Marioo badnation more love from Kenya I love the Album cover.(Umeshuka binguni ukitumia ngazi )more love bro you are my favorite artist you inspire me a lot ❤❤❤
Marioo amezoea kufunika wanamziki wote kutoka kenya.... This time amemkuta fundi mzee mzima bien... All in all marioo remains one of my favourites from tanzania
Pale penye Bien ako, legend has it that lazima kukuwe na mazishi, siku zingi hazijapita tangu a-kill ile collabo yake na Nadia Mukami, na bado kwa hii ngoma bado vibe ni moto❤🔥🙌💪
Bien si upoze kidogo aisee, hiyo ngoma umeshirikishwa ndugu, unakuwa kama Eminem, unashirikishwa lakini unafunika mwenye wimbo. Chukuwa mauwa yako legend.
Unfortunately, bien has been diluted in this song! Now in solvent form. Waiting hopeful for Mario to evaporate so that he may remain in the ile sufuria. 😂
My favorite song on the Godson album. Bien understood the assignment. Thanks Marioo for the best collaboration 2024. Great talent.💖🎹🎹🎷🎷🎵🎵🎺🎺🎼🎼🎶🎶🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
My brother @@BienOfficial ❤️🇰🇪 THE GODSON out now on all platforms 🎉
africori.to/thegodson
Marioo badnation more love from Kenya I love the Album cover.(Umeshuka binguni ukitumia ngazi )more love bro you are my favorite artist you inspire me a lot ❤❤❤
Mwalimu
una ji abonné naji abonné [.1M.]
Teacher 🎉
🇰🇪🇰🇪
Asante Mario. East Africa tuzidi kuungana. 🚀🚀🚀🚀🚀
Kipara shida Una kizungu kingi tuliosoma chini ya mti unatunyanyasa Sana.
Bien our only 🇰🇪❤️💯💯
Word 👊🏾
Hapo noma kaka uliuwa vaibu,am a performing bongo artist,just support me
@@NgasaMaduhuwe unataka aiimbe kisukuma
Ukikaa vibaya bien anakufunika kwa ngoma lako🇰🇪🇰🇪
Huyu mario acha kbsa
He is 🔥
Na si ati nini😅amemuosha kwa album yake
Walai
Bien never disappoints😊🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🦣💨🫡
So as Mario
Suree bien ✨️🎶 love from tanzania 🇹🇿
Alooo....wale wanaona bien verse iko lit piga like
Kali sana❤
Kazi ya Bien nikuosha watu kwa wimbo zao. 😂
😂😂,,@@benedictadipo3175
on particular rewind
Let the two brothers shine. There is enough space for them both. I don't see why we have to compare
Bien Sol is one of the biggest vocalist artist in Africa
Love from Lagos Nigeria 🇰🇪🇳🇬🇹🇿
Mkoi et Lagos masuzigo
True
Are you sure unajua kiswahili 😂
@@kelvinjillani1149 😁😂😂
Marioo amezoea kufunika wanamziki wote kutoka kenya.... This time amemkuta fundi mzee mzima bien... All in all marioo remains one of my favourites from tanzania
Pitia huku pia
Nilijua Bien hii kitu anazika💯💯🇰🇪🇰🇪
😅😅🚀
254 imeuwaaaaaaaaaaaaaaa
Kishenzi 😅😅😅@@Ommywhity7
Bien hakoseii respect from Tz🇹🇿
Bien is the baddest...Marioo kapotezwa humu
Bien chill mzeee album si yako 😂😂😂😅kali sana
I came ju ya Bien,,, crazy lines there 🔥
Mimi I actually thought song Ni yake😂..all the way from tiktok...beast he is 💪❤
Amemuosha kwa album yake😂
Bana😂
IHI NYIMBO BIEN AMETISHA SANA KAMA UNAKUBALI GONGA LIKE 🇹🇿🇹🇿🙏🙏
Hajui jokes bana😂😂
Mr. Bien probably umetisha kinyamwezi... Big up to Kenyan panther 💯
Wakenya wale tuna represent bien
From tik tok
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
The way Bien write his lyrics this guy is on top 🇿🇦🇰🇪🇰🇪
.Bien is currently the big artist in the whole of East Africa waki collabo na Diamond. Bien will wash him asubuhi na mapema.
using this same brain for your daily tasks, should be illegal
Diamond haezi collabo na bien anajua hio
@@konciikonsi5230Juu simba atageuka paka
Mariooo kafunkiwaa kama wakubali bandika like hapa
Huyu ni mwamba inakubalika😂
Huyu jamaa ni mnoma kiasi kwamba nyimbo unaskip ufike alipopita😊
Walai😂😂
😂
Bien sio mtu mzuri kabisa daah 🔥🔥🔥
Bien nailed amemkalia mwenye Ngoma
Kidogo mzee alisahau album si yake😂😂
"Alinipita kama Meli
Anayumba yumba anadondosa kishenzi😂😂😂😂😂" BIEEEEEENNNNN!!!!!!
