TAZAMA BALAA LA YAMMI KWENYE STAGE YA MR RIGHT | KUKU YAPIGWA LIVE | S06E05
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Umebarikiwa sauti nakupenda bure❤❤
🎉🎉thanks God is good
Kaimba vzur had Raha🌹🥳
❤❤❤❤❤❤my girl
😊😊sauti mama...mashallah..
Kuna mdada mweusi mwenye minyoosho anaimba kwa hisia atakuwa kampata mwanaume mweupe😂😂
Hatimae na mm nmechok kuona kitovu cha uyu dada jaman😂 nmeanz kufeel venye huw mnafeel😢💔🤣
she is beauty
Good
Nimeipenda hiyo🎉🎉❤
Mbosso kasha muacha uyu mtoto😂😂😂😂
Napenda sana yammi anavyoimba na hao wanaosema yammi anavyovaa wanawuvu mwaya unajua
Ivi yami ukifunika kitovu kinawash au😮
Shangaa😮
Masharti hayo😂😂😂
Dad unajua nmependa hyooo
Ivi mtoto wakisram kinena chote wazi unaweza je kutembea dah mtihani yami
Yan wewe yammy siku ukifanya sajali nitakuona mbwa 😢😢😢
Nampenda yami nyimbo zake zote tamu, ila ongeza kipimo cha nguo ya juu
Kweli kabisa maana sio kwa kuvaa huko
😂🤣😅
Wajina wangu jmn
Yammy anasauti jaman
❤❤❤❤
Sasa mweye mnatizama kitovu au nguo msisahau kwamba na huyo ni star atava kama gisi wangine ma star wanava mwe ninini mumuache na mipango yake😂
Uyo Yammy anajua sana kuimba, Ila hajakamirika kua msani bora. Yani msani unaona aibu kukatika kiuno ,but auoni aibu kuvaa kitovu juu?sasa kipi kizuli kinacho wapa burudani watu? Kitovu ao kuchangamsha podium?
Hapo bwana angekuwa ruby weeeee
@BabyFaceNday Ndio mavazi ya siku hizi si yammi peke yake
Nyinyi ndio wale mlosema hatafika mbal... Mliomkataa🤣🤣
yamm unajua san ila jalib kujistil kidog
Ww baba ww
Yamm ni hatar kafanya mboso awe bora
Waimba poa, ILA wanitia aibu,funika tumbo,plz mmi pia mwanamke
Uyu mtoto anajuwa kuimba Mandy afiki
Mandy ni nan 😂
Sipend anavyovaa
Huyu Ni kitovuu Kiko njee jee zuchu 😂 huyo anavaa uchi kabisaaa
@SomoeMahazi huyo ndyo sitak hata kumsikia.... wanajisahu sana
Hapo hao watu wanaangalia kitovu tu
Kabisa nimtihani ijawonaga uyu mtoto anavaa nguwo ya kumtosha kwa nini ivo lakini?
Mtoto kama kaingia kwa chupa vile
❤❤❤