UKITAKA ELIMU NI LAZIMA USOMESHWE HASWA ELIMU YA DINI - SHEIKH WALID ALHADI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- HATA MTUME MUHAMMAD S.A.W. ALISOMESHWA NA JIBRIYL IJE KUWA MIMI NA WEWE NILAZIMA TUSOMESHWE HASWA ELIMU YA DINI MSIKILIZE SHEIKH WALID ALHADI AKITUPA FAIDA JUU YA JAMBO HILI
A alk...Allah akupe nuru dunia na akhera,na makamera man wote...amiinKama unavotupa chakula Cha roho nasi tukapata nuru ktk mioyo yetu...
Shukran sana Sheikh Walid Kwa darsa zako Allah akupe umri mrefu na Maisha mazuri hapa duniani na Kesho akhera
Maashaallaah shukrani mwalimu umeeleweka
Man’lam yataghal’lama fiy Swigharihi yan’dam fiy Qiybarihi Nad’man Adhyym...(ASIYEJIFUNZA UDOGONI MWAKE ATAJUTA UKUBWANI MWAKE MAJUTO MAKUBWA SANA..)
Uko sahihi Sheikh Walid ‘ kusoma ni lazma usomeshwe tena katika umri ukiwa mchanga...Sio kukurupuka ukubwani na elimu ya mitandaoni’ kisha wabishi sana..!
Hiyo ni kweli
afswahul faaswihiin sheikh walid
Kweli kabisa.
Mumtaaaaz
mashaallah
Mambo ya,arafaa walituchanganyaa sana
Kwasababu watu hatujasoma tunapenda ushabiki ndiyo tatizo letu waislamu
@@DarsaTV. nakumbukaa shekhe alikuwepo siku ile na kishki halafuu tukaaona asemaa vingine sasa mtihani kwelikweli unajuwaa ss tunawategemeaa sana hawaa mashekhe sasa kukiwaa ma lughaa mbili wanatuchanganyaa sanaa
Balligh anni walau bi aaya
Sheikh nakukubali
Sheikh hii clip kama umeizungumza leo
Iv kwann mashekh wa bidaa wanapenda kusema Mungu badala ya Allah,mh Yan mm huwa siwaelewi wazushi sana.
muogope allah
Tupe wewe tafsir ya neno Allaah huna Elimu wacha maneno ya kipuuzi kwa watu waliokuzid Elimu huyo ni sheikh na ni bora kuliko mimi na wewe hujaitwa humu kuongea vitu vya kipuzi alietafsiri hiyo Qur an amefasiri kwa kusema Mwenyezi Mungu
Tatizo Elimu Yetu Ya Dini Imesha Chukuliwa Kiukujuwana•
ismail ila umesikia majina ya wadhifa aliowataja ww hapo upo wapi katika elim ya ulipofikia
@@isihakaselemani5727@ismailhassan9807 miezi yakatika ndipo sijui swali hajalielewa tumueleweshe, hana cm/kompyuta, au anayo bando hana, au kapatwa na mitihani gani cjui..! Au kashatangulia mbele ya haki, mana kimya kingi, twautamani mshindowe, japo usiwe mkuu lakini sioni dalili! Bwana Ismaa3il, katika hivyo vyeo vilivyo ktk daraja zake makhsusi sheikh alivyovitaja, WEWE umefit wapi? Katika cheo gani? Twambiee
😂😂