MWAKINYO ATANGAZA HALI YA HATARI AMTAKA HARMONIZE ULINGONI| AAPA KUMFANYA VIBAYA | AMNANGA KIDUKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 294

  • @AugustinoNgereja-n6c
    @AugustinoNgereja-n6c 4 месяца назад +20

    Binafsi ninakuelewaga sana kaka. Unachokitaka kwa watanzania wakuheshimu na waijue thamani yako. Binafsi wewe ndio bondia namba moja kwa TANZANIA hakuna anayekufikia kwa Sasa. #hassanmwakinyochampez❤

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack 4 месяца назад +46

    Hii nchi bn naona wengi wanamchukia huyu jamaa,but amini usiamini,he is the best Boxer kuwah kutokea ktk nchi yetu

    • @yusuphmtuga4951
      @yusuphmtuga4951 4 месяца назад +1

      The best kwako

    • @AbshirMubaarack
      @AbshirMubaarack 4 месяца назад

      @@yusuphmtuga4951 najua tu wivu unakusumbua,hvy ucjal ni jambo la kawaida kwa cc bnaadamu

    • @Fathma-vt8lx
      @Fathma-vt8lx 4 месяца назад

      Kweli

    • @daudinyello4033
      @daudinyello4033 4 месяца назад

      @@yusuphmtuga4951 kinyooooooooo....hakuna kama MWAKINYO acha ubishi

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo 4 месяца назад

      ​@@yusuphmtuga4951ata kwako pia utake usitake

  • @hamzaamry6251
    @hamzaamry6251 4 месяца назад +5

    Huyu ndie boxer bora aliepo hapa tz team mwakinyo 💪

  • @Starlighttz538
    @Starlighttz538 4 месяца назад +15

    Na kukubali sana mwambaaa mwakinyoo Na akifika Beii Mkandeee Akandike

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад +15

    Allah akusameh Hakik umetelwz ibada ni kubwa mno mbel ya Allah

    • @jamalibella9707
      @jamalibella9707 4 месяца назад

      Hajielewi

    • @MariaJacob-w5v
      @MariaJacob-w5v 4 месяца назад

      I'm sorry ibada hairuhusiwi kutolewa mfano? Naomba nielimishwe.

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад

      @@MariaJacob-w5v ibada ni maombi kat ya mola na mja wake

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад

      @@MariaJacob-w5v sasa ni makosa binadam kusem yey ni bora kulik ibad yan anajitukuza Allah amsameh InshaaAllah kwan Ibada ni yake Allah mola wa viumbe wot

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад

      @@jamalibella9707 tumuombe InshaAllah Allah atamsameh hakun mkamilifu

  • @rayamohammed339
    @rayamohammed339 4 месяца назад +7

    Mmakonde mjinga yule anasema eti anahisi mungu angekuwa mwanamke

  • @mariamharuna-co4it
    @mariamharuna-co4it 4 месяца назад +3

    Usisikilize maneno yawatu hassani ukovizuri nasubili pambanolako inshallah Allah akufanyiewepesi

  • @lucasmaziku5565
    @lucasmaziku5565 4 месяца назад +9

    Mwakinyo utani wetu wa Makonde usiulete ulingoni, ukirusha ngumi za seriously tutakuloga

    • @amirilizo6706
      @amirilizo6706 4 месяца назад

      Kuronga Tena itakuwa vita kati ka mdigo n mmakonde au Tanga. N mtwara

  • @stanslausjohn8791
    @stanslausjohn8791 4 месяца назад +8

    Boxer number moja Tanzania

  • @allyharoub-rl6rb
    @allyharoub-rl6rb 4 месяца назад +13

    The Best boxer eveer

  • @mariamharuna-co4it
    @mariamharuna-co4it 4 месяца назад +5

    Mwakinyo yuko vizuri hamonaizi bangitu nakukubalisana hassani Allah akuongoze inshallah hamonaiz hakuwez twaha pia hakuwez ukovizuri

  • @Mwanajah
    @Mwanajah 4 месяца назад +2

    Kiukweli hakufanya vizuri. Huyo hamo.amuache mwakiyo wetu kama katumwa na ashindwe usimkosee adabu mwakinyo

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 месяца назад +2

    Ata Mimi sikupenda vile hatupasw kuish kwa visa ilihali sisi wote ni Ndugu.

