Henrick Mruma - Nataka Nitulie (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- #NatakaNitulie #Nikikuamini #Nikikusubiri #Maombi
Nataka Nitulie is a song of prayer to God, A prayer in the seasons of unanswered questions and waiting for the things that we need in our lives as we have no guarantee of their occurrence to our lives and not knowing how long will it take for us to wait until we get them and if they will bring joy and breakthrough in our lives. So in this song, We declare the faith we have for God as we relax and be still and knowing that God is faithful and whole for He will give us all the answers according to the time that He sees right for us. It won't matter how long that we have to wait but a long as we trust JESUS, WE WILL RELAX. Join with me in this prayer song of life.
Nataka Nitulie ni wimbo wa maombi kwa Mungu, Maombi katika nyakati ambazo tunakuwa na maswali mengi ambayo hatuna majibu yake na tunasubiri mambo ambayo tunayahitaji kwenye maisha huku tukiwa hatujui itatuchukua muda gani hadi tuyapate na kama ni kweli yataleta furaha na upenyo kwenye maisha yetu. Katika wimbo huu tunakiri kumuamini Mungu huku tukitulia na kujua kwamba Yeye ni Mwaminifu na Mkamilifu na atatupa majibu kulingana na muda ambao Anaona kwamba ni sahihi kwetu. Haitajalisha tutasubiri kwa muda gani, Ila kwa kuwa tunamuamini YESU, TUTATULIA. Ungana nami kwenye wimbo huu wa Maisha.
ISAYA 40:31
Singer/Song writer: HENRICK MRUMA
Audio Producer: JUSTIN RIDER (RIDER RECORDS)
LEAD GUITAR: NAHUM GIDEON
BASS GUITAR: AMOS BEVIN
AUXILIARIES: JOHN NTETE
Video Director: YOTHAM LYOBHA
Vocal Arranger: HENRICK MRUMA
Back Vocals: Soprano and Alto: PRAISE GAMUYA, GLADNESS SIYAME and DORCAS AUGUSTINO. Tenor: BESTER ALBERT
Video Cast: VICTOR, ANNA, JANETH, NANCY and JACKLINE.
Istagram: @henrick_mruma
Facebook: Henrick Mruma
Contacts: 0744 417 141
Email: henrickmruma@gmail.com - Видеоклипы
Booonge moja la wimbo! Sa nilikuaga wapi miaka yote miwili nikawa sijauskia huu wimbo jamani!?
Helluyah Mungu kwa majira yako unafanya.
Anointing Anointing Anointing..wingu limeshuka for 2hrs nikiabudu na kuongea na Bwana kwa mzigo..UmeBarikiwa Mtumishi..Roho Mtakatifu yupo ndani yako big time,Ombi langu kwako ni kuwa,uimbe nyimbo za kuabudu.Tushushie wingu baba.Amina..barikiwa...
Ohhhhhh sichoki kusikiliza huu wimbo hakika Mungu huweka vipawa ndani ya watu ubarikiwe kaka songambele wewe ni hadhina ya Mungu 🙌🙌🙌
Haya Ni maombi kabisa Tena yenye majibu . Kaka barikiwa Sana kwa wimbo mzuri ambao ninapokuwa na mahitaji yangu kwa Mungu nauimba huu wimbo. Nakupokea majibu.
Nimebarikiwa na huu wimbo pia nabarikiwa sana na nyimbo zenu
Zaidi na zaidi....ubarikiwe Sana na Mungu akumbuke kazi ya mikono yako
Amen Amen. Uzidi kuniombea
Nimebarikiwa sana. MUNGU AKUONGEZEE HATUA KATIKA HUDUMA YAKO
Ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU kweli ulingoja wakati wakwako kwautilivu na MUNGU kaona niwakati sahihi sasa watumishi wake tupandishwe viwango kupitia wewe
hongera sana.my son.wimbo mzuri sana.Mungu akubariki
Hii sio nyimbo....ila Ni IBADA kamili🙌🙌🙌🙌🙌
Amen. Glory to God.
Hongera sana brother Mungu azidi kukuinua na kukutumia kwa viwango......Barikiwa sana
Waoooooooh aisee hii nyimbo nilikuaga naisikiaga but sikuwah ona video ndo Leo,kumbe ni wewe umeimba barikiwa sanaaaa na YESU🔥🔥🔥🔥
Aisee nimebarikiwa na huu wimbo kila wakti
Zidi kubarikiwa mtumishi na usiache kuomba.
