KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 17/ 06/ 2024
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH: IBADA YA MORNING GLORY (THE SCHOOL OF HEALING) 17/ 06/ 2024
UJUMBE WA LEO: NGUVU YA UHARIBIFU ILIYO NYUMA YA NENO BAYA ULILO TAMKIWA ,KUJITAMKIA,AU KUTAMKIA
Zaburi 33 : 9
Isaya 7 : 7
Zaburi 141 : 3
Mithali 13 : 3
Marko 5 : 25 - 28
Mithali 6 : 2
Zaburi 33 : 9
9 Maana Yeye alisema, ikawa; Na Yeye aliamuru, ikasimama.
Isaya 7 : 7
7 Bwana MUNGU asema hivi, Neno hili halitasimama wala halitakuwa.
Zaburi 141 : 3
3 Ee Bwana, uweke mlinzi kinywani pangu, Mngojezi mlangoni pa midomo yangu.
Mithali 13 : 3
3 Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.
Marko 5 : 25 - 28
25 Na mwanamke mmoja mwenye kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili,
26 na kuteswa mengi kwa mikono ya matabibu wengi, amegharimiwa vitu vyote alivyo navyo, kusimfae hata kidogo, bali hali yake ilizidi kuwa mbaya
27 aliposikia habari za Yesu, alipita katika mkutano kwa nyuma, akaligusa vazi lake;
28 maana alisema, Nikiyagusa mavazi yake tu, nitapona.
Mithali 6 : 2
2 Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako,
Mhubiri: Mwnj. Henry Mlay
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Mch. Msaidizi: Anna Kuyonga
Simu: +255 713 553 443
RUclips: Kijitonyama Lutheran church
Barua Pepe: Kijitonyamalutheran@gmail.com
Amina mtumishi wa Mungu
Amina 🙏
Amen
AMEN
Kila maneno mabaya niliyotamkiwa, kila maneno mabaya niliyowatamkia, kila neno baya nililojitamkia nayavunja kwa damu ya YESU Kristo 🙏Amen
Asante yesu kwakuihona sku yaleo tena Amina
Asante yesu maneno mazuri niliyotamkiwa yawe ndani ya safari ya maisha yangu.
maneno yote mabaya hayatanipata kwa jina la yesu
Asante Yesu hili neno ni langu .
Maneno yote mabaya hayatanipata Kwa jina la Yesu
Aamen
Asante Yesu kwa siku hii ya Leo. Asante kwa kuniambatanisha na madhabahu hii ya kijitonyama na watumishi wako Wsnaokuabudu siku ya leo. Much. Eliona na Mwalimu Henry na washirika wote Ili tukuabudu wewe.
Ninafuta maneno yote yaliyonenwa au niliyonena kwa vinywa kwa ajili yangu na kwa ajili ya watoto wangu. Ninayafuta kwa kutumia damu Yesu. Nakuomba univuvie maneno mapya na unishushie nguvu yako Ili nikapate kuliishi neno lako.
Msafishe mwanangu Henry atakasike kwa neno lako kama ahadi yako inapisema ktk Zaburi 57. We Yesu nakuomba sana univuvie maneno mapya ndani yangu.na ndani yake Mtoto Henry
Asante yesu tunabalikiwa sana Ameeeeeee
Hakika hakuna neno lolote baya nililotamkiwa kwa wazi au siri litakalosimama kwa jina la YESU
Asante Mungu
Amina Amina
ameen
Amen