MITIMINGI # 129 SUMU YA KUMMALIZA MWANAUME AKUPENDE MAISHA YAKO YOTE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Usiku wa Dr. Ester akifundwa na kungwi. Mchungaji na Mwalimu Mitimingi P.
    Kwa sababu ya maadili Somo hili ni kipande kifupi kilichokatwa, endapo utahitaji somo zima kwa wanandoa au wanaotarajia kuingia kwenye ndoa, wasiliana nasi sasa kwa 0713183939

Комментарии • 145

  • @iconboysamwel9213
    @iconboysamwel9213 4 года назад +2

    Wanawake mmejitahid kulalamika sana,, tuieni nondo ziingie ndani ya vichwa vyenu.

  • @ibrahimtobbz9518
    @ibrahimtobbz9518 7 лет назад +10

    Nikweli kabisa, mm ninamatatizo makubwasana na mpenziwangu aijawahi pita siku atujagombana ani adi nakondaa... Asante sana na Mungu akubariki

  • @suzanamisungwi7230
    @suzanamisungwi7230 6 лет назад +1

    mabarikiwa sana mtumishi na mafundisho yako yanayotukumbusha wajibu wetu ili tuwe na amani katika maisha yetu.

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 лет назад +3

    Kwa maishani ya sasa hata uwe na msneni mazuri veepe akiamua kutoka atatoka tu na ma changu DOA kwa taarifa yako wanatumia na dawa za kiswahili sio maneno matupu

  • @emmanueltwaha1489
    @emmanueltwaha1489 7 лет назад +3

    Aisee nimeipenda mno, mtumishi upo vizuri Mungu aendelee kukutumia zaidi na zaidi ili kuponya ndoa. Ubarikiwe na BWANA.

  • @ericgeofrey7388
    @ericgeofrey7388 6 лет назад +4

    dah We jamaa unanfundsha vtu vingi sana vya Msingi aisee mungu akubarki sna

  • @jeniphermyinga3083
    @jeniphermyinga3083 6 лет назад +9

    Wapo wanaume wengine hata wanyenyekewe bado wakorofi,pia heshima nikwa wote si kwa mwanamke pekee,wapo wanawake niwatulivu wanawaheshimu waume zao lakini bado wanawatesa wake zao bila kujali.

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 6 лет назад +2

    mtumishi hivi wanaume wenzio unawafahamu,akiwa ameokoka kwelikweli sawa.hizi nyumba Mungu anajua tu

    • @swalhazira8533
      @swalhazira8533 Год назад

      Kabisaa hawo watakatifu ndio wabaya kabisaa anakuchits live

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 6 лет назад +12

    Kwani ndoa ni mwanamke tu mimi hii sikubaliani nalo ndoa ni pande mbili na sio moja

  • @esthersimon6513
    @esthersimon6513 6 лет назад +1

    Baba barkiwa sana somo lako limenigusa sana maana linanihusu sana asante kwa somo zuri naenda kupona sasa

  • @godfreymuntagu7660
    @godfreymuntagu7660 6 лет назад +1

    Mungu akubariki mtumishi kwa mafundiisho mazuri kwa kanisa has a nyakati za sasa,

  • @asmakaronge3676
    @asmakaronge3676 6 лет назад +2

    jaman barikiwa sana Baba mchungaji, najifunza mie

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 5 лет назад +1

    Asante Mtumishi wa Mungu hakika ninakuelewa sana mafundisho yako.

  • @mrdoforlove
    @mrdoforlove 6 лет назад +1

    una kitu cha cha tofauti Mungu akubariki na akupe mafunuo ndani ya karama yako

  • @deborabalama2656
    @deborabalama2656 6 лет назад +3

    asante mtumishi ila Mimi yote nilifanya lakini hivohivo tuliachana ubarikiwe pia kwa mafundisho yako.

