DUDU BAYA AMWAGA MACHOZI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU MAANDAMANO NA VURUGU KENYA/INASIKITISHA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #SUBSCRIBE

Комментарии • 482

  • @juniourx2203
    @juniourx2203 2 месяца назад +6

    Kutoka Kenya tumefurahia uchanganuzi wa ukweli ....as a Kenyan am a very happy by your sentiments very informative

  • @HassanHuri-l7g
    @HassanHuri-l7g 3 месяца назад +82

    Sisi waKenya tulimpenda sana Magufuli kuliko hata Mandela na Nyerere,......tulilia sana kwa kifo chake ila wa Tz walikataa kutuelewa

  • @ismailahmed8728
    @ismailahmed8728 3 месяца назад +16

    Alway when I watch Dudu baya interview you will get madini inside god bless you bro

  • @justinemwadime289
    @justinemwadime289 3 месяца назад +11

    Singeweza kuondoka bila pongezi kwa dudu baya. Mutu wakazi uliye jaa busara. You are the man.

  • @edwinoduor2421
    @edwinoduor2421 3 месяца назад +34

    This guy follows everything that happens here in kenya

  • @williambenedict6074
    @williambenedict6074 3 месяца назад +54

    Im a Kenyan Gen-Z and this guy is so informative. Kudos bro. Much love 🇰🇪🇰🇪

  • @HassanOpondo
    @HassanOpondo 2 месяца назад +4

    Uki soma Kenya akili imekomah big up dudu baya 🇰🇪🇰🇪 more ❤❤ Kenya to the world 🌍

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 2 месяца назад +7

    Dudu baya nimkenya tuleteeni huku 😂😂😂

  • @moffatsimiyu6622
    @moffatsimiyu6622 2 месяца назад +2

    Am gen z kenya you are talking the truth bro ,,,,,,,, in Kenya there is no fulls we know our rights and we must fight for it,,,,,

  • @jiracollins5379
    @jiracollins5379 2 месяца назад +1

    Kudos bro,shukran from Kenya🇰🇪

  • @corneliuslangat7834
    @corneliuslangat7834 2 месяца назад

    I like how you analyse Kenyan political, social and educational study..it's 100% true

  • @stephenmwaniki2803
    @stephenmwaniki2803 3 месяца назад +6

    Uyu jamaa anakuwanga na akili sana much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @mochemba
      @mochemba 2 месяца назад

      Seminary ya zamani hiyo akili mingi Sana

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      Mengi tu anadanganya hasa upande wa elimu anaposema wote wana elimu ya chuo kikuu. Tumesoma Ulaya undergraduate na Masters Nairobi University na tunafahamu maisha ya jirani zetu

    • @ESSAYGOD
      @ESSAYGOD 2 месяца назад

      @@hashimchaoga9566 sio wote wasomi ila fact ni kuwa Kenya ina wasomi wengi saaana kuliko Tz

    • @buzzafrique3700
      @buzzafrique3700 2 месяца назад

      Na kuhusu demokrasia kadanganya pia ?anacho sema kweli ndungu

  • @moseskiiru1610
    @moseskiiru1610 2 месяца назад

    Dudu mbaya he truly understands the Kenyan political dynamics.

  • @BobErick-er6qm
    @BobErick-er6qm 3 месяца назад +1

    Konki konki konki master Bob Eric from Nairobi.

  • @danielmutia5467
    @danielmutia5467 2 месяца назад

    You are well informed bro! Kudos

  • @natureenergies
    @natureenergies 3 месяца назад +2

    ..naam Konki kaweka sawa kabisa : may The ALMIGHTY GOD Magulify Kenya and her sisters

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 3 месяца назад +1

    We konki ni next level master mind afu ilo la viongozi kua na selfsh ata apa bongo ni shida zinakuja ivi kalbun

