Henrick Mruma - Nataka Nitulie (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #NatakaNitulie #Nikikuamini #Nikikusubiri #Maombi
    Nataka Nitulie is a song of prayer to God, A prayer in the seasons of unanswered questions and waiting for the things that we need in our lives as we have no guarantee of their occurrence to our lives and not knowing how long will it take for us to wait until we get them and if they will bring joy and breakthrough in our lives. So in this song, We declare the faith we have for God as we relax and be still and knowing that God is faithful and whole for He will give us all the answers according to the time that He sees right for us. It won't matter how long that we have to wait but a long as we trust JESUS, WE WILL RELAX. Join with me in this prayer song of life.
    Nataka Nitulie ni wimbo wa maombi kwa Mungu, Maombi katika nyakati ambazo tunakuwa na maswali mengi ambayo hatuna majibu yake na tunasubiri mambo ambayo tunayahitaji kwenye maisha huku tukiwa hatujui itatuchukua muda gani hadi tuyapate na kama ni kweli yataleta furaha na upenyo kwenye maisha yetu. Katika wimbo huu tunakiri kumuamini Mungu huku tukitulia na kujua kwamba Yeye ni Mwaminifu na Mkamilifu na atatupa majibu kulingana na muda ambao Anaona kwamba ni sahihi kwetu. Haitajalisha tutasubiri kwa muda gani, Ila kwa kuwa tunamuamini YESU, TUTATULIA. Ungana nami kwenye wimbo huu wa Maisha.
    ISAYA 40:31
    Singer/Song writer: HENRICK MRUMA
    Audio Producer: JUSTIN RIDER (RIDER RECORDS)
    LEAD GUITAR: NAHUM GIDEON
    BASS GUITAR: AMOS BEVIN
    AUXILIARIES: JOHN NTETE
    Video Director: YOTHAM LYOBHA
    Vocal Arranger: HENRICK MRUMA
    Back Vocals: Soprano and Alto: PRAISE GAMUYA, GLADNESS SIYAME and DORCAS AUGUSTINO. Tenor: BESTER ALBERT
    Video Cast: VICTOR, ANNA, JANETH, NANCY and JACKLINE.
    Istagram: @henrick_mruma
    Facebook: Henrick Mruma
    Contacts: 0744 417 141
    Email: henrickmruma@gmail.com
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 288

  • @Dira-90
    @Dira-90 Год назад +1

    Booonge moja la wimbo! Sa nilikuaga wapi miaka yote miwili nikawa sijauskia huu wimbo jamani!?

  • @Angela-uu9hz
    @Angela-uu9hz 3 года назад +1

    Helluyah Mungu kwa majira yako unafanya.

  • @fortunatankya3242
    @fortunatankya3242 3 года назад

    Anointing Anointing Anointing..wingu limeshuka for 2hrs nikiabudu na kuongea na Bwana kwa mzigo..UmeBarikiwa Mtumishi..Roho Mtakatifu yupo ndani yako big time,Ombi langu kwako ni kuwa,uimbe nyimbo za kuabudu.Tushushie wingu baba.Amina..barikiwa...

  • @adventinaadriano7675
    @adventinaadriano7675 Год назад

    Ohhhhhh sichoki kusikiliza huu wimbo hakika Mungu huweka vipawa ndani ya watu ubarikiwe kaka songambele wewe ni hadhina ya Mungu 🙌🙌🙌

  • @upendokulwa1294
    @upendokulwa1294 3 года назад

    Haya Ni maombi kabisa Tena yenye majibu . Kaka barikiwa Sana kwa wimbo mzuri ambao ninapokuwa na mahitaji yangu kwa Mungu nauimba huu wimbo. Nakupokea majibu.

