MANGUNGU AJIWA JUU NA MAMA JASIRI SIMBA/ TUFUNGIENI SISI NA MKUTANO TUTAFANYA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • СпортСпорт

Комментарии • 207

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 3 месяца назад +20

    Mimi ni Yanga buwanaaaaaa! Ila huyu mama ni kama mama Samia aiseee, anapoint kuliko GB64, ametulia na anaongea Kwa evidence! Big up mama, nakuona sehemu ya juu kuliko hapo ulipo Leo.

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 3 месяца назад +15

    Mangungu unajitengenezea sifa mbaya itakayokula maisha yako yote hautopata nafasi yoyote kama kiongozi nchi hii niamini mimi kijana mdgo mwenye maono yake 😎

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад +1

      Uchumi wa ZIMBABWE ULIPOROMOKA KWA ASILIMIA ELFU SITA .Kwa kauli yako umekuwa SAHIHI KWA ASILIMIA ZOTE.

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 3 месяца назад

      Ila akili ya Wana Simba bhana ,mnafurahisha kweli yaani mnajiita nguvu Moja af mnashindwa kumtoa mangungu mnaishia kupeana hamasa tu ,hv kwa akili yenu mnafikili mangungu ataondoka ee

    • @FAUSTINAULEDI-ln5fi
      @FAUSTINAULEDI-ln5fi 3 месяца назад

      ​​@@hassanrashid-l3uWw nae wa hovyo kweli

  • @rev.asanterabi7440
    @rev.asanterabi7440 3 месяца назад +2

    Bonge la Mama!. Shukrani kwa maelezo mazuri Mama Jasiri.

  • @iddykivu050
    @iddykivu050 3 месяца назад +8

    Asante Sana Mama Kwakweli Una stily Pongezi Mangu ni Kibaka kama Vibaķa Wengine

  • @CosmasJoseph-bn1mr
    @CosmasJoseph-bn1mr 3 месяца назад +17

    Wana Simba tuache uoga tupiganie Simba yetu tujitoen Wana Simba SS ni nguvu moja

  • @ismailjumanne1609
    @ismailjumanne1609 3 месяца назад +12

    Hongera sana mama nimeipenda hiyo!!!

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 3 месяца назад +4

    Oyoooooooooooooooooo
    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
    Hafu hawajui wabaya hawajawai kuziona sura zetu.. manguuu manguuu manguuu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 3 месяца назад +13

    Dada yangu umetulia na unajieleza vizur sana Simba nguvu moja

  • @sebajuma-ro8dk
    @sebajuma-ro8dk 3 месяца назад +3

    Mama umeongea fact
    MUNGU ATUTANGULIE

  • @abdulhalimsalim1386
    @abdulhalimsalim1386 3 месяца назад +2

    Hongera dada good news hapo umenena la maana sana habari ndio hio

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 3 месяца назад +4

    HONGERA SANA MAMA ! UMEONGEA kwa VIZURI SANA. Ukiona Kiongozi anang'ang'ani uongozi ujue ANA MASLAHI BINAFSI NA FAMILIA YAKE HUSUSUANI MKATE.

  • @juliusmichael6204
    @juliusmichael6204 3 месяца назад +7

    Kwa kweli viongozi wa Simba ni wa hovyo sana

  • @spencersambo469
    @spencersambo469 3 месяца назад +3

    Asante sana dada Hawa wanatuona cc kama hatuna akili

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 3 месяца назад

      Na hamna akili kweli ,we unafikili ng' ombe wenu mwenyew asilimia 49 atamshinda mangung mwenye asilimia 51 ,Kaz kubweka tu hata hamfikilii

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 3 месяца назад +1

    Mangungu atapigwa walahi ,,, huu msimu akija uwanjani aje na kikos cha polisi 😂😂😂😂😂....

