Mengi tu anadanganya hasa upande wa elimu anaposema wote wana elimu ya chuo kikuu. Tumesoma Ulaya undergraduate na Masters Nairobi University na tunafahamu maisha ya jirani zetu
Kiukweli sisi kenya tumesoma ila tu tumekosa masomo ya kuchagua viongozi wazuri. Hawa wengi wezi ni sisi bado tumewachagua. Twatamani kupata kiongozi kama John Pombe Magufuli
" Ihope this message goes deep in ruto´s skull!! Tuko naye huyu mshenzi/ mdhalim, katili!! Sisi tulifundishwa siasa tukiwa class 5 kwa somo moja ikiitwa " Cvics"!! Akijiuzulu/ asipojiuzulu lazima ataenda mshenzi huyu!! Hiyo kiti sio ya mamake!!
ukweli, kama Mkenya ni ukweli, Tanzania iko na raslimali nyingi lakini wale wenye kisomo ndio wana kamua manufaa ya hio raslimali. Tulimpenda Magufuli kwa kuwa alileta Serikali kwa mwananchi aka utendakazi, utenda kazi ikitoka Dar ije Mwanza, elimu huu nawiri. Dudu amesema ukweli, kama Wakenya tu tayari kufa ili kulinda Katiba, that's why vijana wana uliwa lakini bado maandamano ya endelea.
Tanzanians this guy is a gem, from today I am listening to his interviews. Too detailed and informed. Haven't seen a well informed Tanzanian. Kongole mkuu
Hapana tupo wengine pia tulioishi Kenya na kusoma Nairobi University for years na kutembelea sehemu mbali mbali za Kenya anaposema kila Mkenya ni muhitimu wa chuo kikuu ni uongo. Dunia nzima hata nchi zenye elimu bure si hivyo. Elimu hadi chuo kikuu ni expensive na si wote wako academicaly fit for even above classes. Si wote ni bright wa kufika chuo kikuu
@hashimchaoga9566 Mi ni msomali ambaye nimesomea nchi nne za Africa mashariki. Si kweli kwamba kila mtu ni graduate kenya Lakini watu wengi wako more informed compared to others.
@@abusad123 Hapo uko sawa kabisa Sheikh. Mimi nimeishi Kenya miaka minne nilikua napenda sana kula nyama ya ngamia na maziwa ya Ngamia pale Eastleah kwenye wasomali wengi. Nakubaliana na wewe halafu Nairobi kuna maeneo makubwa ya mabanda nadhani unafahamu huko sanitation iko chini kabisa kwa majority mtu alieelimika vizuri hata primary education hawezi kujenga nyumba bila choo au kutiririsha sewage . Elimu ni expensive na si wote wenye pesa tena kuna article moja imeandika only 53 percent ndio wanavuka class 8 kwa sababu mbali mbali ikiwemo poverty
Mimi nawaunga mkono wakenya, ila nina wasiwasi sana kuipeleka nchi yenu pabaya. Hivi huyu Ruto kusaini ile mikataba na Marekani hajuwi kama anaiweka nchi rehani? Kwanini anakuwa kibaraka wa magharibi? wakati wasomi vijana wanajinasua nao?
