Mimi ni Yanga buwanaaaaaa! Ila huyu mama ni kama mama Samia aiseee, anapoint kuliko GB64, ametulia na anaongea Kwa evidence! Big up mama, nakuona sehemu ya juu kuliko hapo ulipo Leo.
Mangungu unajitengenezea sifa mbaya itakayokula maisha yako yote hautopata nafasi yoyote kama kiongozi nchi hii niamini mimi kijana mdgo mwenye maono yake 😎
Ila akili ya Wana Simba bhana ,mnafurahisha kweli yaani mnajiita nguvu Moja af mnashindwa kumtoa mangungu mnaishia kupeana hamasa tu ,hv kwa akili yenu mnafikili mangungu ataondoka ee
Hongereni kwa hatua zote mlizofanya. ILA HUYU MANGUNGU nafikiri ni mro na ana uchu wa madaraka na niseme tu kwa upande wangu kama shabiki wa Simba ni hajitambui na mjinga namba moja. Anapata furaha wapi ya kuendelea kung'a2nia uongozi mahala pamechafuka? Viongozi wa Simba jifikirieni mara mbili. Labda kama mnataka kuharibu club endeleeni ila Mungu yupo yatapatikana majibu tu.
Kumbe ! Amewashinda mwanamke huyo anaongea point wao wawafungia tu wanachama kuna wenzetu mashabiki wa mbeya viongozi wala muwekezaji hawakutoka ama kweli tuna wapiga hela kasoro msemaji wetu hana baya namkubali semaji oyeeee! Kongole kwako 🎉
Mama nikupenda sana Tena sana mangungu anatuletea mambo yakihuni atoke Simba hatumtaki kabisa atoa virusha vyake mpaka kwenye tawi la mpira pesa yule mwenyekiti wa mpira pesa amemnunua Sasa hivi amemnunua anaongea pumba. Mangungu ataondoka tu.
Mwanasimba Mimi Niko tofauti kidogo Mimi naomba sekeseke hili lisikome Hadi kila kitu kikamilike hata angesajiliwa Ronaldo hatukubali hatukubali timu yetu Kuna makandokando Sana safari hii Hadi transi mishen nayo ieleweke safali hii hatutaki upuuuzi😱😱😱😱😱😱😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😫😫😫😫😫😫😫
Mangungu unatakiwa kusikiliza na kuchukua hatua toka kwa kauli ya wengi. Wanachama na Mashabiki wengi sana wa Simba Sc wanakulalamikia ww tena kwa muda mrefu. Kuwapuuza na kuwakejeli ni sawa na kujinunulia matatizo maishani.
Mtabweka sana manyumbu nyie, ila mkae mkijua kuwa mangungu ni mwenyekiti wa Simba ,na yule ng'ombe wenu ni mwenyekiti wa wajumbe kwa hiyo ni vitu viwili tofauti Kila mtu ana Kaz yake pale mikunduni mwa msimbaz
Simba wakiendelea hivi msimu ujao itakuwa shida sana, mashabiki wengi wa simba walilalamika tatizo la simba ni uongozi, yaani uongozi ni wa ovyo, na mangungu anashirikiana na upande wa pili wa uongozi kuihujumu simba, kiujumla uongozi wa simba haufai uondoke, alichokifanya Mo ni paka amekula samaki, samaki ameliwa na paka watu walorudi ktk uongozi ni walewale hakuna kitu, haya mambo yasipo patiwa ufumbuzi naiona simba inakwenda tena kwenye maumivu msimu ujao
Mangungu ni kiongozi mzuri sana tatizo lenu mnaficha ubovu,Mo hawatakii mema miaka mitatu mnafeli na mna mfadhili au mwekezaji yupo kimya tu badilisheni katiba 51% iwe na nguvu kwenye klabu yenu sajilini wanachama na mlipie ada zenu