Enrick akika nyimbo himenibarick wewe nimkali unajuwa kuimba kanzana mungu atakuinuwa2 mahana hakuna wakupinga akisema yeye
Yes ,namuona Yesu jinsi anavyo vusha watu ambao wanapitia nyakati ngumu ,kunamtu ana subiri majibu ya mtoto,mke,mume, huduma,kz.....Mungu azidi kukuinua bro.very power song.
AMEN. NAAMINI HAYA YOTE.
This song is very nice mungu azindi kukuhinua uhimbe zaidi na zaidi.
Be lifted moo dan HigheR bRother
Kaka Mungu amekutoa mbali Hakika
Kwa utuliiivu
🔥🔥🔥🙌🙌🙏🙏😀😀♥️♥️♥️
Nikikusubiri unipe majibu kwa majira yako huku nikikuamini
Ubarikiwe sana
I love this song much . Barikiwa mtumishi
Amen. Ubarikiwe sana
Nataka nituliee nikimsubilii Amiri jesh mkuuu atende kwa majila yake ubarikiwe kaka nataka nami nitulie nikimsubiri bwana hapa
mungu akutumie apendeavyo ubarikiwe sana uwende viwango vya juu
Barikiwa sana mtumishi
Wimbo huu umekuwa baraka sana kwangu. #natakanitulie
Kazi nzuri
Hakika nikikuamini,nikikusubiri...thanks for good melody that heals
Ubarikiwe sana.
AMEN. Wow Tamu yangu Nyimbo hii.
Nikikusubiri unipe majibu. Ha ha ha .Blessed
Ubarikiwe sana sana kaka.
Nataka nitulie nikimuamini Yesu Amen kwa message nzuri
Mungu akutumie kwa viwango vya juu zaidi
Mungu awabariki akufanye bora zaidi
Mwenyez mungu aendelee kukubarik
Mungu akibariki kipawachako mtumishi ameni.
Mungu akuinue zaidi kaka
Baba wimbo mzuri, Mungu akuinue zaidi
Utukufu una Mungu aliye Juu.
Songa mbele Yesu anakusubiri🙏
Jaman Yesu n Mzuri #blessing upon you
hongera san this very anointing song
Glory to the Almighty.
Glory to Jesus.
Kaka kazi nzuri sana, Mungu akubariki zaidi
Ubarikiwe sana kaka.
Namshukuru Mungu
MUNGU akubariki sanaaaa kwa kazi hii.Ahsante kwa kukubali kutumika kwa MUNGU kutufikishia ujumbe huu.
MUNGU azidi kukujalia Neema yake
Amen Amen. Mungu azidi kukubariki. Zidi kuniombea.
Amen.
Hongera blood
Barikiwa sanaaaa. 🙌 UNIPE MAJIBU
AMEN AMEN KAKA
Barikiwa
We jamaa tumesoma wote University of iringa I know you be blessed brother I hope you will go beyond
Hongera mruma ubarikiwe
AMEN
Daaaa
Naaam
Mungu akubariki sana kaka binafsi nilibarikiwa sana na huduma yako pale MICC
Ubarikiwe sana kaka Lameck.
Asantee kaka wimbo wako umenigusa sana
Kaka ingekuwa amri yangu, tungefanya uwe wimbo wa taifa hakika kila matanzania angeokoka, naamini katiko ujumbe huu wapo waliokata tamaa, wapo walioanguka dhambini wanaenda kupona.
Powerful anointing
Bado amri iko kwetu. Uwe tu huu..
Barikiwaaa
Big Amen brother
Be blessed bro.kazi nzur
It's very powerful message, tangu usiku nimelala nasikia huu wimbo roho mtakatifu ananiimbia nikaamka nikanza kuimba kipande nikaingia Google nitafute ni wimbo gan ni nani kaimba nikaingiza kipande kile ikaniletea huu wimbo nimebarikiwa sana, Mungu akuinue zaidi
Utukufu na heshima vina Mungu mwenyewe. Ubarikiwe sana.
@@henrickmruma Ameen
Nikikuamini / Nikikusubiri unipe majibu.🙏🙏🙏
Wonderful WORSHIP
Groly to almost high GOD.
Aendelee kuachilia mafuta yake juu yako brother.
Utukufu na heshima vyote ni vya Mungu aliye hai. Yeye Ndiye Anayetupa Neema ya kufanya haya yote. Zidi kuniombea sana na Mungu aendelee kukubariki na kukuinua.
