Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nice and right speech at a right moment & time
Kijana umeongea vizuri mno. Mungu akubariki sana katika ulimwengu wa siasa. Siku.moja utakuwa kiongozi wa juu katika taofa hili.
KONGORE SANA JOHN PAMBALU HOTUBA YAKO IMENITOA MACHOZI PAMBANIA SANA HAKI
Your the best bro.....
Hadi leo nikisikia jina la Soka naumia roho sana japo sikumfahamu kabla hajapotezwa. Nilisikia moja ya hamojiano yake....alikuwa ni brain ya taifa hili mwenye mawazo tofauti mazuri na mzalendo wa kweli.
Kijana Usisahau kuchukua fomu ya UBUNGE baada ya reform itafanyika. Ukateme cheche bungeni
Kijana ametisha sana 🎉
Hakika mwamba mungu akulinde xana hiyo ndo hazina ya chama
Watu wa maana kabisa kwenye chama chetu hawapendi sifa hawajioni nimeanza nao haya mapambano mda mreefu hii ndo ilikuwa chadema wakati ule siyo sasa
Hotuba iliyo jaa hofu ya MUNGU
Maokoto muhimu jamani 😅
Maneno mazito mno
ccm wakisikia wanatamani watawapata wp vijana wa aina hii
Mwamba mwingine uyu
Soka kauliwa lini? Hapa karopoka
Wewe umemuina wapi wambie wajue Kama Kuna sehem wajua yupo
Tuanze na wewe Maana umeropoka hapa inamaana unajua alipo kama hajafa 😢Shame on you Kenge wakufugwa
Nice and right speech at a right moment & time
Kijana umeongea vizuri mno. Mungu akubariki sana katika ulimwengu wa siasa. Siku.moja utakuwa kiongozi wa juu katika taofa hili.
KONGORE SANA JOHN PAMBALU HOTUBA YAKO IMENITOA MACHOZI PAMBANIA SANA HAKI
Your the best bro.....
Hadi leo nikisikia jina la Soka naumia roho sana japo sikumfahamu kabla hajapotezwa. Nilisikia moja ya hamojiano yake....alikuwa ni brain ya taifa hili mwenye mawazo tofauti mazuri na mzalendo wa kweli.
Kijana Usisahau kuchukua fomu ya UBUNGE baada ya reform itafanyika. Ukateme cheche bungeni
Kijana ametisha sana 🎉
Hakika mwamba mungu akulinde xana hiyo ndo hazina ya chama
Watu wa maana kabisa kwenye chama chetu hawapendi sifa hawajioni nimeanza nao haya mapambano mda mreefu hii ndo ilikuwa chadema wakati ule siyo sasa
Hotuba iliyo jaa hofu ya MUNGU
Maokoto muhimu jamani 😅
Maneno mazito mno
ccm wakisikia wanatamani watawapata wp vijana wa aina hii
Mwamba mwingine uyu
Soka kauliwa lini? Hapa karopoka
Wewe umemuina wapi wambie wajue Kama Kuna sehem wajua yupo
Tuanze na wewe
Maana umeropoka hapa inamaana unajua alipo kama hajafa 😢
Shame on you Kenge wakufugwa