RAYVANNY Alivyopagawa na MIUNO ya Mrembo huyu/Ammwagia MIHELA Jukwaani LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Hii hapa Show ya Rayvanny kwenye tamasha la Serengeti Lite Gwambina Lounge Jijini Dar es Salaam
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Rayvanny
The real mean of talent 🔥🔥🔥🔥
Bless bless young boy angu❤🎤🎙️.. Mungu akuinue zaidi na zaidi... Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana.
Ryvanny ni mnoma adi ana tengeneza song kwa Stage.wah kaliii.
Ow vp
Chui Safi sana,kipaji na hela.hongera kaka
chuwi musenge tu
Eti hiyo miuno ifike wasafi imfikie chibu, rayvan huwa anamchokoza sana diamond
King of free style chuii is fire
Mm nimebakisha kiuno cha kitandani tu niwe na mme wangu sio cha kuonasha watu najuwa ikifika chumbani ni ngongo mwali mungu aniepushe na hii hali ya kujiweke belebele pasipo na fainda
nakwambia mm nguvu nlizo baki nazo n za kitandani tu, ila shida hizi apana 😂😂😂😂
Kwanza hawana nyama
❤
😂😂
Mwenye kutingiza kiuno anatosha
Wadada samani zetu zimeshuka san mungu tu naitaji mkono wako peke yetu hatuwez
Nakuambia hii dunia hata sijui mwanaume wataoa nani kwa kweli
Mtoto wangu hawezi toka kama amevaa mavazi haya
@@bethueltahash927my dear. Tumuombe sana Mungu! Kilamzaz hupenda mtoto wake avae mavazi ya khekima. Utakuta watoto wanafanya haya, nawazaz wao hawajui😢😢🤲🤲🙏🙏
@@bethueltahash927😂😂😂😂
😭😭😭😭😭
Salute my G harmonize 💥nakukubali daily
Nakubali sana kijana unaupiga mwingii 💯💯
Chuwi the number one freestyle
I love that free style 6:00
Daa mungu awasaidie sana wadad
Hakika Rehema za Mungu ziingilie kati
Wewe ni mwanaume Rayvanny 💪💪💪
Yes
Mbona wasichana wa Kenya wako na viuno vigumu kama maisha yetu watanzania
Skiliza acent zao ndio useme n wakenya au tz
Kenya hakuna serengeti
Ktk mabaunsa wa next level music km nimemuona mwanangu Azizi Membe.!
Wow that's great ❤️❤️ 8:06
Kazi nzuriii❤
Inchalla dina bakhe courage frère
You are a good musician
❤❤❤kali sana
Injoy ur valentine
Waaah wanawezah
Always being amazing
Kumbe kawimbi kakali nilikua nakazarau kuplay nimekusa kumbe akina pweza wa kutabili mapenzi nawo wapo hahahahahaha,,,,,,,,,,,,, salute to you guys 👍
My Star Rayvanny Chui
It's fantastic
Huyo mwenye dress ya pink❤
Be blessed
Asante sana, Shukla ✍️😊😅😋😌🙃🙂😌😴☺️
Nice
The most multitalented artist in East Africa
Lazima ujue kutofautisha mwanamke wa kuoa na mwanamke wa starehe
Ndio hio sasa
😅😅😅😅😅😅weuhh
😂😂
😂😂😂😂
That's the reality
🎉🎉🎉❤❤❤more fire
Hatar sana❤❤❤❤
Nice❤❤❤❤❤
its fantastic
😮 kweny hii dunia ogopa sana mwanamke,mzungu na teknolojia
Asante Sana CHUI ❤❤💫💪✨💪🐆
Aaaah watanzania bwana hamjui chochote
Njoo Kenya kisha uchague hivi tu utaona moto bwana
Dah uyo dada mwenye gushape natako kubwa Jinsi anacheza wallah mungu ndo anaejua 😅😅😅😅 yaan utafikir kambale yupo kwatope kakosa maji 😂😂😂😂😂
What were they real doing😅😅 anyway much love to Rayvanny❤
My kwesheni too😂😂😂
Wazii 🎉🎉🎉
Wanawake wamekuwa sanaa yaani ni chombo Cha kujifurahisha..