Dada uko vizuri mno, unajua kuongea kwa kutulia na sio kwa mhemko, na shule inaonekana unayo ya kutosha kwani uko makini sana ktk kichagua maneno ya kuongea, hakika umenikosha sana na nimekupenda bure - Viongozi unaowalenga kama wana ethics za uongozi kweli basi watajitathimini ila kama waliingia kwa malengo tofauti basi watang'ang'ania misimamo yao Hivi hii katiba yenu ya Simba ikoje ? hivi inaruhusu watu kubadilishana uongozi kienyeni kama maandazi ? mfano kama walivyopeana kwa kubadilishana uenyekiti wa bodi Mo na mwenzie Try again hivi ni sahihi kweli ? kwa kweli kama wamefanya kwa mujibu wa katiba yenu basi hiyo katiba ni katiba ya ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani yaani wanapeana kama vile ni taasisi ya familia kwamba baba akiondoka anamuachia mama na mama akiondoka anamteua mtoto mkubwa - Daaah ! yote haya hakuna wa kuboji, aisee umasikini mbaya sana, hebu jamani tutafute hela, usipokuwa na hela (uchumi mzuri) lazima utawaliwe, hongera sana dada yangu uko vizuri ila nakushauri wewe na wenzako mkishawang'oa akina Mangungu na wenzake mgeukie sana kwenye katiba, hii katiba naona ndio kirusi no.1 kwani haiwezekani 51% isiwe na nguvu kwenye maamuzi kuliko 49% wewe uliona wapi ktk Dunia hili kama sio mazingaombwe ?
Huyo mangungu sio kiongozi mzuri haipendi simba yetu na kama angekuwa anaipenda asingekuwa anafanya anayo yafanya leo unasimamisha wanachama hapohapo bado hasajili wanacha wapya huyo nikiongozi wa aina gani kila siku anasemwa yeye tu
MANGUNGU HIVI WE MZEE UNATAKA NINI MPAKA UMEKUWA KING'ANG'ANIZI KAMA KUPE TOKA NDANI YA SIMBA HATUKUTAKI NA UPARA WAKO HUO NDANI YA MIAKA MITATU HUNA MAFANIKIO YOYOTE HUNA HATA HAYA WE KIZEE PUMBAVU
Hakika mfungwa hachagui gereza,inawezekanaje mwenye nyumba yake akawa mkali anapoonyeshwa na mlinzi wake mlango wa kuingilia nyumbani kwake? Mangungu ni aina ya viongozi wale wanaotumia bahasha kuwa viongozi au ndiyo wale vibaraka walio na watu nyuma yao. We are Awake. Any Cry sound brings or ends with tears. 😭😭😭 WHY THE GOVERNMENT DOESN'T ACT ON THIS?.I KNOW WE ARE NOT SO MUCH GOOD ON DESARSITOR PREVENTION BUT WE CAN USE OUR NORMAL BEHAVIORAL CHARACTER OF PROBLEM SOLVING THROUGH DISCUSSIONS . AS LEADING COUNTRY (ON THIS) OF ALL COUNTRIES OF ALL POLES OF AFRICA !!!!? ( TAFAKARI )
Utaratibu mlioutumia siosawa mngetumia utaratibu mzuri mangungu angeitisha mkutano kwa maagizo na maamuzi yangetoka ila nyinyi mmefanya tofauti msingefata kikatiba mngetumia utaratibu wa kwenda mahakamani sababu swala hilo wala haiusiani na fifa mngeenda mahakamani mahakama ingemuamuru mwenyekiti kuitisha mkutano ila nyinyi mmetumia shotkati
Ivi kweli mangungu kama anazo akili timamu anawezaje kuwa pahala asipotakiwa kama hana maslahi binafsi na ile posho au mshahara mdogo? Kubali yaishe mangungu your not needed any more .
Mliwachagua wenyewe msilalamike zaidi fosini waondoke mmewachagua ninyi wenyewe wanachama Sasa watoeni ninyi wenyewe Viongozi mnachagua ambao hawana kalia ya mpila changamoto ndio hizo
Mimi ni Yanga buwanaaaaaa! Ila huyu mama ni kama mama Samia aiseee, anapoint kuliko GB64, ametulia na anaongea Kwa evidence! Big up mama, nakuona sehemu ya juu kuliko hapo ulipo Leo.
