Huduma ya Dada Martha imetokana na mume alipewa na mungu. Angeolewa na yule mnataka hangejulikana popote. Mungu ndio mwanzo na ndio mwisho. Kumbuka Abrahamu akaoa tasa anaitwa baba was imani. Mwogope Jehova. Asante.
Omba kaka mkeo amekutana na roho ya mpinga kristo huko wanakoalikwa kuna mambo mengi mno wanabandikwa mikono na kunawishwa chumvi na mautabiri kibao mitandao haitakusaidia kuelezea ndoa. Omba rehema tubu hata kwa kukutana na hayo
Mungu asikie maombi yetu jamani tusije ombewa na watumishi jamani wa siku hizi duuu. Simkosoi mtu ila tujitahidi kuomba wenyewe na Mungu wa mbinguni kwa rehema zake atatujibu.
Ni mume wake kweli ila sasa ndo sema hivi,unaweza kuwa uliolewa wakati hujainuliwa ukaenda tu kwa mtu aliyekuwa wa level zako kabla hujawa star ndo hii sasa ya Martha Baraka na mumewe.Huyu mumewe mwinjilist mimi namuona kama hajatulia ili hali amepata neema ya kuoa mwanamke mcha Mungu.
Ila matha kama unfanyia hivo mukeo kwasababu ya Mungu kukuinua hicho kidogo unataka kujifnay wewe machinooo! Eheeeee ole wakooo! Subili Mungu ageuzebuso pemebeni utaimbia mbuzi
Shetani ni mjanja sana aliona kulembele Martha na mumewake watafanya kitu kyaajabu sana kabisa inabidi awavuruge kabisa na mission yake shetani inatumika katika kuvurugana kwa sababu watu wakiiachana hawatakianake kila laheri, maana nikusema mubaya mwenzio na kumutakia vibaya vimupate hata kama hupendi kusema kwa watu lakini ndani mwako utahukumu tu sababu tunavaa mwili wazambi mwili mdanganyifu sana ..naingine ni réclamations family ya kuishi peke yako bila kuishi mundoa jamani yesu atukumbuke kabisa
Nilitaka ongelea kitu kimoja kuusu ndoa ya Martha na mumewake maana hizo nivita vya ki roho ...chetani anaikalia ndoa yao kusudi la shetani ni kusema kazi ya mungu isiendelee mbele
Hii TV haina Viti jamani ai! Your image as a TV is very important. The way mnapokea mgeni speaks volumes. Set a standard. #PRthings #GodblessMarthamyfriend
Kiukweli huyu jamaa Baraka sio. Hauko sawa kabisa, eitha hajaokoka au umekengeuka au akili zako sio sawa. Ushauri ni tafuta mafungo ya kutafuta uso wa Mungu. Kichwa chako kimejaa, nakwambia ukweli. Dada wa watu kakosea njia bahati mbaya.
Kwa mtazamo wangu lakini ninavyoona, haya mahojiano yangezidi dakika 10 tu mbele tungesikia mengine kabisaaaa maana hali ilishaanza kubadilika gafla hahahaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Apigwe sindano huyu, tayari dish limeyumba mkichelewa kidogo mtamkuta anacheza nage na watoto wa vidudu, siyo kwa fujo hizo. Kuachwa sio mchezo jamani 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 so sad
Unayemhoji unafeli mhoji mtu kwa lengo la kuupata ukweli na kupatanisha style yako ya kuhoji usiwe kama shilawadu hebu chukua sura tofauti nao ili uifae jamii, Wewe kama social media lenga kuijenga jamii na kupunguza changamoto za jamii achana na trapping questions za shilawadu wale wapo kusaka ubuyu (umbea tu) wewe toa hot issues (in the box) toa suluhisho. Nahisi huyu Mtumishi kapoteza confidence kwa kua anahojiwa mbele ya camera ninaamini mengi kakosea kwa hofu, akipata uzoefu ataichukia sana hii clip, kazoea shooting akiimba tu na kuhubiri sio kuhojiwa.