  • @shahiduabed6097
    @shahiduabed6097 3 месяца назад +1

    Uko sawa dude baba nimekuelewa,

  • @emanuelminja1052
    @emanuelminja1052 2 месяца назад

    Umeongea point sana Mungu akubariki

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 3 месяца назад +1

    Big up bro

  • @Abdy2747
    @Abdy2747 3 месяца назад +3

    He's right...in Dubai basic needs ni cheap sana bro

  • @lyimoedmund
    @lyimoedmund 2 месяца назад

    Dudu baya upo vizuri

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 3 месяца назад +1

    Anachokisema dudubaya ni kweli kabisa anaelewa Kenya sana

  • @JosephNyamai-d9h
    @JosephNyamai-d9h 2 месяца назад

    Wah mtazania humewalewa wakenya kabisa 100,

  • @fredymwengela6763
    @fredymwengela6763 3 месяца назад

    Upo vzr konki

  • @elijahsaro6611
    @elijahsaro6611 2 месяца назад +2

    Huyu Jamaa angepewa heshima kubwa tz

  • @djflavourdecaptain
    @djflavourdecaptain 2 месяца назад

    Kiukweli sisi kenya tumesoma ila tu tumekosa masomo ya kuchagua viongozi wazuri. Hawa wengi wezi ni sisi bado tumewachagua. Twatamani kupata kiongozi kama John Pombe Magufuli

  • @MWANGINJUGUNA-kh7db
    @MWANGINJUGUNA-kh7db 2 месяца назад

    Ama akuje tumpe mp

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 месяца назад +2

    Mauwa yako dudu baya

  • @jembelakijiji
    @jembelakijiji 3 месяца назад

    Umesema ruto anakonda kila siku dah dudu aki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 3 месяца назад

    Mwandish angekuwa na weledi wa kuhoji na kuuliza maswali tungepata madini mengi sana toka kwa Master

  • @godfreywangara5946
    @godfreywangara5946 2 месяца назад

    Asante dudu baya kwa kutema madini SI haba.

  • @EuniceOdegea
    @EuniceOdegea 2 месяца назад

    Hahahaha.dudu baya ww.

  • @nibeeboy6482
    @nibeeboy6482 2 месяца назад

    Mimi ni mkenya..huyu jamaa anajua sana..dudu baya njoo iwe mkenya jameni

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 3 месяца назад

    Tafadhali rejea Kenya uwahimize wananchi wajumuike na lugha yetu adhimu, waache kimombo.

  • @quentinotieno7103
    @quentinotieno7103 3 месяца назад

    Salute

  • @janjaz
    @janjaz 2 месяца назад

    Aiseee huyu mdudu anaijua siasa ya kenya vizuri mnooo, daaa

  • @japhetmathayo2499
    @japhetmathayo2499 2 месяца назад

    huyu jamaa ana akili kubwa sana

  • @SamuelKimani-xk5fl
    @SamuelKimani-xk5fl 2 месяца назад

    Wewe wanjifahamu kweli joo kenya tukufundishe

  • @StephenWekesa-ul8il
    @StephenWekesa-ul8il 2 месяца назад

    Jamaa anajua historia ya Kenya kuliko baadhi ya wakenya wenyewe.

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 2 месяца назад

    Kenya mambo bad king poo

  • @wency-xo4wf
    @wency-xo4wf 2 месяца назад

    Points tupu mkuu nikweli ata ukianza kuuliza watu kuhusu katiba binafisi hakuna nikijuacho adi nifuatilie

  • @jacksonmwakamba4374
    @jacksonmwakamba4374 2 месяца назад

    Dudu Baya unajua 👊

  • @anlynenyambu619
    @anlynenyambu619 2 месяца назад

    Dudu mbaya njoo kenya tukupe kazi unajua unachoksema

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 3 месяца назад

    Hayo pia ni madhara ya Lockdown KENYATA aliingizwa mkenge na wazungu Leo balaa limemuangukia WILLIAM

  • @Zaikadena
    @Zaikadena 3 месяца назад

    Serikali inabidi uchukue points za dudu baya itawasaidia

  • @jacksonmkala8154
    @jacksonmkala8154 3 месяца назад

    Leo umeongea ukweli ss

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 3 месяца назад

    " Ihope this message goes deep in ruto´s skull!! Tuko naye huyu mshenzi/ mdhalim, katili!! Sisi tulifundishwa siasa tukiwa class 5 kwa somo moja ikiitwa " Cvics"!! Akijiuzulu/ asipojiuzulu lazima ataenda mshenzi huyu!! Hiyo kiti sio ya mamake!!

  • @SalumJohn-h2s
    @SalumJohn-h2s 3 месяца назад

    Dudu baya eminza brother

    • @SalumJohn-h2s
      @SalumJohn-h2s 3 месяца назад

      Tuko pamoja mzee wa kisesa,Konki,konki,konki,Master

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 3 месяца назад

    KWA INTERVIEW HII ITAKUPELEKA MBALI SANA BRO.