  • @dstaroficial
    @dstaroficial 4 месяца назад +5

    Kwanza mfundishe kiduku

  • @khamissymtonele6418
    @khamissymtonele6418 4 месяца назад +8

    Kamkande tu ili atie adabu mjinga yule

  • @SefuHussen-nh9lt
    @SefuHussen-nh9lt 4 месяца назад +2

    Team mwakinyo mkande uyo mmakonde

  • @PeterMkonyi-cc2bt
    @PeterMkonyi-cc2bt 4 месяца назад +1

    Hii kitu haitakiwi maneno mob itaisha utamu mnatupotezea muda wa ngumi kwa kubishana kuna mtu anatakiwa aelekezwe kuwa huku siko abaki na kwake

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 4 месяца назад +5

    Mwakinyo kumbe na wewe ni Mvuta Bangi tu, Harmonize zile ni Bangi pale akili hamna kazi yake kiki tu hamna la Maana.

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 4 месяца назад +2

      Anaharibu keria na sifa zawatu,natamani atandikwe mbwa yule

    • @LovelyOmbreSky-pu4jt
      @LovelyOmbreSky-pu4jt 4 месяца назад

      Acha maneno hayo yeye ameeleza hisia zake sasa bangi ikowapi

  • @SalimFeruz
    @SalimFeruz 4 месяца назад +1

    Ukimpiga nje ya ulingo utaadhibiwa , ajiunge na afuate utaratibu, awe bondia, ndipo upigane naye, #Hassan Mwakinyo busara ikutangulie, mrumeeeeee

  • @DogoLakeOfficial
    @DogoLakeOfficial 4 месяца назад +4

    Hakuna chuki kwa hamo anataka kujua kwamba boxing alie ingia kwamba ipo jee wewe kaka mupe na fasi sio kusema wewe ni kifo ama yeye ety ni kifoo mupe muda watu tuone Tanzania tupo na watu wa boxing mpka wa Sani ❤😂❤❤❤

  • @IsackBaritirel
    @IsackBaritirel 4 месяца назад +1

    Mwakinyo naomba huy mmakonde ni mbage tu achana nae anataka akufie tu

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 4 месяца назад +1

    MWAKINYO ACHANA NAE....MPE WADOGO ZAKO,,NGUMI SIO VYUMA NGUMI NI SCIENCE,,NDIO MANA BRUCE LEE,DON YEN, JACK CHAI SIO WATU WAVYUMA NI WATU WA SCIENCE TU YANI TIMING..

  • @shafiigama
    @shafiigama 4 месяца назад +5

    Tafuta mshauri au msemaji aww anacongea kwa ajiri yako ww uwe pemben usikitikisa kichwa kwa ishara ya kukubali kinachosemwa Hassani kinacho kufanya unakosa mvuto ni speech tu bac kwingine kite unastahili

  • @ShellaMaundu
    @ShellaMaundu 4 месяца назад +1

    Mmakonde chizi yule anapenda sana kiki ,muziki umemshinda anataka kucheza ...Piga kabisa mvuta bangi huyooo

  • @FaridaOngala
    @FaridaOngala 4 месяца назад +1

    Nakupenda mwakinyo mpige uyo mshamba wa kimakonde 😂😂😂

  • @fredrickshantiwa9710
    @fredrickshantiwa9710 4 месяца назад +5

    Hamonaoze amejitia kidole mwenyewe alaf kanasa yeye mwenyewe

  • @ayubuyesaya6603
    @ayubuyesaya6603 4 месяца назад +1

    Hizo kiki TU,ndo wasanii wa kibongo ,,,,,brz ajee akufate TU mlango umemwachia.