  • @FadhiliTambale
    @FadhiliTambale 3 месяца назад

    Hongereni kwa hatua zote mlizofanya. ILA HUYU MANGUNGU nafikiri ni mro na ana uchu wa madaraka na niseme tu kwa upande wangu kama shabiki wa Simba ni hajitambui na mjinga namba moja. Anapata furaha wapi ya kuendelea kung'a2nia uongozi mahala pamechafuka? Viongozi wa Simba jifikirieni mara mbili. Labda kama mnataka kuharibu club endeleeni ila Mungu yupo yatapatikana majibu tu.

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 3 месяца назад +2

    Mama hongerasana

  • @feetfirsttz
    @feetfirsttz 3 месяца назад +2

    Ngungu boy ni muhuni atembee zake!!

  • @ignasmlonge8384
    @ignasmlonge8384 3 месяца назад +1

    Kumbe ! Amewashinda mwanamke huyo anaongea point wao wawafungia tu wanachama kuna wenzetu mashabiki wa mbeya viongozi wala muwekezaji hawakutoka ama kweli tuna wapiga hela kasoro msemaji wetu hana baya namkubali semaji oyeeee! Kongole kwako 🎉

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад +2

    Mama nikupenda sana Tena sana mangungu anatuletea mambo yakihuni atoke Simba hatumtaki kabisa atoa virusha vyake mpaka kwenye tawi la mpira pesa yule mwenyekiti wa mpira pesa amemnunua Sasa hivi amemnunua anaongea pumba. Mangungu ataondoka tu.

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13 3 месяца назад +2

    Tutulie Kwanza tusajili Mangungu ni mwiba na hata akitaka kugombea ubunge hatumpi

  • @ShabaniRehani
    @ShabaniRehani 3 месяца назад +4

    Asante mama tunakata watu kanyinyi .Simba nguvu moja

  • @hawahussein137
    @hawahussein137 3 месяца назад +1

    Safi sana dada

  • @sauka9622
    @sauka9622 3 месяца назад +1

    Hongera dadangu pambaneni hii simba sio ya mo wala mangungu nilazima wajifunze kuwajibika

  • @KareemMandela-d5l
    @KareemMandela-d5l 3 месяца назад +2

    Mangungu hawezi kuongea vizuri na mtu mbabe sana ndo kinachomfelisha

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад +2

    Safi sanaaaaa dada nguvu Moja 💪💪💪💪💪💪💪

  • @salymgaimale235
    @salymgaimale235 3 месяца назад +1

    Safi sana mama huu ndio utulivu wa kishabiki viongozi chukueni hatua viongozi wetu

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 3 месяца назад +1

    Huyomangugu ni shidaaaa kiongozi mzuri niyuleanayesikiliza shidazawanachama huyomangugu mpelekenikwa makondaakapigwe supana

  • @ramadhanichaurembokahunge
    @ramadhanichaurembokahunge 3 месяца назад +7

    Mama jasili nakupa maua yako

  • @akilizawadieli3610
    @akilizawadieli3610 3 месяца назад +1

    Mama kweli Kabisa wametuchosha wache longolongo Arusha washabiki tunaumia,

  • @ShafiiKuyamwa
    @ShafiiKuyamwa 3 месяца назад

    Mama uko vizur'
    Unahoja za. Msingi,
    Safii,sanaa mimi naamin
    Wko watu,makini wapo nje

  • @SamsonTanzania
    @SamsonTanzania 3 месяца назад +2

    Asante mama 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍

  • @leonardfungo
    @leonardfungo 3 месяца назад +1

    Dada upo vizuri kw haki ya timu yetu.

