Huu ndio Ushuuda Wangu - Niliyo yajifunza kwenye Maisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Huu ndio Ushuuda Wangu - Niliyo yajifunza kwenye Maisha

Комментарии • 9

  • @DavidMnzava-cx4lo
    @DavidMnzava-cx4lo Год назад +5

    Kazi ya MUNGU inahitaji uwe mtu mwenye kiburi sana! Usikubali kushindwa kabisa

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  10 месяцев назад +1

      Unahitaji kuwa na muda na wewe mwenyewe ili ujielewe zaidi kuliko kuwajali sana wengine.

  • @omokogtv
    @omokogtv 9 месяцев назад +2

    Ni kweli kabisa. Nilikuja kulitambua hilo baada ya kutokuwa na kazi mwaka mzima. Hela iliisha na kila mtu, hasa ndugu zangu nilio wasaidia miak mingi wakati naishi nje ya Tanzania. Hakuna aliyekumbuka nijinsi gani nilikuwa najinyima kuwasaidia lakini sikuuona msaada wao.
    Nashukuru Mungu huwa siku zoote namtegemea yeye na hajanitupa.

  • @edwardmwagambo-ol9nr
    @edwardmwagambo-ol9nr 9 месяцев назад +2

    hallo brother, you are doing such a wunderful work. continuelly to do it without expecting reward from people. because god is the reward.as we human we are human.you coa not change everybodys mind.but yours.and thats it.Man have a good day and wish you wanderful celebretion.xmax and new year.

  • @nuruyawakatiwajioni387
    @nuruyawakatiwajioni387 10 месяцев назад +2

    Uo ni Ukweli mtupu, ni muda wakujijali sasa.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  10 месяцев назад +2

      Kabisa kabisa 💯

    • @nuruyawakatiwajioni387
      @nuruyawakatiwajioni387 10 месяцев назад +2

      Tumefanya hivo sana matokeo yake ni matusi na kejeli but baada ya kutambua nakuamua kua namuda wa mimi mwenyewe nimeona faida yake

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  10 месяцев назад +2

      Ukweli ndio huo. Wanadamu hawana wema… Focus on yourself ✍🏾