MITIMINGI # 129 SUMU YA KUMMALIZA MWANAUME AKUPENDE MAISHA YAKO YOTE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Usiku wa Dr. Ester akifundwa na kungwi. Mchungaji na Mwalimu Mitimingi P.
Kwa sababu ya maadili Somo hili ni kipande kifupi kilichokatwa, endapo utahitaji somo zima kwa wanandoa au wanaotarajia kuingia kwenye ndoa, wasiliana nasi sasa kwa 0713183939
Wanawake mmejitahid kulalamika sana,, tuieni nondo ziingie ndani ya vichwa vyenu.
Nikweli kabisa, mm ninamatatizo makubwasana na mpenziwangu aijawahi pita siku atujagombana ani adi nakondaa... Asante sana na Mungu akubariki
mabarikiwa sana mtumishi na mafundisho yako yanayotukumbusha wajibu wetu ili tuwe na amani katika maisha yetu.
Kwa maishani ya sasa hata uwe na msneni mazuri veepe akiamua kutoka atatoka tu na ma changu DOA kwa taarifa yako wanatumia na dawa za kiswahili sio maneno matupu
Aisee nimeipenda mno, mtumishi upo vizuri Mungu aendelee kukutumia zaidi na zaidi ili kuponya ndoa. Ubarikiwe na BWANA.
dah We jamaa unanfundsha vtu vingi sana vya Msingi aisee mungu akubarki sna
Wapo wanaume wengine hata wanyenyekewe bado wakorofi,pia heshima nikwa wote si kwa mwanamke pekee,wapo wanawake niwatulivu wanawaheshimu waume zao lakini bado wanawatesa wake zao bila kujali.
mtumishi hivi wanaume wenzio unawafahamu,akiwa ameokoka kwelikweli sawa.hizi nyumba Mungu anajua tu
Kabisaa hawo watakatifu ndio wabaya kabisaa anakuchits live
Kwani ndoa ni mwanamke tu mimi hii sikubaliani nalo ndoa ni pande mbili na sio moja
Kwel na wanaume nao wanampungfu yao
Baba barkiwa sana somo lako limenigusa sana maana linanihusu sana asante kwa somo zuri naenda kupona sasa
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundiisho mazuri kwa kanisa has a nyakati za sasa,
jaman barikiwa sana Baba mchungaji, najifunza mie
Asante Mtumishi wa Mungu hakika ninakuelewa sana mafundisho yako.
asante mtumishi wamngu
una kitu cha cha tofauti Mungu akubariki na akupe mafunuo ndani ya karama yako
asante mtumishi ila Mimi yote nilifanya lakini hivohivo tuliachana ubarikiwe pia kwa mafundisho yako.
Mmmh napita
Daa safi sana nimejifuza kitu kutoka kwako kila unaloliongea ni kweli kabisa
ahsantee xnaa mchungaji kwa mafundisho mazur
Ubarikiwe sana pastor. Tunashukuru kwa mafundisho yako
Muchungaji Niko naswali samahani Mimi niliishi na Bwana wangu myaka 15 .kisha akaanza michepuko .nilikuwa nafanya maombi ndani ya nyumba yangu .kilasiku naota ndoto nikaona Mme wangu.ako anapatia pesa .wingine mwana mke .nikamuuliza Mme wangu nimekuotea ndoto mbaya nikamuelezea ndoto zangu akazikataa .kisha nikaendelea ndoto mbaya kumuhusu kila siku anakataa
Kisha Imefika mda Bwana akaumwa .akaanza kuniomba musamaha nakukubali zire ndoto nakunionyesha wana
ake wengi arikuwa anachepuka nao.
Nilimuuliza sababu alinijibu eti nikwasababu ameniona niko mpole siongei sipige kelele eti akaona hata achepuke sitaongea ..
Saahii tumeachana mwisho akawa mwenda wazimu analazw sipitalini zawagonjwa wendawazimu .Mungu amempiga . From Amerika
Pole xana my dear jaman 😢
inabidi nirudie mara kwa mara.....♡♡♡♡good lesson
Vizulii sanaaaaaaaa bay fikiri lusapi
Asante baba mafundisho safi sana
Ahsante mchungaji nimejifunza kitu
I have learn something and richly blessed
Asante sana imeningusa ubarikiwe.