  • @zuberinyenzi1982
    @zuberinyenzi1982 6 лет назад +1

    Daa safi sana nimejifuza kitu kutoka kwako kila unaloliongea ni kweli kabisa

  • @esterjonathan7476
    @esterjonathan7476 6 лет назад +1

    ahsantee xnaa mchungaji kwa mafundisho mazur

  • @sectorfmctnyar6113
    @sectorfmctnyar6113 6 лет назад +1

    Ubarikiwe sana pastor. Tunashukuru kwa mafundisho yako

  • @gaudenceharerimana7743
    @gaudenceharerimana7743 2 года назад +1

    Muchungaji Niko naswali samahani Mimi niliishi na Bwana wangu myaka 15 .kisha akaanza michepuko .nilikuwa nafanya maombi ndani ya nyumba yangu .kilasiku naota ndoto nikaona Mme wangu.ako anapatia pesa .wingine mwana mke .nikamuuliza Mme wangu nimekuotea ndoto mbaya nikamuelezea ndoto zangu akazikataa .kisha nikaendelea ndoto mbaya kumuhusu kila siku anakataa
    Kisha Imefika mda Bwana akaumwa .akaanza kuniomba musamaha nakukubali zire ndoto nakunionyesha wana
    ake wengi arikuwa anachepuka nao.
    Nilimuuliza sababu alinijibu eti nikwasababu ameniona niko mpole siongei sipige kelele eti akaona hata achepuke sitaongea ..
    Saahii tumeachana mwisho akawa mwenda wazimu analazw sipitalini zawagonjwa wendawazimu .Mungu amempiga . From Amerika

  • @adrianashyko2781
    @adrianashyko2781 6 лет назад +2

    inabidi nirudie mara kwa mara.....♡♡♡♡good lesson

  • @fikirilusapi7917
    @fikirilusapi7917 4 года назад +1

    Vizulii sanaaaaaaaa bay fikiri lusapi

  • @roseindekhwa5167
    @roseindekhwa5167 5 лет назад +1

    Asante baba mafundisho safi sana

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 6 лет назад +1

    Ahsante mchungaji nimejifunza kitu

  • @rhodahnyambu5847
    @rhodahnyambu5847 5 лет назад +1

    I have learn something and richly blessed

  • @alexandermtambala9039
    @alexandermtambala9039 6 лет назад +1

    Asante sana imeningusa ubarikiwe.

  • @janembugi425
    @janembugi425 6 лет назад +1

    Amen mtumishi, barikiwa.

  • @fadhiliidafa1442
    @fadhiliidafa1442 7 лет назад +1

    Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.....

  • @childofgodthroughjesuschri3326
    @childofgodthroughjesuschri3326 6 лет назад +4

    Mambo mazuri ila ni kwanini siku zote ni mwanaume mwanaume......na je wanaume wao watufanyeje sisi au sisi ni viburudisho vyao

  • @margarethsolomon693
    @margarethsolomon693 6 лет назад +8

    Hakuna kitu, ukimbembeleza na akajua unampenda atakufanyia visaaaaa. Ataona unajigonga kwake kana kwamba wewe huna mbele wala nyuma. Bora niwe strong woman, niishi mwenyewe.Hawanaga zuri wanaume mtu asikudanganye, mapenzi mazuri ni mwaka mmoja wa pili sufuri, visa vitupu linaanza michepuko. Ila ukivumilia aende michepuko mtaishi tu.

    • @husnajohn7466
      @husnajohn7466 5 лет назад

      Margareth Solomon kweli kabisa

    • @jacklineachieng1131
      @jacklineachieng1131 5 лет назад

      Kwani hawa wanaume ni nini? kilakitu wanafanyiwa, jimtu mzima jifanyie vitu peke yako. Am a strong human being i can do it

    • @musarichard2934
      @musarichard2934 4 года назад

      Hi Magreth

    • @TheresiaMsunga-bs2wk
      @TheresiaMsunga-bs2wk Год назад

      Mnapunguzaga mapenzi ndo maana mnaachwa

  • @solomonfaithbless5940
    @solomonfaithbless5940 6 лет назад +1

    cet grand homme c'est un grand seminariste entouquant. felicitation!
    congolese man

  • @neselaurence7350
    @neselaurence7350 6 лет назад +2

    nimebarikiwa sana

  • @saramwinuka3989
    @saramwinuka3989 7 лет назад +2

    Asante baba kwa somo

  • @karembobaya9473
    @karembobaya9473 6 лет назад +6

    Umesema vzuri sana mtumishi Wa Mungu...ila mbona wanaume nao hawafundishwi haya pia wao wajue wanachokihtaji wanawake?