Mbona unaongeleya sana eti we mwinjisti na unasema una muke mumoja nawatoto na unasem tena nawangine watoto ningaliki watakuja wwe vipi sema kweli wwe inaonekana kama unaungine mwamuke atakuzaliya ama umeze naye eti mwinjilisti ogopa mungu wwe una rapuwa sana
Huduma ya Dada Martha imetokana na mume alipewa na mungu. Angeolewa na yule mnataka hangejulikana popote. Mungu ndio mwanzo na ndio mwisho. Kumbuka Abrahamu akaoa tasa anaitwa baba was imani. Mwogope Jehova. Asante.
Omba kaka mkeo amekutana na roho ya mpinga kristo huko wanakoalikwa kuna mambo mengi mno wanabandikwa mikono na kunawishwa chumvi na mautabiri kibao mitandao haitakusaidia kuelezea ndoa. Omba rehema tubu hata kwa kukutana na hayo
thanks for the strong message TAKEN🙏
Hichi kimwanaume n kibaka km upopamoja nami gonga like
yan unasema kibaka ni kwasababu humjui na hujawahi kumuona kaka
Kuna mtu hajaelewa kama mimi? Weka like hapa
😂😂😂😂 kusema ukweli imebidi nicheke kama mazuri
Mimi pia aaah comment hunifanya silali
Kumbe tuko wengi😄😄😄😄😄
Ahahaha kaja kuubiri.
😅😅😅😅
Nonsense yaaan cjaelewa kbsa hyo!! hv mlikuwa mnasemaje!!! wale ambao hawajaelewa like hapa
extremely nonsense yani, hajielewi anachosema na anachoulizwa.
Daaaaaaah nahis hapa tatizo linaanzia shule.
Shule ingemsaidia kuwa smart kchwani na namna ya kujibu maswali mana duuuuh sijamuelewa mwanzo mwisho.
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Duh anapovuka huyo ,anaongea mpk anataka kupigana 😂😂😂😂hajielewi huyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Mtangazaji naomba cku1 umkutanishe Baraka na Mkewe Martha ili tuwasikilize wakiwa pamoja.
Pole ndugu mkeo keshachukuliwa labda kwa aliemwezesha tafuta tuu mke mwingine,keshakuwa wa matawi.
Mungu asikie maombi yetu jamani tusije ombewa na watumishi jamani wa siku hizi duuu.
Simkosoi mtu ila tujitahidi kuomba wenyewe na Mungu wa mbinguni kwa rehema zake atatujibu.
Duh,anahaki kuachwa,sio kea kichwa hiki..hahahahahaaaaa
Wanaona anafanana na linna sanga gonga like
Ha!ha!a!ha! mm siamini km. huyo ni mume wa Martha naona ni maigizo lbd dishi limeyumba kwa kweli.halafu sura iliyooneshwa mwanzo mbona ni tofauti?
Nimume wake walikuja ktk huduma songea
Ni mume wake kweli ila sasa ndo sema hivi,unaweza kuwa uliolewa wakati hujainuliwa ukaenda tu kwa mtu aliyekuwa wa level zako kabla hujawa star ndo hii sasa ya Martha Baraka na mumewe.Huyu mumewe mwinjilist mimi namuona kama hajatulia ili hali amepata neema ya kuoa mwanamke mcha Mungu.
dada Martha muombe cna Mungu akuoneshe njia sahihi nakuombea dada angu hii sio nafac yako
Ila matha kama unfanyia hivo mukeo kwasababu ya Mungu kukuinua hicho kidogo unataka kujifnay wewe machinooo! Eheeeee ole wakooo! Subili Mungu ageuzebuso pemebeni utaimbia mbuzi
Baraka unamaneno mengi sana simama na Mungu atakutetea
Shetani ni mjanja sana aliona kulembele Martha na mumewake watafanya kitu kyaajabu sana kabisa inabidi awavuruge kabisa na mission yake shetani inatumika katika kuvurugana kwa sababu watu wakiiachana hawatakianake kila laheri, maana nikusema mubaya mwenzio na kumutakia vibaya vimupate hata kama hupendi kusema kwa watu lakini ndani mwako utahukumu tu sababu tunavaa mwili wazambi mwili mdanganyifu sana ..naingine ni réclamations family ya kuishi peke yako bila kuishi mundoa jamani yesu atukumbuke kabisa
Nilitaka ongelea kitu kimoja kuusu ndoa ya Martha na mumewake maana hizo nivita vya ki roho ...chetani anaikalia ndoa yao kusudi la shetani ni kusema kazi ya mungu isiendelee mbele
Hii TV haina Viti jamani ai! Your image as a TV is very important. The way mnapokea mgeni speaks volumes. Set a standard. #PRthings
#GodblessMarthamyfriend
Kiukweli huyu jamaa Baraka sio. Hauko sawa kabisa, eitha hajaokoka au umekengeuka au akili zako sio sawa. Ushauri ni tafuta mafungo ya kutafuta uso wa Mungu. Kichwa chako kimejaa, nakwambia ukweli. Dada wa watu kakosea njia bahati mbaya.
uyo baba Baraka anafanana mujanja sana!!!!