Amen mtumishi, barikiwa.
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.....
Mambo mazuri ila ni kwanini siku zote ni mwanaume mwanaume......na je wanaume wao watufanyeje sisi au sisi ni viburudisho vyao
Hakuna kitu, ukimbembeleza na akajua unampenda atakufanyia visaaaaa. Ataona unajigonga kwake kana kwamba wewe huna mbele wala nyuma. Bora niwe strong woman, niishi mwenyewe.Hawanaga zuri wanaume mtu asikudanganye, mapenzi mazuri ni mwaka mmoja wa pili sufuri, visa vitupu linaanza michepuko. Ila ukivumilia aende michepuko mtaishi tu.
Margareth Solomon kweli kabisa
Kwani hawa wanaume ni nini? kilakitu wanafanyiwa, jimtu mzima jifanyie vitu peke yako. Am a strong human being i can do it
Hi Magreth
Mnapunguzaga mapenzi ndo maana mnaachwa
cet grand homme c'est un grand seminariste entouquant. felicitation!
congolese man
nimebarikiwa sana
Asante baba kwa somo
Umesema vzuri sana mtumishi Wa Mungu...ila mbona wanaume nao hawafundishwi haya pia wao wajue wanachokihtaji wanawake?
Barikiwa sana, pia wanaume wana vipande vyao Karembo. Fuatilia utqvipqtq. barikiwa sana sana
Karembo Baya
Thanks 👍 God bless thanks 🙏 Amen amen amen thanks 👍
nabarikiwa sana na mafundisho yako
That is good bro
Nimebarikiwa sawa na somo nzuriiii
eileen harun jaman mungu ambalik mwalimu somo zuli sana
hii inaitwa akili za kuambiwa changanya na xako.wanaume wa siku hizi akili zao wanazijua wenyewe
Good
Kweli siboeki hata kama sijaenda kanisani nasikiliza najifunza nanarikiwa sana kwakweli
AMEN... Nmejifunza
Duuui ni kweli
barikiw sana mtumishi
Ubalikiwe mchungaji
Amina mtumishi wa mungu
Yani
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.nitapata wapi namba yenu! Ijapokuwa NDOA yangu hayipo tena.lakini unasema ukweli kabisa!
Amina, wasiliana nasi kwa Number 0713183939
Amina Christine Nizigama. Unaweza kuwasiliana nasi kupitia Number 0713183939
Christine Nizigama you will be okay
Good lesson
Amen
Kwani ndoa inabebwa na mwanamke tu mchungaji wafundishe na wanaume pia jinsi ya kuishi na sisi
Wote wamebeba ndoa, Pia wanaume wana mambo yao ambayo wanapaswa kuyajua. Wanaume wengi ndio wamewasababishia wanawake wapate stress na Bp. Fuatilia masomo utavipata vipande vyao. Baarikiwa sana.
rehema baraka wanawake ndo injini na ndo wenye nyumba, ndo watunzaji wa waume zao, ukishaona pointi inayogusa sana ujue ndo yenyewe
Rehema ukweli ni kwamba mwanamke ndio mwenye uwezo Wa kuboa au kujenga nyumba,
Amina mtumishi nimefuatilia nimeviona ubarikiwe sana kwa mafundisho yako
Jastine Sambwet wanawake ndo injini lkn ukumbuke gari hata ikiwa na injini nzuri kiasi gani itategemea na dereva wa hiyo gari anaiendesha vp maana gari bila dereva mzuri hata injini si kitu kwake
Chapa Job
amina
Kweli mtumishi
Upo sahihi mtumish
Napenda san mahubri yko
Ubarikiwe mtumishi huwa naelewa sana mafundisho yako
nimekusoma baba ubarikiwe
thanks alot
Somo zuri nimebarikiwa
Great message mutumishi, God bless you so much.
