Duh hawa wadada chadema sijui huwa mnawaambiaga nini, maana wanajiamini hatari ! Japo miongozo kibao; ila all in all wote katika kutoa hoja, nivizuri tuangalie maslahi ya nchi.
Aliyekuwa anaweza alishaondka huyo walikuwaga wanamuogopa lakini sasa hivi mchwa wamerudi upyaa tena kwa speed ya 4G wanakula mpaka shina na bahati nzuri mama kasema aluykuwepo alikuw simba wa yuda yeye hajalelewa hivo kwa nae atakumbukwa sana kwa hilo ndiyo zama zenyewe
Hivi mnakumbuka Kipind Cha zomewa zomewa ukionekana umevaa Tishet nashati sale za Ccm ?tutarudi huko embu tukumbuke kupitia hili👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 ruclips.net/video/ZSlsLanqAdw/видео.html
Ndo mbunge pekee wa kuchaguliwa kwa kura halali,ndo maana anajitambua, Hawa wengine wa kuteuliwa ndo wameleta ugumu wa maisha kwa wananchi wao ,walishindwa kutetea tozo Leo mfumuko wabei,
@@errydeo8865 Aaah fala sio wewe usiofuatilia katiba ya nchi na taratibu na sheria kuwa wamevulia uwanachama wa Chadema au nawewe ndo wale wale wanaolazima mapenzi kama hao waliovuliwa uwanachama?
@@kennyrogers4734 Ndio mimi SIO fala kama nyie,huyu mbunge hayumo kwenye kundi la akina Mdee!!! Huyu alichaguliwa,na ndio mbunge PEKEE WA CHADEMA MJENGONI aliyechaguliwa!!...Huyu hakuteuliwa kenge nyie..lol . Alipigiwa kura na wananchi!!
@@kennyrogers4734 kwa kuwapa elimu tu kenge nyie,Alichaguliwa kwa kura 21,226 na alimshinda mbunge wa CCM, Ally Kiessy aliyepata kura 19,972...kati ya mimi na wewe nani fala!!!!!Tatizo wabongo ni malimbukeni wa mitandao,tunawata KEYBOARD WARRIORS au TROLLS!!
Duuuuh,huyu mbunge hatari,yuko vizuri
Serikari zingatieni hayo mbunge Aida
safi sana mbunge pekee uliechaguliwa na wananchi wa Nkasi na kumpiga chini yule Kessy alietaka jiwe atawale milele...nchi ngumu sana hii
Great Leader
Hongera mama unaongea fact
Kwnn taarifa, taarifa na kumpotosha mzungumzaji.
Chadema Ina vichwa hatarii
Nakupendaje dada
Safi Sana mbunge wangu wa chama changu wewe Ni mbunge wa inchi nzima maana ccm hakuna wabunge seeeee kabisa Ni madudu matupu
Tunataka katiba mbwa tuwatoe hawa mbwa ccm
Chadema Ina watu mpaka ccm wanaona here
Aika Anafaha kua Zaidi ya Mbuge.
Huyo mh.hakufanya vizur
Kwa Hali hii ,nkasi hawa kukosea kuku chagua.nkasi oyeee
Toto la kifipa mtalikoma
Duh hawa wadada chadema sijui huwa mnawaambiaga nini, maana wanajiamini hatari !
Japo miongozo kibao; ila all in all wote katika kutoa hoja, nivizuri tuangalie maslahi ya nchi.