Watu wana mshepu kucheza hawawezi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Msichokijuwa adi mond nyimb anatungiwa na rayvny
First one
Wow happ kwa kusurprise nmefurai
Chui umetisha
HAhahhaa Ravynny Unawasanya BAba 😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanawake mumevaa uchiuchi tu halafu badae unaanza siolewi na mkosi gani kumbe tabia sasa hapo Kuna mke wa kuoa kweli
❤chui unajua tena sana💋💯👌👈
Shangaaaz njoo kuone mwaisa huku
Kumbe kuwa na matako makubwa kiuno kinaelemewa 😂kosa matako pata kiuno
😂😂
😂😂
Rayvanny kuja nairobii .....uone kiunooo
Yawakale au wakamba hata zibambagi style tuwachie tz
Chui ni🔥🔥🔥
Ila wadada uwa tunavaa nguo ambazo mmmh
Wetako hapo kanisan kwan
Ulitaka wavae dera kwa klabu au vipi ?
Mimi naombatu brother ninakijanna anaitwa killy blanks anaimba vizur sana naana andika vizur sana anaitwa killy blanks naomba mumu sapos
Hawa nawasubiri jehanam 😂 niwaongezee moto
S2 sw
Kuna mwana nimemsikia yan yule kimbaumbau ndo apate hela nying kuliko hao sijaelewa kabisa hahahah
Kabisa
Aa😂
SUBHANALLAH N UYU RAYVANNY N MUSLIM JAMAN WW KUMBUKA AKHERAA KUNA MOTO AYAA😢😢😢
Umefata nn uku nawewe kama sio umalaya tuu
😂😂😂😂@@jurmainezaidi739
wow
😂😂😂😂😂kukosa kazi pia kazi
𝓱𝓪𝔀𝓪𝓳𝓪𝓽𝓲𝓼𝓱𝓪 𝓼𝓲𝓳𝓪𝓸𝓷𝓪 𝓱𝓪𝓹𝓸😂😂😂
Wakati Kenya inafanya maendeleo Tanzania nikutingisha tu😂
Apo ni burundi dear
Yule mwenye kibukta cheusi n kisidiria kundi la 1 kacheza vizuri
The one with dress 4 me
Hatari
Kumbe ujinga yenyu inashinda ya Kenya?
Unyamaze au nikukujie mkunduthe weye fakini
Whau
Doooooh wanawakeeee hovyo
Hovy mwenzang
Ray acha kuwadhalilisha wanawake japo wao ndio wameitoa thamani yao ila jukumu lakonni kuitunza thamani ya mwanamke
Nimependa michano
Ama
Hao ni wadangaji tu
On fire 🔥 chuii
Hawajui hata kujua😢😢
mmh kwann asingekuwa huyu aliyefunga shati kiunoni mbona kaua sana
Wanawake mda mwengne tujihexhim
Huyu ni chui bana wengine ni paka tu.
Kumbe Rayvanny anajuaga commedy
Wela mr vp
aibu jaman
Good singer in Tanzania
LGB IS AROUND THE COURNET FOR THAT 🏃
Kila nikiangalia shoo hii jaman napendaga sana maana watu wembamba hua tunadharaulika sana, ila shoo bwana tunaipiga popote tena bila jasho wadau
Wale wakwanza kucheza baada ya kuona mwenzao amefunika wakaanza kujadiliana 😅😅😅😅
Swali tu ,hawa walikuwa na waumme zao kwenye show??😂😂
😭😭😭😭😭wanawake, wa dada💔mmejifanya tishu, hiyo kesho inatisha na haielezeki.
Kak nakubali
❤
Mwanaume sifa kutafta pesa mambo mengine haya yanijiset ynywe
Bro hiro song ritoe
Indo wanaitaga ku kodi vitu bila kuvilipiya😂
Mbona viuno vyao vyenyewe vigumu kama maisha ya wakenya
😮
Rayvnne il avait un problème de téléphone afin que nous puissions
Kweli wana wake tuna moyo tunamoyo jaman😢😢😢😢
Safi😂😂
Akuna kituu giggy money kiboko yao😂
So nice Aki💕❣️💕💕✔️✔️✔️✔️✔️✔️
Come see Kenyans lady .....hawa wanajifunza tuu kuchezaaa😂😂😂😂😂😂......am sorry for telling you guys the truth.....
Tell me
Tell them again😂😂😂😂
Huku ni tz