Masikini Wamesaurika wanaitwa walala hoi WABUNGE kilasiku ulaya na madili Rakini leo jpm kama sisi tu sema yeye ndio baba wetu tunamshukuru mungu kutuletea kutoka mbinguni
Muheshimiwa magufuli sasa ni wakati wa kwawezesha wananchi ,Hii Tanzania siyo ya watu wasomi peke yao. Sisi wote ni WTANZANIA, na tunahitaji kuishi kwa raha pia kama Binadamu wengine. kutokuosoma kwetu hakumaanishi sisi hatufai.
Baba Bakarii kuwakilisha wafanyabiashara wanyonge.. SAFI SANA
Nikajuaa nimemfananisha
Baba bakariiii
Huyuu baba bakari katika maneno ya kuambiwa jaman au macho yangu!
Ni yeye
Ndio uyo uyo ase
Ndo yeye huyooo
Ni yeye
Ndo yeye
Eti una miaka mingpi wew 😀😀😀😀😀😀😀
Kumbe umeona
Mzee wa maneno ya kuambiwa
Senda Alexandre nilikuwa nafananish nisha wahi kumuona wapi huy mbona sura yake siyo ngeniii
Yaan hapa wanachezea sharubu za magufuli😂mzee umewakilisha wenzio yaan kuna rushwa hapi
Baba Bakari akiwa anatiririka huku akijiamini kabisa mbele ya mkuu wetu,Safi sana
Watanzania muko n bahati mumepata rais mzuri
Kutoka afu 60 kwa mwaka hadi laki 3 na 60 duuh so poa
Aliye muona mzee KAMA (Baba Bakari) wa Maneno ya kuambiwa aje hapo
Ndio mwenyew bab bakar
Huyu C Mzee Wa Maneno Ya Kuambiwa #Baba_Bakari...!!
#MzeeKama!!
Baba bakariiii maneno ya kuambiwa
Eeeehee maneno ya kuambiwa umejieleza vzr tena kwakumshawishi kiongozi bila ya kigugumizi umeokoa wengi mzee
Baba bakari
Semeni alhamdulillah watz
Kweli kodi kubwa biashara ngumu sana aiseee
Huyo mzee sindo kacheza kwenye maneno yakuambiwa
Ndio yeye
Ndio huyo huyo kacheza isidingo
Huyu baba bakari wa maneno ya kuambiwa
Jamani tuongee ukweli jpm raisi wa watanzania wote kumbukeni mataisi waliopita walikuaje walikua wanawajari watanzania kama hivi!
Wazee kama hawa ndyo nguzo imara ya Taifa siyo wale Wazee waoga waoga wanaongelea chinchin
Wakiona gari tu hao!! :))))
Mzee wa maneno ya kuambiwa!!
Kumbe Na wew umelitambua eh. Babake Na Stan bakora# Maneno ya kuambiwa
Mama stani kanchukulie mkoba wangu tunomkumbka gonga chin😅😅😅
😁😁😁😁😁😁😁😁
Baba na huku kwenye biashar ya sim haki tete
Masikini Wamesaurika wanaitwa walala hoi WABUNGE kilasiku ulaya na madili Rakini leo jpm kama sisi tu sema yeye ndio baba wetu tunamshukuru mungu kutuletea kutoka mbinguni
Marais Waliopita ukimsimamisha kwenye msafara mnapigwa Risasi wote na Amumuoni. Usogerei walikua Wanasaini mikataba ulaya
Babake bakar maneno ya kuambiwa 😂😂
Mwenyew huyu
Ushuru mkubwa na biashara hamna
Yani kizima tsh 360,000 kwa mwaka bado wapunguziwe?
maneno ya kuambiwa nimekukumbuka mzee
Watoza ushuru wa halmashauri wamekimbia
Wote kila siku mnaongelea biashara na hakuna kinachofanyika tuacheni na shida zetu!! Wanasisa wanafiki
Muheshimiwa magufuli sasa ni wakati wa kwawezesha wananchi ,Hii Tanzania siyo ya watu wasomi peke yao. Sisi wote ni WTANZANIA, na tunahitaji kuishi kwa raha pia kama Binadamu wengine. kutokuosoma kwetu hakumaanishi sisi hatufai.
Sasa mbona tarfa fup
Wafanyakazi wa halimashauri huwa wanafanyakazi kuwaumiza wananchi hawaangalii hali za wananchi
Mzee kama
Mpaka raisi aende , viongozi wengne wako wapi
Saf-mzeee
Bibi
Sasa inaingilianaje na UOGA hapo?
Jaman huyu mzeee muuza soko sio wa FILAMU YA maneno ya kuambiwa
Tatizo anae ambiwa pia hajui tatizo liko wapi😁
Tanzania bhana duuh
Baba Bakari
Safi sana
Ukimaliza miaka 5 raisi tz kuja Kenya tunateseka walai
Mbona Uhuru anafanya vizuri sana jmn...Kenya mnabahati sana
@@jedidahbintidaudi8241 magufuli namba moja
@@abdinasirshukri1218 unajuaje? Ona vile Kenyatta anavojenga nchi yake..
WANYOGE HAO WANYONGE POMBE! BEI YA KIZIMBA IMEPANDA MARA 6??? POMBE OYEE NA UTAWALA WAKO NA TAYARI TUMESHALEW😂😂😂
Nchi hii maish ni magum san maan hyo biashara haina wanunuzi na kodi nying san
poa.mzee
kama wewe ni mtoto / ndugu / mchepuko ambae unapewa pesa hela unanunua bando za kukomentia "mitano tena" bila kujua ugumu wa hii pesa like hapa
Ni kweli kabisa hahahaha wengi awajielewi kabisa😂
Mzee wa maneno yakuambiwa
Mzee kama