  • @sammasika3627
    @sammasika3627 4 месяца назад +12

    Yule mvuta bangi

    • @Khalid123_5
      @Khalid123_5 4 месяца назад

      Acha nikuchanue bangi is not part of the exercise u can smoke and still train asf👀

    • @sadickkasaba8069
      @sadickkasaba8069 4 месяца назад

      Hyu mwenyewe mvuta bangi

  • @JosephDaudi-f3x
    @JosephDaudi-f3x 4 месяца назад +2

    Respect Sanaa broo for that word

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 4 месяца назад +3

    Mbona ulimrukia acha ushamba we mwoga

  • @Jayfocuss-nf6ww
    @Jayfocuss-nf6ww 4 месяца назад +1

    Hapana wa tz Atumchukii mwakinyo lakini kama mpiginaji mkubwa watu wanakuja kukuzalau inatakiwa uwafinye wafinyikeee ndo upate Eshima

  • @RamaNgari-b1d
    @RamaNgari-b1d 4 месяца назад +1

    Mwakinyo ni mmoja tu tz🙌

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 месяца назад +1

    Wew Kuna twaha kiduku Anakutaka Sana Lakn Auzungumzii kitu Pumbavu

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 4 месяца назад +6

    Mbona kiduku hujamfungulia mlango 😂😂

    • @Saidyomarybakary
      @Saidyomarybakary 4 месяца назад

      Kafunguliw milango mara tu mwakinyo alipomaliz pambano lake la ubingwa Zanzibar na wameshindw kuweka pesa mapromota wake

    • @sadickkasaba8069
      @sadickkasaba8069 4 месяца назад

      Anamuogopa kiduku

    • @Saidyomarybakary
      @Saidyomarybakary 4 месяца назад

      @@sadickkasaba8069 waliweka pesa mezan akakataa kupigan ngumi ni biashar ngumi ni ajira sio maneno matupu kama taarabu bro

  • @samsonkingdom-xc8cg
    @samsonkingdom-xc8cg 4 месяца назад +2

    Boxer mwenye hekima na busara🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @HerriThabiti-qd5rr
    @HerriThabiti-qd5rr 4 месяца назад +1

    Namimi nasema mpige mpaka uji atafuniwe

  • @HoseaChanga
    @HoseaChanga 4 месяца назад +1

    Tunaomba mwakinyo kondeboy akandwe akatibiwe mtwara😂😂😂

  • @Thatsbarnacving
    @Thatsbarnacving 4 месяца назад +4

    Muulizeni babalevo ata waambia😂😂😂

  • @mambas264
    @mambas264 4 месяца назад +2

    Usiongee sana. Kama unapigana kapigane

  • @ITIKACLASSICWEAR-sb5kr
    @ITIKACLASSICWEAR-sb5kr 4 месяца назад +3

    Bro malizana basi na twaha kiduku basi. 🤣🤣

  • @DomexDuwe
    @DomexDuwe 4 месяца назад +1

    Harmo mziki umemshinda akaon aruke na mwakinyo ... mwakinyo myoe naniliiii😂😂😂 ashike adabuuu

  • @JoelmwizalubimustaMusta
    @JoelmwizalubimustaMusta 4 месяца назад +1

    Piga kabisa mbwa uyooo anazarau sana

  • @leonardyona1462
    @leonardyona1462 4 месяца назад +1

    Ameshaanza kuogopa huyu, atakataa pambano kwamba hajafika bei 😀😀😀

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 4 месяца назад +1

    Mbona kwa kiduku aujajimaliza ivo ? Mm nakuwa wa mwisho kuwaamn star's wa bongo huenda n kiki