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯😂😂
Kumamaako bien umetisha kishenzi bruh👊💯umesema unaichapa usiku na mchana😂,wapi likes za legend
🫡
Duuh…congrats nyingine bana!!!🙌🙌
@@goon5804😂😂
hii ndo ngoma ambay kaifanya sas
Naichapa usiku na mchana😂
Pale penye Bien ako, legend has it that lazima kukuwe na mazishi, siku zingi hazijapita tangu a-kill ile collabo yake na Nadia Mukami, na bado kwa hii ngoma bado vibe ni moto❤🔥🙌💪
Nairobi Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 This is a hit Already🔥 Am a die hard fan wa Marioo🇹🇿
Biens levels man,huyu ndo mana anajaza shows europa wengine wakipiga kelele home😂😂
Ulaya Gani na ww?! 😂
Honestly speaking, Kenyans em mlipeni huyu jamaa anawork overtime🔥🔥.. Bien mnoma kabisaaa! NA HII NDO YENYEWEEEEEE KATIKA ZOOOTEEEE🎉🎉🎉🎉🎉
Kenyans mshafika ama bado?? 😅
🇰🇪🇰🇪💯
Aaaai gothaa tena kwani ni kesho 😂😂😂😂😂
Every second of this song screams excellence! Bien and Mario, take a bow! 👏
You already know its madness when bien touch a song 😩 obsessed already
Bien ni hatari. Ameosha Marioo live.
Bien has Already Represent us Kenyans🇰🇪🇰🇪Very well💯,I mean he's our G.O.A.T 🔥 Vocals and everything,Bien to the World 🌎
Nikweli jamaa anajuaaa sanaa tuna muappreciate sanaa na ss piaa
Am Tanzanian,,Marioo ni msanii Mzuri sana,,Lakini Kwa humu Bien umeweza ,All in all Good music wakuu💪💪
Bien umetuwakilishe vyema wakenya kwa kumfunikaa marioo kwa ngoma yake mwenyewe nairobi to the world ngoma kali sana
Kenyans in here use me as your love button for this two❤🇰🇪🇰🇪&🇹🇿
Mm mtanzania but weka like za bien hapa
Bien si upoze kidogo aisee, hiyo ngoma umeshirikishwa ndugu, unakuwa kama Eminem, unashirikishwa lakini unafunika mwenye wimbo. Chukuwa mauwa yako legend.
Ata hizi lines zinafanana za Bensoul
❤❤
It's an EAST AFRICAN Affair. The best of EAST AFRICA singing in the most romantic language known as Swahili. Let's GO!
Bien naild it y lie❤️🙌
Bien haunanga adabu ngoma si yako na unashine hivo ... its a big tune
ULIOLITAFUTa KWA bien umelipata , màaana vocal kakuumizaaa badiii
🫡🫡
@KingKiddy-gi2kd 🤝
Unfortunately, bien has been diluted in this song!
Now in solvent form. Waiting hopeful for Mario to evaporate so that he may remain in the ile sufuria. 😂
@@johderrickmkenda4586you must be deaf
Our own Bien killed it.. Rooting for them both. 🇰🇪Kenyans hallooo
The godson🎉🎉🎉🎉mkubwa marioo nyimbo zina vutia san kaka ila nilio ipenda zaid pin pin
NAIROBI ❤
NAJUA MKO HAPA, MNIPE LIKES, MAPANGALEE
"Bien and Marioo, you’ve raised the bar again! Keep giving us bangers like this!