Mungu awapeleke viwango vya juu sana wa tumishi
Amen. Tunapokea.
Good work
Nataka Nitulie 🙌🏽🙌🏽
Sanaah kaka
Umenihudumia huu wimbo
Big up sana Mtumishi wa Bwana!! Mungu Azidi kukuinua na kukutumia kwa viwango vya juu zaidi ya hapo.. Very powerful song, perfect music arrangement, super!! Keep the fire burning..
WOOOOOOW. Ubarikiwe sana kaka yangu.
Hongera sana kaka
Namtukuza Mungu kwa hili
Et unanyimbo ambayo umeimba inaitwa chanzo
Nimesabscraib tayari Huu wimbo umenigusa mno
Ubarikiwe sana.
Be blessed servant of the living God words with power of God within
Great song bro, keep up the good wrk
Brother Msauzi.....hongera sana kwa kazi nzuri. Vocal imesima aswaa...good music, blessings brother. Mungu azidi kukuinua nakubariki kazi yako.
Utukufu kwa Mungu. Asante sana kwa kunitia moyo brother. Ubarikiwe sana.
Oh Praise The Lord! Hongera sana brother Henrick huduma yako iendelee kupata kibali machoni pa Mungu nasi tuendelee kubarikiwa.
Amen Amen. Napokea.
Oooh hallelujah
AMEN AMEN.
Let the Lord preserve these grace brother in the midst of many enemies brother
Nice song
Amen
Safi sana Henry
Amen kaka.
Tumuamini Na Tumsubiri atatenda............ ! Yesu ni mwaminifu ❤️ Hallelujah
Amen Amen
Nyimbo hii nikiisikiliza inanipa matumaini ndani ya maisha yangu I love this song
nataka nitulieeeee nikikuaaaaaminiii.....
nice song... njce video... be blessed bro
ISAYA 40:31 Ubarikiwe kaka.
Hongera sana bro, huu wimbo umegusa maisha ya wengi
Tuzidi kuomba Grace. Neema ya Mungu ni ya ajabu.
Asante kwa huduma mwanangu
Shukrani boss wangu.
Barikiwa Sana Kaka wimbo unainua na kutukumbusha Juu ya subira kwa Mungu aliye hai....Mungu akuinue kaka
Amen kaka
Engela xana
Bless u🙌🔥🔥🔥nyimbo nzuriiiiii sanaaaa
Utukufu wote ni wa Mungu
Nice song,spirjt filled , ubarikiwe Sana Henrick
Amen sana.
Beautiful song 🎵❤
Nice
Be blessed. Kindly subscirbe
Duuuh🙌🏼,,
Naam...
Great song mixing onpoint ,arangments on point na na ujumbe Mkubwa sanaa
Ubarikiwe sana Boss wangu. All the Glory to God.
Bless You bro,what a song aseee
I glorify God for this.
Powerful song
Hongere kaka
Utukufu una Mungu.
I don't know what to write about this song! .... Thank you For Obeying God about this song it is indeed full of annointing
AMEN. ALL THE GLORY BELONGS TO GOD.
Be blessed bro....am really blessed with song
All the glory to God.
🤲🤲🤲🤲🤲🧎🏻♀️🧎🏻♀️🧎🏻♀️
Am blessed with the song.....
Wooooooow it so powerful song yaan hii ni ibada kamili na halisi hii wimbo inakusogeza uweponi wa Bwana Mungu yetu aliye hai akakuinie viwango vya juu zaidi na zaidi
Utukufu wote ni kwa Mungu aliyefanya hili. Mungu akubariki sana.
Wimbo wangu wa mwaka🙌
Wooooow
Be blessed my Brother hii song imetoka mbinguni kabisa
Ni store ya mbingunu
Ubarikiwe sana. Zidi kuniombea.
Ameen❤❤❤❤❤❤❤
Go Brother Go
Amen Amen.
Owe be blesssed
Mungu akuinue sana kakaa, dunia inakusubiri...😭😭! This is more than heavenly.
Amen brother. Ubarikiwe sana.
Powerful
Huu wimbo ni Baraka sana Brother! 🙏🙏
Ni Neema ya Mungu
Oh hallelujah thank u Lord for this anointing song God bless u Henrick the song is from heaven nataka nitulieeee nikikusubiri nikikuamini Baba.👍💗💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪👼🙌🙌🙌🙌🙌🙌
May the Lord Jesus bless you