Kibu Dennis, Ahoua, Mutale, mohamed Husein , Kijili, hzi zte n gasia sion kma kna ki2 wmefnya leo ...Kibu atoa mpira mbali akifka kwny lngo anapoteza umakini na anachez mpira wa uchoyo sna angecheza vzr na Ateba angefunga ila mipura inamtok kw urahisi , Ahoua anachok hraka na hana nguv wla through passes pia hana
Wacha uongokwa nchi nzima we ndyo unajua yanga ilifungwa mara tano,katengenezentimu fala we,unataka penati hujaona dube alikuwa wa mwisho akawekwa chini siyo.kadi nyekundu ile?acha ujinga
Huyu jamaa ni kolo anayejua mpira
Williams simba1 unajua
Simba ilikuwa na ball possession ndogo kuliko Yanga
Huyu shabiki wa kolo anaongea kwa utulivu sana
Kk upo vizur
Kaka umesema kweli
Huyu jamaa ndo nimeona anajua mpira hajaongea kishabiki
Mbona hawaongei kuhusu Dube kuvutwa na beki wa mwisho na akaishia kupewa njano badala ya red
Huyo Kolo ndio Mwenye Kujuwa mpira ona hilo jamaa la Yanga lenye mirangi uso mzima halina Akili wala mpira haujuwi Kazi mirangi tu
Yanga ni hatari ukimwacha arelax Kipindi cha pili walidrop Yanga wakaja juu hasa baada ya kuingia Mzize na Musonda
Huyu jamaa anaongea football!
Huyu shabiki wa kolo anaakili sio wale wachumia tumbo
Kibu Dennis, Ahoua, Mutale, mohamed Husein , Kijili, hzi zte n gasia sion kma kna ki2 wmefnya leo ...Kibu atoa mpira mbali akifka kwny lngo anapoteza umakini na anachez mpira wa uchoyo sna angecheza vzr na Ateba angefunga ila mipura inamtok kw urahisi , Ahoua anachok hraka na hana nguv wla through passes pia hana
Basi tuwarudishie chama😂😂
HATA MLIE LIENI TU HBR NDO HIYO. NA YANGA IMENYIMWA PENART KAMARA KAMSHIKA MGUU MUSONDA. MNALILIA PENART MLICHOONYESHA UWANJANI NI NN CHA MAANA.
Hakika anaejua anajua
Wacha uongokwa nchi nzima we ndyo unajua yanga ilifungwa mara tano,katengenezentimu fala we,unataka penati hujaona dube alikuwa wa mwisho akawekwa chini siyo.kadi nyekundu ile?acha ujinga