Mangungu unajitengenezea sifa mbaya itakayokula maisha yako yote hautopata nafasi yoyote kama kiongozi nchi hii niamini mimi kijana mdgo mwenye maono yake 😎
Uchumi wa ZIMBABWE ULIPOROMOKA KWA ASILIMIA ELFU SITA .Kwa kauli yako umekuwa SAHIHI KWA ASILIMIA ZOTE.
Ila akili ya Wana Simba bhana ,mnafurahisha kweli yaani mnajiita nguvu Moja af mnashindwa kumtoa mangungu mnaishia kupeana hamasa tu ,hv kwa akili yenu mnafikili mangungu ataondoka ee
@@hassanrashid-l3uWw nae wa hovyo kweli
Bonge la Mama!. Shukrani kwa maelezo mazuri Mama Jasiri.
Asante Sana Mama Kwakweli Una stily Pongezi Mangu ni Kibaka kama Vibaķa Wengine
Wana Simba tuache uoga tupiganie Simba yetu tujitoen Wana Simba SS ni nguvu moja
Hongera sana mama nimeipenda hiyo!!!
Oyoooooooooooooooooo
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hafu hawajui wabaya hawajawai kuziona sura zetu.. manguuu manguuu manguuu
Dada yangu umetulia na unajieleza vizur sana Simba nguvu moja
Amina upo? Wanatuumiza hao!
Nipo sanaa
Mama umeongea fact
MUNGU ATUTANGULIE
Hongera dada good news hapo umenena la maana sana habari ndio hio
HONGERA SANA MAMA ! UMEONGEA kwa VIZURI SANA. Ukiona Kiongozi anang'ang'ani uongozi ujue ANA MASLAHI BINAFSI NA FAMILIA YAKE HUSUSUANI MKATE.
Kwa kweli viongozi wa Simba ni wa hovyo sana
Asante sana dada Hawa wanatuona cc kama hatuna akili
Na hamna akili kweli ,we unafikili ng' ombe wenu mwenyew asilimia 49 atamshinda mangung mwenye asilimia 51 ,Kaz kubweka tu hata hamfikilii
Mangungu atapigwa walahi ,,, huu msimu akija uwanjani aje na kikos cha polisi 😂😂😂😂😂....
Hongereni kwa hatua zote mlizofanya. ILA HUYU MANGUNGU nafikiri ni mro na ana uchu wa madaraka na niseme tu kwa upande wangu kama shabiki wa Simba ni hajitambui na mjinga namba moja. Anapata furaha wapi ya kuendelea kung'a2nia uongozi mahala pamechafuka? Viongozi wa Simba jifikirieni mara mbili. Labda kama mnataka kuharibu club endeleeni ila Mungu yupo yatapatikana majibu tu.
Mama hongerasana
Ngungu boy ni muhuni atembee zake!!
Kumbe ! Amewashinda mwanamke huyo anaongea point wao wawafungia tu wanachama kuna wenzetu mashabiki wa mbeya viongozi wala muwekezaji hawakutoka ama kweli tuna wapiga hela kasoro msemaji wetu hana baya namkubali semaji oyeeee! Kongole kwako 🎉
Mama nikupenda sana Tena sana mangungu anatuletea mambo yakihuni atoke Simba hatumtaki kabisa atoa virusha vyake mpaka kwenye tawi la mpira pesa yule mwenyekiti wa mpira pesa amemnunua Sasa hivi amemnunua anaongea pumba. Mangungu ataondoka tu.
