Hawafanyi hivyo bro 😂. Fanya research kwanza ujue vitu zenye unasema kabla uongee 😂. Kwani hamna accountant kwa mosque Ama masjid mwenye anaweza kukueleza hizi vitu vizuri uelewe vipoa? 😂
@@sheikhfadhilaljahdhamy6751 sawa lakini tafuta mtu ako na in depth knowledge ya Kenyan finance and economy kwa mosque yako ama masjid yako akuelezee situation ya kenya vizuri bro juu haujui kitu unasema bana 😂 inakufanya ukae mwendawazimu kidogo
@@itsTheTruthTeller Na kwa mujibu wa UN chief ansema hali ya fedha ni haifanyi kazi, imepitwa na wakati na si haki. Kwahivyo wakichukua madeni ndio uchumi unakufa. Sikiza documentary inaitwa Money Masters The Rise Of The Bankers iko katika RUclips
Wanachapisha pesa serikali wanao central bank kisha sisi tulipe ushuru
Hawafanyi hivyo bro 😂. Fanya research kwanza ujue vitu zenye unasema kabla uongee 😂. Kwani hamna accountant kwa mosque Ama masjid mwenye anaweza kukueleza hizi vitu vizuri uelewe vipoa? 😂
@@itsTheTruthTeller
Msikize mwana wa uchumi anaitwa ray dalio na Milton Friedman ana noble prize winner pesa inachapishwa
@@sheikhfadhilaljahdhamy6751 sawa lakini tafuta mtu ako na in depth knowledge ya Kenyan finance and economy kwa mosque yako ama masjid yako akuelezee situation ya kenya vizuri bro juu haujui kitu unasema bana 😂 inakufanya ukae mwendawazimu kidogo
@@itsTheTruthTeller
Na kwa mujibu wa UN chief ansema hali ya fedha ni haifanyi kazi, imepitwa na wakati na si haki. Kwahivyo wakichukua madeni ndio uchumi unakufa. Sikiza documentary inaitwa Money Masters The Rise Of The Bankers iko katika RUclips
@@sheikhfadhilaljahdhamy6751 ongea na mkenya mwenzako mwenye anaelewa finance na economy ya kenya wachana na walami