiyo mana simpendi makonda makonda ni mtu mbaya aliyejificha katk kivuri cha wema, wananchi kuweni na macho ya rohoni. Hii nchi ilipofika ni mahari pabaya sana

    • @gloryr9497
      @gloryr9497 7 дней назад

      👌👌👌

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 5 дней назад

      Kwan nan anakulazimisha kumpenda Makonda kwan ww mkewe? Acha upumbavu

    • @IvanMocha
      @IvanMocha 4 дня назад

      Acha kusifia ujinga,anaongea Kwa niaba ya watanzania wenye uchungu,​@@ndogoroedson199

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 7 дней назад +12

    Makonda sasa amekuwa nyau kabanwa na mwenye nchi kapoa

  • @TreyCarlos-p2i
    @TreyCarlos-p2i 7 дней назад +9

    Mmmh uhuru wa waandishi wa Habari upo wapi sasa ?

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 7 дней назад +8

    Viongozi wa ss wanaingia kwA. Kujifanya wanatetea watu tuwaangalie sn wako km panya unang,atwa huku unapulizwa

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 дней назад +7

    Mh mkuu wa mkoa Makonda kuwa makini na wasaidizi wako watakuharibia ili wana Arusha wakuone mbaya.

  • @SamirPeter-t4u
    @SamirPeter-t4u 7 дней назад +6

    Najaribu kufikiria ivi likizo ya makonda ilikua ya usalama kweli ? Mbona nahisi kuna kitu kiko tofaut toka arudi likizo 😂😂nawaza tu

    • @makongoronyerere1564
      @makongoronyerere1564 7 дней назад

      Atakua nae wamemteka

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 6 дней назад

      Huyu makonda ninachoona wenye nchi walimteka kimya kimya wamfunze jinsi ya kuwafuata wanavotaka wao😅

  • @MbeshiPaulo-b5o
    @MbeshiPaulo-b5o 7 дней назад +6

    Kinacho takiwa kama tunaitaji ukombozi tuweke selikali mpya hawa watu imewashinda sasa tutaumizwa mpaka lini

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 дней назад +10

    Tz kwasasa Ina ubabe km Natenyau

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 7 дней назад +7

    Yale yale ya Clouds😢

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 7 дней назад +7

    NCHI ZA WENZETU KUMYANYASA MUADISHI KWA SHELIA MKONONI KOSA MKUBWA SANA TUZINGATIE NA TUWAZINGATIE WANDISHI WETU TANZANIA 😮😮😮

    • @MsNajma-j7e
      @MsNajma-j7e 7 дней назад

      Tatizo viongozi wetu hawana erimu wanawekwa tu na wara awafanti sheria

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 дней назад +5

    Sasa mnamkataza mwandishi ili iweje,mwachen ili serikali ya ccm ijue kwamba police wanakamata watu wanaacha kulunda watu achen ushamba mwandishi anawasaidia nyie

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 7 дней назад +4

    Kumechangamka sana sasa ,

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 7 дней назад +2

    Makonda alikuwa mchapa kazi sana lakini na yeye kasha lainishwa na mwenye nchi😅😅😅

  • @Lily-rn6xc
    @Lily-rn6xc 7 дней назад +4

    Tanzania kama palestina

  • @MunaShaibu
    @MunaShaibu 7 дней назад +1

    Hii nchi sasa jmn 🙌

  • @HarunaKonyy
    @HarunaKonyy 7 дней назад

    Kwakweli nimeumia sana kwahiki kilichotokea mungu anawaona

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 5 дней назад

    Na lengo lao nisisikukosa taarifa muhimu iliwaendelee kutuaminisha kuwa ni habari za uvumi sasa mimi ombilangu kwa Mungu awalinde wawe salama mana iyo ni dalili ya hatari kwa wandishi wa habari 🙏

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 7 дней назад +1

    Utawala wa hyu mama sion tofauti na mwendazake mambo ya uonevu yalikuwa meng sanaa

  • @BeatriceEdward-f1h
    @BeatriceEdward-f1h 7 дней назад +3

    Ni dalili mbaya za uchaguzi

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 4 дня назад

    Mmmh mungu tulindie kijana wetu hasitekwe jmn maana nchi ih niyavitisho mtu anachoma picha anatekwa anapotea mazima mmmh we hugopi

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 7 дней назад +2

    Hii nchi kwanini isiuzwe kila mtu apewe hela yake akatafute nchi ya kukaa

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 7 дней назад +1

    Hatari

  • @mussamdoe4619
    @mussamdoe4619 5 дней назад

    Hawa vipi mbona wanatufanya hatujielewi watanzania. Sisi tunaweka bando tunafatilia ujinga wenu mnawafanyia watanzania lakini nyie mnatengeneza expression

