PERCY TAU PENALTY MISS : MALI 2-0 SOUTH AFRICA AFCON 2023 (TAU ALIVYOKOSA PENATI DHIDI YA MALI)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 42

  • @RAMADHANIMNYOMBE-ti4vx
    @RAMADHANIMNYOMBE-ti4vx 8 месяцев назад +8

    🎉🎉🎉kitasaaa cha yangaaa

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 8 месяцев назад +43

    watangazaji msitufanye sisi mazuzu, unapata wapi nguvu ya kudanganya eti Diara mara ya mwisho kudaka penalty ilikua dhidi ya USMA wakati juzi kadaka dhidi ya medeama kwa mkapa

    • @introverthustler
      @introverthustler 8 месяцев назад +1

      Hahaha

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 8 месяцев назад +4

      Hao wote wamekaa Kimakolo makolo tu 😂😂 wanafiki tupu huoni wameonyesha penalt tu hawaonyesha magoli ya Mali😂😂

    • @neemaisack8266
      @neemaisack8266 8 месяцев назад +5

      wanamakasiriko ya goli 5 mpk leo

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 8 месяцев назад

      ​​@@neemaisack8266nyie vinyesi fc mmesha fungwa goli 5-0 na simba hiyo 5-1mnaona ajabu mpk kuweka mabango nchi nzima washamba nyie

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 8 месяцев назад +4

      Anaumia

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 8 месяцев назад

    Safi kuwafunga hao protekta ya buku mbili kaliakoo imepasuka mbovu

  • @jacksonmenas6026
    @jacksonmenas6026 8 месяцев назад +2

    Tau mpira ushaisha

  • @athumanimakange9346
    @athumanimakange9346 8 месяцев назад +2

    Sasa ndio clip gani ya kipuuzi, hamuweki yote ndio nini sasa

  • @RASHIDIKASOMA
    @RASHIDIKASOMA 8 месяцев назад

    Naomba niulize diarra huwo mpira alopiga tau kaudaka au vp na kama kaudaka katumia miguu au mikono ?

  • @HenryMathias-fe5uh
    @HenryMathias-fe5uh 8 месяцев назад

    mali na south africa ndo wataenda

  • @introverthustler
    @introverthustler 8 месяцев назад

    hata kama mmeweka guidelines, ndo muweke highlight kama hii, aloedit alikua anasinzia ama!!

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 8 месяцев назад +1

      halafu anaroho mbaya kishenzi aliye edit

    • @introverthustler
      @introverthustler 8 месяцев назад

      @@Yangaone-h8j hahaha

  • @mshatikimara7605
    @mshatikimara7605 8 месяцев назад +3

    Diarra heko sana

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 8 месяцев назад +7

    Tau anamuogopa diara anajua mziki wake😂😂😂😂

  • @imrankweka4752
    @imrankweka4752 8 месяцев назад +1

    Diary sijui kama msimu ujao tutakua nae jangwani

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 8 месяцев назад

    Yani percy tau cjui anajikuta nani kukosa penat

  • @saimonmwakapala741
    @saimonmwakapala741 8 месяцев назад

    Tau anamuogopa diara anajua mziki wake😂😂😂😂na bado,,,

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma 8 месяцев назад

    Hii var isiletwe bongo tutaipasua

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 8 месяцев назад +1

    Acha uwongo mtangazaji!!

  • @benithoii2789
    @benithoii2789 8 месяцев назад +1

    Mara ya mwisho kudaka penalty ilikua dhidi ya medeama

    • @NasoroRafii-pt1ts
      @NasoroRafii-pt1ts 8 месяцев назад

      Sio dhudi ya medeama zidi ya medeama

    • @NasoroRafii-pt1ts
      @NasoroRafii-pt1ts 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅

    • @benithoii2789
      @benithoii2789 8 месяцев назад

      @@NasoroRafii-pt1ts kusoma hujui au una kengeza

  • @Zina-m2v
    @Zina-m2v 8 месяцев назад

    Juzi tu hapa diara kapangua penalty zidi ya medeama Mtangazaji acha uongo hujui hata kufuatilia mpira nyoooo

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 8 месяцев назад

    wabongo mnaongea sana

  • @RASHIDIKASOMA
    @RASHIDIKASOMA 8 месяцев назад

    Naomba niulize diarra huwo mpira alopiga tau kaudaka au vp na kama kaudaka katumia miguu au mikono ?