Highlights | Tanzania 2-1 Morocco | Wanawake U17 | Mechi ya Kirafiki 23/09/2023
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Timu ya Taifa ya Wanawake U17 #SerengetiGirls imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Morocco, mchezo wa kirafiki kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi, ukipigwa kwa dakika 80 pekee.
Magoli ya Tanzania yamefungwa Masika Khing 19' kwa penati na Sabina Alex 61' huku la Morocco likifungwa kwa tikitaka na Ouaffa Bentahri 77'.
Refa kachezesha chin ya kiwango kaonesha ubinafsi
Which channel broadcasts the match?
TIMU YETU HAKUNA 17 HAPO NI 19 MPAKA 20 HONGERA TUMESHINDA
Weee uchawi unakusumbua
@@lucillamollel5497 SIO LAZIMA UNIAMINI LAKINI UKWELI NDIO HUWO.
Huyu Jamilah Joseph anakitu atafika mbali
Ali wahikusema mtumishi wamungu mama uyuuh anashida niwahombe twende naye viva j p m
Watu wayanga watasema refa hafai Yani wale malalamiko fs
Tuwape hongera yao
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Refa mbinafsi
Kachezecheni nyie au mama zenu fara nyie