Aisee hii nyimbo aliimba kwa hisia ya kutoka ndani ya moyo kabisa, Sasa hivi huyu dada yupo kwenye muziki wa gospel kwa Gwajima wapo bendi yao. Esther Wassira Big up sana dada ...nakumbuka umewahi kukomenti kwenye moja ya nyimbo ya Bob Rudala ukimkubali huyu legend mwenzio. ukisema "long time no see Bob"
huu wimbo nimeuckia kwa mara ya kwanza 2003, mbekenyera sec huko ruangwa lindi, at that real reflected my situation in love, jamaa yng mmoja alinipokonya mrembo wangu, hali yeye alikuwanao wengi na hakuwai kukataliwa, hadi leo twaishia kusalimiana tu yule jamaa
Hahaha!!! I went as far as looking for the actress herself if she could send her song for the way I was looking for it. Glad it come to the platform a couple of years afterwards. Wakati wa waptrick.
Inaonekan hii nyimbo ilitafutwa sana na watu, ngoma pendwa sana ambayo aikupewa promo k bsa..tunakushukuru mtoto wa mheshimiwa kwa kutuachia bonge la ngoma
Hiyo sio picha yake! Mwimbaji ni mmoja tu anaiywa Esther wasira ni mtoto wa wasira!.. sahivi nae nafikiri yupo kwenye mambo ya uongozi kama baba yake..
2024 still hot music 🎶
Huu wimbo utaishi muda mrefu sana. Hauchuji hata kidogo...salute kwa Wasira. Ila Sheira😅
Nilitafuta sana hii ngoma 5yrs, umetisha mzee wa kaz
2003 kma sikosei 2002 ndugu nipo darsa la 4
Long time kitambo sanaaaa, uimbaiji halisia ndo huo,siyo mtu akishajua kufoka na kukoloma anaanza kutupigia nyuki masikioni.
Aweee yaan nyimbo wewe nimekutafuta, ushukuriwe wewe uliouweka jaman ahsantee Sanaa
March 2024.... Still the best Song ..
This song rocked me back in days, and it's still rocking me to this Day. ❤❤
You have idea how much have searched for this song..Ghai
Aisee hii nyimbo aliimba kwa hisia ya kutoka ndani ya moyo kabisa, Sasa hivi huyu dada yupo kwenye muziki wa gospel kwa Gwajima wapo bendi yao. Esther Wassira Big up sana dada ...nakumbuka umewahi kukomenti kwenye moja ya nyimbo ya Bob Rudala ukimkubali huyu legend mwenzio. ukisema "long time no see Bob"
nakubal💥💥
Asante sana Deogratius...
Jamani nimeutafuta huu wimbo hatimaye nimeupata niliupenda tangu darasa la saba
0717119997 nitafute tulipotezana zamani Caro
Kama mimi
huu wimbo nimeuckia kwa mara ya kwanza 2003, mbekenyera sec huko ruangwa lindi, at that real reflected my situation in love, jamaa yng mmoja alinipokonya mrembo wangu, hali yeye alikuwanao wengi na hakuwai kukataliwa, hadi leo twaishia kusalimiana tu yule jamaa
My favorite song 😍
Dj nimekukubali nimezitafita kitambo
ni miaka ya 2023 ndo nliuckia huu wimbo...nliutafuta sana hapo kati....
words from real woman heart
I have been looking for this beautiful song 🥰🥰🥰🥰😍
Nakufeel
Hahaha!!! I went as far as looking for the actress herself if she could send her song for the way I was looking for it. Glad it come to the platform a couple of years afterwards. Wakati wa waptrick.
Duu hawa ndio wanamuzk
Aisee huyu dada alikuwa anafanya vizuri sana na HK wote wamepotea anaejua jinsi wanavyopatikana anijuze basi.
Tupo...
@@estherwasira7474 nilipenda sana huu wimbo wakati huo nipo mdogo sana mpaka leo.
Finally, nimeipata.. This song has been singing in my head for a couple of years.
Me toooo
Likewise here
Woooow wooow kitambo sana nice song 😘
Got this song today after years of searching at last😮💨
🎉❤Sheila mrembo , uwenahuruma 😂 I love it 😻
Nice song leo nimekumbuka Moringe sokoine sec school
Asante nimetafuta hii Ngoma miaka nane asante
mwanangu mi tangu 2010 naisaka naambulia za kihindi
Bana
Inaonekan hii nyimbo ilitafutwa sana na watu, ngoma pendwa sana ambayo aikupewa promo k bsa..tunakushukuru mtoto wa mheshimiwa kwa kutuachia bonge la ngoma
Huu wimbo unanikumbusha udzungwa secondary kitambo sana du!
Asante uliewekahii ngoma hapa nimetafutasana so namkumbuka mtangazji godwin gondwe❤️❤️👏👏
Gondwe unakumbuka hiinggoma wakati ukirindima ndani yaradio one radhakumizabongo👏👏
Huu nimeutafta hatimae ndani...asante DJ
Big up kwa hii song
Listening to these songs makes you wonder how songs nowadays are being listened to. Lol!
Fantastic song🔥🔥🔥🔥🔥🔥
yes
16/01/2024❤❤❤still hiting
Zama hizooo .duh. beautiful song.
Lovly song❤🎉
My favourite songs
2021 ctyl listening
Bonge la wimbo. Hizi radha hatuzipati tena tunasikiliza ushenzi mtupu kwenye muziki wa bongofleva😢
Nyimbo nzuri sana,listening in 2020
Daaaaaaaa 2004
HIVI HUYU MUIMBAJI NI MKENYA AU MTZ, MY FOVOURITE HIT WHILE I WAS STILL IN SCHOOL. COZ AM SHEILA MREMBO😍🥳
Ester Wasira ni mtanzania mzaliwa wa mkoa wa Mara..Sasa hivi ameachana na muziki..
Pia nimtoto wa wasira aliekua mbunge wa bunda. ..esta pia ni ndg yake na wakazi
@@eliahmahega5639 Kwa yule mzee Wasira mbunge mstaafu, Ester atamuita baba mkubwa sio baba mzazi kama ulivyosema
@@thomasathanas3957 Huu wimbo naupenda mpk basi 👍👍👍
I am Tanzanian. ✨
29/12/2023 nimeisikiliza tena❤
Dolly Parton Jolene ndio ilizaa huu wimbo nadhani pia Sheila ikazaa Zai ya maua Sama.
Miley C na beyonce pia wamepita na Jolene.
Hiv wako wap waimbaji hawa yaan hii song nkiskiriza nainjiy sana
Hiyo sio picha yake! Mwimbaji ni mmoja tu anaiywa Esther wasira ni mtoto wa wasira!.. sahivi nae nafikiri yupo kwenye mambo ya uongozi kama baba yake..
Asante..Nipo.
@@estherwasira7474 mbon uko wap
@@al-watankamba4821 Nipo Dar Es Salaam Tanzania 😊🙏🏾
Ester wasira ninaomba jina la movie ilitumia huu wimbo
2023 anyone?
2024 😅😅🇰🇪🇰🇪kenya to take world 🌎🌍
2024 gonga 👍
Kitambo Sana
2021
My favorite Song😍
Umepoletea wap jamn 😊
09 MAY 2024. THURSDAY.... 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤2023
Finally
Wimbo me nliusikia 2011
A very nice song….01.01.2024
nitapataje lyrics ya huu wimbi
❤️
💋🌺🌺😍😍
2002 nipo standard 3😂😂😂
2022 wapi likes ??
2023
Mwaa
Proud to be sheila