  • @HarunNgovi-z1c
    @HarunNgovi-z1c 3 месяца назад

    Wasema hadi mama ntilie kafika university,huku hadi dada wa kazi msomi...

  • @Mbweha254
    @Mbweha254 2 месяца назад

    ukweli, kama Mkenya ni ukweli, Tanzania iko na raslimali nyingi lakini wale wenye kisomo ndio wana kamua manufaa ya hio raslimali. Tulimpenda Magufuli kwa kuwa alileta Serikali kwa mwananchi aka utendakazi, utenda kazi ikitoka Dar ije Mwanza, elimu huu nawiri. Dudu amesema ukweli, kama Wakenya tu tayari kufa ili kulinda Katiba, that's why vijana wana uliwa lakini bado maandamano ya endelea.

  • @rashidkapile
    @rashidkapile 3 месяца назад

    Dudu baya anaupeo sana na anasema ukweli

  • @kachalazedon323
    @kachalazedon323 3 месяца назад

    Duh kumbe huyu msenge ana ongeaga point hivi bi gup dudu nzuri

  • @MohamedRashid-py7ro
    @MohamedRashid-py7ro 3 месяца назад

    Sasa hiyo chini ya Kenya kuwa na vyama vipya kila miaka unadhani kuna amani hapo Kenya viongozi ni wezi tu

    • @DLMEDIA-e6k
      @DLMEDIA-e6k 2 месяца назад

      Na hivo ndio poa,mnafanya nini na chama ya Nyerere?mko na shida mingi.

  • @ElneySheddy-is1dv
    @ElneySheddy-is1dv 3 месяца назад

    Dudubaya uko sahihi

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 3 месяца назад

    Hamna mwamba kama makufuli labda ndoto

  • @alfabraxton
    @alfabraxton 2 месяца назад +11

    *As a Kenyan, i give maximum respect to this Legendary, oozing wisdom*

  • @TimothyI543
    @TimothyI543 2 месяца назад +25

    Tanzanians this guy is a gem, from today I am listening to his interviews. Too detailed and informed. Haven't seen a well informed Tanzanian. Kongole mkuu

  • @TarajiaHamisi
    @TarajiaHamisi 3 месяца назад +45

    From Kenya Mombasa....nimependa jinsi ulivyoichambua Kenya.85%👍

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад +1

      Hapana tupo wengine pia tulioishi Kenya na kusoma Nairobi University for years na kutembelea sehemu mbali mbali za Kenya anaposema kila Mkenya ni muhitimu wa chuo kikuu ni uongo. Dunia nzima hata nchi zenye elimu bure si hivyo. Elimu hadi chuo kikuu ni expensive na si wote wako academicaly fit for even above classes. Si wote ni bright wa kufika chuo kikuu

    • @abusad123
      @abusad123 2 месяца назад +1

      ​@hashimchaoga9566 Mi ni msomali ambaye nimesomea nchi nne za Africa mashariki. Si kweli kwamba kila mtu ni graduate kenya Lakini watu wengi wako more informed compared to others.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад +1

      @@abusad123 Hapo uko sawa kabisa Sheikh. Mimi nimeishi Kenya miaka minne nilikua napenda sana kula nyama ya ngamia na maziwa ya Ngamia pale Eastleah kwenye wasomali wengi. Nakubaliana na wewe halafu Nairobi kuna maeneo makubwa ya mabanda nadhani unafahamu huko sanitation iko chini kabisa kwa majority mtu alieelimika vizuri hata primary education hawezi kujenga nyumba bila choo au kutiririsha sewage . Elimu ni expensive na si wote wenye pesa tena kuna article moja imeandika only 53 percent ndio wanavuka class 8 kwa sababu mbali mbali ikiwemo poverty

  • @kelvinthagicu
    @kelvinthagicu 2 месяца назад +8

    Dudu ni mwamba. Wakati wasaani wengine Tanzania wanakolea katika uchawa Dudu Baya anaongea ukweli.
    Mad respect to Dudu Baya 🇰🇪

  • @stocks2545
    @stocks2545 3 месяца назад +70

    Asante sana Dudu Baya kwa kusimama na sisi Wakenya 🇰🇪. Mziki wako pia uko sawa 💪🇹🇿

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад +2

      ila ndug zang wakenya wenye kwenda kwa maandamano hamuoni mnazidi kushusha uchumi kwanini msifanye kikao Na rais ruto mkaacha izo mambo

    • @peteremanuel2367
      @peteremanuel2367 3 месяца назад +3

      Mimi nawaunga mkono wakenya, ila nina wasiwasi sana kuipeleka nchi yenu pabaya. Hivi huyu Ruto kusaini ile mikataba na Marekani hajuwi kama anaiweka nchi rehani? Kwanini anakuwa kibaraka wa magharibi? wakati wasomi vijana wanajinasua nao?

