RAYVANNY Alivyopagawa na MIUNO ya Mrembo huyu/Ammwagia MIHELA Jukwaani LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Hii hapa Show ya Rayvanny kwenye tamasha la Serengeti Lite Gwambina Lounge Jijini Dar es Salaam
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Rayvanny

Комментарии • 339

  • @tiger0gtiger0g32
    @tiger0gtiger0g32 Год назад +21

    The real mean of talent 🔥🔥🔥🔥

  • @DavidKamena-i4e
    @DavidKamena-i4e 3 месяца назад +2

    Bless bless young boy angu❤🎤🎙️.. Mungu akuinue zaidi na zaidi... Endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana.

  • @bonny_kenya
    @bonny_kenya 9 месяцев назад +36

    Ryvanny ni mnoma adi ana tengeneza song kwa Stage.wah kaliii.

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 3 месяца назад +6

    Chui Safi sana,kipaji na hela.hongera kaka

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Год назад +16

    Eti hiyo miuno ifike wasafi imfikie chibu, rayvan huwa anamchokoza sana diamond

  • @iranezerejeibrahim832
    @iranezerejeibrahim832 9 месяцев назад +8

    King of free style chuii is fire

  • @fatmahmkuzi
    @fatmahmkuzi 9 месяцев назад +20

    Mm nimebakisha kiuno cha kitandani tu niwe na mme wangu sio cha kuonasha watu najuwa ikifika chumbani ni ngongo mwali mungu aniepushe na hii hali ya kujiweke belebele pasipo na fainda

  • @mwajumahamisi2006
    @mwajumahamisi2006 Год назад +53

    Wadada samani zetu zimeshuka san mungu tu naitaji mkono wako peke yetu hatuwez

    • @bethueltahash927
      @bethueltahash927 9 месяцев назад

      Nakuambia hii dunia hata sijui mwanaume wataoa nani kwa kweli

    • @bethueltahash927
      @bethueltahash927 9 месяцев назад

      Mtoto wangu hawezi toka kama amevaa mavazi haya

    • @AishaMaganga-vd1jg
      @AishaMaganga-vd1jg 9 месяцев назад +3

      ​@@bethueltahash927my dear. Tumuombe sana Mungu! Kilamzaz hupenda mtoto wake avae mavazi ya khekima. Utakuta watoto wanafanya haya, nawazaz wao hawajui😢😢🤲🤲🙏🙏

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 9 месяцев назад

      ​@@bethueltahash927😂😂😂😂

    • @HappyArcticBirds-iy3dg
      @HappyArcticBirds-iy3dg 9 месяцев назад

      😭😭😭😭😭

  • @Trapking-c7d
    @Trapking-c7d Месяц назад

    Salute my G harmonize 💥nakukubali daily

  • @gasto6370
    @gasto6370 2 месяца назад +1

    Nakubali sana kijana unaupiga mwingii 💯💯

  • @NdayishimiyebababoushrNdayishi
    @NdayishimiyebababoushrNdayishi 4 месяца назад +4

    Chuwi the number one freestyle

  • @samwelshilungu4370
    @samwelshilungu4370 Год назад +7

    I love that free style 6:00

  • @RichardGift-f4v
    @RichardGift-f4v 9 месяцев назад +5

    Daa mungu awasaidie sana wadad

    • @paulinaswai6661
      @paulinaswai6661 8 месяцев назад

      Hakika Rehema za Mungu ziingilie kati

  • @elisharonoh8822
    @elisharonoh8822 9 месяцев назад +3

    Wewe ni mwanaume Rayvanny 💪💪💪

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 9 месяцев назад +5

    Mbona wasichana wa Kenya wako na viuno vigumu kama maisha yetu watanzania

  • @omaryshomari7892
    @omaryshomari7892 9 месяцев назад +1

    Ktk mabaunsa wa next level music km nimemuona mwanangu Azizi Membe.!

