Ni kweli kabisa. Nilikuja kulitambua hilo baada ya kutokuwa na kazi mwaka mzima. Hela iliisha na kila mtu, hasa ndugu zangu nilio wasaidia miak mingi wakati naishi nje ya Tanzania. Hakuna aliyekumbuka nijinsi gani nilikuwa najinyima kuwasaidia lakini sikuuona msaada wao. Nashukuru Mungu huwa siku zoote namtegemea yeye na hajanitupa.
hallo brother, you are doing such a wunderful work. continuelly to do it without expecting reward from people. because god is the reward.as we human we are human.you coa not change everybodys mind.but yours.and thats it.Man have a good day and wish you wanderful celebretion.xmax and new year.
Kazi ya MUNGU inahitaji uwe mtu mwenye kiburi sana! Usikubali kushindwa kabisa
Unahitaji kuwa na muda na wewe mwenyewe ili ujielewe zaidi kuliko kuwajali sana wengine.
Ni kweli kabisa. Nilikuja kulitambua hilo baada ya kutokuwa na kazi mwaka mzima. Hela iliisha na kila mtu, hasa ndugu zangu nilio wasaidia miak mingi wakati naishi nje ya Tanzania. Hakuna aliyekumbuka nijinsi gani nilikuwa najinyima kuwasaidia lakini sikuuona msaada wao.
Nashukuru Mungu huwa siku zoote namtegemea yeye na hajanitupa.
hallo brother, you are doing such a wunderful work. continuelly to do it without expecting reward from people. because god is the reward.as we human we are human.you coa not change everybodys mind.but yours.and thats it.Man have a good day and wish you wanderful celebretion.xmax and new year.
Thanks so much. Asante
Uo ni Ukweli mtupu, ni muda wakujijali sasa.
Kabisa kabisa 💯
Tumefanya hivo sana matokeo yake ni matusi na kejeli but baada ya kutambua nakuamua kua namuda wa mimi mwenyewe nimeona faida yake
Ukweli ndio huo. Wanadamu hawana wema… Focus on yourself ✍🏾