BILA UOGA MZEE AFUNGUKA "RAIS MAGUFULI BIASHARA SIO NZURI, TUPUNGUZIENI BEI, USHURU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • JPM katika ziara ya kikazi mkoani Morogoro amewasikiliza wafanyabiashara katika soko Kuu la Manispaa ya Morogoro

Комментарии • 80

  • @abdulaziz703
    @abdulaziz703 3 года назад +30

    Baba Bakarii kuwakilisha wafanyabiashara wanyonge.. SAFI SANA

  • @jollityjorgan5920
    @jollityjorgan5920 3 года назад +15

    Baba bakariiii

  • @sharifuhamisi4190
    @sharifuhamisi4190 3 года назад +14

    Huyuu baba bakari katika maneno ya kuambiwa jaman au macho yangu!

  • @lichilasalumu7983
    @lichilasalumu7983 3 года назад +9

    Eti una miaka mingpi wew 😀😀😀😀😀😀😀

  • @sendaalexandre9078
    @sendaalexandre9078 3 года назад +10

    Mzee wa maneno ya kuambiwa

    • @farhafarhan4393
      @farhafarhan4393 3 года назад

      Senda Alexandre nilikuwa nafananish nisha wahi kumuona wapi huy mbona sura yake siyo ngeniii

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад +6

    Yaan hapa wanachezea sharubu za magufuli😂mzee umewakilisha wenzio yaan kuna rushwa hapi

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 3 года назад +2

    Baba Bakari akiwa anatiririka huku akijiamini kabisa mbele ya mkuu wetu,Safi sana

  • @fahimabdalah5491
    @fahimabdalah5491 3 года назад +1

    Watanzania muko n bahati mumepata rais mzuri

  • @sharifuhamisi4190
    @sharifuhamisi4190 3 года назад +7

    Kutoka afu 60 kwa mwaka hadi laki 3 na 60 duuh so poa

  • @Manfilly
    @Manfilly 3 года назад +4

    Aliye muona mzee KAMA (Baba Bakari) wa Maneno ya kuambiwa aje hapo

  • @hazjay4671
    @hazjay4671 3 года назад +1

    Huyu C Mzee Wa Maneno Ya Kuambiwa #Baba_Bakari...!!
    #MzeeKama!!

  • @sumaiyusuph8844
    @sumaiyusuph8844 3 года назад +4

    Baba bakariiii maneno ya kuambiwa

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 3 года назад

    Eeeehee maneno ya kuambiwa umejieleza vzr tena kwakumshawishi kiongozi bila ya kigugumizi umeokoa wengi mzee

  • @safakilasa3123
    @safakilasa3123 3 года назад +1

    Baba bakari

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 3 года назад

    Semeni alhamdulillah watz

  • @simontchaz5272
    @simontchaz5272 3 года назад +1

    Kweli kodi kubwa biashara ngumu sana aiseee

  • @mr_kajomba_og43
    @mr_kajomba_og43 3 года назад +3

    Huyo mzee sindo kacheza kwenye maneno yakuambiwa

  • @mohamedkuchengo9477
    @mohamedkuchengo9477 3 года назад +2

    Huyu baba bakari wa maneno ya kuambiwa

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah3711 3 года назад

    Jamani tuongee ukweli jpm raisi wa watanzania wote kumbukeni mataisi waliopita walikuaje walikua wanawajari watanzania kama hivi!

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 3 года назад

    Wazee kama hawa ndyo nguzo imara ya Taifa siyo wale Wazee waoga waoga wanaongelea chinchin

  • @shijacs23
    @shijacs23 3 года назад +2

    Wakiona gari tu hao!! :))))

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 3 года назад +3

    Mzee wa maneno ya kuambiwa!!

