#Live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 дек 2024

Комментарии • 16

  • @Suaad-gp7dk
    @Suaad-gp7dk 6 месяцев назад

    Napokea upako huu mwili wangu ufunguliwe maradhi yote yaishe amen

  • @yustinaedward2339
    @yustinaedward2339 6 месяцев назад

    Amen baba

  • @SolomonJohnson-hg9cj
    @SolomonJohnson-hg9cj 6 месяцев назад +1

    Aameeen mtumishi ubarikiwe mmnooo

  • @MelinaKimata
    @MelinaKimata 6 месяцев назад +1

    Napokea upako wa kufunguliwa uchumi wetu mm pamoja na Mme wangu pia tuweze kuhama mahali hapa kirahisi..baliki tuweze kupata mkopo kirahis ili Mme wangu aweze kuianza biashara ilokufa

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Mungu niunganishe na mwanangy abuu

  • @MartaernestoMichanda
    @MartaernestoMichanda 6 месяцев назад

    Amém

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Ewe mungu nisaidie wanao nidai wote wanivumilie nitafute ela niwape na wakiniina wasiwe wakali kwangu wawe Wapole mungu nsaiidie

  • @TamashaKokusiima-re7is
    @TamashaKokusiima-re7is 6 месяцев назад

    Nafunguliwa mimi na familia yangu yooote

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Ewe mungu nipo kwenye mazabao hii naomba nifunguliwe matatizo yangu yote

  • @FloraMponzi-ld3mx
    @FloraMponzi-ld3mx 6 месяцев назад

    Napokea maombi ya kazi

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Mungu nisaidie pepo la Kirkhope la madeni liishe kwangu

  • @MariamMariam-pg7uz
    @MariamMariam-pg7uz 6 месяцев назад

    Ameeerr

  • @FloraMponzi-ld3mx
    @FloraMponzi-ld3mx 6 месяцев назад

    Nataka kaz ya maan sana

  • @EnesiaNelson
    @EnesiaNelson 6 месяцев назад

    Nataka kufuguliwa

  • @JamilaomariMuhamed
    @JamilaomariMuhamed 5 месяцев назад

    Darazia mama sele lorini depending nanotechnology wanai nidai nawakabizi kwenye mazabao hii nivutie subila niwatafutiè help munĝu nisaidie

  • @LyidiaKaminyoge
    @LyidiaKaminyoge 6 месяцев назад +1

    Balikiwa mtumishi,naota nalishwa vitu mdomoni nikiwa natema ndotoni vina goma, ila sivimezi sielewi manayake nn?