  • @kassimntara6901
    @kassimntara6901 3 месяца назад

    Hongera sana dada msiogope ni mbele kwa mbele mpaka kwa mama Samia mangungu nani yeye sasa ni wakati sahihi wa kumtua mangungu

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 месяца назад

    Wao wakifanya sherehe za Simba day sisi tufanye mkutano wetu wanasimba

  • @ramadhanichaurembokahunge
    @ramadhanichaurembokahunge 3 месяца назад +2

    Asante mama kweli ww nijasili pambana tuko wengi Wana simba mangungu atumtaki

  • @enockmakule5862
    @enockmakule5862 3 месяца назад +1

    Mangungu mtapele

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Dada ongera sqna❤❤🎉🎉simba yaan ni aibu sana

  • @GerfansiBakari
    @GerfansiBakari 3 месяца назад

    nawatakia here nabara
    Ka mufanikiwe

  • @hashmyss-hotmail.com123
    @hashmyss-hotmail.com123 3 месяца назад +4

    Mama nimekupenda sana, uko vizuri sana

  • @muhidiniwadhifa3600
    @muhidiniwadhifa3600 3 месяца назад +2

    Mola akuongoze

  • @hassanntankwa4156
    @hassanntankwa4156 3 месяца назад +3

    Mangungu anatumiaa dictatorship KO mangunguu ananguvu kuliko bosiwakee maana wanachamasa ndo waliomuweka paleeee

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 3 месяца назад

      Ingekuwa wanachama c wangemtoa ? Mbona mnapayuka tu kumtoa hamuwez

  • @obadiakakende2250
    @obadiakakende2250 3 месяца назад +1

    Ahsante Mama jasiriii tuko pamojaa ukwelii nimepeinda saana hii press Simba Nguvu Moja

    • @LorynNila
      @LorynNila 3 месяца назад

      Movemenr movement aluta contnua

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 3 месяца назад

    Mwanasimba Mimi Niko tofauti kidogo Mimi naomba sekeseke hili lisikome Hadi kila kitu kikamilike hata angesajiliwa Ronaldo hatukubali hatukubali timu yetu Kuna makandokando Sana safari hii Hadi transi mishen nayo ieleweke safali hii hatutaki upuuuzi😱😱😱😱😱😱😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😫😫😫😫😫😫😫

  • @franccoz94
    @franccoz94 3 месяца назад +4

    MANGUNGU HAMNA KIONGOZI PALE NI PAZIA TUU

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 3 месяца назад +1

    Nawaomba snaa viongoz wa matawi mkutane mtuandalie mkutano tupo tayri tukutane tufikie mwafaka

  • @DeusMadalali
    @DeusMadalali 3 месяца назад +2

    Uko vizur dada

  • @PhilipoFabian
    @PhilipoFabian 3 месяца назад +2

    Safi sana dada yetu

  • @PaulMkwama
    @PaulMkwama 3 месяца назад +2

    Mama unajua kuongea sana aisee umeonge point sana

  • @HaririBori
    @HaririBori 3 месяца назад

    Ongera sana dada /kwanikosa kubwalakikatba nilip ķwaviongoz walilokosea ?

  • @eliasnyondo-z5u
    @eliasnyondo-z5u 3 месяца назад

    Dada umeongea kwa mapana nimekuelewa vizur ni kweli tudumishe umoja tuijenge club ya smb

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Dada umeongea point sana G 64 nawapenda wanachama hatuna viongoz ila tumeweka vibaka

  • @IsayaShokaulaya
    @IsayaShokaulaya 3 месяца назад +2

    Mangungu kazi unayo

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 3 месяца назад

    Mangungu unatakiwa kusikiliza na kuchukua hatua toka kwa kauli ya wengi.
    Wanachama na Mashabiki wengi sana wa Simba Sc wanakulalamikia ww tena kwa muda mrefu.
    Kuwapuuza na kuwakejeli ni sawa na kujinunulia matatizo maishani.