  • @neemangowi3514
    @neemangowi3514 7 месяцев назад

    Nimebarikiwa na huu wimbo pia nabarikiwa sana na nyimbo zenu

  • @anethcleophace9199
    @anethcleophace9199 4 года назад +1

    Zaidi na zaidi....ubarikiwe Sana na Mungu akumbuke kazi ya mikono yako

  • @faithngaleni7930
    @faithngaleni7930 2 года назад

    Nimebarikiwa sana. MUNGU AKUONGEZEE HATUA KATIKA HUDUMA YAKO

  • @evelinechesco2726
    @evelinechesco2726 Год назад

    Ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU kweli ulingoja wakati wakwako kwautilivu na MUNGU kaona niwakati sahihi sasa watumishi wake tupandishwe viwango kupitia wewe

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 4 года назад

    hongera sana.my son.wimbo mzuri sana.Mungu akubariki

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika9355 4 года назад +9

    Hii sio nyimbo....ila Ni IBADA kamili🙌🙌🙌🙌🙌

  • @concolatakalinga3187
    @concolatakalinga3187 4 года назад +2

    Hongera sana brother Mungu azidi kukuinua na kukutumia kwa viwango......Barikiwa sana

  • @irenemosi319
    @irenemosi319 2 года назад

    Waoooooooh aisee hii nyimbo nilikuaga naisikiaga but sikuwah ona video ndo Leo,kumbe ni wewe umeimba barikiwa sanaaaa na YESU🔥🔥🔥🔥

  • @neemawilson6029
    @neemawilson6029 4 года назад +1

    Aisee nimebarikiwa na huu wimbo kila wakti

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад

      Zidi kubarikiwa mtumishi na usiache kuomba.

  • @emmanuelngwiji2069
    @emmanuelngwiji2069 4 года назад

    Enrick akika nyimbo himenibarick wewe nimkali unajuwa kuimba kanzana mungu atakuinuwa2 mahana hakuna wakupinga akisema yeye

  • @bongotouchtz3204
    @bongotouchtz3204 4 года назад +4

    Yes ,namuona Yesu jinsi anavyo vusha watu ambao wanapitia nyakati ngumu ,kunamtu ana subiri majibu ya mtoto,mke,mume, huduma,kz.....Mungu azidi kukuinua bro.very power song.

  • @emmanuelngwiji2069
    @emmanuelngwiji2069 4 года назад +1

    This song is very nice mungu azindi kukuhinua uhimbe zaidi na zaidi.

  • @TysonJohn-p8h
    @TysonJohn-p8h 6 месяцев назад

    Kaka Mungu amekutoa mbali Hakika

  • @SamuelErnest
    @SamuelErnest 2 года назад

    Kwa utuliiivu
    🔥🔥🔥🙌🙌🙏🙏😀😀♥️♥️♥️

  • @zaitunilucas3289
    @zaitunilucas3289 4 года назад +1

    Nikikusubiri unipe majibu kwa majira yako huku nikikuamini

  • @hildavet334
    @hildavet334 4 года назад +1

    I love this song much . Barikiwa mtumishi

  • @lilianendrew3307
    @lilianendrew3307 3 года назад

    Nataka nituliee nikimsubilii Amiri jesh mkuuu atende kwa majila yake ubarikiwe kaka nataka nami nitulie nikimsubiri bwana hapa

  • @anethalson3940
    @anethalson3940 3 года назад

    mungu akutumie apendeavyo ubarikiwe sana uwende viwango vya juu

  • @tumpesanga3523
    @tumpesanga3523 3 года назад

    Barikiwa sana mtumishi

  • @avitjosepht498
    @avitjosepht498 4 года назад

    Wimbo huu umekuwa baraka sana kwangu. #natakanitulie

  • @emmanuelmkanyege1921
    @emmanuelmkanyege1921 Год назад

    Kazi nzuri

  • @updatedrefreshment7205
    @updatedrefreshment7205 4 года назад +4

    Hakika nikikuamini,nikikusubiri...thanks for good melody that heals

  • @joshuasamwel_tz
    @joshuasamwel_tz 4 года назад

    AMEN. Wow Tamu yangu Nyimbo hii.
    Nikikusubiri unipe majibu. Ha ha ha .Blessed