"This is exactly what the industry needed. Nairobi is a masterpiece
Bien amemwosha Marioo.....Bien mnoma🔥🔥🔥
Remember you are here because you great taste in music 😌🎶🎶
Bien ameua aky🎉
Mario to the world 🌍🌍🌍 much love brazaa kutoka kenya🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
Unity like this kicks out impunity. Wonderful melody
Ukitaka kuua Bien kwa ngoma there is only one person to look for & that's Bensoul
Disagree ❌
Uongo huyo bado mdogo sana
Zima io kitu
nakubali, ni the only person ameweza kukimbizana na Bien kwa ngoma bila kufunikwa
@@kenmwendwa1882💯💯💯
Maaaadddddd🔥🔥🔥🔥👌
Hawa wanaume wawili wameamua kuharibu kabisa Our Music industry 🙌🙌 alooooo
ndio kufika kenya ,The song is so sweet.....
Kama unahisi hii ngoma kali kwa hii album gonga like
hapa kwa bongo ulikosea ilikuwa nairobi...am loving this song#mario+Bien...all way from kenya
Oyaa kaka Marioo unajua kaka!! leo mbaka nizimalize zoteee
ALLOOOOOOOOOO BIG UP We need more of this EASt AFRICA
Bien this is you doing this bruh🫡you’re a legend bruh🕺🎶umeuwa bruh our legend,umeturepresent vizuri kwa hii album
Huyu kwamba Bien ni balaa🔥🔥🔥
Listening to bien's verse on my way home from work..Yani na maanisha kwamba naupenda huku wimbo sanaa❤❤❤
Swafi sana ngoma iko poa
Smoothest song in the album 😊 guys like this comment so that I come back and watch again
Bien is like a detergent,,,mwosho mmoja🎉🎉🎉🎉
Kenyans let's gather here🤩🇰🇪🇰🇪💪
Lyrics ya Bien imeenda group of schools🔥🔥🔥
Bien Ni Mzii, GOAT
East Africa ❤❤❤
Bien 🔥🔥🔥 umemuosha marioo hakuna msani mwingine anaeza hapa Kenya
The song is amazing 🎉
Uganda 🇺🇬 Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿 ❤
kitu bien amefanya kwenye hiii ngoma ni unyanyaSaaaji mkubwa sana Wa beat 🔥 im from Tanzania and this verse of his inaenda Ishi mda mrefu sana
My favourite kenyan musician and favourite tz musician having a collabo😁♥️i never saw it coming fr
Wanaosema marioo kauwa humu piga like nzito afu acha comment
We now need a video for this 🙌🏾
Very amazing song ❤❤
My favorite song on the Godson album. Bien understood the assignment. Thanks Marioo for the best collaboration 2024. Great talent.💖🎹🎹🎷🎷🎵🎵🎺🎺🎼🎼🎶🎶🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
Albam nzima hii ndy no1 coz inataka wote twende pepon kwa mungu,God bless us,ishallah tutaenda pepon 🙌 🙌 🙌 🙌
Mnajuwa kuyimba nyinyi dhaaa yani mnanikosha Moyo kama tunamkubali Marioo zigonge izo like
This Bien guy is Top Notch mazee, thanks Marioo for this blessing featuring Bien
My best truck kwenye hii album good job biem
Bien moto kama pasi 🔥🔥🔥🔥
Mimi nilijua ngoma ni ya Bien 😮😮 kumbe Marioo kamshirikisha😢,anyway TZ bado ni home😊
Best Song Can be performed Live 🇰🇪
Bien on a collabo atakufinish...great song indeed..Good job guys
Aloo namba moja❤❤❤❤
Bien is on fire 🔥🔥 fire
Bana this record is tuff🔥🔥
What a way to end 24 and welcome 25🔥🔥🇰🇪🇹🇿
It is said the only person mwenye ashai bishana na Bien kwa ngoma ilikuwa Nviiri
Namaanisha kwamba ndio tushaoana
Bien all the way from 254🎉🎉🎉
Nairobi ❤❤❤ city of milk
alooo
tulipatana kilimani nairobi 2015😎😎
here for my braza mariiooo and bieeen
Bien 🔥🎉 uzuri wa masomo . A very short Nice verse From Bien
Bien all the way
wakenya wenzangu tuipeleke trending hii ngoma
Mzee mzima Bald man🎉
My favourite song🎉
If only the world spoke swahili they'd give this 100 million views
bien huwezekani mkuu aaah marioo hii imeweza
Bien the Only Artist Naogopa Kenya🙏AO wengine ni Others,na Ka uko na maneno mingi,Tunga sentensi
Nkamchagua yeye katikati ya wenzake watano... My best line
Me listening bien verse 40 times without being bored❤❤❤
Wale tunasema bien kauwa hapa tujuane 😂🎉🎉🎉🇰🇪