Ndiomaana sikutaka kucomment kwenye EP 1 nilitaka nione inaendeleaje ndio nicomment. Mr #CHIBU kaxi imetulia sana. Aidia nzuri hapa umeumiza kichwa kaka ❤ Namuona #SAUDA katika ubora wake wa ushauri 😂 hajawahi kufeli ktk sekta hiyo hana mpinzani bana ❤ Haka kadadaa kanakomuangalia Sandra kwenye kioo kamekaa kiukorofi korofi tu 😂 Mimi ndie yule fans namba moja duniani wa Mr CHIBU & Mr BUTUA
😂😂😂 Yaani KIPARA alivyomchamba CHIBU nimecheka mpaka mbavu zinauma 😂. Hahahahahaaa Nimerudisha mala mbili mbili hapo kwa Kipara kakazana kweli kweli.... midevu kama shamba.... 😂😂
Chibu eeh hivi movie za kichaw zishakuwa nyingi sana huku mjini youtube…naomben basi muwe tofauti uchaw uchaw content mbna ziko nyingi au budget ndogo😂😂
Ndiomaana sikutaka kucomment kwenye EP 1 nilitaka nione inaendeleaje ndio nicomment. Mr #CHIBU kaxi imetulia sana. Aidia nzuri hapa umeumiza kichwa kaka ❤ Namuona #SAUDA katika ubora wake wa ushauri 😂 hajawahi kufeli ktk sekta hiyo hana mpinzani bana ❤ Haka kadadaa kanakomuangalia Sandra kwenye kioo kamekaa kiukorofi korofi tu 😂 Mimi ndie yule fans namba moja duniani wa Mr CHIBU & Mr BUTUA
💪🙏
@@kilongofilms hii ni channel ya SAUDA official?
Napenda kazi zako kwasababu zinakuwaga na dakika nyingi ❤❤❤
Koo la mjerumani 😂😂
This is amazing movie ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂 kipara jamani huwa ananijengeanga siku yangu kila wakati ila napenda napenda bongo movies sending love from Kenya+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mhh hiii mbona imezidi kuwa ya moto 😊❤❤
Kazi ipo
Ila kipara fala sana😂😂😂 ati alikoenda kapata mume 😅😅😅...kuzimu kuna wachumba eti😊 🙌, hongereni 🎉🎉🎉
Jamani mm nampenda sana halima ❤halima naomba uwe wifu yangu 😂😂😂😂
Nakubali bro nimepita wadau naombeni likes zangu
Leo naona nmewahi kidogo kalaiki hata kamoja bx
🎉🎉🎉🎉
Kipara jamani 😂😂😂😂eti midevu kama shamba 😂😂na huo umbea na mkeo mmepatana
😂😂😂 Yaani KIPARA alivyomchamba CHIBU nimecheka mpaka mbavu zinauma 😂. Hahahahahaaa Nimerudisha mala mbili mbili hapo kwa Kipara kakazana kweli kweli.... midevu kama shamba.... 😂😂
😂😂😂😂😂kipala wanna man htr
Chibu wew ni mjinga sana,unajua fika kabisa kuwa ni mchawi,halafu unamdekea ,UA
❤❤❤
Hapo chacha
Kipara na mkewe wote wambea jamani wamepatanaa😂😂😂😂😂😂
Picha ikikosa wana man haipendez
Niaje
pa1 daima
Unyama🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉❤❤❤😂😂❤❤🎉🎉
Chibu eeh hivi movie za kichaw zishakuwa nyingi sana huku mjini youtube…naomben basi muwe tofauti uchaw uchaw content mbna ziko nyingi au budget ndogo😂😂
1:37 zakichaw ndo zinapendwa Mzee Kwaiy lazma wafate upepo
Haieleweki
Ila kipar😂😂😂
Kipara uzungu mpk kw mkeo
🙏🙏❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Jamani,huyu Sandra aliolewa na nani.mbona 😅
🎉
Leo ndo nmeielewa hii movie hususan kumuhusu Sandra hapo mwanzo ckuelew hata point next episode nitaelewa zaid
🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
Chibu tatiz lako igizo zako haziishag unapend kutuacha njia panda
Kipara hilo koo la mjerumani au la kichina kaka mana ni fake 😂😂😂😂
Dhaaa kipara ban nakuku bali sana wana man 😂😂😂
Kwaiyo yule kka kule kaoa mzimu ama mbona sielewi wenzangu kuliza tu😂😂
Mbona mm pia sielew
😂😂😂😂
Mwamba nyuma ya camera kuna kelele sana wanabowa mbn hampo serious
Chibu hapa Kuna wengine hatuelewi kuanzia mwanzo, yaani kwingine sandra kafariki kwingine ako kwa ndoa yake🤔🤔
Tunasubiria namba 03 hapa nyumbani kwetu 🎉🎉🎉🔥 🔥