HAKI hainaga historia ya kuombwa bali huDAIWA kwa mujibu wa Quran tukufu na Biblia Takatifu , hapo kwenye kuomba omba ni kwa wale wala chips tu@@ScopionScopion-zj9cd
Huyu jamaa anaongeaga mambo mengi. Mengi anayoyaongea ni ukweli na anapoint. Nivigumu sana kumkuta mwanasanaa wa zamani mpaka miaka hii akiwa timamu kichwani. Wengi waliathilika na madawa n.k
Shenzi sana!! Hayo madawa mamako ndiye anatuuzia?No day you people you will reach our level we are a head of you in education and knowledge!! Kenyan's are fighting for their rights which you Tazania you can't fight for coz you understand nothing!!! We kenyan's we don't entertain nonsense and it's better you mind your language and business if you want peace with us your so down to address the kenyan's issues where by even yourself you don't know your rights your just there like a robot!!! Shame on once again mind your language or we come for you you foolish hooligans 🐝🐝🐝
@@matutaathman5660 Ni informative ndio lakini kuhusu education anadanganya. Si wote wana afford kulipia elimu na wengi tu hata class 8 hawamalizi samabu za kimila kuolewa mapema mimba poverty na passes. Ni only 53 percent wanavuka class 8 na vyuo vikuu si vingi vya kuaccomodate kila mwananchi. Hii ni duniani kote nchi zetu ni worse na wengi tu hawataki tabu ya kwenda shule na masomo ya chuo kikuu si rahisi kwamba kila mmoja aweze
Tanzania mlimpoteza Rais mchapa kazi mzuri sana... mwenyezi mungu ailaxe roho yake mahali patakatifu.wakenya tunatembea na katiba mfukoni kila kipengele lazima tupitie
@@camilomassao8971 sio kwamba hatujui kwani si mateso tunayapata na kuyaona? Sema ni waoga au Cowards kuogopa polisi na mabomu yao ya machozi na virungu
@@hassanyunus4634 Hiyo ya kusema wote wana digrii ni uongo wa mchana mchana. Digrii hazipatikani kirahisi rahisi. Pesa lazima iwepo ya kulipa ada na mahitaji na ubongo uchemke. Maskini wapo kila mahali na wasio uwezo darasani wapo kila mahali. Uwezekano mkubwa alivuta bangi ndio akahojiwa kwani mwenye akili sawa hawezi kuropoka eti wote wana digrii hata Ulaya na Marekani wote hawana digrii
Mtangazaji huna uwezo wa kumhoji konki maana unauliza maswali yasiyo na msingi lkn jamaa anakujibu kwa kukufafanulia mambo makubwa mpaka wew unaona mauzauza. Bro dudu saluti
Hakuna nchi duniani wote wafike vyuo vikuu ni uongo. Tena nchi zetu hizi wanaofika vyuo vikuu ni wale walio na wazazi wenye uwezo kipesa .Ikiwa watu wamaona tabu kununua hata kilo ya unga ada na mahitaji ya vyuo vikuu wataviweza wapi? Kwanza acha mambo ya kua bright darasani hivyo vyuo vikuu bya kutosha wananchi wote viko wapi?
Mlevi mbwa lkn anaakili wa uwelevu kushinda watu 1000..big up bro..wengine wanaongelea njaa tu..university ya tz ni sawa na grade 8 ya kenya..halafu mtu mmoja akishaba ugali anabeka eti kenya wana njaa...wtf..u guys should wake up from ur nighmares,.u dont have peace but illitracy of not wanting to know ur rights as a common civilian..we know what we are fighting for,...
Wakenya wapo tayari kufa huo ni ushujaa sio elimu. Nilikuwa Tanzania wakati wa Magufuri vigenge vya kahawa vilikuwa vinajaa watu kusikiliza taarifa ya habari ili wasikie Magufuri anasema nini. Sasa hivi ukiweka siasa wana kwambia toa kwa sababu hakuna cha maana. Watanzania waleo ni waoga na wabinafsi hawajali watoto wao watakuja kuishi vipi ili wao wanapata ugali Leo.
Dudu Baya uko 100% correct concerning everything you have talked about...sio utajiri tunataka..ila vitu vidogo vidogo muhimu maishani ndio tunataka.Rais Ruto kwa taarifa yako wakenya wamechoka nae kwa mambo mengi...imagin anagandamiza nchi yetu nzuri..Cha ajabu ni kwamba toka aanze kazi ya siasa miaka tuu zaidi ya 20 iliyopita hajawahi kufanya mradi wowote ambao mwananchi anaeza uona...the guy is very very corrupt
Hello Mr Conki master! This is Gen z from the continent of Kenya. We’re stoked to have you with us. Let’s kick off this partnership with some great ideas - what do you say?
