Комментарии •

  • @jamesmakori1342
    @jamesmakori1342 2 года назад +1

    Huduma ya Dada Martha imetokana na mume alipewa na mungu. Angeolewa na yule mnataka hangejulikana popote. Mungu ndio mwanzo na ndio mwisho. Kumbuka Abrahamu akaoa tasa anaitwa baba was imani. Mwogope Jehova. Asante.

  • @rebeccantawigaya3566
    @rebeccantawigaya3566 4 года назад +4

    Omba kaka mkeo amekutana na roho ya mpinga kristo huko wanakoalikwa kuna mambo mengi mno wanabandikwa mikono na kunawishwa chumvi na mautabiri kibao mitandao haitakusaidia kuelezea ndoa. Omba rehema tubu hata kwa kukutana na hayo

  • @evansochieng188
    @evansochieng188 2 года назад +1

    thanks for the strong message TAKEN🙏

  • @ikwetajunior945
    @ikwetajunior945 4 года назад +12

    Hichi kimwanaume n kibaka km upopamoja nami gonga like

    • @allicypiusy8369
      @allicypiusy8369 4 года назад

      yan unasema kibaka ni kwasababu humjui na hujawahi kumuona kaka

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 4 года назад +60

    Kuna mtu hajaelewa kama mimi? Weka like hapa

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 4 года назад +16

    Nonsense yaaan cjaelewa kbsa hyo!! hv mlikuwa mnasemaje!!! wale ambao hawajaelewa like hapa

    • @maggymm7302
      @maggymm7302 4 года назад

      extremely nonsense yani, hajielewi anachosema na anachoulizwa.

  • @rachelmakalanga7007
    @rachelmakalanga7007 4 года назад +8

    Daaaaaaah nahis hapa tatizo linaanzia shule.
    Shule ingemsaidia kuwa smart kchwani na namna ya kujibu maswali mana duuuuh sijamuelewa mwanzo mwisho.

  • @happinessjonas3076
    @happinessjonas3076 4 года назад +4

    😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Duh anapovuka huyo ,anaongea mpk anataka kupigana 😂😂😂😂hajielewi huyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @rosejohn7942
    @rosejohn7942 4 года назад +4

    Mtangazaji naomba cku1 umkutanishe Baraka na Mkewe Martha ili tuwasikilize wakiwa pamoja.

  • @annamushiaminaaa4367
    @annamushiaminaaa4367 4 года назад

    Pole ndugu mkeo keshachukuliwa labda kwa aliemwezesha tafuta tuu mke mwingine,keshakuwa wa matawi.

  • @queenmichael8707
    @queenmichael8707 4 года назад +10

    Mungu asikie maombi yetu jamani tusije ombewa na watumishi jamani wa siku hizi duuu.
    Simkosoi mtu ila tujitahidi kuomba wenyewe na Mungu wa mbinguni kwa rehema zake atatujibu.

    • @paulinalala1693
      @paulinalala1693 4 года назад

      Duh,anahaki kuachwa,sio kea kichwa hiki..hahahahahaaaaa

  • @christabellakikoti7797
    @christabellakikoti7797 4 года назад +2

    Wanaona anafanana na linna sanga gonga like

  • @kwizeraelly9261
    @kwizeraelly9261 4 года назад +5

    Ha!ha!a!ha! mm siamini km. huyo ni mume wa Martha naona ni maigizo lbd dishi limeyumba kwa kweli.halafu sura iliyooneshwa mwanzo mbona ni tofauti?

    • @doreenpaulrugwaguza8307
      @doreenpaulrugwaguza8307 4 года назад

      Nimume wake walikuja ktk huduma songea

    • @jesusmyeverything9179
      @jesusmyeverything9179 3 года назад +1

      Ni mume wake kweli ila sasa ndo sema hivi,unaweza kuwa uliolewa wakati hujainuliwa ukaenda tu kwa mtu aliyekuwa wa level zako kabla hujawa star ndo hii sasa ya Martha Baraka na mumewe.Huyu mumewe mwinjilist mimi namuona kama hajatulia ili hali amepata neema ya kuoa mwanamke mcha Mungu.