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 7 дней назад

    Bila KATIBA HAKI hakuna wao hp juu wanakula bata vx za m 500,lbda Allah/MUNGU atusaidie,wafe kw Ajali,hawa w pilato,wafe tu ase hatuwawezi, MUNGU saidia Tanganyika,

  • @franksabas6339
    @franksabas6339 7 дней назад

    Hawawezi tekeleza jambo kubwa hivi bila kutumwa na aliyewaajiri yaani bosi wao. Sio jambo dogo ni kubwa sana na watu wachache wanaojifanya Wana huruma na WANANCHI kumbe ni wenye roho katili

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 7 дней назад

    Sasaiv matukio kama haya uchaguzi ukifka mnaenda mbio kupga kura kama weu ccm sio chama tena kishazeka me sina chama alhamdulillah

  • @stellamiyombe6117
    @stellamiyombe6117 7 дней назад

    Mungu wangu mbona nchi imekuwa ngumu hii

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 4 дня назад

    Makonda anajifanya ana uluma lkn nimbaya sana anajivisha ngozi ya kondoo kumbe ni mbwa mwitu

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 4 дня назад

      Hakuna mtu mnafiki kama Makonda. Ila wengi hawajui.

  • @priscargodwel8333
    @priscargodwel8333 6 дней назад

    Tena muwe wa wazi mwandishi wa habari ni mtu huru tafadhari jitahidini mltulipotie hii taarifa

  • @isacktesha6659
    @isacktesha6659 7 дней назад +1

    Pameanza kuchangaka

  • @philipombwambo1980
    @philipombwambo1980 7 дней назад

    Mimi niliwahi kusema Huyu kiongozi ni mbabe na hafai kuongaza

  • @marymariki-m5w
    @marymariki-m5w 7 дней назад

    Mmh hatar

  • @Kaka_Rambo
    @Kaka_Rambo 7 дней назад

    Taarifa ya kisenge

  • @BataBatanii
    @BataBatanii 6 дней назад

    Udhaifu wa kisere

  • @geofreymwanshuli4344
    @geofreymwanshuli4344 7 дней назад

    Mateso tutayapia wote sio chadema pekeyao

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 6 дней назад

    Ngoja niwape stori Sasa nataka kuwa kama mange usimwamini mwanasiasa Makonda amebadilika Toka asilimia 100 hadi zimebaki 45 tutakoma na Sabaya ndiyo Huyo kesharudishwa kazin anakula mshahara tukae kama mayatima hakuna namna 😂😂

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania 7 дней назад

    Toka makonda isemekene kaenda cjui likizo karud akiwa mwingine usikute walimtekaga wakamkanya na hii kutetea wanyonge aaaa

  • @DavidKidee
    @DavidKidee 7 дней назад

    Nchi ambayo hainauhuru wowote nchiyakisenge nchiimejaa nuksi nchihaina uhuru tunaoqmbiwa

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j 7 дней назад +1

    Kwa makonda anapenda tu kuonekana hakuna tatizo

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 7 дней назад

      Hivi mnahakika makonda Yani kwasababu yy ni wa Arusha kama makonda anapenda kuonyesha hakuna matatizo kwanini basi anawasikiliza wenye matatizo? Haya mwandishi kashikwa na makonda na waliyotekwa dar mwanza na kwingine pia ni makonda? Chuki ni mbaya hunauhakika kisa adui Yako basi unasema akiwa sio adui Yako hata ukiwa na uhakika na makosa yake unakaa kimya

  • @blessjo1678
    @blessjo1678 7 дней назад

    Wanataka kufichaa taarifa...hahahaaaa hawawezi hapa ndipo nchi ilipofika na hawawezi kurudisha nyuma mioyo ya watu

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 7 дней назад

    Waandishi msikuburi! kutishwa wakati mnatimiza majukumu yenu ,kwaiyo wanataka watu wasijue kitu?kwaiyo ipo siku tutaambiwa hakuna kusoma ilituendelee kuwa gizani?basi wafute redio zote ilitusipa habari yote wawe wanatusimulia mambo yanayoendelea tanganyika maana tunaouwana na kutesana ni watanganyika.

  • @GhaniaSaid-u5k
    @GhaniaSaid-u5k 7 дней назад

    Mliwahi kasema na huruma makonda muoneni huyu nyoka ccm hakujawah kutokea mtu akawa na huruma

  • @SINADATITO
    @SINADATITO 7 дней назад

    Fungeni Sasa Media zote ili mtoe taarifa nyie wenyewe. Maana wenye taaruma zao hamuwaachi wafanye Yale wanayo yajua🙆

  • @JohnAmbrosi
    @JohnAmbrosi 7 дней назад

    R.i.p tanzania

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 7 дней назад

    Huko mashariki ya kati hanas wana mukikwa kwa satellite naku pigwa na bom puuuuh kisa wanaonekana ktk satellite bongo noo satellite sjui bhana kwa kupotea kwa watu inakuwa ni mchezo wa kila suku halafu kibaya sasa hata hawasafirishi kwenda European wanapelekwa kwa waganga ili watu wapate utajiri aiseee bina adam bhana tena mu Africa duuh Amakweli bora kuzaliwa 🐈‍⬛ ulaya