Naona kama mtumishi wa Mungu ameingiwa na pepo wa UONGO😄
HATA SURA TU INAMSUTA
Huyu jamaa hajielewi haiwezekani kuwa wewe ni mtumishi wa MUNGU mkigombana tu kidogo unaingia mtandaoni
Mungu awasaidie jamaniiii, Ni wakat wa kusimama na kuomba kazi Mungu isonge mbele,
Uyo na mkewe wote wanastahili kutubu...
Waache kuaibisha ukristo
Kwa mtazamo wangu lakini ninavyoona, haya mahojiano yangezidi dakika 10 tu mbele tungesikia mengine kabisaaaa maana hali ilishaanza kubadilika gafla hahahaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umenichekesha
Pole mtumishi Kuna shida kwa ndoa yako taari muombee mkeo upepo huu siyo mazuri
Mmmmm Kazi kweli Mungu atusaidie wapendwa waimbaji wanashida Sana
Apigwe sindano huyu, tayari dish limeyumba mkichelewa kidogo mtamkuta anacheza nage na watoto wa vidudu, siyo kwa fujo hizo. Kuachwa sio mchezo jamani 😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬 so sad
Love u Pk""""""
Ahahaha daaaah msera kadata kumamae duuuuh sema ulikua chizi
Mmmh, majina ya mbeya bhana, mwakijere, mwakifuja
kwa lugha nyepesi ni kwamba ndugu baraka si mkweli na ni muongo muongo. kaachwa
Mtangazaji sijakuelewa aise, kiswahili chako duuuh!!
Jastin Ruhele hahaaaa yaani kero
Mmmmh matha hapa palikuwq pagumu kwakweli😁😁
Sema nini kila ntu na ntuwe🤣🤣😂🙌
Mmh Baraka
Mtangazaji mjanja huyu😆🙋na BARAKA naye pia😆
😄😄😄😄😄😄😄 comedy iyi ama vipi
Baraka mpende mke wako basi huku mtandaoni tusikuone tena kuhusu ndoa yako
hahaha haha hahaha jaman
Mungu akusaidie
Duuuuh! Ama hakika ni jambo LA kushangaza.....
Jamani waimbaji mumeingiwa na pepo gani
Hakuna mwanamke anaeza wacha ndoa yake,lazima kuna jambo,mbona mume Ana mambo majina yote haya yote ni yake but huyu anaeza aibisha mtu kwa wageni.
Shikamoo baraka🤣🤣🤣
Hili dishi eti nalo mchungaji afu nae Martha kuma tu
Hapana acheni kulaumu,watumishi wa Mungu,ila sisi ndyo wanawake tunaosababisha hayo
Brother anamaneno mengi
Hata haeleweki! Mtangazaji mtie kofi huyo!!
Hahahaaa
Hahaha 🤣🤣
😅😅😅😅😅
😅😅😅
wacha kunichekesha
Huyo ndio mchungaji mtarajiwa ni mwongo mwongo hvyooo
Acha uwomgo uyo ndo mchungaji
Kweli kbsa afafanue coz namm nliona icho kitu, maelezo yake siyoyakweli
Yaan mwanaume muongooo anaongea kam amemeza cd puuuuuu
Wacha kunichekesha
Pls be true and accept
acheni kumsingizia shetani nimambo yenu wenyewe lisemwalo lipo nakama halipo linakuja
Sijamaliza kumsikiliza na hata naona sitamuelewa kabisa,Sitaki kuongea kabisa ila naona kabisa huyu hakumstahili Martha kabisa Jamani jamaniiiiii.
Winie Majengo hao walipendana kabla huyo Martha hajafikia level hiyo. So kamzidi level jamaa anaonekana hafai! Mbona Martha vmwenyewe alikuwaga hausigelo!
