Rais Samia Alivyowasili Uwanjani Taifa na Kitenge cha WAWATA,Awasalimia Akinamama, Maaskofu Wasimama

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2022
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GZCvnqJ2KPf...
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 20

  • @asha7750
    @asha7750 Год назад +4

    Huu wimbo wa Hongera Mama umetilia. Congratulations 🍾

  • @silvananjunwa7905
    @silvananjunwa7905 Год назад +2

    Safi sana rais wetu naomba mama bikira Maria akuongoze

  • @josephinekajembe2416
    @josephinekajembe2416 Год назад +2

    Wimbo mzuri sana, hongera sana kwa kwaya iliyoimba, Mt. Cecilia Mburahati, asante mama Samia kwa upendo wako kwa WAWATA

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Год назад +3

    Hongera sana WaWATA, nimesikitishwa na sauti ya juu ya wimbo ambayo one distract usikivu, kwani tulihitaji kufahamu Kwa kina maelezo ya maonesho. Pia microphones au mitambo imevuruga usikivu..

  • @tupokengwala2027
    @tupokengwala2027 Год назад +1

    Hongera sana WAWATA mmelitangaza kanisa vizuri.

  • @carolinamuchi5980
    @carolinamuchi5980 Год назад +2

    😍🙏🙏🙏🙏Salamu from here Spain

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 Год назад +2

    Hongereni WAWATA jeshi kubwa

  • @mukafumumukafumu6100
    @mukafumumukafumu6100 Год назад

    Kanisa Katoliki na Mama, nawapenda.

  • @marymayige7047
    @marymayige7047 Год назад

    Hongera sana Wawata

  • @francismkenda
    @francismkenda Год назад

    Sound system haijatutendea haki jaman mkato mkato huo hatujasikia

  • @jacqulinebetrod804
    @jacqulinebetrod804 Год назад

    Hongera wawata

  • @vailethmwashibanda2514
    @vailethmwashibanda2514 Год назад

    Umenikumbusha matunda hayo matanga, nilkuwa na yapenda sana nimemic sana ckuu nikija mpanda nitakula balaa😋😋

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Год назад +1

    io nyimbo yann sasa we wawapi www

  • @tindatinda7330
    @tindatinda7330 Год назад

    Mungu ni mwema. Hongereni sana. Fr. Dulle mwalimu wangu seminarini Tungamo

  • @frolencerwehumbiza598
    @frolencerwehumbiza598 Год назад

    Ogera kwa nihilisha mzuri

  • @simiondaniel6010
    @simiondaniel6010 Год назад

    Sauti ilikatakata sana

  • @CANAANTZ_TV

    Haleluyaaa

  • @nsodyaphilimon9153
    @nsodyaphilimon9153 Год назад +2

    Katholiki shikamoo. Makanisa mengine wajifunze na sii kufanya biashara ya mafuta ya upako.