Tutulie Kwanza tusajili Mangungu ni mwiba na hata akitaka kugombea ubunge hatumpi
Asante mama tunakata watu kanyinyi .Simba nguvu moja
Safi sana dada
Hongera dadangu pambaneni hii simba sio ya mo wala mangungu nilazima wajifunze kuwajibika
Mangungu hawezi kuongea vizuri na mtu mbabe sana ndo kinachomfelisha
Safi sanaaaaa dada nguvu Moja 💪💪💪💪💪💪💪
Safi sana mama huu ndio utulivu wa kishabiki viongozi chukueni hatua viongozi wetu
Huyomangugu ni shidaaaa kiongozi mzuri niyuleanayesikiliza shidazawanachama huyomangugu mpelekenikwa makondaakapigwe supana
Mama jasili nakupa maua yako
Mama kweli Kabisa wametuchosha wache longolongo Arusha washabiki tunaumia,
Mama uko vizur'
Unahoja za. Msingi,
Safii,sanaa mimi naamin
Wko watu,makini wapo nje
Asante mama 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍
Dada upo vizuri kw haki ya timu yetu.
Hongera sana dada msiogope ni mbele kwa mbele mpaka kwa mama Samia mangungu nani yeye sasa ni wakati sahihi wa kumtua mangungu
Wao wakifanya sherehe za Simba day sisi tufanye mkutano wetu wanasimba
Asante mama kweli ww nijasili pambana tuko wengi Wana simba mangungu atumtaki
Mangungu mtapele
Dada ongera sqna❤❤🎉🎉simba yaan ni aibu sana
nawatakia here nabara
Ka mufanikiwe
Mama nimekupenda sana, uko vizuri sana
Mola akuongoze
Mangungu anatumiaa dictatorship KO mangunguu ananguvu kuliko bosiwakee maana wanachamasa ndo waliomuweka paleeee
Ingekuwa wanachama c wangemtoa ? Mbona mnapayuka tu kumtoa hamuwez
Ahsante Mama jasiriii tuko pamojaa ukwelii nimepeinda saana hii press Simba Nguvu Moja
Movemenr movement aluta contnua
Mwanasimba Mimi Niko tofauti kidogo Mimi naomba sekeseke hili lisikome Hadi kila kitu kikamilike hata angesajiliwa Ronaldo hatukubali hatukubali timu yetu Kuna makandokando Sana safari hii Hadi transi mishen nayo ieleweke safali hii hatutaki upuuuzi😱😱😱😱😱😱😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😫😫😫😫😫😫😫
MANGUNGU HAMNA KIONGOZI PALE NI PAZIA TUU
Nawaomba snaa viongoz wa matawi mkutane mtuandalie mkutano tupo tayri tukutane tufikie mwafaka
Uko vizur dada
Safi sana dada yetu
Mama unajua kuongea sana aisee umeonge point sana
Ongera sana dada /kwanikosa kubwalakikatba nilip ķwaviongoz walilokosea ?
Dada umeongea kwa mapana nimekuelewa vizur ni kweli tudumishe umoja tuijenge club ya smb
Dada umeongea point sana G 64 nawapenda wanachama hatuna viongoz ila tumeweka vibaka
Mangungu kazi unayo
Mangungu unatakiwa kusikiliza na kuchukua hatua toka kwa kauli ya wengi.
Wanachama na Mashabiki wengi sana wa Simba Sc wanakulalamikia ww tena kwa muda mrefu.
Kuwapuuza na kuwakejeli ni sawa na kujinunulia matatizo maishani.
Mtabweka sana manyumbu nyie, ila mkae mkijua kuwa mangungu ni mwenyekiti wa Simba ,na yule ng'ombe wenu ni mwenyekiti wa wajumbe kwa hiyo ni vitu viwili tofauti Kila mtu ana Kaz yake pale mikunduni mwa msimbaz
Ongela dada nimekuelewa sana umeongea kwaweledi mkubwa
Nawaambia Mangungu siokiongozi kaja kuiangamiza Simba
Mangungu chonde chonde naomba umfukuze huyu tunamtaka aje YOUNG AFRICAN
Simba wakiendelea hivi msimu ujao itakuwa shida sana, mashabiki wengi wa simba walilalamika tatizo la simba ni uongozi, yaani uongozi ni wa ovyo, na mangungu anashirikiana na upande wa pili wa uongozi kuihujumu simba, kiujumla uongozi wa simba haufai uondoke, alichokifanya Mo ni paka amekula samaki, samaki ameliwa na paka watu walorudi ktk uongozi ni walewale hakuna kitu, haya mambo yasipo patiwa ufumbuzi naiona simba inakwenda tena kwenye maumivu msimu ujao
Mangungu ni kiongozi mzuri sana tatizo lenu mnaficha ubovu,Mo hawatakii mema miaka mitatu mnafeli na mna mfadhili au mwekezaji yupo kimya tu badilisheni katiba 51% iwe na nguvu kwenye klabu yenu sajilini wanachama na mlipie ada zenu
Toka mangungu kachukua uongozi je amesajili wanachama wapya?