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 3 месяца назад

      Mtabweka sana manyumbu nyie, ila mkae mkijua kuwa mangungu ni mwenyekiti wa Simba ,na yule ng'ombe wenu ni mwenyekiti wa wajumbe kwa hiyo ni vitu viwili tofauti Kila mtu ana Kaz yake pale mikunduni mwa msimbaz

  • @MohamediMgombelwa
    @MohamediMgombelwa 3 месяца назад

    Ongela dada nimekuelewa sana umeongea kwaweledi mkubwa

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 3 месяца назад +2

    Nawaambia Mangungu siokiongozi kaja kuiangamiza Simba

  • @cosmasluwanja7394
    @cosmasluwanja7394 3 месяца назад

    Mangungu chonde chonde naomba umfukuze huyu tunamtaka aje YOUNG AFRICAN

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 3 месяца назад

    Simba wakiendelea hivi msimu ujao itakuwa shida sana, mashabiki wengi wa simba walilalamika tatizo la simba ni uongozi, yaani uongozi ni wa ovyo, na mangungu anashirikiana na upande wa pili wa uongozi kuihujumu simba, kiujumla uongozi wa simba haufai uondoke, alichokifanya Mo ni paka amekula samaki, samaki ameliwa na paka watu walorudi ktk uongozi ni walewale hakuna kitu, haya mambo yasipo patiwa ufumbuzi naiona simba inakwenda tena kwenye maumivu msimu ujao

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 3 месяца назад

    Mangungu ni kiongozi mzuri sana tatizo lenu mnaficha ubovu,Mo hawatakii mema miaka mitatu mnafeli na mna mfadhili au mwekezaji yupo kimya tu badilisheni katiba 51% iwe na nguvu kwenye klabu yenu sajilini wanachama na mlipie ada zenu

    • @maendeleoleo2594
      @maendeleoleo2594 3 месяца назад

      Toka mangungu kachukua uongozi je amesajili wanachama wapya?

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 3 месяца назад

      Tulipofaulu Nani alihusika kwenye mafanikio km sio MO mangungu ni tatizo kwenye Simba yetu

  • @Mohd-wl1tc
    @Mohd-wl1tc 3 месяца назад +1

    Mangungu anaifanya simba kam ccm wanzanzibar hat km hawatakiw hawez kukubali

  • @sylvanusmarekani4690
    @sylvanusmarekani4690 3 месяца назад +1

    Nadhani viongozi Wana maslahi na migogoro ndomaana hawataki kuwa wazi

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 3 месяца назад

    Mtulie bwana

  • @amaniwanga8621
    @amaniwanga8621 3 месяца назад

    Safi sana Mama lazima tuogea

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 3 месяца назад +3

    Dada uko vizuri mno, unajua kuongea kwa kutulia na sio kwa mhemko, na shule inaonekana unayo ya kutosha kwani uko makini sana ktk kichagua maneno ya kuongea, hakika umenikosha sana na nimekupenda bure - Viongozi unaowalenga kama wana ethics za uongozi kweli basi watajitathimini ila kama waliingia kwa malengo tofauti basi watang'ang'ania misimamo yao Hivi hii katiba yenu ya Simba ikoje ? hivi inaruhusu watu kubadilishana uongozi kienyeni kama maandazi ? mfano kama walivyopeana kwa kubadilishana uenyekiti wa bodi Mo na mwenzie Try again hivi ni sahihi kweli ? kwa kweli kama wamefanya kwa mujibu wa katiba yenu basi hiyo katiba ni katiba ya ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani yaani wanapeana kama vile ni taasisi ya familia kwamba baba akiondoka anamuachia mama na mama akiondoka anamteua mtoto mkubwa - Daaah ! yote haya hakuna wa kuboji, aisee umasikini mbaya sana, hebu jamani tutafute hela, usipokuwa na hela (uchumi mzuri) lazima utawaliwe, hongera sana dada yangu uko vizuri ila nakushauri wewe na wenzako mkishawang'oa akina Mangungu na wenzake mgeukie sana kwenye katiba, hii katiba naona ndio kirusi no.1 kwani haiwezekani 51% isiwe na nguvu kwenye maamuzi kuliko 49% wewe uliona wapi ktk Dunia hili kama sio mazingaombwe ?

