BAHARIA YUZO: MAISHA YA MELINI/ NILICHOMWA MOTO/ WALIJUA NIMEKUFA/ NILIENDESHA MELI PEKEE YANGU-01

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Ni historia ya kustaajabisha ya kijana aliyepata misukosuko ya kimaisha tangu akiwa nchi kavu, baba yake mzazi alimtamanisha maisha, kutokana na hali ngumu ya kiuchumi ya nyumbani kwao.
    Aliishi na mama yake kwa kipindi kirefu huku baba yake mzazi akipotea kwa zaidi ya miaka miwili, alisoma kwa tabu mpaka alipoamua kujitoa kafara kwa ajili ya familia yake, ili iishi vizuri.
    Maisha yake ya shule hayakuwa rafiki sana, kutokana na uhalisia wa kilichokuwa kikimsibu tangu nyumbani kwao, endelea kuifuatilia story hii kwa undani, ili kujua nini kilimtokea kijana huyu aliyependa maisha ya melini tangu akiwa na umri mdogo!
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #baharia #mbanga #dupamdupange

Комментарии • 22

  • @dar24media
    @dar24media  10 месяцев назад +3

    Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761

    • @modricnoma3686
      @modricnoma3686 10 месяцев назад +1

      Bro kabla ya mzigo kwenda mjini fanya marekebisho ya hilo neno sio kabunyau ni kabinyau

    • @abrahammlangwa5038
      @abrahammlangwa5038 10 месяцев назад

      sahihi ni KABINYAU

  • @Mwamba-hc1jy
    @Mwamba-hc1jy 9 месяцев назад +3

    Mwandishi anapenda story kinoma😂😂😂

  • @demolenebooysen2085
    @demolenebooysen2085 10 месяцев назад +1

    Interview imenyooka maana #Yuzo Mtundu anaongea history ya maisha yake Salute #SIMBA WABAHARINI

  • @alhajitawakal6063
    @alhajitawakal6063 10 месяцев назад +1

    Balozi Dupa kuna wanetu wana play zaidi ya ndugu 🎉🎉 reality feedback

  • @fredadam7692
    @fredadam7692 8 месяцев назад

    hongeren story nzur. jitahdini play list na caption iwe fupi ili kulahsisha mtu kusach na kuelewa kilahs

  • @rayabuna5761
    @rayabuna5761 8 месяцев назад

    Sunday hp pole sana dady

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 10 месяцев назад +1

    Dupaaa mbona tambala limepoooaaa mrudishe kabinyau mzee wa mchele jogoo mzee wa New castle au mlete baharia mwega au gamba mla chake agriiiiiiii agriiii

  • @browskymuba6923
    @browskymuba6923 2 месяца назад

    Hlf huyu mshkaji kama namjuwa pale tazara

  • @abubakarallyzam7224
    @abubakarallyzam7224 10 месяцев назад

    fanya uweke nyengine bro part 3 we are dying waiting

  • @NabeelIdrisah
    @NabeelIdrisah 10 месяцев назад

    Really niggah big up broo💪💪💪

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 10 месяцев назад

    Pamoja sana My Brother🔥🔥

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 10 месяцев назад

    Big up maisha sikitoto aisee

  • @lailahmohd9395
    @lailahmohd9395 10 месяцев назад

    Nimependa ridhiki popote🔥

  • @ibrahimabdallah4858
    @ibrahimabdallah4858 10 месяцев назад +1

    Number One

  • @jamaicakyalo4166
    @jamaicakyalo4166 10 месяцев назад

    Tupe full

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 10 месяцев назад

    Dupa tuleteeni tambala bhana hii stori za bongo jau tu tunataka story za mtoko mzazi sisi sote waendao na tushatoka sana amigo to do bee Mozambiquekano mwito bandimu

  • @bakarimakota-ei8sw
    @bakarimakota-ei8sw 10 месяцев назад

    Ili tambala linaweza likawa Kali mbeleni DuPa Hua huna kazi mbovu nakuaminia

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 10 месяцев назад

    Yesu😂😂😂

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 10 месяцев назад

    Mmekata utamu mjue😮

  • @kasimumudy0269
    @kasimumudy0269 10 месяцев назад

    We dupaaaa umesemaje apooooooh