Dudu Mbaya all the way 💪💪💪💪💪💪💪Tafuta kiti ya president,We will come and campaign for you,Such a great political analyst and very informed too, with kenya politics.Dudu mbaya akuwe naibu wa rais wa tundu Lisu.👍👍👍
@@naishoruamooke Ana historia ya ugomvi na hata labda kuvuta Bangi hafai kabisa kua president hata wa shule. Halafu ni mwongo eti kila mtu kafika University. Hiyo hata Ulaya Marekani wala Urusi si wote wamefika chuo kikuu itakua third world na poverty kibao na mila na desturi za baadhi ya makabila.Mimi nimesoma University ya Nairobi na zinginezo majority ni watoto wa wakubwa na matajiri. Elimu inataka pesa uwezo wa kupasi mitihani na willing. Si wote wanavyo hivyo. Hajui elimu ya chuo kikuu anadhani ni masomo rahisi wakati hata class 8 si wote wanapasi.
Mengi uko sahihi na Mengi hauko sahihi, Wakenya wanajua katiba je hiyo katiba ndio inawafanya wachome Mali za umma? Na kuiba Mali za watu? Kama kweli wanajua katiba ya Kenya je Mhe Ruto ni rais halali wa Kenya au sio halali? Kenya kinacho wasumbua ni Ukabila tu kama kweli issue ni finance bill mbona Mhe Ruto amesema hoja hiyo basi lakini hadi Sasa wanajiandaa kufanya maandamano mengine? Eti Kenya kila mtu msomi hujafika Kenya au Umeishia Nairobi Mjini, ni Taifa la watu wachache wenye Neema na hawataki wengine waingie kwenye hiyo cycle, kwa taarifa tu Hawa jamaa hata Rais akija mwingine wataandamana na katiba yao haija wasaidia, Siku zote katiba inayo onekana nzuri ni Ile inayo waingiza wapinzani madarakani, na Ruto asipokiwa mkali watampanda kichwani na hiyo mbegu chafu itahamia Nchi zetu, North Korea wanatumia katiba gani? Na miji yao ni ya kisasa kuzidi hata hizi nchi zetu zenye democracy, Vijana tujitume tuwe wabunifu , Serikali kazi yake ni kuweka miundo mbinu rafiki tu ya uwekezaji na biashara , na sio kigawa hela, tuamke tuache kufuat mkumbo, baadhi wakiona Rais hatoki kwenye ukanda , kabila au dini yake wanaanza kutafuta chokochoko , yaani wanatafuta mwanya kidogo tu wanaanzia hapo, fursa ni nyingi hapa duniani, kama unga au mchele haukamatiki nenda kalime wewe ni fursa hiyo, kama Kuku bei juu fuga wewe , tuko kwenye East Africa sio kila maandamano yana Nia njema , mengi ni agenda za Ukabila na udini
DUDU BAYA UNATOSHA KUA MKENYA KULIKO. MTANZANIA, UNAJIELEWA SANA HUJAPUMBAZWA NA KINA DIAMOND AMA KUSHABIKIA WANASIASA AMA WAKUU WA MIKOA KAMA KINA MAKONDA
Kutoka Kenya tumefurahia uchanganuzi wa ukweli ....as a Kenyan am a very happy by your sentiments very informative
Sisi waKenya tulimpenda sana Magufuli kuliko hata Mandela na Nyerere,......tulilia sana kwa kifo chake ila wa Tz walikataa kutuelewa
Kweli kabisa ,Mimi mwenyewe nililia sana
I like Mandela more.
I love magufuli
Acha uongo
@@HassanHuri-l7g kama ni kupenda aslimia kumbwa ya wakenya tulipenda hayati Maghufuri sana
Alway when I watch Dudu baya interview you will get madini inside god bless you bro
Singeweza kuondoka bila pongezi kwa dudu baya. Mutu wakazi uliye jaa busara. You are the man.
