Rais Samia Alivyowasili Uwanjani Taifa na Kitenge cha WAWATA,Awasalimia Akinamama, Maaskofu Wasimama
HTML-код
- Опубликовано: 10 сен 2022
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GZCvnqJ2KPf...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Huu wimbo wa Hongera Mama umetilia. Congratulations 🍾
Safi sana rais wetu naomba mama bikira Maria akuongoze
Wimbo mzuri sana, hongera sana kwa kwaya iliyoimba, Mt. Cecilia Mburahati, asante mama Samia kwa upendo wako kwa WAWATA
Hongera sana WaWATA, nimesikitishwa na sauti ya juu ya wimbo ambayo one distract usikivu, kwani tulihitaji kufahamu Kwa kina maelezo ya maonesho. Pia microphones au mitambo imevuruga usikivu..
Hongera sana WAWATA mmelitangaza kanisa vizuri.
😍🙏🙏🙏🙏Salamu from here Spain
Hongereni WAWATA jeshi kubwa
Kanisa Katoliki na Mama, nawapenda.
Hongera sana Wawata
Sound system haijatutendea haki jaman mkato mkato huo hatujasikia
Hongera wawata
Umenikumbusha matunda hayo matanga, nilkuwa na yapenda sana nimemic sana ckuu nikija mpanda nitakula balaa😋😋
io nyimbo yann sasa we wawapi www
Mungu ni mwema. Hongereni sana. Fr. Dulle mwalimu wangu seminarini Tungamo
Ogera kwa nihilisha mzuri
Sauti ilikatakata sana
Haleluyaaa
Katholiki shikamoo. Makanisa mengine wajifunze na sii kufanya biashara ya mafuta ya upako.