Ni mlima mrefu siyo jabali kama inavosemwa huku kwetu ambapo jabali ni lijiwe kuubwa...kupanda huko bila kwahitaji maandalizi tofauti na maandalizi ya kawaida ya Hajj...
@@hassanmakame wafanyiwe siku wapande wahisi na wao walichopitia waja wema,iwapo watataka 🤭.... Ila kama mm nimesubiri miaka mingi Allah akiniruzuku naomba nifike kila kipembe yaa Rabb Alaamiiin 😔
Sauti mbaya sana hatusikii
Ma shaa Allah TabarakaAllah
Lkn mbna hawakupanda mpaka huko kwenye ghar jamani😢???
Ni mlima mrefu siyo jabali kama inavosemwa huku kwetu ambapo jabali ni lijiwe kuubwa...kupanda huko bila kwahitaji maandalizi tofauti na maandalizi ya kawaida ya Hajj...
@@hassanmakame wafanyiwe siku wapande wahisi na wao walichopitia waja wema,iwapo watataka 🤭....
Ila kama mm nimesubiri miaka mingi Allah akiniruzuku naomba nifike kila kipembe yaa Rabb Alaamiiin 😔