dadangu sanuka hawajielewi hao nguluetu hao sema sema
Aliyekuwa anaweza alishaondka huyo walikuwaga wanamuogopa lakini sasa hivi mchwa wamerudi upyaa tena kwa speed ya 4G wanakula mpaka shina na bahati nzuri mama kasema aluykuwepo alikuw simba wa yuda yeye hajalelewa hivo kwa nae atakumbukwa sana kwa hilo ndiyo zama zenyewe
Bravo bravoo mama
usi kubari tarifa talifa zao za kippuzitu sema mamaetu sema waelewe
Kitu pekee kinachonichanganyaga siku zote ni kusikia,,
Mara bunge la kumi na mbili mara kikao cha kumi na moja
Nazani huyu mbunge alipata kura za kutosha na kuzidi ndio maana ccm waliogopa kutomtangaza
Safi
God bless you mom
Safi sana mh, mbunge
Hivi mnakumbuka Kipind Cha zomewa zomewa ukionekana umevaa Tishet nashati sale za Ccm ?tutarudi huko embu tukumbuke kupitia hili👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/ZSlsLanqAdw/видео.html
Dada anajiamini sana
Taarifa za nini?
Kumbe dada unakuwaga jembe hivyo? Cjawahi kuku fuatilia kwa kina
WEEEEEEEWA TAAARIFAAA WEWE MBONA SKUELEW
Kwnn dakika zihesabiwe kwa mtoa taarifa?. Hii kanuni haifai kabisa.
Ss chadema c wamesema wao hawana mbunge yeyote
Utajua ujui
Waeleze
YAAAANI KUNA WATU WAMELAGHAI WANACHI WANAJIFANYA WABUNGE VITI MAAALUM
Uyo ndio mbuge sasa
MBUNGEEE PEKEEEE
HEEEEEEE ACHENI KUHARIBU LENGO LA TASAF
BALAA WEWE
Yule mbabu ulimwambia tukutane nkasi
Shikamoo dada mbunge WA nkasi
Ccm mbwa
Ametunzwa hela wapi jaman
Ndo mbunge pekee wa kuchaguliwa kwa kura halali,ndo maana anajitambua, Hawa wengine wa kuteuliwa ndo wameleta ugumu wa maisha kwa wananchi wao ,walishindwa kutetea tozo Leo mfumuko wabei,
Sawa ww ni mbunge pekee wa kuchaguliwa hao wengine ni kina Nani hapo nyumba
Nashkoro rais kikoti waslm ntmnA nrodi tinA rAis
.
Hawa ni wabunge wa ccm
Au tuwapeleke Umoja Party
😂😂 chama kipya cha mwenda zake😂😂
Na wamefutwa uanachama kwenye vyama vyao pia
fatilieni mambo wabongo!huyu hakuteuliwa kama wakina Mdee,ALICHAGULIWA NA WANANCHI[NI MBUNGE WA KUCHAGULIWA]
Huyu sio Mbunge wa Chadema
Sio tena hatuelewi kwann anajiita Mbunge Chadema labda CCM B
@@kennyrogers4734 Alichaguliwa na wanachadema fala nyie
@@errydeo8865 Aaah fala sio wewe usiofuatilia katiba ya nchi na taratibu na sheria kuwa wamevulia uwanachama wa Chadema au nawewe ndo wale wale wanaolazima mapenzi kama hao waliovuliwa uwanachama?
@@kennyrogers4734 Ndio mimi SIO fala kama nyie,huyu mbunge hayumo kwenye kundi la akina Mdee!!! Huyu alichaguliwa,na ndio mbunge PEKEE WA CHADEMA MJENGONI aliyechaguliwa!!...Huyu hakuteuliwa kenge nyie..lol . Alipigiwa kura na wananchi!!
@@kennyrogers4734 kwa kuwapa elimu tu kenge nyie,Alichaguliwa kwa kura 21,226 na alimshinda mbunge wa CCM, Ally Kiessy aliyepata kura 19,972...kati ya mimi na wewe nani fala!!!!!Tatizo wabongo ni malimbukeni wa mitandao,tunawata KEYBOARD WARRIORS au TROLLS!!
KATIBAAA MPYAAAAAAAAA KATIBA MPYAAAAAAA MAMA UMEUPIGA MWINGIIIIIII
Uyo ndio mbuge sasa
NKASI ipo serious sanaa na walijielewa mapema 🤝
Bilaupendeleo dd unastahilikua kiongozi wataifa hili
Washenzi
Sababu hawakutumwa na chama chao