Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nyama choma 😋
Jamani zakia umenikumbusha mbali 😀😀
I know jamani I wish turudie 😍😍😍
aahh weeee 🥰
Mbuzi wee 😩
Ushindi wa sinia kiboko😀😀😀😀
Nice video 👌👌
Thanks dear
The nyama choma dear 🤪🤪🤪🤪Nice video 😍
We should have some ila dar sijui wapi pa kwenda
Naifungia safari hiyo nyama 🤗
Uniambie twende wote maana bado naiwaza
@@simplyzacky sawa😂😂😂
My favourate youtuber😘
🥰🥰🥰😘😘😘
Saidi ni m'beautiful kafanana na wewe😍😍
Heheheh kumbe mie mnjuri mnjuri 😍😍😍😍
Uwiii Zacky kututamanisha huku vipi jamani 😋😋
Kurushana roho tu wewe umewahi kurudi huko ukevutavuta muda kwanza
@@simplyzacky next time
Oyaaaa wewe huo mguu sio poa
Tufanye namna basi tuupate kaka
Apo ulipokula nyama uyo kaka anachoma vizuriii ana viungo vyake kwenye chupa anamwagia mwagia akiwa anachoma jamani jamani😋😋😋, ndo kijiwe chetu tukiendaga kufata nyama😊😊😊 umenitamanisha nyama ya mbuzi we dada
Hehehheheh unatamani wakati upo jikoni we jilie tu
nauliza...vidaradara inamanisha nini? najaribu kujifunza kiswahili
It means Public transport....
Dada napenda unacho kufanya naomba kuuliza maduka ya vipodozi yapo upande gani exactly Arusha?
Mcheki mtu anaitwa john instagrama anatumia @_johnpoint
Upo wapi nije kukuona mamy
Nishaondoka dear
Nyama choma 😋
Jamani zakia umenikumbusha mbali 😀😀
I know jamani I wish turudie 😍😍😍
aahh weeee 🥰
Mbuzi wee 😩
Ushindi wa sinia kiboko😀😀😀😀
Nice video 👌👌
Thanks dear
The nyama choma dear 🤪🤪🤪🤪
Nice video 😍
We should have some ila dar sijui wapi pa kwenda
Naifungia safari hiyo nyama 🤗
Uniambie twende wote maana bado naiwaza
@@simplyzacky sawa😂😂😂
My favourate youtuber😘
🥰🥰🥰😘😘😘
Saidi ni m'beautiful kafanana na wewe😍😍
Heheheh kumbe mie mnjuri mnjuri 😍😍😍😍
Uwiii Zacky kututamanisha huku vipi jamani 😋😋
Kurushana roho tu wewe umewahi kurudi huko ukevutavuta muda kwanza
@@simplyzacky next time
Oyaaaa wewe huo mguu sio poa
Tufanye namna basi tuupate kaka
Apo ulipokula nyama uyo kaka anachoma vizuriii ana viungo vyake kwenye chupa anamwagia mwagia akiwa anachoma jamani jamani😋😋😋, ndo kijiwe chetu tukiendaga kufata nyama😊😊😊 umenitamanisha nyama ya mbuzi we dada
Hehehheheh unatamani wakati upo jikoni we jilie tu
nauliza...vidaradara inamanisha nini? najaribu kujifunza kiswahili
It means Public transport....
Dada napenda unacho kufanya naomba kuuliza maduka ya vipodozi yapo upande gani exactly Arusha?
Mcheki mtu anaitwa john instagrama anatumia @_johnpoint
Upo wapi nije kukuona mamy
Nishaondoka dear