  • @ramaMuhomba
    @ramaMuhomba 3 месяца назад +1

    Dada anaakili sana

  • @absm8084
    @absm8084 3 месяца назад

    Magungu ni jipu kubwa 😅😅😅😅😅 u Swahili mwingi hanaga mipango

  • @bernaberna4159
    @bernaberna4159 3 месяца назад

    Mama huna baya ❤❤❤

  • @muhidiniwadhifa3600
    @muhidiniwadhifa3600 3 месяца назад +1

    Viongozi wa simba . wanachama , washabiki ,wapenzi wa simba na wapenzi wa mpiral wa miguu tunaumia

  • @HalimaMatola
    @HalimaMatola 3 месяца назад

    Safi Dana,

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 3 месяца назад

    Asante mama, kwa ukweli,mo jìbu wanachama ,tujue msimamo wa simba tunatoka wapi tunaenda 🌔 😅

  • @HusseinKalamba
    @HusseinKalamba 3 месяца назад

    Bado amjasema namtasema mangungu oyeee

  • @JumaSalehe-q7z
    @JumaSalehe-q7z 3 месяца назад

    Dada umeongea pwet sana nimekubali mwana simba

  • @KhalidAlly-je8ky
    @KhalidAlly-je8ky 3 месяца назад +1

    Mama upo sawasawa

  • @joanitamligo6321
    @joanitamligo6321 3 месяца назад +1

    Huyo mangungu sio kiongozi mzuri haipendi simba yetu na kama angekuwa anaipenda asingekuwa anafanya anayo yafanya leo unasimamisha wanachama hapohapo bado hasajili wanacha wapya huyo nikiongozi wa aina gani kila siku anasemwa yeye tu

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 3 месяца назад

      Nenda kaongoze wewe ,, mangungu mbele kwa mbele,hahaaaaaa manyumbu ya msimbaz bhana

  • @laurentmyeule859
    @laurentmyeule859 3 месяца назад

    Hakika dada uko sawa...hivi Hawa viongoz namna Simba hii inavotuumiza jaman? mangungu ana Nini anachoking'ang'ania Simba?inaumiza sanaa

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 3 месяца назад +1

    MANGUNGU HIVI WE MZEE UNATAKA NINI MPAKA UMEKUWA KING'ANG'ANIZI KAMA KUPE TOKA NDANI YA SIMBA HATUKUTAKI NA UPARA WAKO HUO NDANI YA MIAKA MITATU HUNA MAFANIKIO YOYOTE HUNA HATA HAYA WE KIZEE PUMBAVU