  • @lucymsele6748
    @lucymsele6748 3 года назад +1

    dada Martha muombe cna Mungu akuoneshe njia sahihi nakuombea dada angu hii sio nafac yako

  • @angelalphonce2962
    @angelalphonce2962 4 года назад +2

    Ila matha kama unfanyia hivo mukeo kwasababu ya Mungu kukuinua hicho kidogo unataka kujifnay wewe machinooo! Eheeeee ole wakooo! Subili Mungu ageuzebuso pemebeni utaimbia mbuzi

  • @selinamenganyi9801
    @selinamenganyi9801 4 года назад +1

    Baraka unamaneno mengi sana simama na Mungu atakutetea

  • @miriamkaishera1013
    @miriamkaishera1013 4 года назад +1

    Shetani ni mjanja sana aliona kulembele Martha na mumewake watafanya kitu kyaajabu sana kabisa inabidi awavuruge kabisa na mission yake shetani inatumika katika kuvurugana kwa sababu watu wakiiachana hawatakianake kila laheri, maana nikusema mubaya mwenzio na kumutakia vibaya vimupate hata kama hupendi kusema kwa watu lakini ndani mwako utahukumu tu sababu tunavaa mwili wazambi mwili mdanganyifu sana ..naingine ni réclamations family ya kuishi peke yako bila kuishi mundoa jamani yesu atukumbuke kabisa

  • @miriamkaishera1013
    @miriamkaishera1013 4 года назад +1

    Nilitaka ongelea kitu kimoja kuusu ndoa ya Martha na mumewake maana hizo nivita vya ki roho ...chetani anaikalia ndoa yao kusudi la shetani ni kusema kazi ya mungu isiendelee mbele

  • @EsiciaraMueniMinistry
    @EsiciaraMueniMinistry 4 года назад +2

    Hii TV haina Viti jamani ai! Your image as a TV is very important. The way mnapokea mgeni speaks volumes. Set a standard. #PRthings
    #GodblessMarthamyfriend

  • @anixtra7887
    @anixtra7887 11 месяцев назад

    Kiukweli huyu jamaa Baraka sio. Hauko sawa kabisa, eitha hajaokoka au umekengeuka au akili zako sio sawa. Ushauri ni tafuta mafungo ya kutafuta uso wa Mungu. Kichwa chako kimejaa, nakwambia ukweli. Dada wa watu kakosea njia bahati mbaya.

  • @agnesbirime9698
    @agnesbirime9698 2 года назад +1

    uyo baba Baraka anafanana mujanja sana!!!!

  • @justinemark3822
    @justinemark3822 3 года назад +1

    Naona kama mtumishi wa Mungu ameingiwa na pepo wa UONGO😄
    HATA SURA TU INAMSUTA

  • @johnbernad8182
    @johnbernad8182 4 года назад +3

    Huyu jamaa hajielewi haiwezekani kuwa wewe ni mtumishi wa MUNGU mkigombana tu kidogo unaingia mtandaoni

  • @nuruchelula8436
    @nuruchelula8436 4 года назад

    Mungu awasaidie jamaniiii, Ni wakat wa kusimama na kuomba kazi Mungu isonge mbele,

  • @PeterEwoton-tj1wn
    @PeterEwoton-tj1wn Месяц назад

    Uyo na mkewe wote wanastahili kutubu...
    Waache kuaibisha ukristo

  • @janeebeneza9824
    @janeebeneza9824 4 года назад +2

    Kwa mtazamo wangu lakini ninavyoona, haya mahojiano yangezidi dakika 10 tu mbele tungesikia mengine kabisaaaa maana hali ilishaanza kubadilika gafla hahahaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @angelalphonce2962
    @angelalphonce2962 4 года назад +2