    • @Luffyteam32
      @Luffyteam32 9 месяцев назад

      Wow that's great ❤️❤️ 8:06

  • @CarolineKyalo-rg7up
    @CarolineKyalo-rg7up 3 месяца назад +1

    Kazi nzuriii❤

  • @DaoudaMbarickDiop-gt8ur
    @DaoudaMbarickDiop-gt8ur 9 месяцев назад +1

    Inchalla dina bakhe courage frère

  • @ChipilongoSalumsyi
    @ChipilongoSalumsyi 2 месяца назад

    You are a good musician

  • @KINGSTAR-xv1fv
    @KINGSTAR-xv1fv 5 месяцев назад +2

    ❤❤❤kali sana

  • @TasiuKabir-mj4ye
    @TasiuKabir-mj4ye 8 месяцев назад +4

    Injoy ur valentine

  • @TiffanyOgeto
    @TiffanyOgeto 4 месяца назад +1

    Waaah wanawezah

  • @JoyAchieng-p1o
    @JoyAchieng-p1o Месяц назад

    Always being amazing

  • @IbrahMoyo
    @IbrahMoyo 27 дней назад

    Kumbe kawimbi kakali nilikua nakazarau kuplay nimekusa kumbe akina pweza wa kutabili mapenzi nawo wapo hahahahahaha,,,,,,,,,,,,, salute to you guys 👍

  • @MorningboyCatbrfj649
    @MorningboyCatbrfj649 2 месяца назад +1

    My Star Rayvanny Chui

  • @tabithatabith
    @tabithatabith 8 месяцев назад +1

    It's fantastic

  • @JumaRajab-ir9qm
    @JumaRajab-ir9qm 4 месяца назад +1

    Huyo mwenye dress ya pink❤

  • @JecintaNaserian-kh5ez
    @JecintaNaserian-kh5ez 7 месяцев назад +1

    Be blessed

  • @nakibingeakim9805
    @nakibingeakim9805 9 месяцев назад +1

    Asante sana, Shukla ✍️😊😅😋😌🙃🙂😌😴☺️

  • @djsmrtboy254
    @djsmrtboy254 3 месяца назад +2

    Nice

  • @yojoruta3379
    @yojoruta3379 Год назад +12

    The most multitalented artist in East Africa

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад +131

    Lazima ujue kutofautisha mwanamke wa kuoa na mwanamke wa starehe

  • @AsdAsd-xg4sc
    @AsdAsd-xg4sc 4 месяца назад +1

    🎉🎉🎉❤❤❤more fire

  • @NasraSalimu
    @NasraSalimu Месяц назад

    Hatar sana❤❤❤❤

  • @Sharon-gj7ep
    @Sharon-gj7ep 2 месяца назад +1

    Nice❤❤❤❤❤

  • @maisamedia
    @maisamedia 9 месяцев назад +2

    its fantastic

  • @msaefuofficial3196
    @msaefuofficial3196 8 месяцев назад +1

    😮 kweny hii dunia ogopa sana mwanamke,mzungu na teknolojia

  • @mathiangmarach-mt2wl
    @mathiangmarach-mt2wl 4 месяца назад

    Asante Sana CHUI ❤❤💫💪✨💪🐆

  • @hellentoz
    @hellentoz 8 дней назад

    Aaaah watanzania bwana hamjui chochote
    Njoo Kenya kisha uchague hivi tu utaona moto bwana

  • @LeahMagembe
    @LeahMagembe 9 месяцев назад +3

    Dah uyo dada mwenye gushape natako kubwa Jinsi anacheza wallah mungu ndo anaejua 😅😅😅😅 yaan utafikir kambale yupo kwatope kakosa maji 😂😂😂😂😂

  • @irealyxchamdori596
    @irealyxchamdori596 8 месяцев назад +3

    What were they real doing😅😅 anyway much love to Rayvanny❤

    • @Jackline139
      @Jackline139 8 месяцев назад

      My kwesheni too😂😂😂

  • @hamisisifachembe6427
    @hamisisifachembe6427 5 дней назад

    Wazii 🎉🎉🎉

  • @ENTPowerproduction
    @ENTPowerproduction 8 месяцев назад +1

    Wanawake wamekuwa sanaa yaani ni chombo Cha kujifurahisha..