  • @sakinasakina1286
    @sakinasakina1286 3 месяца назад

    mangungu nitapeli tu hyo ataondoka tu

  • @MenruphKahimba
    @MenruphKahimba 3 месяца назад

    MLIKUWA MNAPITISHA KATIBA KWA BIRIANI ,BAHASHA FAIDA YSKE LEO NI KILIO

  • @Jumasadala-n6o
    @Jumasadala-n6o 3 месяца назад

    Mangunga ni yangs

  • @rairaime4953
    @rairaime4953 3 месяца назад

    Tunatakiwa tuumpe muda Mangungu ajenge Simba bora muda bado anao

    • @IssaBosco
      @IssaBosco 3 месяца назад

      Ww pumbu tu kuma kibuyu 😂

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py 3 месяца назад

    Mangungu kwenye ichi hii mbabe

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 3 месяца назад +1

    MANGUNGU SIO KIONGOZI NI MCHUNA NGOZI KUMA LA MAMAKE UTOPOLO MACHOGO FC YULE

  • @JumaSelemani-q1d
    @JumaSelemani-q1d 3 месяца назад

    Duh yan dada nimekuelewa mpaka bac unaongea vizur sana yan ni pwenti sana

  • @eliassimkonda6540
    @eliassimkonda6540 3 месяца назад

    Hakika mfungwa hachagui gereza,inawezekanaje mwenye nyumba yake akawa mkali anapoonyeshwa na mlinzi wake mlango wa kuingilia nyumbani kwake? Mangungu ni aina ya viongozi wale wanaotumia bahasha kuwa viongozi au ndiyo wale vibaraka walio na watu nyuma yao. We are Awake. Any Cry sound brings or ends with tears. 😭😭😭 WHY THE GOVERNMENT DOESN'T ACT ON THIS?.I KNOW WE ARE NOT SO MUCH GOOD ON DESARSITOR PREVENTION BUT WE CAN USE OUR NORMAL BEHAVIORAL CHARACTER OF PROBLEM SOLVING THROUGH DISCUSSIONS . AS LEADING COUNTRY (ON THIS) OF ALL COUNTRIES OF ALL POLES OF AFRICA !!!!? ( TAFAKARI )

  • @shunguhezron9305
    @shunguhezron9305 3 месяца назад

    Huyu dada aisee nitamtafuta nimempenda Sana huyu dada. Huu utulivu na anafikisha hoja Kwa UZITO mkubwa sana

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 3 месяца назад

      Mtafute tu,nyumbu mwenzio ila mangungu haondoki ,na amesema atasajili kivyake

  • @MenruphKahimba
    @MenruphKahimba 3 месяца назад

    NDIO MAANA TUNAITWA MAMBUMBU

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 3 месяца назад

    Utaratibu mlioutumia siosawa mngetumia utaratibu mzuri mangungu angeitisha mkutano kwa maagizo na maamuzi yangetoka ila nyinyi mmefanya tofauti msingefata kikatiba mngetumia utaratibu wa kwenda mahakamani sababu swala hilo wala haiusiani na fifa mngeenda mahakamani mahakama ingemuamuru mwenyekiti kuitisha mkutano ila nyinyi mmetumia shotkati

  • @timothymikola2317
    @timothymikola2317 3 месяца назад

    Mangungu toka

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 3 месяца назад

    Tupo nyuma yako dada mangungu atupishe

  • @gerowadamwandika669
    @gerowadamwandika669 3 месяца назад

    Mangungu tokaaaaa hatukutaki utuongoze toka

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 3 месяца назад

    Kama mnambembeleza hivyo MANGUNGU haondoki kinachotakiwa nguvu sn bila hivyo

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад

    Ivi kweli mangungu kama anazo akili timamu anawezaje kuwa pahala asipotakiwa kama hana maslahi binafsi na ile posho au mshahara mdogo? Kubali yaishe mangungu your not needed any more .

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 3 месяца назад

    Kwanza mangungu anaonekana sio mtu wampira nimemfatilia hatakwenye mahojiano hana ferct

  • @MohamediMbega
    @MohamediMbega 3 месяца назад

    Sisi hatumtaki kabisa uyo ngungu kiongozi feki uyo atoke tu mbona hajielewi uyo mzee

  • @tinkybellah6634
    @tinkybellah6634 3 месяца назад

    Mliwachagua wenyewe msilalamike zaidi fosini waondoke mmewachagua ninyi wenyewe wanachama
    Sasa watoeni ninyi wenyewe
    Viongozi mnachagua ambao hawana kalia ya mpila changamoto ndio hizo

  • @emmanuelmuywanga5255
    @emmanuelmuywanga5255 3 месяца назад

    Viongozi hawafai,sisi mashabiki tutasusia kuingia uwanjani waende wao wenyewe viwanjani.

  • @nicodemusdanieli
    @nicodemusdanieli 3 месяца назад

    Mangungu tuachie timu yetu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 3 месяца назад

    Umeongea point toa mapendekezo kwa WANACHAMA

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 месяца назад

    Kweli kabisa dada yangu viongozi wetu sio Tena huyo mo ajitathimini

  • @SaleheGama
    @SaleheGama 3 месяца назад

    mama umeupigamwingi aposimba viongozi ndiowana tufelisha

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 3 месяца назад

    Simba tujifunze viongoz wetu tunaowaweka watuongoze viongoz wetu wawanachama niwahumi hawana sifa zauongoz tunaomba watupishe tumechoka