Tulipofaulu Nani alihusika kwenye mafanikio km sio MO mangungu ni tatizo kwenye Simba yetu
Mangungu anaifanya simba kam ccm wanzanzibar hat km hawatakiw hawez kukubali
Nadhani viongozi Wana maslahi na migogoro ndomaana hawataki kuwa wazi
Mtulie bwana
Safi sana Mama lazima tuogea
Dada uko vizuri mno, unajua kuongea kwa kutulia na sio kwa mhemko, na shule inaonekana unayo ya kutosha kwani uko makini sana ktk kichagua maneno ya kuongea, hakika umenikosha sana na nimekupenda bure - Viongozi unaowalenga kama wana ethics za uongozi kweli basi watajitathimini ila kama waliingia kwa malengo tofauti basi watang'ang'ania misimamo yao Hivi hii katiba yenu ya Simba ikoje ? hivi inaruhusu watu kubadilishana uongozi kienyeni kama maandazi ? mfano kama walivyopeana kwa kubadilishana uenyekiti wa bodi Mo na mwenzie Try again hivi ni sahihi kweli ? kwa kweli kama wamefanya kwa mujibu wa katiba yenu basi hiyo katiba ni katiba ya ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani yaani wanapeana kama vile ni taasisi ya familia kwamba baba akiondoka anamuachia mama na mama akiondoka anamteua mtoto mkubwa - Daaah ! yote haya hakuna wa kuboji, aisee umasikini mbaya sana, hebu jamani tutafute hela, usipokuwa na hela (uchumi mzuri) lazima utawaliwe, hongera sana dada yangu uko vizuri ila nakushauri wewe na wenzako mkishawang'oa akina Mangungu na wenzake mgeukie sana kwenye katiba, hii katiba naona ndio kirusi no.1 kwani haiwezekani 51% isiwe na nguvu kwenye maamuzi kuliko 49% wewe uliona wapi ktk Dunia hili kama sio mazingaombwe ?
Dada anaakili sana
Magungu ni jipu kubwa 😅😅😅😅😅 u Swahili mwingi hanaga mipango
Mama huna baya ❤❤❤
Viongozi wa simba . wanachama , washabiki ,wapenzi wa simba na wapenzi wa mpiral wa miguu tunaumia
Safi Dana,
Asante mama, kwa ukweli,mo jìbu wanachama ,tujue msimamo wa simba tunatoka wapi tunaenda 🌔 😅
Bado amjasema namtasema mangungu oyeee
Dada umeongea pwet sana nimekubali mwana simba
Mama upo sawasawa
Huyo mangungu sio kiongozi mzuri haipendi simba yetu na kama angekuwa anaipenda asingekuwa anafanya anayo yafanya leo unasimamisha wanachama hapohapo bado hasajili wanacha wapya huyo nikiongozi wa aina gani kila siku anasemwa yeye tu
Nenda kaongoze wewe ,, mangungu mbele kwa mbele,hahaaaaaa manyumbu ya msimbaz bhana
Hakika dada uko sawa...hivi Hawa viongoz namna Simba hii inavotuumiza jaman? mangungu ana Nini anachoking'ang'ania Simba?inaumiza sanaa
MANGUNGU HIVI WE MZEE UNATAKA NINI MPAKA UMEKUWA KING'ANG'ANIZI KAMA KUPE TOKA NDANI YA SIMBA HATUKUTAKI NA UPARA WAKO HUO NDANI YA MIAKA MITATU HUNA MAFANIKIO YOYOTE HUNA HATA HAYA WE KIZEE PUMBAVU
mangungu nitapeli tu hyo ataondoka tu