This guy follows everything that happens here in kenya
Im a Kenyan Gen-Z and this guy is so informative. Kudos bro. Much love 🇰🇪🇰🇪
Uki soma Kenya akili imekomah big up dudu baya 🇰🇪🇰🇪 more ❤❤ Kenya to the world 🌍
Dudu baya nimkenya tuleteeni huku 😂😂😂
Am gen z kenya you are talking the truth bro ,,,,,,,, in Kenya there is no fulls we know our rights and we must fight for it,,,,,
Kudos bro,shukran from Kenya🇰🇪
I like how you analyse Kenyan political, social and educational study..it's 100% true
Uyu jamaa anakuwanga na akili sana much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Seminary ya zamani hiyo akili mingi Sana
Mengi tu anadanganya hasa upande wa elimu anaposema wote wana elimu ya chuo kikuu. Tumesoma Ulaya undergraduate na Masters Nairobi University na tunafahamu maisha ya jirani zetu
@@hashimchaoga9566 sio wote wasomi ila fact ni kuwa Kenya ina wasomi wengi saaana kuliko Tz
Na kuhusu demokrasia kadanganya pia ?anacho sema kweli ndungu
Dudu mbaya he truly understands the Kenyan political dynamics.
Konki konki konki master Bob Eric from Nairobi.
You are well informed bro! Kudos
..naam Konki kaweka sawa kabisa : may The ALMIGHTY GOD Magulify Kenya and her sisters
We konki ni next level master mind afu ilo la viongozi kua na selfsh ata apa bongo ni shida zinakuja ivi kalbun
Uko sawa dude baba nimekuelewa,
Umeongea point sana Mungu akubariki
Big up bro
He's right...in Dubai basic needs ni cheap sana bro
Vry cheap
Dudu baya upo vizuri
Anachokisema dudubaya ni kweli kabisa anaelewa Kenya sana
Wah mtazania humewalewa wakenya kabisa 100,
Upo vzr konki
Huyu Jamaa angepewa heshima kubwa tz
Kiukweli sisi kenya tumesoma ila tu tumekosa masomo ya kuchagua viongozi wazuri. Hawa wengi wezi ni sisi bado tumewachagua. Twatamani kupata kiongozi kama John Pombe Magufuli
Ama akuje tumpe mp
Mauwa yako dudu baya
Umesema ruto anakonda kila siku dah dudu aki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwandish angekuwa na weledi wa kuhoji na kuuliza maswali tungepata madini mengi sana toka kwa Master
Asante dudu baya kwa kutema madini SI haba.
Hahahaha.dudu baya ww.
Mimi ni mkenya..huyu jamaa anajua sana..dudu baya njoo iwe mkenya jameni
Tafadhali rejea Kenya uwahimize wananchi wajumuike na lugha yetu adhimu, waache kimombo.
Salute
Aiseee huyu mdudu anaijua siasa ya kenya vizuri mnooo, daaa
huyu jamaa ana akili kubwa sana
Wewe wanjifahamu kweli joo kenya tukufundishe
Jamaa anajua historia ya Kenya kuliko baadhi ya wakenya wenyewe.
Kenya mambo bad king poo
Points tupu mkuu nikweli ata ukianza kuuliza watu kuhusu katiba binafisi hakuna nikijuacho adi nifuatilie
Dudu Baya unajua 👊
Dudu mbaya njoo kenya tukupe kazi unajua unachoksema
Hayo pia ni madhara ya Lockdown KENYATA aliingizwa mkenge na wazungu Leo balaa limemuangukia WILLIAM
Serikali inabidi uchukue points za dudu baya itawasaidia
Leo umeongea ukweli ss
" Ihope this message goes deep in ruto´s skull!! Tuko naye huyu mshenzi/ mdhalim, katili!! Sisi tulifundishwa siasa tukiwa class 5 kwa somo moja ikiitwa " Cvics"!! Akijiuzulu/ asipojiuzulu lazima ataenda mshenzi huyu!! Hiyo kiti sio ya mamake!!
Dudu baya eminza brother
Tuko pamoja mzee wa kisesa,Konki,konki,konki,Master
KWA INTERVIEW HII ITAKUPELEKA MBALI SANA BRO.
