PATA OFA KABAMBE YA SABA SABA KWA KUJIPATIA VIWANJA KWA BEI 1,200,000/=ANZA TSH 600,000 TU.
HTML-код
- Опубликовано: 11 фев 2025
- JE! UNAPENDA KUMILIKI KIWANJA KWA KULIPA KIDOGO KIDOGO JIPATIE KIWANJA KWA BEI TSH 1,200,000/=Tu.
ANZA NA TSH 600,000/=TU.
ILIYOBAKI MEEZI 6 UNASHINDWAJE?.
Ukweli ni kuwa ardhi ni rasilimali pekee ambayo hubeba rasilimali zingine hivyo tunaweza kuiita Ardhi ni "RASILIMALI MAMA"
Ndio maana tangu zamani mtu binafsi au tawala mbali mbali walikuwa wakipambana kutanua ardhi zao ili kujinyanyua kiuchumi na kisiasa....! LAKINI
Kwa sasa Ardhi ni kiungo muhimu katika kudumisha maisha ya kijana mpenda maendeleo tofauti na rasilimali zingine ila hadi kununua kipande cha ardhi(Kiwanja) mjini kunahitaji zaidi moyo wa ujasiri na kujitambua wapi unaelekea.....HIVYO BASI,
kama unahitaji kupata viwanja vizuri kwa bei nafuu basi njoo wiki hii ujipatie kwani vya bei nafuu kwetu vimebaki 50 tu viwanja 100 tayari wajanja wamewahi...Maelezo
VIWANJA VIPO WAPI?
■Vikindu-Kazole
■Vimepimwa!
■Huduma za kijamii zipo
■Bei ni Tsh. 1,200,000/=/= ANZA Tsh 600,000/=tu
■Malipo ni ya Awamu miezi 6
■Hakuna riba wala dhamana
WASILIANA NASI SASA!
● 0658 993 090 Au 0654 543079
#viwanjadaresalasam
#viwanjabomba
#Makazisalama
#viwanjadar
#viwanjadarpwani