Waliokopi huu wimbo niwajuze tu kuwa Hilo neno pakuvha umanyi cyo kimwera kimwera ni pakuwa umanyi ukisema pakuvha hicho kiyao na pia wamakonde ndo wanaotumiavha wamera hawatumii vha
ilo ni kundi SISITAMBALA , loooh basi hapo kuna makabila tofauti tofauti tokea huko kusini angali lugha waliotumia ni kimwera na mara nyingine uchanganya na kimakonde na kiyao , mfano neno Tuvine yani tucheze icho ni kimande, nakulugwe pia nikimakonde maanayake mjukuu wake 😂@@maryamtan682
African bambataa miaka hiyo daah
Naipenda hii nyimbo😂😂😂😂
Wakwe zangu hao wamwera hao kwenye ubora wao
🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃kazi na wito
Waliokopi huu wimbo niwajuze tu kuwa Hilo neno pakuvha umanyi cyo kimwera kimwera ni pakuwa umanyi ukisema pakuvha hicho kiyao na pia wamakonde ndo wanaotumiavha wamera hawatumii vha
Umeimbwa na wamwera, na maneno ya kiruga yanafanana wayao na wamwera.
ilo ni kundi SISITAMBALA , loooh basi hapo kuna makabila tofauti tofauti tokea huko kusini angali lugha waliotumia ni kimwera na mara nyingine uchanganya na kimakonde na kiyao , mfano neno Tuvine yani tucheze icho ni kimande, nakulugwe pia nikimakonde maanayake mjukuu wake 😂@@maryamtan682