  • @mwanashemwanashe
    @mwanashemwanashe 9 месяцев назад +6

    Watu wana mshepu kucheza hawawezi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @EdithaMhebuka
    @EdithaMhebuka 7 месяцев назад

    Msichokijuwa adi mond nyimb anatungiwa na rayvny

  • @FrankUlomi
    @FrankUlomi 4 месяца назад

    First one

  • @vinickerubo277
    @vinickerubo277 4 месяца назад

    Wow happ kwa kusurprise nmefurai

  • @DeusChaula-xv5gj
    @DeusChaula-xv5gj 9 месяцев назад +1

    Chui umetisha

  • @josephatkipkemei
    @josephatkipkemei Месяц назад +1

    HAhahhaa Ravynny Unawasanya BAba 😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @joharyMussa-kc5vs
    @joharyMussa-kc5vs 2 месяца назад +1

    Wanawake mumevaa uchiuchi tu halafu badae unaanza siolewi na mkosi gani kumbe tabia sasa hapo Kuna mke wa kuoa kweli

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Год назад +9

    ❤chui unajua tena sana💋💯👌👈

  • @SwaumuIssa-s8m
    @SwaumuIssa-s8m 13 дней назад

    Shangaaaz njoo kuone mwaisa huku

  • @sporastica7174
    @sporastica7174 Год назад +7

    Kumbe kuwa na matako makubwa kiuno kinaelemewa 😂kosa matako pata kiuno

  • @annemellisa2107
    @annemellisa2107 8 месяцев назад +3

    Rayvanny kuja nairobii .....uone kiunooo

    • @HamphreyMafwenyi
      @HamphreyMafwenyi 5 месяцев назад

      Yawakale au wakamba hata zibambagi style tuwachie tz

  • @EllyOkubasu
    @EllyOkubasu 3 месяца назад

    Chui ni🔥🔥🔥

  • @maimunashaban4932
    @maimunashaban4932 Год назад +7

    Ila wadada uwa tunavaa nguo ambazo mmmh

  • @IgulyatiMalale-wo4el
    @IgulyatiMalale-wo4el 2 месяца назад

    Mimi naombatu brother ninakijanna anaitwa killy blanks anaimba vizur sana naana andika vizur sana anaitwa killy blanks naomba mumu sapos

  • @HenryBaraka-j6h
    @HenryBaraka-j6h 9 месяцев назад +5

    Hawa nawasubiri jehanam 😂 niwaongezee moto

  • @raymondrobert6560
    @raymondrobert6560 Год назад +8

    Kuna mwana nimemsikia yan yule kimbaumbau ndo apate hela nying kuliko hao sijaelewa kabisa hahahah

  • @SalmaTelkom
    @SalmaTelkom 9 месяцев назад +1

    SUBHANALLAH N UYU RAYVANNY N MUSLIM JAMAN WW KUMBUKA AKHERAA KUNA MOTO AYAA😢😢😢

    • @jurmainezaidi739
      @jurmainezaidi739 9 месяцев назад +2

      Umefata nn uku nawewe kama sio umalaya tuu

    • @EstherJoram-gt4lt
      @EstherJoram-gt4lt 9 месяцев назад

      😂😂😂😂​@@jurmainezaidi739

  • @JohnnyKinyua
    @JohnnyKinyua 6 месяцев назад +1

    wow

  • @mamakenajma3257
    @mamakenajma3257 9 месяцев назад +4

    😂😂😂😂😂kukosa kazi pia kazi

  • @Jescabonniface
    @Jescabonniface 23 дня назад +1

    𝓱𝓪𝔀𝓪𝓳𝓪𝓽𝓲𝓼𝓱𝓪 𝓼𝓲𝓳𝓪𝓸𝓷𝓪 𝓱𝓪𝓹𝓸😂😂😂

  • @samuelmuriithiwanjiru6684
    @samuelmuriithiwanjiru6684 8 месяцев назад +3

    Wakati Kenya inafanya maendeleo Tanzania nikutingisha tu😂

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy 4 месяца назад

      Apo ni burundi dear

  • @EstherJoram-gt4lt
    @EstherJoram-gt4lt 9 месяцев назад +1

    Yule mwenye kibukta cheusi n kisidiria kundi la 1 kacheza vizuri

  • @elvischumba7389
    @elvischumba7389 9 месяцев назад

    The one with dress 4 me

  • @Hadijabakari-o6y
    @Hadijabakari-o6y 6 месяцев назад

    Hatari

  • @georgewaweru7348
    @georgewaweru7348 5 месяцев назад +1

    Kumbe ujinga yenyu inashinda ya Kenya?