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 7 дней назад

    Arusha mna matatizo.mlimlaki makonda kama mfalme.Sasa ameanza kazi rasmi,na mlivyo mbumbu mmekula ng'ombe wake.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 7 дней назад

    SEMA AYO UKIANZA KUGOMBANA NA WATU WA SERIKAL TUTAKUPOTEZA VITU VYA NDAN VYA SERIKAL ACHANA NAVYO VITAKUHALIBIA KAZ MAN

    • @meryeliakunda4226
      @meryeliakunda4226 7 дней назад

      We matango kweli puuzi

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 6 дней назад

      Hii comment nlikuwa naitafuta naskiaga Ayo ni chawa wa serekali chini ya maji kumbe ni kweli hadi umeandika Kwa herufi Kubwa🙆

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 7 дней назад

    Tatizo vyombo vya habari huwa havina ushirikiani sasa hakuna hata aliyethubutu kuchukua video ya waliomburuza

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 7 дней назад

    😢😢

  • @DavidKidee
    @DavidKidee 7 дней назад

    Wasije wakumuua maana hawachelewi

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 дней назад

    Tz Ina ubabe km Israel

  • @samsonkasinde1361
    @samsonkasinde1361 5 дней назад

    It

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho 7 дней назад +1

    Eee MUNGU ikumbuke Tz

  • @ThomasMichael-w3b
    @ThomasMichael-w3b 7 дней назад

    Watu wanamuharibia mama kwa makusudi

    • @evaemil856
      @evaemil856 7 дней назад

      Anajiaribia mwenyewe, na wala si hivyo tu mama ni sawa na Magufuli na amewarudisha Nape, amemrudisha Makonda na everyone. 4Rs zake zilikuwa ni danganya toto. Makonda mtakoma nae. Atanyooka na Kila mmoja. Na bado CCM oyeeee tunashinda tu na hatutafuata sheria isiyoendana na CCM na mje CHADEMA kaeni kimya au mtapotea wote.

    • @justice607
      @justice607 7 дней назад

      😢😢

    • @swalehemusa4546
      @swalehemusa4546 7 дней назад

      Sasa kma yy mwenyewe aongei unadhani nn kinatokea na inaonekana yeye ndio anayabariki mambo haya

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 7 дней назад

      Sasa huyo mama unataka wamuharibu mala ngapi iyo hutuba aliyoisoma siku ile unajua ipo sawa wamemuharibu tayar pia Nina Imani hajaiandika mama

  • @DavidKidee
    @DavidKidee 7 дней назад

    Wanaficha nini

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 7 дней назад

    Kwakweli waandishi mmekua mnatia sana taharuki kw maslahi ya vyombo vyenu, nandomana Nyerere alizuia hata TV wakat wake ,kilakitu serikali ,wtt kupotea kwnn Serikali ,nyie mnasambaza vitu vinawafika wengi ambao tayari wanajazwa upuuzi ,nakuhatarisha Nchi ,hèbu tupumzisheni tumechoka nahizi habari ,nihayotu kilakukicha

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 7 дней назад +3

      Kweli hujitambui

    • @ErnestLaiza-f3l
      @ErnestLaiza-f3l 7 дней назад +1

      Mjinga ni mjinga

    • @RamadhaniKitala-gx6wc
      @RamadhaniKitala-gx6wc 7 дней назад

      Unajua nini maana ya mwandishi wa habari , wew unachukua zama za Nyerere na Sasa ni utandawazi usiishi kwa kukariri

    • @joshuamathias4103
      @joshuamathias4103 7 дней назад

      Wew dada kumbe ni mpuuz mmoja tu mjinga ww

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 7 дней назад

      Ni kweli hawafati maadili ya kazi wamekua wanakurupuka ilimradi wapate like na comment

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 7 дней назад

    Hawataki waonyeshe ukatili unao fanyika kwenye serekali yetuy ya huyu mam wa sisiem

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 7 дней назад

    Niseme tuu ccm mbele kwa mbele uzuni ila mjifuze kukiacha Mungu Baba Mkuu mwenye nguvu naomba uwape watazania nguvu wapinge kura sahii upendapo tuurumie baba sababu mpaka sasa sijajua wata kuja kuniteka 😢😢😢😢😢😢

  • @KiringoMtemi
    @KiringoMtemi 7 дней назад

    Mama ameyaruhusu haya huu ni mwanzo tu tutakoma mwaka huu mikia itaongezeka😊

  • @joshuamathias4103
    @joshuamathias4103 7 дней назад

    Hii ni Ujingaaaa🙌

  • @MbweaWajangwani
    @MbweaWajangwani 7 дней назад

    Dah hii sio pw