Wasema hadi mama ntilie kafika university,huku hadi dada wa kazi msomi...
ukweli, kama Mkenya ni ukweli, Tanzania iko na raslimali nyingi lakini wale wenye kisomo ndio wana kamua manufaa ya hio raslimali. Tulimpenda Magufuli kwa kuwa alileta Serikali kwa mwananchi aka utendakazi, utenda kazi ikitoka Dar ije Mwanza, elimu huu nawiri. Dudu amesema ukweli, kama Wakenya tu tayari kufa ili kulinda Katiba, that's why vijana wana uliwa lakini bado maandamano ya endelea.
Dudu baya anaupeo sana na anasema ukweli
Duh kumbe huyu msenge ana ongeaga point hivi bi gup dudu nzuri
😂😂😂😂😂😂
Sasa hiyo chini ya Kenya kuwa na vyama vipya kila miaka unadhani kuna amani hapo Kenya viongozi ni wezi tu
Na hivo ndio poa,mnafanya nini na chama ya Nyerere?mko na shida mingi.
Dudubaya uko sahihi
Hamna mwamba kama makufuli labda ndoto
*As a Kenyan, i give maximum respect to this Legendary, oozing wisdom*
Tanzanians this guy is a gem, from today I am listening to his interviews. Too detailed and informed. Haven't seen a well informed Tanzanian. Kongole mkuu
From Kenya Mombasa....nimependa jinsi ulivyoichambua Kenya.85%👍
Hapana tupo wengine pia tulioishi Kenya na kusoma Nairobi University for years na kutembelea sehemu mbali mbali za Kenya anaposema kila Mkenya ni muhitimu wa chuo kikuu ni uongo. Dunia nzima hata nchi zenye elimu bure si hivyo. Elimu hadi chuo kikuu ni expensive na si wote wako academicaly fit for even above classes. Si wote ni bright wa kufika chuo kikuu
@hashimchaoga9566 Mi ni msomali ambaye nimesomea nchi nne za Africa mashariki. Si kweli kwamba kila mtu ni graduate kenya Lakini watu wengi wako more informed compared to others.
@@abusad123 Hapo uko sawa kabisa Sheikh. Mimi nimeishi Kenya miaka minne nilikua napenda sana kula nyama ya ngamia na maziwa ya Ngamia pale Eastleah kwenye wasomali wengi. Nakubaliana na wewe halafu Nairobi kuna maeneo makubwa ya mabanda nadhani unafahamu huko sanitation iko chini kabisa kwa majority mtu alieelimika vizuri hata primary education hawezi kujenga nyumba bila choo au kutiririsha sewage . Elimu ni expensive na si wote wenye pesa tena kuna article moja imeandika only 53 percent ndio wanavuka class 8 kwa sababu mbali mbali ikiwemo poverty
Dudu ni mwamba. Wakati wasaani wengine Tanzania wanakolea katika uchawa Dudu Baya anaongea ukweli.
Mad respect to Dudu Baya 🇰🇪
Asante sana Dudu Baya kwa kusimama na sisi Wakenya 🇰🇪. Mziki wako pia uko sawa 💪🇹🇿
ila ndug zang wakenya wenye kwenda kwa maandamano hamuoni mnazidi kushusha uchumi kwanini msifanye kikao Na rais ruto mkaacha izo mambo
Mimi nawaunga mkono wakenya, ila nina wasiwasi sana kuipeleka nchi yenu pabaya. Hivi huyu Ruto kusaini ile mikataba na Marekani hajuwi kama anaiweka nchi rehani? Kwanini anakuwa kibaraka wa magharibi? wakati wasomi vijana wanajinasua nao?
@@ScopionScopion-zj9cdsasa utafanya kikao vipi na mkora anataka yete ndiyo atakuja na agenda yake ila siyetu na as seti Ratigan. Hiyo ni No
HAKI hainaga historia ya kuombwa bali huDAIWA kwa mujibu wa Quran tukufu na Biblia Takatifu , hapo kwenye kuomba omba ni kwa wale wala chips tu@@ScopionScopion-zj9cd
We all support you
Kenya kila mtu msomi,very true degrees are everywhere
Kabisaa kaka
Kweli kabisa ila maskini niwengi na maskini hao ndio hao hao wasomi
@@زيتونتنزانيا🤔🤭🤫
@@زيتونتنزانياusomi sio dawa ya umasikini jua hilo
kama kusoma ndio kupata riziki, wanyama wangekufa njaa wote !