  • @dee7042
    @dee7042 4 года назад

    Nataka nitulie nikimuamini Yesu Amen kwa message nzuri

  • @florahemmanuel8323
    @florahemmanuel8323 3 года назад

    Mungu akutumie kwa viwango vya juu zaidi

  • @hezronnkwama4828
    @hezronnkwama4828 2 года назад

    Mungu awabariki akufanye bora zaidi

  • @emmanuelminja4502
    @emmanuelminja4502 4 года назад

    Mwenyez mungu aendelee kukubarik

  • @joycentakamulenga5280
    @joycentakamulenga5280 4 года назад

    Mungu akibariki kipawachako mtumishi ameni.

  • @edsonkimario9266
    @edsonkimario9266 4 года назад +1

    Mungu akuinue zaidi kaka

  • @AmosMsambilaMission26
    @AmosMsambilaMission26 4 года назад +3

    Baba wimbo mzuri, Mungu akuinue zaidi

  • @adventinaadriano7675
    @adventinaadriano7675 2 года назад

    Songa mbele Yesu anakusubiri🙏

  • @francisconyalema1279
    @francisconyalema1279 4 года назад

    Jaman Yesu n Mzuri #blessing upon you

  • @HOPEMEDIATZ
    @HOPEMEDIATZ 4 года назад +1

    hongera san this very anointing song

  • @mcablenty1956
    @mcablenty1956 4 года назад +1

    Kaka kazi nzuri sana, Mungu akubariki zaidi

  • @vivianmrashani3411
    @vivianmrashani3411 4 года назад +2

    MUNGU akubariki sanaaaa kwa kazi hii.Ahsante kwa kukubali kutumika kwa MUNGU kutufikishia ujumbe huu.
    MUNGU azidi kukujalia Neema yake

  • @minister-JosephSengati4464
    @minister-JosephSengati4464 3 года назад

    Hongera blood

  • @LuganoEdom
    @LuganoEdom 4 года назад +2

    Barikiwa sanaaaa. 🙌 UNIPE MAJIBU

  • @hawamruma662
    @hawamruma662 2 года назад

    Barikiwa

  • @aidansiame3736
    @aidansiame3736 2 года назад

    We jamaa tumesoma wote University of iringa I know you be blessed brother I hope you will go beyond

  • @lonikialfred5103
    @lonikialfred5103 4 года назад +2

    Hongera mruma ubarikiwe

  • @dayanbukuku3602
    @dayanbukuku3602 4 года назад +2

    Daaaa

  • @lamecksumary3536
    @lamecksumary3536 4 года назад +2

    Mungu akubariki sana kaka binafsi nilibarikiwa sana na huduma yako pale MICC

  • @ellysamwel4773
    @ellysamwel4773 3 года назад

    Asantee kaka wimbo wako umenigusa sana

  • @samsongwamaka8400
    @samsongwamaka8400 4 года назад +3

    Kaka ingekuwa amri yangu, tungefanya uwe wimbo wa taifa hakika kila matanzania angeokoka, naamini katiko ujumbe huu wapo waliokata tamaa, wapo walioanguka dhambini wanaenda kupona.
    Powerful anointing

  • @elishajacob5015
    @elishajacob5015 4 года назад

    Be blessed bro.kazi nzur

  • @careenkuzilwa5467
    @careenkuzilwa5467 3 года назад +1

    It's very powerful message, tangu usiku nimelala nasikia huu wimbo roho mtakatifu ananiimbia nikaamka nikanza kuimba kipande nikaingia Google nitafute ni wimbo gan ni nani kaimba nikaingiza kipande kile ikaniletea huu wimbo nimebarikiwa sana, Mungu akuinue zaidi

  • @joycejaphet8407
    @joycejaphet8407 3 года назад

    Nikikuamini / Nikikusubiri unipe majibu.🙏🙏🙏

  • @mosesluanda6222
    @mosesluanda6222 4 года назад +2

    Wonderful WORSHIP
    Groly to almost high GOD.
    Aendelee kuachilia mafuta yake juu yako brother.

