HOTUBA YA PAMBALU YAWAINUA VIJANA UCHAGUZI WA BAVICHA TAIFA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 17

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 19 дней назад +1

    Nice and right speech at a right moment & time

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 20 дней назад +3

    Kijana umeongea vizuri mno. Mungu akubariki sana katika ulimwengu wa siasa. Siku.moja utakuwa kiongozi wa juu katika taofa hili.

  • @MginaFiloteus
    @MginaFiloteus 19 дней назад +1

    KONGORE SANA JOHN PAMBALU HOTUBA YAKO IMENITOA MACHOZI PAMBANIA SANA HAKI

  • @samwelmahena2594
    @samwelmahena2594 19 дней назад

    Your the best bro.....

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 20 дней назад +4

    Hadi leo nikisikia jina la Soka naumia roho sana japo sikumfahamu kabla hajapotezwa. Nilisikia moja ya hamojiano yake....alikuwa ni brain ya taifa hili mwenye mawazo tofauti mazuri na mzalendo wa kweli.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 20 дней назад +3

    Kijana Usisahau kuchukua fomu ya UBUNGE baada ya reform itafanyika. Ukateme cheche bungeni

  • @emmanuelkapyela7027
    @emmanuelkapyela7027 20 дней назад +3

    Kijana ametisha sana 🎉

  • @MussaGodfrey-s7k
    @MussaGodfrey-s7k 18 дней назад

    Hakika mwamba mungu akulinde xana hiyo ndo hazina ya chama

  • @igulug5450
    @igulug5450 20 дней назад +2

    Watu wa maana kabisa kwenye chama chetu hawapendi sifa hawajioni nimeanza nao haya mapambano mda mreefu hii ndo ilikuwa chadema wakati ule siyo sasa

  • @EmmanuelJeremiah-r2s
    @EmmanuelJeremiah-r2s 19 дней назад +2

    Hotuba iliyo jaa hofu ya MUNGU

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 20 дней назад +2

    Maokoto muhimu jamani 😅

  • @NayshatShareef
    @NayshatShareef 20 дней назад +2

    Maneno mazito mno

  • @kulwastima3993
    @kulwastima3993 20 дней назад +1

    ccm wakisikia wanatamani watawapata wp vijana wa aina hii

  • @engjosephmfangavo4330
    @engjosephmfangavo4330 20 дней назад +2

    Mwamba mwingine uyu

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 20 дней назад

    Soka kauliwa lini? Hapa karopoka

    • @TwahaShehe
      @TwahaShehe 19 дней назад

      Wewe umemuina wapi wambie wajue Kama Kuna sehem wajua yupo

    • @BabaFarzan-ml4er
      @BabaFarzan-ml4er 19 дней назад

      Tuanze na wewe
      Maana umeropoka hapa inamaana unajua alipo kama hajafa 😢
      Shame on you Kenge wakufugwa