    • @ChumanaSusi
      @ChumanaSusi 3 месяца назад

      ​@@ScopionScopion-zj9cdsasa utafanya kikao vipi na mkora anataka yete ndiyo atakuja na agenda yake ila siyetu na as seti Ratigan. Hiyo ni No

    • @edwardkasubi5135
      @edwardkasubi5135 2 месяца назад

      HAKI hainaga historia ya kuombwa bali huDAIWA kwa mujibu wa Quran tukufu na Biblia Takatifu , hapo kwenye kuomba omba ni kwa wale wala chips tu​@@ScopionScopion-zj9cd

    • @innocentlusajo9303
      @innocentlusajo9303 2 месяца назад

      We all support you

  • @nickvundi
    @nickvundi 3 месяца назад +43

    Kenya kila mtu msomi,very true degrees are everywhere

    • @fridahkarimi5510
      @fridahkarimi5510 3 месяца назад +3

      Kabisaa kaka

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 3 месяца назад +2

      Kweli kabisa ila maskini niwengi na maskini hao ndio hao hao wasomi

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 3 месяца назад

      ​@@زيتونتنزانيا🤔🤭🤫

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 2 месяца назад

      ​@@زيتونتنزانياusomi sio dawa ya umasikini jua hilo

    • @lenniefei6710
      @lenniefei6710 2 месяца назад +1

      ​kama kusoma ndio kupata riziki, wanyama wangekufa njaa wote !

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад +88

    Huyu jamaa anaongeaga mambo mengi. Mengi anayoyaongea ni ukweli na anapoint. Nivigumu sana kumkuta mwanasanaa wa zamani mpaka miaka hii akiwa timamu kichwani. Wengi waliathilika na madawa n.k

    • @cbhofficial3432
      @cbhofficial3432 3 месяца назад +5

      Facts 💯

    • @coolbz133
      @coolbz133 3 месяца назад +2

      😂😂 kweli wengi wame changanyikiwa na maisha madawa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 месяца назад +1

      @@coolbz133 nimtihani

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 3 месяца назад

      Kwani nyinyi mko nyuma aje Tanzanias, anyway Tuesday demonstration on CBD my people don't forget to turn up to fight for our country

    • @patriciambuvi8233
      @patriciambuvi8233 2 месяца назад

      Shenzi sana!! Hayo madawa mamako ndiye anatuuzia?No day you people you will reach our level we are a head of you in education and knowledge!! Kenyan's are fighting for their rights which you Tazania you can't fight for coz you understand nothing!!! We kenyan's we don't entertain nonsense and it's better you mind your language and business if you want peace with us your so down to address the kenyan's issues where by even yourself you don't know your rights your just there like a robot!!! Shame on once again mind your language or we come for you you foolish hooligans 🐝🐝🐝

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 3 месяца назад +19

    Yaani TZ bunge kunapitishwa mswada na hamjui🤔😢 poleni sana majirani zetu

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 3 месяца назад

      Sisi atujadoma jilani ndio maana sisi bola liende

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 3 месяца назад

      @@rogerabdallah439 Ucjal Mungu yupo nanyi

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 3 месяца назад

      @@Mohaa4309 nasisi tunawaombeeni ayo mapambano yaishe muendelee na majukumu yenu ya kila siku nandiomana sisi wezenu bola liende tunaogopa mapambano

    • @dorismoraa9456
      @dorismoraa9456 2 месяца назад

      Pole kubwa sana

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      @@Mohaa4309 Sio hawajui ni waoga wa polisi na umoja haupo wanalalamika tu chini chini

  • @peterjosephmjaka
    @peterjosephmjaka 3 месяца назад +22

    Mzee Wa Busara konki masta DUDU BAYA ✊️✊️✊️
    May God bless you all the time ❤❤❤

  • @matutaathman5660
    @matutaathman5660 3 месяца назад +35

    Am frm +254 .. haki mzee Dudu speech yako hiko sahii kabisa ,kiukweli kenya waitambua,.nimependa maelezo yako na tunaitaji magufuli 😢

