Highlights | Tanzania 2-1 Morocco | Wanawake U17 | Mechi ya Kirafiki 23/09/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Timu ya Taifa ya Wanawake U17 #SerengetiGirls imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Morocco, mchezo wa kirafiki kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi, ukipigwa kwa dakika 80 pekee.
    Magoli ya Tanzania yamefungwa Masika Khing 19' kwa penati na Sabina Alex 61' huku la Morocco likifungwa kwa tikitaka na Ouaffa Bentahri 77'.

Комментарии • 12