    • @emanuelmasele8213
      @emanuelmasele8213 3 года назад

      Kumbe Na wew umelitambua eh. Babake Na Stan bakora# Maneno ya kuambiwa

  • @Mohamedkasim2
    @Mohamedkasim2 3 года назад +2

    Mama stani kanchukulie mkoba wangu tunomkumbka gonga chin😅😅😅

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 3 года назад

    Baba na huku kwenye biashar ya sim haki tete

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah3711 3 года назад

    Masikini Wamesaurika wanaitwa walala hoi WABUNGE kilasiku ulaya na madili Rakini leo jpm kama sisi tu sema yeye ndio baba wetu tunamshukuru mungu kutuletea kutoka mbinguni

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah3711 3 года назад

    Marais Waliopita ukimsimamisha kwenye msafara mnapigwa Risasi wote na Amumuoni. Usogerei walikua Wanasaini mikataba ulaya

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +5

    Babake bakar maneno ya kuambiwa 😂😂

  • @alfredyfredrick8955
    @alfredyfredrick8955 3 года назад +1

    maneno ya kuambiwa nimekukumbuka mzee

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 3 года назад +1

    Watoza ushuru wa halmashauri wamekimbia

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera3144 3 года назад

    Wote kila siku mnaongelea biashara na hakuna kinachofanyika tuacheni na shida zetu!! Wanasisa wanafiki

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 года назад

    Muheshimiwa magufuli sasa ni wakati wa kwawezesha wananchi ,Hii Tanzania siyo ya watu wasomi peke yao. Sisi wote ni WTANZANIA, na tunahitaji kuishi kwa raha pia kama Binadamu wengine. kutokuosoma kwetu hakumaanishi sisi hatufai.

  • @paschalnkuba6758
    @paschalnkuba6758 3 года назад

    Sasa mbona tarfa fup

  • @tegezdomin8363
    @tegezdomin8363 3 года назад

    Wafanyakazi wa halimashauri huwa wanafanyakazi kuwaumiza wananchi hawaangalii hali za wananchi

  • @kambiayoubu4923
    @kambiayoubu4923 3 года назад +1

    Mzee kama

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 3 года назад +1

    Mpaka raisi aende , viongozi wengne wako wapi

  • @elishakilasi6793
    @elishakilasi6793 3 года назад +2

    Saf-mzeee

  • @pendopaulo2268
    @pendopaulo2268 3 года назад

    Bibi

  • @expert5898
    @expert5898 3 года назад

    Sasa inaingilianaje na UOGA hapo?

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 3 года назад

    Jaman huyu mzeee muuza soko sio wa FILAMU YA maneno ya kuambiwa

  • @hamisiwaziri2360
    @hamisiwaziri2360 3 года назад

    Tatizo anae ambiwa pia hajui tatizo liko wapi😁
    Tanzania bhana duuh

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 года назад

    Baba Bakari

  • @naivashaazori6233
    @naivashaazori6233 3 года назад

    Safi sana

  • @abdinasirshukri1218
    @abdinasirshukri1218 3 года назад

    Ukimaliza miaka 5 raisi tz kuja Kenya tunateseka walai

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 3 года назад

    WANYOGE HAO WANYONGE POMBE! BEI YA KIZIMBA IMEPANDA MARA 6??? POMBE OYEE NA UTAWALA WAKO NA TAYARI TUMESHALEW😂😂😂

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 3 года назад

    Nchi hii maish ni magum san maan hyo biashara haina wanunuzi na kodi nying san

  • @hangayamafenya8883
    @hangayamafenya8883 3 года назад

    poa.mzee

  • @mbuganitv3021
    @mbuganitv3021 3 года назад +1

    kama wewe ni mtoto / ndugu / mchepuko ambae unapewa pesa hela unanunua bando za kukomentia "mitano tena" bila kujua ugumu wa hii pesa like hapa

    • @glorykarim1570
      @glorykarim1570 3 года назад

      Ni kweli kabisa hahahaha wengi awajielewi kabisa😂

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 3 года назад +1

    Mzee wa maneno yakuambiwa

  • @mnomahboybright4743
    @mnomahboybright4743 3 года назад

    Mzee kama