MBUNGE PEKEE WA JIMBO CHADEMA AZUNGUMZA KWA UCHUNGU BUNGENI WENZAKE WAMTUNZA PESA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 66

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 года назад +4

    Duuuuh,huyu mbunge hatari,yuko vizuri

  • @ibrahimsokoni7320
    @ibrahimsokoni7320 2 года назад +2

    Serikari zingatieni hayo mbunge Aida

  • @salummsafiry5067
    @salummsafiry5067 2 года назад +3

    safi sana mbunge pekee uliechaguliwa na wananchi wa Nkasi na kumpiga chini yule Kessy alietaka jiwe atawale milele...nchi ngumu sana hii

  • @tinamasunga.
    @tinamasunga. 2 года назад +3

    Great Leader

  • @lightnesspalanjo7787
    @lightnesspalanjo7787 2 года назад +4

    Hongera mama unaongea fact

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 2 года назад +2

    Kwnn taarifa, taarifa na kumpotosha mzungumzaji.

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 2 года назад +3

    Chadema Ina vichwa hatarii

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo Год назад

    Nakupendaje dada

  • @abelisheyo6671
    @abelisheyo6671 2 года назад

    Safi Sana mbunge wangu wa chama changu wewe Ni mbunge wa inchi nzima maana ccm hakuna wabunge seeeee kabisa Ni madudu matupu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 года назад +1

    Tunataka katiba mbwa tuwatoe hawa mbwa ccm

  • @abelisheyo6671
    @abelisheyo6671 2 года назад +1

    Chadema Ina watu mpaka ccm wanaona here

  • @bodwejerome8799
    @bodwejerome8799 2 года назад +1

    Aika Anafaha kua Zaidi ya Mbuge.

  • @zawadjose5440
    @zawadjose5440 2 года назад

    Huyo mh.hakufanya vizur

  • @gidsonrutakyamirwa5826
    @gidsonrutakyamirwa5826 2 года назад +2

    Kwa Hali hii ,nkasi hawa kukosea kuku chagua.nkasi oyeee

  • @richardyohanasanga7017
    @richardyohanasanga7017 2 года назад +5

    Duh hawa wadada chadema sijui huwa mnawaambiaga nini, maana wanajiamini hatari !
    Japo miongozo kibao; ila all in all wote katika kutoa hoja, nivizuri tuangalie maslahi ya nchi.

  • @omaryismail82
    @omaryismail82 2 года назад +1

    dadangu sanuka hawajielewi hao nguluetu hao sema sema

  • @mathewmathayo212
    @mathewmathayo212 2 года назад +2

    Aliyekuwa anaweza alishaondka huyo walikuwaga wanamuogopa lakini sasa hivi mchwa wamerudi upyaa tena kwa speed ya 4G wanakula mpaka shina na bahati nzuri mama kasema aluykuwepo alikuw simba wa yuda yeye hajalelewa hivo kwa nae atakumbukwa sana kwa hilo ndiyo zama zenyewe

  • @johnrogath1066
    @johnrogath1066 2 года назад +1

    Bravo bravoo mama

  • @omaryismail82
    @omaryismail82 2 года назад +2

    usi kubari tarifa talifa zao za kippuzitu sema mamaetu sema waelewe

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Год назад

    Kitu pekee kinachonichanganyaga siku zote ni kusikia,,
    Mara bunge la kumi na mbili mara kikao cha kumi na moja

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 2 года назад +1

    Nazani huyu mbunge alipata kura za kutosha na kuzidi ndio maana ccm waliogopa kutomtangaza

  • @ukwelikashomwa9673
    @ukwelikashomwa9673 2 года назад +1

    Safi

  • @abednegokavisheaskfocus9453
    @abednegokavisheaskfocus9453 2 года назад +1

    God bless you mom

  • @augustinoandreakasokota722
    @augustinoandreakasokota722 2 года назад

    Safi sana mh, mbunge

  • @oscarjeckonia-9757
    @oscarjeckonia-9757 2 года назад +2

    Hivi mnakumbuka Kipind Cha zomewa zomewa ukionekana umevaa Tishet nashati sale za Ccm ?tutarudi huko embu tukumbuke kupitia hili👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/ZSlsLanqAdw/видео.html

  • @abdibilali4186
    @abdibilali4186 2 года назад +1

    Dada anajiamini sana

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 2 года назад +1

    Taarifa za nini?

  • @ayubuakyoo9500
    @ayubuakyoo9500 2 года назад +2

    Kumbe dada unakuwaga jembe hivyo? Cjawahi kuku fuatilia kwa kina

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 2 года назад +1

    WEEEEEEEWA TAAARIFAAA WEWE MBONA SKUELEW

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 2 года назад +1

    Kwnn dakika zihesabiwe kwa mtoa taarifa?. Hii kanuni haifai kabisa.