    Pole mtumishi Kuna shida kwa ndoa yako taari muombee mkeo upepo huu siyo mazuri

    • @jacobmbele5714
      @jacobmbele5714 4 года назад

      Mmmmm Kazi kweli Mungu atusaidie wapendwa waimbaji wanashida Sana

  • @edwardsichilengwe2330
    @edwardsichilengwe2330 4 года назад +1

    Apigwe sindano huyu, tayari dish limeyumba mkichelewa kidogo mtamkuta anacheza nage na watoto wa vidudu, siyo kwa fujo hizo. Kuachwa sio mchezo jamani 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 so sad

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 года назад +1

    Love u Pk""""""

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Год назад

    Ahahaha daaaah msera kadata kumamae duuuuh sema ulikua chizi

  • @kulwasengaauasengapaul9676
    @kulwasengaauasengapaul9676 4 года назад +2

    Mmmh, majina ya mbeya bhana, mwakijere, mwakifuja

  • @tevelamayajr9757
    @tevelamayajr9757 28 дней назад

    kwa lugha nyepesi ni kwamba ndugu baraka si mkweli na ni muongo muongo. kaachwa

  • @jastinruhele4229
    @jastinruhele4229 4 года назад +4

    Mtangazaji sijakuelewa aise, kiswahili chako duuuh!!

    • @rodasengo9859
      @rodasengo9859 4 года назад

      Jastin Ruhele hahaaaa yaani kero

  • @asteriarngweshemi3783
    @asteriarngweshemi3783 2 года назад

    Mmmmh matha hapa palikuwq pagumu kwakweli😁😁
    Sema nini kila ntu na ntuwe🤣🤣😂🙌

  • @noreenkerry7893
    @noreenkerry7893 4 года назад +1

    Mmh Baraka

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Год назад

    Mtangazaji mjanja huyu😆🙋na BARAKA naye pia😆

  • @ibrahimkabuyaya9954
    @ibrahimkabuyaya9954 4 года назад

    😄😄😄😄😄😄😄 comedy iyi ama vipi

  • @tusubilegetecksonmkumbwa693
    @tusubilegetecksonmkumbwa693 4 года назад +7

    Baraka mpende mke wako basi huku mtandaoni tusikuone tena kuhusu ndoa yako

  • @regnethmtemanyongo2237
    @regnethmtemanyongo2237 7 месяцев назад

    Mungu akusaidie

  • @mcdamson_classic
    @mcdamson_classic 4 года назад +1

    Duuuuh! Ama hakika ni jambo LA kushangaza.....

  • @victoriakesi301
    @victoriakesi301 4 года назад +11

    Jamani waimbaji mumeingiwa na pepo gani

  • @mudakisilvia5734
    @mudakisilvia5734 Год назад

    Hakuna mwanamke anaeza wacha ndoa yake,lazima kuna jambo,mbona mume Ana mambo majina yote haya yote ni yake but huyu anaeza aibisha mtu kwa wageni.

  • @costanciamwita7532
    @costanciamwita7532 4 года назад +2

    Shikamoo baraka🤣🤣🤣

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Год назад

    Hili dishi eti nalo mchungaji afu nae Martha kuma tu

  • @sophiamogitu558
    @sophiamogitu558 2 года назад

    Hapana acheni kulaumu,watumishi wa Mungu,ila sisi ndyo wanawake tunaosababisha hayo

  • @linkreuben5804
    @linkreuben5804 4 года назад +6

    Brother anamaneno mengi
    Hata haeleweki! Mtangazaji mtie kofi huyo!!

  • @upendoaronpatrick4618
    @upendoaronpatrick4618 4 года назад +4

    Huyo ndio mchungaji mtarajiwa ni mwongo mwongo hvyooo

  • @magoyoevaline2867
    @magoyoevaline2867 4 года назад +7

    Kweli kbsa afafanue coz namm nliona icho kitu, maelezo yake siyoyakweli

  • @ponsianamunyi5057
    @ponsianamunyi5057 4 года назад +4

    Yaan mwanaume muongooo anaongea kam amemeza cd puuuuuu

  • @janekidali4033
    @janekidali4033 4 года назад

    Pls be true and accept

  • @emmyngoy9686
    @emmyngoy9686 4 года назад +2

    acheni kumsingizia shetani nimambo yenu wenyewe lisemwalo lipo nakama halipo linakuja

  • @winiemajengo1679
    @winiemajengo1679 4 года назад +1

    Sijamaliza kumsikiliza na hata naona sitamuelewa kabisa,Sitaki kuongea kabisa ila naona kabisa huyu hakumstahili Martha kabisa Jamani jamaniiiiii.