    • @Antonybaya-z5u
      @Antonybaya-z5u 4 месяца назад

      Unyamaze au nikukujie mkunduthe weye fakini

  • @ZumaZuma-x2r
    @ZumaZuma-x2r 22 дня назад

    Whau

  • @Shaha-d1i
    @Shaha-d1i 9 месяцев назад +2

    Doooooh wanawakeeee hovyo

  • @rashidrajab1391
    @rashidrajab1391 9 месяцев назад +1

    Ray acha kuwadhalilisha wanawake japo wao ndio wameitoa thamani yao ila jukumu lakonni kuitunza thamani ya mwanamke

  • @bayuumohamed9048
    @bayuumohamed9048 Год назад +2

    Nimependa michano

  • @SoniaSony-r2x
    @SoniaSony-r2x 9 месяцев назад +2

    Hao ni wadangaji tu

  • @AloyceMathayo
    @AloyceMathayo 9 месяцев назад

    On fire 🔥 chuii

  • @SamiaOmary-wb6sx
    @SamiaOmary-wb6sx 3 месяца назад

    Hawajui hata kujua😢😢

  • @wedykhan2306
    @wedykhan2306 Год назад +3

    mmh kwann asingekuwa huyu aliyefunga shati kiunoni mbona kaua sana

  • @Furaha-y9p
    @Furaha-y9p Месяц назад

    Wanawake mda mwengne tujihexhim

  • @jeffking254
    @jeffking254 8 месяцев назад +1

    Huyu ni chui bana wengine ni paka tu.

  • @DimaillOfficial
    @DimaillOfficial 9 месяцев назад

    Kumbe Rayvanny anajuaga commedy

  • @MzunguJanji
    @MzunguJanji 3 месяца назад

    Wela mr vp

  • @SamoraBanda-q8k
    @SamoraBanda-q8k 6 дней назад

    aibu jaman

  • @KabweSamuel-n3m
    @KabweSamuel-n3m 23 дня назад

    Good singer in Tanzania

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Год назад +3

    LGB IS AROUND THE COURNET FOR THAT 🏃

  • @MwanahawaSeif-d6k
    @MwanahawaSeif-d6k 2 месяца назад

    Kila nikiangalia shoo hii jaman napendaga sana maana watu wembamba hua tunadharaulika sana, ila shoo bwana tunaipiga popote tena bila jasho wadau

  • @JustinaSamson-xm2xu
    @JustinaSamson-xm2xu 3 месяца назад

    Wale wakwanza kucheza baada ya kuona mwenzao amefunika wakaanza kujadiliana 😅😅😅😅

  • @Mamazgal
    @Mamazgal 8 месяцев назад +1

    Swali tu ,hawa walikuwa na waumme zao kwenye show??😂😂

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 9 месяцев назад +6

    😭😭😭😭😭wanawake, wa dada💔mmejifanya tishu, hiyo kesho inatisha na haielezeki.

  • @SwaumPasco
    @SwaumPasco 3 месяца назад

    Kak nakubali

  • @ZabronWewe
    @ZabronWewe 4 месяца назад

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p 7 дней назад

    Mwanaume sifa kutafta pesa mambo mengine haya yanijiset ynywe

  • @MussaJoseph-k6w
    @MussaJoseph-k6w 7 месяцев назад

    Bro hiro song ritoe

  • @Yasbaby-od3fb
    @Yasbaby-od3fb 9 дней назад

    Indo wanaitaga ku kodi vitu bila kuvilipiya😂

  • @georgekisanjo6539
    @georgekisanjo6539 8 месяцев назад

    Mbona viuno vyao vyenyewe vigumu kama maisha ya wakenya

  • @ngadupastuzo
    @ngadupastuzo 8 месяцев назад +1

    😮

  • @MugwanashakaAlex
    @MugwanashakaAlex 2 месяца назад

    Rayvnne il avait un problème de téléphone afin que nous puissions

  • @PriscaMsyagi
    @PriscaMsyagi 8 месяцев назад

    Kweli wana wake tuna moyo tunamoyo jaman😢😢😢😢

  • @mwanaidi-cn1dw
    @mwanaidi-cn1dw 3 месяца назад

    Safi😂😂

  • @barakaramadhan4135
    @barakaramadhan4135 2 месяца назад

    Akuna kituu giggy money kiboko yao😂

  • @dj.dabotrambo
    @dj.dabotrambo 9 месяцев назад

    So nice Aki💕❣️💕💕✔️✔️✔️✔️✔️✔️

  • @lorinewamariofficial763
    @lorinewamariofficial763 9 месяцев назад +8

    Come see Kenyans lady .....hawa wanajifunza tuu kuchezaaa😂😂😂😂😂😂......am sorry for telling you guys the truth.....