  • @davidmuthoni624
    @davidmuthoni624 3 года назад

    Thanks 👍 God bless thanks 🙏 Amen amen amen thanks 👍

  • @happynchimbi6043
    @happynchimbi6043 6 лет назад +1

    nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @irinendubi5813
    @irinendubi5813 6 лет назад +1

    That is good bro

  • @mrs.eileenvahaye8669
    @mrs.eileenvahaye8669 6 лет назад +2

    Nimebarikiwa sawa na somo nzuriiii

  • @solomonedward3379
    @solomonedward3379 4 года назад +1

    Kweli siboeki hata kama sijaenda kanisani nasikiliza najifunza nanarikiwa sana kwakweli

  • @neemajelemiah766
    @neemajelemiah766 6 лет назад +1

    AMEN... Nmejifunza

  • @kisolaboniphace2123
    @kisolaboniphace2123 6 лет назад +1

    barikiw sana mtumishi

  • @necodeirakoze8911
    @necodeirakoze8911 10 месяцев назад

    Ubalikiwe mchungaji

  • @mrsmusasaganda4369
    @mrsmusasaganda4369 6 лет назад +1

    Amina mtumishi wa mungu

  • @LuganoMwatala
    @LuganoMwatala 8 месяцев назад

    Yani

  • @christinen8291
    @christinen8291 7 лет назад +12

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.nitapata wapi namba yenu! Ijapokuwa NDOA yangu hayipo tena.lakini unasema ukweli kabisa!

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  7 лет назад

      Amina, wasiliana nasi kwa Number 0713183939

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  7 лет назад

      Amina Christine Nizigama. Unaweza kuwasiliana nasi kupitia Number 0713183939

    • @cars9969
      @cars9969 6 лет назад

      Christine Nizigama you will be okay

  • @paulodesmoni6226
    @paulodesmoni6226 6 лет назад +2

    Good lesson

  • @rehemabaraka9895
    @rehemabaraka9895 6 лет назад +20

    Kwani ndoa inabebwa na mwanamke tu mchungaji wafundishe na wanaume pia jinsi ya kuishi na sisi

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  6 лет назад

      Wote wamebeba ndoa, Pia wanaume wana mambo yao ambayo wanapaswa kuyajua. Wanaume wengi ndio wamewasababishia wanawake wapate stress na Bp. Fuatilia masomo utavipata vipande vyao. Baarikiwa sana.

    • @jastinesamboto4674
      @jastinesamboto4674 6 лет назад

      rehema baraka wanawake ndo injini na ndo wenye nyumba, ndo watunzaji wa waume zao, ukishaona pointi inayogusa sana ujue ndo yenyewe

    • @josephloy158
      @josephloy158 6 лет назад +2

      Rehema ukweli ni kwamba mwanamke ndio mwenye uwezo Wa kuboa au kujenga nyumba,

    • @rehemabaraka9895
      @rehemabaraka9895 6 лет назад

      Amina mtumishi nimefuatilia nimeviona ubarikiwe sana kwa mafundisho yako

    • @rehemabaraka9895
      @rehemabaraka9895 6 лет назад

      Jastine Sambwet wanawake ndo injini lkn ukumbuke gari hata ikiwa na injini nzuri kiasi gani itategemea na dereva wa hiyo gari anaiendesha vp maana gari bila dereva mzuri hata injini si kitu kwake

  • @davidmuthoni624
    @davidmuthoni624 3 года назад +1

    Chapa Job

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 6 лет назад +1

    amina

  • @selestinfrancis5904
    @selestinfrancis5904 Год назад

    Kweli mtumishi

  • @jennlafilin2251
    @jennlafilin2251 6 лет назад +1

    Upo sahihi mtumish

  • @sostenesswai778
    @sostenesswai778 6 лет назад +1

    Napenda san mahubri yko

  • @olivergidion9090
    @olivergidion9090 6 лет назад +1

    Ubarikiwe mtumishi huwa naelewa sana mafundisho yako

  • @hildadaniel4892
    @hildadaniel4892 6 лет назад +1

    nimekusoma baba ubarikiwe

  • @maureenmuhonja722
    @maureenmuhonja722 6 лет назад +2

    thanks alot

  • @ebbykerubo95
    @ebbykerubo95 4 года назад

    Somo zuri nimebarikiwa

  • @barazasila4051
    @barazasila4051 6 лет назад +1

    Great message mutumishi, God bless you so much.