Huyu jamaa anaongeaga mambo mengi. Mengi anayoyaongea ni ukweli na anapoint. Nivigumu sana kumkuta mwanasanaa wa zamani mpaka miaka hii akiwa timamu kichwani. Wengi waliathilika na madawa n.k
Facts 💯
😂😂 kweli wengi wame changanyikiwa na maisha madawa
@@coolbz133 nimtihani
Kwani nyinyi mko nyuma aje Tanzanias, anyway Tuesday demonstration on CBD my people don't forget to turn up to fight for our country
Shenzi sana!! Hayo madawa mamako ndiye anatuuzia?No day you people you will reach our level we are a head of you in education and knowledge!! Kenyan's are fighting for their rights which you Tazania you can't fight for coz you understand nothing!!! We kenyan's we don't entertain nonsense and it's better you mind your language and business if you want peace with us your so down to address the kenyan's issues where by even yourself you don't know your rights your just there like a robot!!! Shame on once again mind your language or we come for you you foolish hooligans 🐝🐝🐝
Yaani TZ bunge kunapitishwa mswada na hamjui🤔😢 poleni sana majirani zetu
Sisi atujadoma jilani ndio maana sisi bola liende
@@rogerabdallah439 Ucjal Mungu yupo nanyi
@@Mohaa4309 nasisi tunawaombeeni ayo mapambano yaishe muendelee na majukumu yenu ya kila siku nandiomana sisi wezenu bola liende tunaogopa mapambano
Pole kubwa sana
@@Mohaa4309 Sio hawajui ni waoga wa polisi na umoja haupo wanalalamika tu chini chini
Mzee Wa Busara konki masta DUDU BAYA ✊️✊️✊️
May God bless you all the time ❤❤❤
Am frm +254 .. haki mzee Dudu speech yako hiko sahii kabisa ,kiukweli kenya waitambua,.nimependa maelezo yako na tunaitaji magufuli 😢
@@matutaathman5660 Ni informative ndio lakini kuhusu education anadanganya. Si wote wana afford kulipia elimu na wengi tu hata class 8 hawamalizi samabu za kimila kuolewa mapema mimba poverty na passes. Ni only 53 percent wanavuka class 8 na vyuo vikuu si vingi vya kuaccomodate kila mwananchi. Hii ni duniani kote nchi zetu ni worse na wengi tu hawataki tabu ya kwenda shule na masomo ya chuo kikuu si rahisi kwamba kila mmoja aweze
I love the way dudu baya knows history of politics in the world, (Kenya) 🇰🇪 👏🏾
Huyu mwamba ana upeo mkubwa Sana, tofauti na wengi wanavyomchukulia
Zee Dudu. Njoo Kenya mzee uko vizuri
Uku kuna simba na yanga watu awaelewi katiba ndo nn utasikia chama kaenda yanga 😂😂
Uyu jamaa mbongo ipo kichwani
Yaani nimsikiliza yuko very Smart kwa kweli, anaongea point sanaa
Tanzania mlimpoteza Rais mchapa kazi mzuri sana... mwenyezi mungu ailaxe roho yake mahali patakatifu.wakenya tunatembea na katiba mfukoni kila kipengele lazima tupitie
❤
Ndio maana mimi husema siku zote tupeleke watoto shule😢😢😢 kenya tunauchungu sana
@@alisaidi2620 Shule ndio lakini hasa ni ujasiri au kutokuogopa polisi
Ni kweli. Tanzania mambo mengi ya nchi hatujui tu washamba sana wa katiba, sera n.k.