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      @@matutaathman5660 Ni informative ndio lakini kuhusu education anadanganya. Si wote wana afford kulipia elimu na wengi tu hata class 8 hawamalizi samabu za kimila kuolewa mapema mimba poverty na passes. Ni only 53 percent wanavuka class 8 na vyuo vikuu si vingi vya kuaccomodate kila mwananchi. Hii ni duniani kote nchi zetu ni worse na wengi tu hawataki tabu ya kwenda shule na masomo ya chuo kikuu si rahisi kwamba kila mmoja aweze

  • @MaGODzi
    @MaGODzi 2 месяца назад +8

    I love the way dudu baya knows history of politics in the world, (Kenya) 🇰🇪 👏🏾

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 3 месяца назад +16

    Huyu mwamba ana upeo mkubwa Sana, tofauti na wengi wanavyomchukulia

  • @eddyedduu6912
    @eddyedduu6912 3 месяца назад +21

    Zee Dudu. Njoo Kenya mzee uko vizuri

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 3 месяца назад +12

    Uku kuna simba na yanga watu awaelewi katiba ndo nn utasikia chama kaenda yanga 😂😂

  • @rizioneomary6625
    @rizioneomary6625 3 месяца назад +18

    Uyu jamaa mbongo ipo kichwani

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 3 месяца назад +3

      Yaani nimsikiliza yuko very Smart kwa kweli, anaongea point sanaa

  • @JanetKhainga-dm8mt
    @JanetKhainga-dm8mt 2 месяца назад +6

    Tanzania mlimpoteza Rais mchapa kazi mzuri sana... mwenyezi mungu ailaxe roho yake mahali patakatifu.wakenya tunatembea na katiba mfukoni kila kipengele lazima tupitie

  • @alisaidi2620
    @alisaidi2620 2 месяца назад +10

    Ndio maana mimi husema siku zote tupeleke watoto shule😢😢😢 kenya tunauchungu sana

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      @@alisaidi2620 Shule ndio lakini hasa ni ujasiri au kutokuogopa polisi

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 3 месяца назад +14

    Ni kweli. Tanzania mambo mengi ya nchi hatujui tu washamba sana wa katiba, sera n.k.

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      @@camilomassao8971 sio kwamba hatujui kwani si mateso tunayapata na kuyaona? Sema ni waoga au Cowards kuogopa polisi na mabomu yao ya machozi na virungu

  • @hassanyunus4634
    @hassanyunus4634 3 месяца назад +11

    Dudu wewe ni mkenya,unaielewa Kenya vizuri

    • @Jordanies
      @Jordanies 3 месяца назад +1

      Huyu he's a kenyan

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      @@hassanyunus4634 Hiyo ya kusema wote wana digrii ni uongo wa mchana mchana. Digrii hazipatikani kirahisi rahisi. Pesa lazima iwepo ya kulipa ada na mahitaji na ubongo uchemke. Maskini wapo kila mahali na wasio uwezo darasani wapo kila mahali. Uwezekano mkubwa alivuta bangi ndio akahojiwa kwani mwenye akili sawa hawezi kuropoka eti wote wana digrii hata Ulaya na Marekani wote hawana digrii

  • @raymondthomas3960
    @raymondthomas3960 3 месяца назад +36

    Mtangazaji huna uwezo wa kumhoji konki maana unauliza maswali yasiyo na msingi lkn jamaa anakujibu kwa kukufafanulia mambo makubwa mpaka wew unaona mauzauza. Bro dudu saluti

    • @salomemwangi406
      @salomemwangi406 3 месяца назад +1

      Good observation bro👍

    • @HibiscusfamilyKE
      @HibiscusfamilyKE 3 месяца назад

      Mwelewe ni mtanzania

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад +1

      Hakuna nchi duniani wote wafike vyuo vikuu ni uongo. Tena nchi zetu hizi wanaofika vyuo vikuu ni wale walio na wazazi wenye uwezo kipesa .Ikiwa watu wamaona tabu kununua hata kilo ya unga ada na mahitaji ya vyuo vikuu wataviweza wapi? Kwanza acha mambo ya kua bright darasani hivyo vyuo vikuu bya kutosha wananchi wote viko wapi?

    • @HibiscusfamilyKE
      @HibiscusfamilyKE 2 месяца назад

      Unaongelea Tanzania yenu au?