  • @awadhhassan5353
    @awadhhassan5353 4 года назад +1

    Rest In Peace bro From kenya

  • @inyasigregory6872
    @inyasigregory6872 4 года назад

    Hahahahahahahahahahahahaha Daaaaah...!!! Utakula ugangari hiyo ni noma sana

  • @evajohn458
    @evajohn458 6 лет назад +1

    amin

  • @sagulesalehe6393
    @sagulesalehe6393 6 лет назад +1

    Vizuri kaka tupo pamoja

  • @rehemamaganga8303
    @rehemamaganga8303 6 лет назад +1

    safiiii

  • @rizikibiringanine4242
    @rizikibiringanine4242 6 лет назад +2

    amen

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 6 лет назад +1

    Ni kweli mtumishi hayo yapo

  • @mercyjumba9935
    @mercyjumba9935 6 лет назад +1

    Ukweli kabisa

  • @meck_billions
    @meck_billions 6 лет назад +1

    gud lesson

  • @estherchamhene212
    @estherchamhene212 6 лет назад +1

    Kabisa kabisa

  • @wakilongokahugusi6528
    @wakilongokahugusi6528 6 лет назад

    Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mnyenyekevu,,,Wanawake wamefundishwa la kutosha.Tunasubiri somo letu sisi mwanaume...Usituamini saana wanaume nasi twahitaji kukokotwa masikio.

    • @Punda284
      @Punda284 6 лет назад

      Uko sawa mchungaji,ni rahisi zaidi kunuelezea mwanaume kwakua wewe ni mmoja wapo, kama ni upande wa mwanamke mwanamke naye aeleze atazungunza Kwa ufanisi zaidi.

    • @fideamgonja379
      @fideamgonja379 6 лет назад

      bora yako unalijua hilo bro make kuna wengine wanajiona wao ni perfect

  • @user-nm1je5pt4u
    @user-nm1je5pt4u 5 лет назад +1

    Wanaume hawapendeki bwana kama nishindikana ata ufanye nn hataona

  • @victoriachesco2833
    @victoriachesco2833 6 лет назад +4

    Majanaume ya siku izi hata ulifanyie nn km lihuni lihuni ty me sifati lolote hayo hawana shukurani wanaume

    • @andreajeremia436
      @andreajeremia436 6 лет назад

      ukiona mwanaume amefeli,ujue mke ndiye tatizo,Dada unaweza mbadirisha mmeo.

  • @nsekanabondyamukama2993
    @nsekanabondyamukama2993 6 лет назад +1

    Kwel hakuna mkate Mgumu mbele ya chai, tena n chai ya rangi c ya maziwa

  • @ShajuaKikoti
    @ShajuaKikoti 3 месяца назад

    Kweliii!

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 6 лет назад +2

    Mchungaji mbona wanawake tuuu!!!!?!????Ina maana wanaume kwenye ndoa wanasubiri tu atakalotenda mke?

  • @nirmaladavid8861
    @nirmaladavid8861 6 лет назад +8

    Paster wao waume pia wape mafundisho sababu wewe utamweshimu lakini yeye akuomyesha dharau haswa akiwa amekuzalisha watoto ndo anukuona wewe mtumba wape vidonge vyao pia

    • @moneymaker7572
      @moneymaker7572 3 года назад

      Tupo kwenye kitchen party ni wanawake tu

  • @hellenjohn8586
    @hellenjohn8586 Год назад +1

    Kwel baba

  • @leonardkandonga1721
    @leonardkandonga1721 6 лет назад +1

    À santé dans kwaushauli

  • @nirmaladavid8861
    @nirmaladavid8861 6 лет назад +10

    Ambao hawajaolewa plz hakikisha unamahali unategemea pakutoa mapato yako ndo ufikirie kuolewa lakini usitegemee mume sababu mume anakupenda ukiwa huna watoto lakini ukizaa upendo unaanza kupungua

  • @julianakissanga7142
    @julianakissanga7142 6 лет назад +3

    jamani naomba kuuliza hii video naipataje jamani kwenye whatsp

    • @khalfanijuma1615
      @khalfanijuma1615 5 лет назад

      Download tube mate Google video zote za RUclips utazipata kupitia hiyo.