@@camilomassao8971 sio kwamba hatujui kwani si mateso tunayapata na kuyaona? Sema ni waoga au Cowards kuogopa polisi na mabomu yao ya machozi na virungu
Dudu wewe ni mkenya,unaielewa Kenya vizuri
Huyu he's a kenyan
@@hassanyunus4634 Hiyo ya kusema wote wana digrii ni uongo wa mchana mchana. Digrii hazipatikani kirahisi rahisi. Pesa lazima iwepo ya kulipa ada na mahitaji na ubongo uchemke. Maskini wapo kila mahali na wasio uwezo darasani wapo kila mahali. Uwezekano mkubwa alivuta bangi ndio akahojiwa kwani mwenye akili sawa hawezi kuropoka eti wote wana digrii hata Ulaya na Marekani wote hawana digrii
Mtangazaji huna uwezo wa kumhoji konki maana unauliza maswali yasiyo na msingi lkn jamaa anakujibu kwa kukufafanulia mambo makubwa mpaka wew unaona mauzauza. Bro dudu saluti
Good observation bro👍
Mwelewe ni mtanzania
Hakuna nchi duniani wote wafike vyuo vikuu ni uongo. Tena nchi zetu hizi wanaofika vyuo vikuu ni wale walio na wazazi wenye uwezo kipesa .Ikiwa watu wamaona tabu kununua hata kilo ya unga ada na mahitaji ya vyuo vikuu wataviweza wapi? Kwanza acha mambo ya kua bright darasani hivyo vyuo vikuu bya kutosha wananchi wote viko wapi?
Unaongelea Tanzania yenu au?
@@hashimchaoga9566 hivi unajua hapa Kenya tupo na vyuo vikuu vingapi? zipo 68. unadhani wanaosomea kule ni mbuzi?
This guy is legend..Big love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakenya wameonyesha njia Waafrika wengine. We want to chase out European puppets hope all African countries can wake and fight for freedom of Africa.
Tanzania imeshalogwa na Simba na Yanga maskini. Huwambii kitu😂
Konkmaster unafaa kuwa mchambuzi wa siasa mungu akubariki na azidi kukulinda uishi miaka mingi na heri duniani, dudu baya.
kaka uko vizuli sana nimekuelewa sana . maisha malefu kwako bloo
Ukweli kabisaaa, huyu jamaa anaijua siasa ya kenya
Inajulikana kwamba Kenya wanafuata mtu au kikundi cha watu kuwachagua na si chama. Hiyo ni nzuri
Mlevi mbwa lkn anaakili wa uwelevu kushinda watu 1000..big up bro..wengine wanaongelea njaa tu..university ya tz ni sawa na grade 8 ya kenya..halafu mtu mmoja akishaba ugali anabeka eti kenya wana njaa...wtf..u guys should wake up from ur nighmares,.u dont have peace but illitracy of not wanting to know ur rights as a common civilian..we know what we are fighting for,...
💯kweli kabisa kazi n kulia wakenya n njaa inawasumbua Ila hawajui
Wakenya wapo tayari kufa huo ni ushujaa sio elimu. Nilikuwa Tanzania wakati wa Magufuri vigenge vya kahawa vilikuwa vinajaa watu kusikiliza taarifa ya habari ili wasikie Magufuri anasema nini. Sasa hivi ukiweka siasa wana kwambia toa kwa sababu hakuna cha maana. Watanzania waleo ni waoga na wabinafsi hawajali watoto wao watakuja kuishi vipi ili wao wanapata ugali Leo.
Sisi wabunge wakipitisha kitu kama hatujui tunawapiga vita humo ndani ya mbunge
Huu mwamba anahitaji mtangazaji mwenye uwelewa mkubwa ako na uelewa mkubwa sana na anajua sana huyu.
Dudu Baya uko 100% correct concerning everything you have talked about...sio utajiri tunataka..ila vitu vidogo vidogo muhimu maishani ndio tunataka.Rais Ruto kwa taarifa yako wakenya wamechoka nae kwa mambo mengi...imagin anagandamiza nchi yetu nzuri..Cha ajabu ni kwamba toka aanze kazi ya siasa miaka tuu zaidi ya 20 iliyopita hajawahi kufanya mradi wowote ambao mwananchi anaeza uona...the guy is very very corrupt
Inafaaa mfuatilie serikali mjue kwaendelea nn nchi ni yenu bana 💪💪💪
Hello Mr Conki master!