Amen Glory be To God. Be Blessed
Rest In Peace bro From kenya
Hahahahahahahahahahahahaha Daaaaah...!!! Utakula ugangari hiyo ni noma sana
amin
Vizuri kaka tupo pamoja
safiiii
amen
Ni kweli mtumishi hayo yapo
Ukweli kabisa
gud lesson
Kabisa kabisa
Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu,,,Wanawake wamefundishwa la kutosha.Tunasubiri somo letu sisi mwanaume...Usituamini saana wanaume nasi twahitaji kukokotwa masikio.
Uko sawa mchungaji,ni rahisi zaidi kunuelezea mwanaume kwakua wewe ni mmoja wapo, kama ni upande wa mwanamke mwanamke naye aeleze atazungunza Kwa ufanisi zaidi.
bora yako unalijua hilo bro make kuna wengine wanajiona wao ni perfect
Wanaume hawapendeki bwana kama nishindikana ata ufanye nn hataona
Majanaume ya siku izi hata ulifanyie nn km lihuni lihuni ty me sifati lolote hayo hawana shukurani wanaume
ukiona mwanaume amefeli,ujue mke ndiye tatizo,Dada unaweza mbadirisha mmeo.
Kwel hakuna mkate Mgumu mbele ya chai, tena n chai ya rangi c ya maziwa
Kweliii!
Mchungaji mbona wanawake tuuu!!!!?!????Ina maana wanaume kwenye ndoa wanasubiri tu atakalotenda mke?
Paster wao waume pia wape mafundisho sababu wewe utamweshimu lakini yeye akuomyesha dharau haswa akiwa amekuzalisha watoto ndo anukuona wewe mtumba wape vidonge vyao pia
Tupo kwenye kitchen party ni wanawake tu
Kwel baba
À santé dans kwaushauli
Ambao hawajaolewa plz hakikisha unamahali unategemea pakutoa mapato yako ndo ufikirie kuolewa lakini usitegemee mume sababu mume anakupenda ukiwa huna watoto lakini ukizaa upendo unaanza kupungua
Nimekuelewa sana
Very true dear
jamani naomba kuuliza hii video naipataje jamani kwenye whatsp
Download tube mate Google video zote za RUclips utazipata kupitia hiyo.
Wanawake. Wanamacho lakini hawaoni
ASANTE sana
😂😂😂😂cameraman eee .....🙈🙈🙈🙈🙈
Amina,haya Masomo nimazuri,mbali Na Utube tunayapata wapi?
Mbali na RUclips unaweza kuyapata kwa kuwasiliana nasi 0713183939 Jinsi ya kuyapata. VHM. Karibu sana
Wasiliana nasi kupitia 0713183939. Au ofisi zetu zipo mwenge Dsm opposite mama Ngoma hospital
Wakachepuke tu ukimwi wawasalimu
Nimejifunza kitu
Evaline Simoni Evaline asante
Amina
Hapa kwetu pini niza sula yako
🙏🏽🙏🏽
Pastor ,,mchungaji anaeza patana na bb yake kimapenxi jimamosi ikielekea jumapili?,,na je! U naeza funga au kuomba ukiwa period?
Unachanganya uislamu na Ukristo soma bibilia
🙏🙏
Nafikiri wengi mnao endelea kulalamika huwa si wafuatiliaji wa hizi semina,kiukweli Pastor mitimingi hajawai kuacha kuwazungumzia wana ume kwaiyo jitaidini kumsikiliza mtapona swala kubwa nikuacha ushindani kati ya mume na mke.
Na kuroga mitimingi ndivyo wanavyofanya wanawake
Salimalnabhani 1952 balikiwa mtumishi
kwan ndoa ni ya mwanamke tu?? utamfanyia mwanaume ambaye hajielewi???
@@hildakimambo2236 Ni kweli hata umfuatilie namna zote mstari wake ni uleule wa mchepuko kwako yupo na nje anatoka.
mbona hamwongelei wanaume. ?? ndoa ni mwanaume na mwanamke.
Nina wasi wasi na huyu mchungaji
Wanaume pia wafundishwe, ndoa inabebwa na wotee..
Hiyo ni sendoff ndo maan anadili na wanawake
Najma Ibrahim
Nimebarikiwa sana
amen
Kweli baba asante
À santé dans kwaushauli
Asante sana Kweli umeni bariki
amen