SHABIKI WA SIMBA ALIZWA NA MATOKEO| TAYARI YANGA BINGWA, AKUBALI MATOKEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 17

  • @lubuvahussein5556
    @lubuvahussein5556 День назад +3

    Huyu jamaa ni kolo anayejua mpira

  • @mwangosiwilliam9054
    @mwangosiwilliam9054 День назад

    Williams simba1 unajua

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 2 дня назад +4

    Simba ilikuwa na ball possession ndogo kuliko Yanga

  • @JosephChrisant
    @JosephChrisant 2 дня назад +5

    Huyu shabiki wa kolo anaongea kwa utulivu sana

  • @AGNELANYONI-w9g
    @AGNELANYONI-w9g День назад +1

    Kk upo vizur

  • @barakamisila
    @barakamisila День назад +1

    Kaka umesema kweli

  • @afrodailytv4335
    @afrodailytv4335 2 дня назад +2

    Huyu jamaa ndo nimeona anajua mpira hajaongea kishabiki

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 2 дня назад +2

    Mbona hawaongei kuhusu Dube kuvutwa na beki wa mwisho na akaishia kupewa njano badala ya red

  • @AhmedJeizan
    @AhmedJeizan День назад

    Huyo Kolo ndio Mwenye Kujuwa mpira ona hilo jamaa la Yanga lenye mirangi uso mzima halina Akili wala mpira haujuwi Kazi mirangi tu

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 дня назад

    Yanga ni hatari ukimwacha arelax Kipindi cha pili walidrop Yanga wakaja juu hasa baada ya kuingia Mzize na Musonda

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima6106 2 дня назад +3

    Huyu jamaa anaongea football!

  • @James-sz4ec
    @James-sz4ec 2 дня назад +1

    Huyu shabiki wa kolo anaakili sio wale wachumia tumbo

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 2 дня назад

    Kibu Dennis, Ahoua, Mutale, mohamed Husein , Kijili, hzi zte n gasia sion kma kna ki2 wmefnya leo ...Kibu atoa mpira mbali akifka kwny lngo anapoteza umakini na anachez mpira wa uchoyo sna angecheza vzr na Ateba angefunga ila mipura inamtok kw urahisi , Ahoua anachok hraka na hana nguv wla through passes pia hana

  • @juniorndambalilo66
    @juniorndambalilo66 2 дня назад

    Basi tuwarudishie chama😂😂

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 День назад

    HATA MLIE LIENI TU HBR NDO HIYO. NA YANGA IMENYIMWA PENART KAMARA KAMSHIKA MGUU MUSONDA. MNALILIA PENART MLICHOONYESHA UWANJANI NI NN CHA MAANA.

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 2 дня назад

    Hakika anaejua anajua

  • @HarunakiongoziMohamed
    @HarunakiongoziMohamed 2 дня назад

    Wacha uongokwa nchi nzima we ndyo unajua yanga ilifungwa mara tano,katengenezentimu fala we,unataka penati hujaona dube alikuwa wa mwisho akawekwa chini siyo.kadi nyekundu ile?acha ujinga