ZIARA MAHUJAJI WA I TRAVEL HAJJJ KWENDA GHAR THOUR ENEO ALILOJIFICHA MTUME KUWAKWEPA MAKAFIRI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 4

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 3 месяца назад

    Sauti mbaya sana hatusikii

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991 3 месяца назад

    Ma shaa Allah TabarakaAllah
    Lkn mbna hawakupanda mpaka huko kwenye ghar jamani😢???

    • @hassanmakame
      @hassanmakame 3 месяца назад

      Ni mlima mrefu siyo jabali kama inavosemwa huku kwetu ambapo jabali ni lijiwe kuubwa...kupanda huko bila kwahitaji maandalizi tofauti na maandalizi ya kawaida ya Hajj...

    • @ummusalim1991
      @ummusalim1991 3 месяца назад

      @@hassanmakame wafanyiwe siku wapande wahisi na wao walichopitia waja wema,iwapo watataka 🤭....
      Ila kama mm nimesubiri miaka mingi Allah akiniruzuku naomba nifike kila kipembe yaa Rabb Alaamiiin 😔