Mchina Feki Mtandaoni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #Pranks (mizaha) ni aina ya vichekesho ambavyo watengeneza maudhui wengi wanatumia kwenye mitandao ya kijamii siku hizi. Huko #Tanzania , kijana mmoja, Salmin Thabit, anayejulikana kama Master Conrade anatumia mtindo huu kuwafanya watazamaji wake wacheke na kushangaa pia. Hizi ni baadhi ya njia ambazo mtayarishaji huyu wa maudhui anatumia ujuzi wake.
    #china #viral #trtafrikaswahili #tiktok

Комментарии •