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 2 года назад +2

    Ss chadema c wamesema wao hawana mbunge yeyote

  • @felexulomi7793
    @felexulomi7793 2 года назад +1

    Waeleze

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 2 года назад +1

    YAAAANI KUNA WATU WAMELAGHAI WANACHI WANAJIFANYA WABUNGE VITI MAAALUM

  • @daudykanyepa8309
    @daudykanyepa8309 2 года назад +1

    Uyo ndio mbuge sasa

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 2 года назад +2

    MBUNGEEE PEKEEEE

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 2 года назад +1

    HEEEEEEE ACHENI KUHARIBU LENGO LA TASAF

  • @gloryonesmo2244
    @gloryonesmo2244 2 года назад +1

    BALAA WEWE

  • @gilbercarlo325
    @gilbercarlo325 2 года назад

    Yule mbabu ulimwambia tukutane nkasi

  • @njuka3515
    @njuka3515 2 года назад +3

    Shikamoo dada mbunge WA nkasi

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Год назад

    Ccm mbwa

  • @zackchriss10
    @zackchriss10 2 года назад

    Ametunzwa hela wapi jaman

  • @fikiriselemani100
    @fikiriselemani100 2 года назад

    Ndo mbunge pekee wa kuchaguliwa kwa kura halali,ndo maana anajitambua, Hawa wengine wa kuteuliwa ndo wameleta ugumu wa maisha kwa wananchi wao ,walishindwa kutetea tozo Leo mfumuko wabei,

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 2 года назад +1

    Sawa ww ni mbunge pekee wa kuchaguliwa hao wengine ni kina Nani hapo nyumba

  • @WaleedWaleed-qe4dl
    @WaleedWaleed-qe4dl 2 года назад

    Nashkoro rais kikoti waslm ntmnA nrodi tinA rAis

  • @boniphacewiliam5562
    @boniphacewiliam5562 2 года назад

    .

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 года назад +2

    Hawa ni wabunge wa ccm

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 года назад +1

    Au tuwapeleke Umoja Party

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 года назад +1

      😂😂 chama kipya cha mwenda zake😂😂

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 года назад +2

    Na wamefutwa uanachama kwenye vyama vyao pia

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад +2

      fatilieni mambo wabongo!huyu hakuteuliwa kama wakina Mdee,ALICHAGULIWA NA WANANCHI[NI MBUNGE WA KUCHAGULIWA]

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 года назад +2

    Huyu sio Mbunge wa Chadema

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 года назад +1

      Sio tena hatuelewi kwann anajiita Mbunge Chadema labda CCM B

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад +1

      @@kennyrogers4734 Alichaguliwa na wanachadema fala nyie

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 2 года назад +2

      @@errydeo8865 Aaah fala sio wewe usiofuatilia katiba ya nchi na taratibu na sheria kuwa wamevulia uwanachama wa Chadema au nawewe ndo wale wale wanaolazima mapenzi kama hao waliovuliwa uwanachama?

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад +1

      @@kennyrogers4734 Ndio mimi SIO fala kama nyie,huyu mbunge hayumo kwenye kundi la akina Mdee!!! Huyu alichaguliwa,na ndio mbunge PEKEE WA CHADEMA MJENGONI aliyechaguliwa!!...Huyu hakuteuliwa kenge nyie..lol . Alipigiwa kura na wananchi!!

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 2 года назад +1

      @@kennyrogers4734 kwa kuwapa elimu tu kenge nyie,Alichaguliwa kwa kura 21,226 na alimshinda mbunge wa CCM, Ally Kiessy aliyepata kura 19,972...kati ya mimi na wewe nani fala!!!!!Tatizo wabongo ni malimbukeni wa mitandao,tunawata KEYBOARD WARRIORS au TROLLS!!

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 2 года назад +2

    KATIBAAA MPYAAAAAAAAA KATIBA MPYAAAAAAA MAMA UMEUPIGA MWINGIIIIIII

  • @daudykanyepa8309
    @daudykanyepa8309 2 года назад +2

    Uyo ndio mbuge sasa

  • @alexernest1053
    @alexernest1053 2 года назад +1

    NKASI ipo serious sanaa na walijielewa mapema 🤝

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 2 года назад +1

    Bilaupendeleo dd unastahilikua kiongozi wataifa hili

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 Год назад

    Washenzi

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe 2 года назад +1

    Sababu hawakutumwa na chama chao