MLIKUWA MNAPITISHA KATIBA KWA BIRIANI ,BAHASHA FAIDA YSKE LEO NI KILIO
Mangunga ni yangs
Tunatakiwa tuumpe muda Mangungu ajenge Simba bora muda bado anao
Ww pumbu tu kuma kibuyu 😂
Mangungu kwenye ichi hii mbabe
MANGUNGU SIO KIONGOZI NI MCHUNA NGOZI KUMA LA MAMAKE UTOPOLO MACHOGO FC YULE
Duh yan dada nimekuelewa mpaka bac unaongea vizur sana yan ni pwenti sana
Hakika mfungwa hachagui gereza,inawezekanaje mwenye nyumba yake akawa mkali anapoonyeshwa na mlinzi wake mlango wa kuingilia nyumbani kwake? Mangungu ni aina ya viongozi wale wanaotumia bahasha kuwa viongozi au ndiyo wale vibaraka walio na watu nyuma yao. We are Awake. Any Cry sound brings or ends with tears. 😭😭😭 WHY THE GOVERNMENT DOESN'T ACT ON THIS?.I KNOW WE ARE NOT SO MUCH GOOD ON DESARSITOR PREVENTION BUT WE CAN USE OUR NORMAL BEHAVIORAL CHARACTER OF PROBLEM SOLVING THROUGH DISCUSSIONS . AS LEADING COUNTRY (ON THIS) OF ALL COUNTRIES OF ALL POLES OF AFRICA !!!!? ( TAFAKARI )
Huyu dada aisee nitamtafuta nimempenda Sana huyu dada. Huu utulivu na anafikisha hoja Kwa UZITO mkubwa sana
Mtafute tu,nyumbu mwenzio ila mangungu haondoki ,na amesema atasajili kivyake
NDIO MAANA TUNAITWA MAMBUMBU
Utaratibu mlioutumia siosawa mngetumia utaratibu mzuri mangungu angeitisha mkutano kwa maagizo na maamuzi yangetoka ila nyinyi mmefanya tofauti msingefata kikatiba mngetumia utaratibu wa kwenda mahakamani sababu swala hilo wala haiusiani na fifa mngeenda mahakamani mahakama ingemuamuru mwenyekiti kuitisha mkutano ila nyinyi mmetumia shotkati
Mangungu toka
Tupo nyuma yako dada mangungu atupishe
Mangungu tokaaaaa hatukutaki utuongoze toka
Kama mnambembeleza hivyo MANGUNGU haondoki kinachotakiwa nguvu sn bila hivyo
Ivi kweli mangungu kama anazo akili timamu anawezaje kuwa pahala asipotakiwa kama hana maslahi binafsi na ile posho au mshahara mdogo? Kubali yaishe mangungu your not needed any more .
Kwanza mangungu anaonekana sio mtu wampira nimemfatilia hatakwenye mahojiano hana ferct
Sisi hatumtaki kabisa uyo ngungu kiongozi feki uyo atoke tu mbona hajielewi uyo mzee
Mliwachagua wenyewe msilalamike zaidi fosini waondoke mmewachagua ninyi wenyewe wanachama
Sasa watoeni ninyi wenyewe
Viongozi mnachagua ambao hawana kalia ya mpila changamoto ndio hizo
Viongozi hawafai,sisi mashabiki tutasusia kuingia uwanjani waende wao wenyewe viwanjani.
Mangungu tuachie timu yetu
Umeongea point toa mapendekezo kwa WANACHAMA
Kweli kabisa dada yangu viongozi wetu sio Tena huyo mo ajitathimini
mama umeupigamwingi aposimba viongozi ndiowana tufelisha
Simba tujifunze viongoz wetu tunaowaweka watuongoze viongoz wetu wawanachama niwahumi hawana sifa zauongoz tunaomba watupishe tumechoka