Kwani hugo shetani Yuko wapii
Mtu hujalibiwa kwa tamaa yake usiseme.....
Huelewk bro
Kama ujaelewa Kama mimi like hapa
Acha uongo nyie mmeachana xaizi mke wako anajita Madam Martha,sio Martha Baraka kam ilivokuw hapo awali
.
Kila mtu Ana Eva wake na Adam wake😂😂
Duuu pole
Kasumbufu sana itajua ujui mtu ganiunamjina 10 kataprri
Huyu mume maneno mengi puuuu
Duuh! Huyu jamaa kama dish halijayumba kapiga keroroo
Kwenda hapa😒 muongo we Kaka kha!!!!!
Mapenzi yanatuchanganya sana yaani huyu broo yamemkuta bila yeye kupenda unajikuta unaongea honyo nila kujua nini unaongea
Mjanja Sana huyuu jamaa
Mbona mukaachana ?? Sa mbona ??😮
Daaaaaa kashavurugwa huyu😢😢😢😢
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 God help your people....... Maajabu ya Balaka na Martha 💔💔🤣🤣
Shida ya baraka arishindwa kujua kichwa Cha nyumba yeye akua kichwa mke wake arikua kichwa yes.
Kinaongea mmmh dah
Wewe jidanganye hivyohivyo mwezio kabadilisha mapaka jina anaitwa madam Matha
Jibu swali sio swali kwa swali mtumishi
Mbona hatoi jibu la kunyoka? Wameachana au anatuzunguka uyo
Chenga nyingi...
Nyimbo inayopigwa back dah
Missing in you casse
Mbona havitoi vilivyo ndani ya box jamani aaaa
Huyu jamaa kavurugwa
Hivi huyu anayehojiwa analipwa au?? Si kW uvumilivu huh🙄🙄🙄🙄
Huyu mwanaume kichwani hamna kitu
Kivuruge Huyo jaman wanaume apn mtumish uyoo
Kumbe ndy maana ukaimba ule wimbo jamani🙄
Go straight to the point men
Unayemhoji unafeli mhoji mtu kwa lengo la kuupata ukweli na kupatanisha style yako ya kuhoji usiwe kama shilawadu hebu chukua sura tofauti nao ili uifae jamii, Wewe kama social media lenga kuijenga jamii na kupunguza changamoto za jamii achana na trapping questions za shilawadu wale wapo kusaka ubuyu (umbea tu) wewe toa hot issues (in the box) toa suluhisho.
Nahisi huyu Mtumishi kapoteza confidence kwa kua anahojiwa mbele ya camera ninaamini mengi kakosea kwa hofu, akipata uzoefu ataichukia sana hii clip, kazoea shooting akiimba tu na kuhubiri sio kuhojiwa.
Huyu jama ni mkora
Mume au kibaka huyu
huyu hafayi kuwa mujungaji maneno mengi kaa kasuku
Mmmmh hatari duniani kuna mengi
Martha ni mrembo sana wewe sio class yake
Nenda katubu haraka, kwa Mungu hatuna class Bali tuna ubavu. Nakukemea kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Hapo Kuna majibu mawili aliandika vzr ikajipost yenyewe alafu pia mtu alichukua simu akapost duuuh
Baraka umetuabisha wanyakyusa. Mbona unashidwa kijieleza? Kuna shida gani hapo nkamu gwangu?
Khaaa nmecheka
daaah huyu jamaa huyu!eti nmeweka password
dunia imeisha
Dah huyu jaman alikuwa bado kalala
Unaonekana wew ndio unampenda Martha mwenzio hakupendi tena
Sijaelewa kama muinjilisti na mchungaji mtarajiwa amelewa au linayumba haaaaa
Mbona unaongeleya sana eti we mwinjisti na unasema una muke mumoja nawatoto na unasem tena nawangine watoto ningaliki watakuja wwe vipi sema kweli wwe inaonekana kama unaungine mwamuke atakuzaliya ama umeze naye eti mwinjilisti ogopa mungu wwe una rapuwa sana
Anaonekana hajatulia kimawazo.
Bàraka jiepushe na mañeno,
Hamjui ludini shule
ASANTE SANA.
🙄🙄🙄🙄