    • @williamnathan4630
      @williamnathan4630 4 года назад

      Winie Majengo hao walipendana kabla huyo Martha hajafikia level hiyo. So kamzidi level jamaa anaonekana hafai! Mbona Martha vmwenyewe alikuwaga hausigelo!

  • @victoriatamba5830
    @victoriatamba5830 2 года назад

    Kwani hugo shetani Yuko wapii
    Mtu hujalibiwa kwa tamaa yake usiseme.....

  • @markjoseph5698
    @markjoseph5698 4 года назад

    Huelewk bro

  • @happynesmunishi3992
    @happynesmunishi3992 4 года назад +6

    Kama ujaelewa Kama mimi like hapa

  • @markjoseph5698
    @markjoseph5698 4 года назад +3

    Acha uongo nyie mmeachana xaizi mke wako anajita Madam Martha,sio Martha Baraka kam ilivokuw hapo awali

  • @farajakikoti1801
    @farajakikoti1801 2 года назад

    Kila mtu Ana Eva wake na Adam wake😂😂

  • @HenryHabeli-iy5dv
    @HenryHabeli-iy5dv 2 месяца назад

    Duuu pole

  • @frolidaamani9090
    @frolidaamani9090 Год назад

    Kasumbufu sana itajua ujui mtu ganiunamjina 10 kataprri

  • @mariamkiharo6345
    @mariamkiharo6345 4 года назад +2

    Huyu mume maneno mengi puuuu

  • @felixmakundi7173
    @felixmakundi7173 3 года назад

    Duuh! Huyu jamaa kama dish halijayumba kapiga keroroo

  • @joycecollection6876
    @joycecollection6876 3 года назад

    Kwenda hapa😒 muongo we Kaka kha!!!!!

  • @adventheraldministries
    @adventheraldministries 2 года назад

    Mapenzi yanatuchanganya sana yaani huyu broo yamemkuta bila yeye kupenda unajikuta unaongea honyo nila kujua nini unaongea

  • @samxongwambiye4217
    @samxongwambiye4217 4 года назад +1

    Mjanja Sana huyuu jamaa

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 Год назад

    Mbona mukaachana ?? Sa mbona ??😮

  • @edinalihedule3421
    @edinalihedule3421 2 года назад

    Daaaaaa kashavurugwa huyu😢😢😢😢

  • @winnersneeddiscipline4926
    @winnersneeddiscipline4926 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 God help your people....... Maajabu ya Balaka na Martha 💔💔🤣🤣

  • @jacksonilobert1254
    @jacksonilobert1254 2 года назад

    Shida ya baraka arishindwa kujua kichwa Cha nyumba yeye akua kichwa mke wake arikua kichwa yes.

  • @kulwasengaauasengapaul9676
    @kulwasengaauasengapaul9676 4 года назад +1

    Kinaongea mmmh dah

  • @isunga1964
    @isunga1964 4 года назад

    Wewe jidanganye hivyohivyo mwezio kabadilisha mapaka jina anaitwa madam Matha

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 4 года назад

    Jibu swali sio swali kwa swali mtumishi

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 2 года назад

    Mbona hatoi jibu la kunyoka? Wameachana au anatuzunguka uyo

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 5 месяцев назад

    Chenga nyingi...