    • @ESSAYGOD
      @ESSAYGOD 2 месяца назад

      @@hashimchaoga9566 hivi unajua hapa Kenya tupo na vyuo vikuu vingapi? zipo 68. unadhani wanaosomea kule ni mbuzi?

  • @shariffsuleiman2889
    @shariffsuleiman2889 3 месяца назад +10

    This guy is legend..Big love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Deggoo
    @Deggoo 3 месяца назад +5

    Wakenya wameonyesha njia Waafrika wengine. We want to chase out European puppets hope all African countries can wake and fight for freedom of Africa.

  • @geey7893
    @geey7893 2 месяца назад +1

    Tanzania imeshalogwa na Simba na Yanga maskini. Huwambii kitu😂

  • @JohnMagoyo
    @JohnMagoyo 3 месяца назад +7

    Konkmaster unafaa kuwa mchambuzi wa siasa mungu akubariki na azidi kukulinda uishi miaka mingi na heri duniani, dudu baya.

  • @lusajomadigital-lv2vm
    @lusajomadigital-lv2vm 3 месяца назад +15

    kaka uko vizuli sana nimekuelewa sana . maisha malefu kwako bloo

  • @indesij
    @indesij 3 месяца назад +9

    Ukweli kabisaaa, huyu jamaa anaijua siasa ya kenya

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      Inajulikana kwamba Kenya wanafuata mtu au kikundi cha watu kuwachagua na si chama. Hiyo ni nzuri

  • @popod177
    @popod177 3 месяца назад +4

    Mlevi mbwa lkn anaakili wa uwelevu kushinda watu 1000..big up bro..wengine wanaongelea njaa tu..university ya tz ni sawa na grade 8 ya kenya..halafu mtu mmoja akishaba ugali anabeka eti kenya wana njaa...wtf..u guys should wake up from ur nighmares,.u dont have peace but illitracy of not wanting to know ur rights as a common civilian..we know what we are fighting for,...

    • @mbwayastatehouse695
      @mbwayastatehouse695 2 месяца назад

      💯kweli kabisa kazi n kulia wakenya n njaa inawasumbua Ila hawajui

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 2 месяца назад

      Wakenya wapo tayari kufa huo ni ushujaa sio elimu. Nilikuwa Tanzania wakati wa Magufuri vigenge vya kahawa vilikuwa vinajaa watu kusikiliza taarifa ya habari ili wasikie Magufuri anasema nini. Sasa hivi ukiweka siasa wana kwambia toa kwa sababu hakuna cha maana. Watanzania waleo ni waoga na wabinafsi hawajali watoto wao watakuja kuishi vipi ili wao wanapata ugali Leo.

  • @jedidahnthenya
    @jedidahnthenya 2 месяца назад +1

    Sisi wabunge wakipitisha kitu kama hatujui tunawapiga vita humo ndani ya mbunge

  • @Kaida_Cut254
    @Kaida_Cut254 2 месяца назад +1

    Huu mwamba anahitaji mtangazaji mwenye uwelewa mkubwa ako na uelewa mkubwa sana na anajua sana huyu.

  • @herbertcharo7431
    @herbertcharo7431 2 месяца назад +2

    Dudu Baya uko 100% correct concerning everything you have talked about...sio utajiri tunataka..ila vitu vidogo vidogo muhimu maishani ndio tunataka.Rais Ruto kwa taarifa yako wakenya wamechoka nae kwa mambo mengi...imagin anagandamiza nchi yetu nzuri..Cha ajabu ni kwamba toka aanze kazi ya siasa miaka tuu zaidi ya 20 iliyopita hajawahi kufanya mradi wowote ambao mwananchi anaeza uona...the guy is very very corrupt

  • @AbdulJaylun
    @AbdulJaylun 2 месяца назад +2

    Inafaaa mfuatilie serikali mjue kwaendelea nn nchi ni yenu bana 💪💪💪

  • @LaughKey-f8x
    @LaughKey-f8x 3 месяца назад +2

    Hello Mr Conki master!
    This is Gen z from the continent of Kenya. We’re stoked to have you with us.
    Let’s kick off this partnership with some great ideas - what do you say?

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 3 месяца назад +4

    Watz pumba tupu uoga ndiyo cha kwanza

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 3 месяца назад +3

    Dudu una akili xna bro.... ubarikiwe na uishi miaki mingi kaka...uzidi kuchanua mmbo.