This is Gen z from the continent of Kenya. We’re stoked to have you with us.
Let’s kick off this partnership with some great ideas - what do you say?
Watz pumba tupu uoga ndiyo cha kwanza
Dudu una akili xna bro.... ubarikiwe na uishi miaki mingi kaka...uzidi kuchanua mmbo.
Dudu Mbaya all the way 💪💪💪💪💪💪💪Tafuta kiti ya president,We will come and campaign for you,Such a great political analyst and very informed too, with kenya politics.Dudu mbaya akuwe naibu wa rais wa tundu Lisu.👍👍👍
@@naishoruamooke Ana historia ya ugomvi na hata labda kuvuta Bangi hafai kabisa kua president hata wa shule. Halafu ni mwongo eti kila mtu kafika University. Hiyo hata Ulaya Marekani wala Urusi si wote wamefika chuo kikuu itakua third world na poverty kibao na mila na desturi za baadhi ya makabila.Mimi nimesoma University ya Nairobi na zinginezo majority ni watoto wa wakubwa na matajiri. Elimu inataka pesa uwezo wa kupasi mitihani na willing. Si wote wanavyo hivyo. Hajui elimu ya chuo kikuu anadhani ni masomo rahisi wakati hata class 8 si wote wanapasi.
Much love from Kenya dude baya❤🎉
Bro konki ww unatakikana hapa Kenya ungetuongoza ktk kupigania uhuru wa maskini, tunaumia kinoma
Mengi uko sahihi na Mengi hauko sahihi, Wakenya wanajua katiba je hiyo katiba ndio inawafanya wachome Mali za umma? Na kuiba Mali za watu? Kama kweli wanajua katiba ya Kenya je Mhe Ruto ni rais halali wa Kenya au sio halali? Kenya kinacho wasumbua ni Ukabila tu kama kweli issue ni finance bill mbona Mhe Ruto amesema hoja hiyo basi lakini hadi Sasa wanajiandaa kufanya maandamano mengine? Eti Kenya kila mtu msomi hujafika Kenya au Umeishia Nairobi Mjini, ni Taifa la watu wachache wenye Neema na hawataki wengine waingie kwenye hiyo cycle, kwa taarifa tu Hawa jamaa hata Rais akija mwingine wataandamana na katiba yao haija wasaidia, Siku zote katiba inayo onekana nzuri ni Ile inayo waingiza wapinzani madarakani, na Ruto asipokiwa mkali watampanda kichwani na hiyo mbegu chafu itahamia Nchi zetu, North Korea wanatumia katiba gani? Na miji yao ni ya kisasa kuzidi hata hizi nchi zetu zenye democracy, Vijana tujitume tuwe wabunifu , Serikali kazi yake ni kuweka miundo mbinu rafiki tu ya uwekezaji na biashara , na sio kigawa hela, tuamke tuache kufuat mkumbo, baadhi wakiona Rais hatoki kwenye ukanda , kabila au dini yake wanaanza kutafuta chokochoko , yaani wanatafuta mwanya kidogo tu wanaanzia hapo, fursa ni nyingi hapa duniani, kama unga au mchele haukamatiki nenda kalime wewe ni fursa hiyo, kama Kuku bei juu fuga wewe , tuko kwenye East Africa sio kila maandamano yana Nia njema , mengi ni agenda za Ukabila na udini
Hapa unaongea pumba tupu halafu Uzi mrefu ila uharo mtupu.
Nikweli Mimi ni mtanzania na mpaka nimekuwa ivi sielewi Katiba ipoje napia nakuwa mzito sana kufatilia siyasa ya Tanzania kifupi sielewi A Wala Z
Mwambaa
Watanzania sisi wajinga Sana taarifa ya habari inasomwa jitu linasema weka mpira makuma zani
DUDU BAYA UNATOSHA KUA MKENYA KULIKO. MTANZANIA, UNAJIELEWA SANA HUJAPUMBAZWA NA KINA DIAMOND AMA KUSHABIKIA WANASIASA AMA WAKUU WA MIKOA KAMA KINA MAKONDA
Dudu apewe uongozi