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад +1

      Utukufu na heshima vyote ni vya Mungu aliye hai. Yeye Ndiye Anayetupa Neema ya kufanya haya yote. Zidi kuniombea sana na Mungu aendelee kukubariki na kukuinua.

  • @yohanamollel8035
    @yohanamollel8035 4 года назад +2

    Mungu awapeleke viwango vya juu sana wa tumishi

  • @paulkersh8185
    @paulkersh8185 4 года назад

    Good work

  • @_princewarren
    @_princewarren 3 года назад

    Nataka Nitulie 🙌🏽🙌🏽

  • @jonathan_loved7433
    @jonathan_loved7433 2 года назад

    Sanaah kaka

  • @minister-JosephSengati4464
    @minister-JosephSengati4464 3 года назад

    Umenihudumia huu wimbo

  • @sirecha
    @sirecha 4 года назад +5

    Big up sana Mtumishi wa Bwana!! Mungu Azidi kukuinua na kukutumia kwa viwango vya juu zaidi ya hapo.. Very powerful song, perfect music arrangement, super!! Keep the fire burning..

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад

      WOOOOOOW. Ubarikiwe sana kaka yangu.

  • @CJMusic
    @CJMusic 4 года назад +2

    Hongera sana kaka

  • @christophermedson4221
    @christophermedson4221 3 года назад

    Et unanyimbo ambayo umeimba inaitwa chanzo

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 4 года назад +4

    Nimesabscraib tayari Huu wimbo umenigusa mno

  • @nembristaiko1882
    @nembristaiko1882 2 года назад

    Be blessed servant of the living God words with power of God within

  • @vitalisbaraza1376
    @vitalisbaraza1376 3 года назад

    Great song bro, keep up the good wrk

  • @amonmwakatundu2791
    @amonmwakatundu2791 4 года назад +1

    Brother Msauzi.....hongera sana kwa kazi nzuri. Vocal imesima aswaa...good music, blessings brother. Mungu azidi kukuinua nakubariki kazi yako.

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад

      Utukufu kwa Mungu. Asante sana kwa kunitia moyo brother. Ubarikiwe sana.

  • @reymos8
    @reymos8 4 года назад +11

    Oh Praise The Lord! Hongera sana brother Henrick huduma yako iendelee kupata kibali machoni pa Mungu nasi tuendelee kubarikiwa.

  • @dainesspius2632
    @dainesspius2632 4 года назад +1

    Oooh hallelujah

  • @linnetwangui1838
    @linnetwangui1838 Год назад

    Let the Lord preserve these grace brother in the midst of many enemies brother

  • @yesuanaokoamtumainiyeye1360
    @yesuanaokoamtumainiyeye1360 4 года назад +1

    Nice song

  • @sampamba
    @sampamba 4 года назад +2

    Safi sana Henry

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 4 года назад

    Tumuamini Na Tumsubiri atatenda............ ! Yesu ni mwaminifu ❤️ Hallelujah

  • @amokeys4853
    @amokeys4853 4 года назад +1

    Nyimbo hii nikiisikiliza inanipa matumaini ndani ya maisha yangu I love this song

  • @barakakamafa1807
    @barakakamafa1807 4 года назад +2

    nataka nitulieeeee nikikuaaaaaminiii.....
    nice song... njce video... be blessed bro

  • @gracemagafu1837
    @gracemagafu1837 4 года назад +3

    Hongera sana bro, huu wimbo umegusa maisha ya wengi

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад +1

      Tuzidi kuomba Grace. Neema ya Mungu ni ya ajabu.