  • @naishoruamooke
    @naishoruamooke 2 месяца назад +2

    Dudu Mbaya all the way 💪💪💪💪💪💪💪Tafuta kiti ya president,We will come and campaign for you,Such a great political analyst and very informed too, with kenya politics.Dudu mbaya akuwe naibu wa rais wa tundu Lisu.👍👍👍

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 2 месяца назад

      @@naishoruamooke Ana historia ya ugomvi na hata labda kuvuta Bangi hafai kabisa kua president hata wa shule. Halafu ni mwongo eti kila mtu kafika University. Hiyo hata Ulaya Marekani wala Urusi si wote wamefika chuo kikuu itakua third world na poverty kibao na mila na desturi za baadhi ya makabila.Mimi nimesoma University ya Nairobi na zinginezo majority ni watoto wa wakubwa na matajiri. Elimu inataka pesa uwezo wa kupasi mitihani na willing. Si wote wanavyo hivyo. Hajui elimu ya chuo kikuu anadhani ni masomo rahisi wakati hata class 8 si wote wanapasi.

  • @EstherOnyoro
    @EstherOnyoro 3 месяца назад +6

    Much love from Kenya dude baya❤🎉

  • @rastaraj9577
    @rastaraj9577 3 месяца назад +3

    Bro konki ww unatakikana hapa Kenya ungetuongoza ktk kupigania uhuru wa maskini, tunaumia kinoma

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 месяца назад +1

    Mengi uko sahihi na Mengi hauko sahihi, Wakenya wanajua katiba je hiyo katiba ndio inawafanya wachome Mali za umma? Na kuiba Mali za watu? Kama kweli wanajua katiba ya Kenya je Mhe Ruto ni rais halali wa Kenya au sio halali? Kenya kinacho wasumbua ni Ukabila tu kama kweli issue ni finance bill mbona Mhe Ruto amesema hoja hiyo basi lakini hadi Sasa wanajiandaa kufanya maandamano mengine? Eti Kenya kila mtu msomi hujafika Kenya au Umeishia Nairobi Mjini, ni Taifa la watu wachache wenye Neema na hawataki wengine waingie kwenye hiyo cycle, kwa taarifa tu Hawa jamaa hata Rais akija mwingine wataandamana na katiba yao haija wasaidia, Siku zote katiba inayo onekana nzuri ni Ile inayo waingiza wapinzani madarakani, na Ruto asipokiwa mkali watampanda kichwani na hiyo mbegu chafu itahamia Nchi zetu, North Korea wanatumia katiba gani? Na miji yao ni ya kisasa kuzidi hata hizi nchi zetu zenye democracy, Vijana tujitume tuwe wabunifu , Serikali kazi yake ni kuweka miundo mbinu rafiki tu ya uwekezaji na biashara , na sio kigawa hela, tuamke tuache kufuat mkumbo, baadhi wakiona Rais hatoki kwenye ukanda , kabila au dini yake wanaanza kutafuta chokochoko , yaani wanatafuta mwanya kidogo tu wanaanzia hapo, fursa ni nyingi hapa duniani, kama unga au mchele haukamatiki nenda kalime wewe ni fursa hiyo, kama Kuku bei juu fuga wewe , tuko kwenye East Africa sio kila maandamano yana Nia njema , mengi ni agenda za Ukabila na udini

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад

      Hapa unaongea pumba tupu halafu Uzi mrefu ila uharo mtupu.

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 2 месяца назад +2

    Nikweli Mimi ni mtanzania na mpaka nimekuwa ivi sielewi Katiba ipoje napia nakuwa mzito sana kufatilia siyasa ya Tanzania kifupi sielewi A Wala Z

  • @Jira-f5n
    @Jira-f5n 2 месяца назад +1

    Mwambaa

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 3 месяца назад +1

    Watanzania sisi wajinga Sana taarifa ya habari inasomwa jitu linasema weka mpira makuma zani

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 2 месяца назад +2

    DUDU BAYA UNATOSHA KUA MKENYA KULIKO. MTANZANIA, UNAJIELEWA SANA HUJAPUMBAZWA NA KINA DIAMOND AMA KUSHABIKIA WANASIASA AMA WAKUU WA MIKOA KAMA KINA MAKONDA

  • @JoelJulius-l5j
    @JoelJulius-l5j 3 месяца назад +4

    Dudu apewe uongozi