Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
🎉🎉🎉kitasaaa cha yangaaa
watangazaji msitufanye sisi mazuzu, unapata wapi nguvu ya kudanganya eti Diara mara ya mwisho kudaka penalty ilikua dhidi ya USMA wakati juzi kadaka dhidi ya medeama kwa mkapa
Hahaha
Hao wote wamekaa Kimakolo makolo tu 😂😂 wanafiki tupu huoni wameonyesha penalt tu hawaonyesha magoli ya Mali😂😂
wanamakasiriko ya goli 5 mpk leo
@@neemaisack8266nyie vinyesi fc mmesha fungwa goli 5-0 na simba hiyo 5-1mnaona ajabu mpk kuweka mabango nchi nzima washamba nyie
Anaumia
Safi kuwafunga hao protekta ya buku mbili kaliakoo imepasuka mbovu
Tau mpira ushaisha
Sasa ndio clip gani ya kipuuzi, hamuweki yote ndio nini sasa
Watangazaji ni makolo!
Naomba niulize diarra huwo mpira alopiga tau kaudaka au vp na kama kaudaka katumia miguu au mikono ?
mali na south africa ndo wataenda
hata kama mmeweka guidelines, ndo muweke highlight kama hii, aloedit alikua anasinzia ama!!
halafu anaroho mbaya kishenzi aliye edit
@@Yangaone-h8j hahaha
Diarra heko sana
Tau anamuogopa diara anajua mziki wake😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Diary sijui kama msimu ujao tutakua nae jangwani
Yani percy tau cjui anajikuta nani kukosa penat
Tau anamuogopa diara anajua mziki wake😂😂😂😂na bado,,,
Hii var isiletwe bongo tutaipasua
Acha uwongo mtangazaji!!
Mara ya mwisho kudaka penalty ilikua dhidi ya medeama
Sio dhudi ya medeama zidi ya medeama
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@@NasoroRafii-pt1ts kusoma hujui au una kengeza
Juzi tu hapa diara kapangua penalty zidi ya medeama Mtangazaji acha uongo hujui hata kufuatilia mpira nyoooo
wabongo mnaongea sana
Upo sahihi
Ajadaka Ila Kuna mkwara tu wa utulivu golini anamfanya mpigaji akose position ya kufunga.
Katumia makalio
🎉🎉🎉kitasaaa cha yangaaa
watangazaji msitufanye sisi mazuzu, unapata wapi nguvu ya kudanganya eti Diara mara ya mwisho kudaka penalty ilikua dhidi ya USMA wakati juzi kadaka dhidi ya medeama kwa mkapa
Hahaha
Hao wote wamekaa Kimakolo makolo tu 😂😂 wanafiki tupu huoni wameonyesha penalt tu hawaonyesha magoli ya Mali😂😂
wanamakasiriko ya goli 5 mpk leo
@@neemaisack8266nyie vinyesi fc mmesha fungwa goli 5-0 na simba hiyo 5-1mnaona ajabu mpk kuweka mabango nchi nzima washamba nyie
Anaumia
Safi kuwafunga hao protekta ya buku mbili kaliakoo imepasuka mbovu
Tau mpira ushaisha
Sasa ndio clip gani ya kipuuzi, hamuweki yote ndio nini sasa
Watangazaji ni makolo!
Naomba niulize diarra huwo mpira alopiga tau kaudaka au vp na kama kaudaka katumia miguu au mikono ?
mali na south africa ndo wataenda
hata kama mmeweka guidelines, ndo muweke highlight kama hii, aloedit alikua anasinzia ama!!
halafu anaroho mbaya kishenzi aliye edit
@@Yangaone-h8j hahaha
Diarra heko sana
Tau anamuogopa diara anajua mziki wake😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Diary sijui kama msimu ujao tutakua nae jangwani
Yani percy tau cjui anajikuta nani kukosa penat
Tau anamuogopa diara anajua mziki wake😂😂😂😂na bado,,,
Hii var isiletwe bongo tutaipasua
Acha uwongo mtangazaji!!
Mara ya mwisho kudaka penalty ilikua dhidi ya medeama
Sio dhudi ya medeama zidi ya medeama
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
@@NasoroRafii-pt1ts kusoma hujui au una kengeza
Juzi tu hapa diara kapangua penalty zidi ya medeama Mtangazaji acha uongo hujui hata kufuatilia mpira nyoooo
wabongo mnaongea sana
Naomba niulize diarra huwo mpira alopiga tau kaudaka au vp na kama kaudaka katumia miguu au mikono ?
Upo sahihi
Ajadaka Ila Kuna mkwara tu wa utulivu golini anamfanya mpigaji akose position ya kufunga.
Katumia makalio