  • @farajanaiman4127
    @farajanaiman4127 4 года назад +2

    Asante kwa huduma mwanangu

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 4 года назад +2

    Barikiwa Sana Kaka wimbo unainua na kutukumbusha Juu ya subira kwa Mungu aliye hai....Mungu akuinue kaka

  • @bahandwaalain6757
    @bahandwaalain6757 Год назад

    Engela xana

  • @veronicadavidyobhele
    @veronicadavidyobhele 4 года назад +1

    Bless u🙌🔥🔥🔥nyimbo nzuriiiiii sanaaaa

  • @rholetrytry326
    @rholetrytry326 4 года назад +3

    Nice song,spirjt filled , ubarikiwe Sana Henrick

  • @lucynluyali573
    @lucynluyali573 2 года назад

    Beautiful song 🎵❤

  • @originalcindy9387
    @originalcindy9387 4 года назад +1

    Nice

  • @wemajuma5148
    @wemajuma5148 4 года назад +1

    Duuuh🙌🏼,,

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya 4 года назад +3

    Great song mixing onpoint ,arangments on point na na ujumbe Mkubwa sanaa

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад

      Ubarikiwe sana Boss wangu. All the Glory to God.

  • @gwamakamwakalinga6705
    @gwamakamwakalinga6705 4 года назад +9

    Bless You bro,what a song aseee

  • @mathiaspeter3446
    @mathiaspeter3446 4 года назад

    Powerful song

  • @livemusicsound1217
    @livemusicsound1217 4 года назад +2

    Hongere kaka

  • @santanababra8792
    @santanababra8792 4 года назад +5

    I don't know what to write about this song! .... Thank you For Obeying God about this song it is indeed full of annointing

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад

      AMEN. ALL THE GLORY BELONGS TO GOD.

  • @johnsalum1239
    @johnsalum1239 4 года назад +2

    Be blessed bro....am really blessed with song

  • @agnesmbone231
    @agnesmbone231 Год назад

    🤲🤲🤲🤲🤲🧎🏻‍♀️🧎🏻‍♀️🧎🏻‍♀️

  • @pastorlatsonmusa
    @pastorlatsonmusa 2 года назад

    Am blessed with the song.....

  • @reinecharamila9311
    @reinecharamila9311 4 года назад +2

    Wooooooow it so powerful song yaan hii ni ibada kamili na halisi hii wimbo inakusogeza uweponi wa Bwana Mungu yetu aliye hai akakuinie viwango vya juu zaidi na zaidi

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад +1

      Utukufu wote ni kwa Mungu aliyefanya hili. Mungu akubariki sana.

  • @nyamitwegeorgina9560
    @nyamitwegeorgina9560 4 года назад +1

    Wimbo wangu wa mwaka🙌

  • @sifatakatifuplatform5221
    @sifatakatifuplatform5221 4 года назад +3

    Be blessed my Brother hii song imetoka mbinguni kabisa

    • @Darpress
      @Darpress 4 года назад

      Ni store ya mbingunu

    • @henrickmruma
      @henrickmruma  4 года назад

      Ubarikiwe sana. Zidi kuniombea.

  • @GraceNambanga
    @GraceNambanga 3 месяца назад

    Ameen❤❤❤❤❤❤❤

  • @emmanuelsingano1
    @emmanuelsingano1 4 года назад +2

    Go Brother Go

  • @graceharry1887
    @graceharry1887 4 года назад

    Owe be blesssed

  • @joshcharlze
    @joshcharlze 4 года назад +3

    Mungu akuinue sana kakaa, dunia inakusubiri...😭😭! This is more than heavenly.

  • @benjaminmunkondya
    @benjaminmunkondya 4 года назад

    Powerful

  • @abrahamcharles8895
    @abrahamcharles8895 4 года назад +3

    Huu wimbo ni Baraka sana Brother! 🙏🙏

  • @jemaimahmoshi4968
    @jemaimahmoshi4968 4 года назад +2

    Oh hallelujah thank u Lord for this anointing song God bless u Henrick the song is from heaven nataka nitulieeee nikikusubiri nikikuamini Baba.👍💗💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪👼🙌🙌🙌🙌🙌🙌