  • @FredKametaTz
    @FredKametaTz 4 года назад +1

    Nyimbo inayopigwa back dah

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 2 года назад

    Mbona havitoi vilivyo ndani ya box jamani aaaa

  • @glorynnko4753
    @glorynnko4753 4 года назад

    Huyu jamaa kavurugwa

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 3 года назад

    Hivi huyu anayehojiwa analipwa au?? Si kW uvumilivu huh🙄🙄🙄🙄

  • @veronicahsemiono8905
    @veronicahsemiono8905 4 года назад +1

    Huyu mwanaume kichwani hamna kitu

  • @godliverbilagambalaye6246
    @godliverbilagambalaye6246 4 года назад

    Kivuruge Huyo jaman wanaume apn mtumish uyoo

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda7206 2 года назад

    Kumbe ndy maana ukaimba ule wimbo jamani🙄

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 лет назад +3

    Go straight to the point men

  • @mpelienock
    @mpelienock 4 года назад

    Unayemhoji unafeli mhoji mtu kwa lengo la kuupata ukweli na kupatanisha style yako ya kuhoji usiwe kama shilawadu hebu chukua sura tofauti nao ili uifae jamii, Wewe kama social media lenga kuijenga jamii na kupunguza changamoto za jamii achana na trapping questions za shilawadu wale wapo kusaka ubuyu (umbea tu) wewe toa hot issues (in the box) toa suluhisho.
    Nahisi huyu Mtumishi kapoteza confidence kwa kua anahojiwa mbele ya camera ninaamini mengi kakosea kwa hofu, akipata uzoefu ataichukia sana hii clip, kazoea shooting akiimba tu na kuhubiri sio kuhojiwa.

  • @philipokoth3789
    @philipokoth3789 6 месяцев назад

    Huyu jama ni mkora

  • @happybello4635
    @happybello4635 4 года назад +2

    Mume au kibaka huyu

  • @arbat.kavosa5759
    @arbat.kavosa5759 3 года назад

    huyu hafayi kuwa mujungaji maneno mengi kaa kasuku

  • @rosebrown510
    @rosebrown510 2 года назад

    Mmmmh hatari duniani kuna mengi

  • @treasaakinyi146
    @treasaakinyi146 2 года назад

    Martha ni mrembo sana wewe sio class yake

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 Год назад +1

      Nenda katubu haraka, kwa Mungu hatuna class Bali tuna ubavu. Nakukemea kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth

  • @farajakikoti1801
    @farajakikoti1801 2 года назад

    Hapo Kuna majibu mawili aliandika vzr ikajipost yenyewe alafu pia mtu alichukua simu akapost duuuh

  • @starshinemedia6193
    @starshinemedia6193 4 года назад +1

    Baraka umetuabisha wanyakyusa. Mbona unashidwa kijieleza? Kuna shida gani hapo nkamu gwangu?

  • @solomonilukumai8856
    @solomonilukumai8856 4 года назад

    daaah huyu jamaa huyu!eti nmeweka password

  • @emmyngoy9686
    @emmyngoy9686 4 года назад

    dunia imeisha

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 4 года назад

    Dah huyu jaman alikuwa bado kalala

  • @upendoaronpatrick4618
    @upendoaronpatrick4618 4 года назад +2

    Unaonekana wew ndio unampenda Martha mwenzio hakupendi tena

  • @florahjoseph3072
    @florahjoseph3072 4 года назад

    Sijaelewa kama muinjilisti na mchungaji mtarajiwa amelewa au linayumba haaaaa

  • @dianekamariza623
    @dianekamariza623 4 года назад

    Mbona unaongeleya sana eti we mwinjisti na unasema una muke mumoja nawatoto na unasem tena nawangine watoto ningaliki watakuja wwe vipi sema kweli wwe inaonekana kama unaungine mwamuke atakuzaliya ama umeze naye eti mwinjilisti ogopa mungu wwe una rapuwa sana

  • @mapendoimani2462
    @mapendoimani2462 4 года назад

    Anaonekana hajatulia kimawazo.

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 2 года назад

    Bàraka jiepushe na mañeno,

  • @hosealutaha8588
    @hosealutaha8588 4 года назад +1

    Hamjui ludini shule

  • @mosesabi2617
    @mosesabi2617 Год назад

    ASANTE SANA.

  • @loycesalum7242
    @loycesalum7242 4 года назад

    🙄🙄🙄🙄