  • @mjombamalaki2025
    @mjombamalaki2025 5 лет назад +1

    Wanawake. Wanamacho lakini hawaoni

  • @sakinashemahonge7692
    @sakinashemahonge7692 6 лет назад +1

    ASANTE sana

  • @dusabemireille1558
    @dusabemireille1558 6 лет назад +1

    😂😂😂😂cameraman eee .....🙈🙈🙈🙈🙈

  • @meryjuma4017
    @meryjuma4017 7 лет назад +1

    Amina,haya Masomo nimazuri,mbali Na Utube tunayapata wapi?

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  7 лет назад

      Mbali na RUclips unaweza kuyapata kwa kuwasiliana nasi 0713183939 Jinsi ya kuyapata. VHM. Karibu sana

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  7 лет назад

      Wasiliana nasi kupitia 0713183939. Au ofisi zetu zipo mwenge Dsm opposite mama Ngoma hospital

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani 6 лет назад +1

    Wakachepuke tu ukimwi wawasalimu

  • @evalinesimonievaline1663
    @evalinesimonievaline1663 6 лет назад +1

    Nimejifunza kitu

  • @gaudenceharerimana7743
    @gaudenceharerimana7743 2 года назад

    Hapa kwetu pini niza sula yako

  • @sarayrobert4785
    @sarayrobert4785 3 года назад

    🙏🏽🙏🏽

  • @rosemaryondeche5789
    @rosemaryondeche5789 5 лет назад +1

    Pastor ,,mchungaji anaeza patana na bb yake kimapenxi jimamosi ikielekea jumapili?,,na je! U naeza funga au kuomba ukiwa period?

    • @gracemoses3062
      @gracemoses3062 3 года назад

      Unachanganya uislamu na Ukristo soma bibilia

  • @rehemamustafa1914
    @rehemamustafa1914 6 лет назад +1

    🙏🙏

    • @damianlameck522
      @damianlameck522 6 лет назад

      Nafikiri wengi mnao endelea kulalamika huwa si wafuatiliaji wa hizi semina,kiukweli Pastor mitimingi hajawai kuacha kuwazungumzia wana ume kwaiyo jitaidini kumsikiliza mtapona swala kubwa nikuacha ushindani kati ya mume na mke.

  • @Salimalnabhani
    @Salimalnabhani 6 лет назад +1

    Na kuroga mitimingi ndivyo wanavyofanya wanawake

    • @leahkamwambi5955
      @leahkamwambi5955 6 лет назад

      Salimalnabhani 1952 balikiwa mtumishi

    • @hildakimambo2236
      @hildakimambo2236 6 лет назад

      kwan ndoa ni ya mwanamke tu?? utamfanyia mwanaume ambaye hajielewi???

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 4 года назад

      @@hildakimambo2236 Ni kweli hata umfuatilie namna zote mstari wake ni uleule wa mchepuko kwako yupo na nje anatoka.

  • @hawajailo1985
    @hawajailo1985 6 лет назад +1

    mbona hamwongelei wanaume. ?? ndoa ni mwanaume na mwanamke.

  • @victoriarwerengera4831
    @victoriarwerengera4831 6 лет назад +1

    Nina wasi wasi na huyu mchungaji

  • @najmaibrahim7947
    @najmaibrahim7947 6 лет назад +2

    Wanaume pia wafundishwe, ndoa inabebwa na wotee..

  • @kimaniwachamba5409
    @kimaniwachamba5409 6 лет назад +1

    Nimebarikiwa sana

  • @rizikibiringanine4242
    @rizikibiringanine4242 6 лет назад +2

    amen

  • @leonardkandonga1721
    @leonardkandonga1721 6 лет назад +1

    À santé dans kwaushauli

  • @charlottemanga
    @charlottemanga 6 лет назад +1

    Asante sana Kweli umeni bariki

  • @rizikibiringanine4242
    @rizikibiringanine4242 6 лет назад +1

    amen