  • @Marwadismas
    @Marwadismas 4 месяца назад +2

    Haaa kumbe ww ndo ulimuanza boy jamaa alikuwa anatariii zake

  • @eliudkimani8977
    @eliudkimani8977 4 месяца назад

    Kama Mimi hapa iliniuma Sana mpaka nahisi kumdai yeye ulingoni haniwezi pia🇰🇪

  • @yasini5794
    @yasini5794 4 месяца назад +6

    Ulirusha ngumu bhana acha uongo

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 4 месяца назад +4

    Uanze na Twaha kwanza bondia mwenzio ndio uje kwa harmonize, mbona unamchenga Twaha

    • @tyivbra
      @tyivbra 4 месяца назад

      Huyo harmonize kataka yy mwenyew

    • @dstaroficial
      @dstaroficial 4 месяца назад

      Nikwel anachungulia iv kwel kama nibobondia anataka kupigana na hamonize huyu kwel hamna kitu

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 4 месяца назад +1

    YULE MMAKONDE NI FALA SANA

  • @MATESO-sk7hu
    @MATESO-sk7hu 4 месяца назад

    Kaka una wabaya wengi sana wee ni m2 wabusala adi magufuli anakujua😮❤

  • @raphaeldominiko
    @raphaeldominiko 4 месяца назад +1

    Kaka We pgana Nae t Ajifunze Hana Adabu huyo mtoto Tena Omba serikarin pga Nakuuwa

  • @IssaMoo-f8o
    @IssaMoo-f8o 4 месяца назад +2

    anzaa na kidukuu kwanza kidukuuu kwanza😮

  • @GiboMomade-k4x
    @GiboMomade-k4x 4 месяца назад +1

    Shida uyu muongeyaji sana😂

  • @SeifMuhammed-il3si
    @SeifMuhammed-il3si 3 месяца назад +1

    Unajua mwakinyo ww ni Mt ambae unajielewa Sana hayo mazungumzo yako t bas kwa mwenye akil lazm ya mfeel yule mgonjwa

  • @Don_wa_kitaa
    @Don_wa_kitaa 4 месяца назад +2

    MKUBALIE #KIDUKU

  • @allybobsaith
    @allybobsaith 4 месяца назад +1

    Msituzingue, manajuana nyie😊😊😊😊😊

  • @immanuelcharles2699
    @immanuelcharles2699 4 месяца назад +2

    hatutaki maneno yenu,, piganeni tuprove ni nani bingwa.

  • @saidshabani7740
    @saidshabani7740 4 месяца назад +6

    Full content, champion 🔥🔥💪

  • @SalumuMandemla
    @SalumuMandemla 4 месяца назад +1

    Tume kujua una fanyia promo pambano lako.

  • @fredykaitani595
    @fredykaitani595 4 месяца назад +2

    Amna k2 apo mikwala 2 kenge ww jichanganye kama autasema umesahau viatu vyako kwenye ndege..

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 4 месяца назад +6

    Chimanogo Tena 😂😂😂😂😂

  • @godfreymwandoje6851
    @godfreymwandoje6851 4 месяца назад +1

    Inatakiwa uue kabisa

  • @MinesesjoaoMwani
    @MinesesjoaoMwani 4 месяца назад

    MMakonde Noma sana

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe 4 месяца назад +4

    Uje unipigie konde

  • @EmmanuelMupunga
    @EmmanuelMupunga 4 месяца назад

    Nakukubali sana ustarabu wako haukurupukii jambo

  • @davismwape7500
    @davismwape7500 4 месяца назад +4

    Huyu dogo mm namuelewa sana

  • @adelalupumbwe-yu5pg
    @adelalupumbwe-yu5pg 3 месяца назад

    Mwakinyo weni bondia mwenye akili 2kopamoja brother

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 4 месяца назад +1

    Mwakinyooooo

  • @markovuruga86
    @markovuruga86 4 месяца назад +2

    Champion boy..... mwakinyo

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 4 месяца назад

    Mwakinyo utakinywa vibaya mno....

  • @NordineIssa
    @NordineIssa 4 месяца назад +3

    Wew mbona ulikuwa ulingon, kwanini ulishuka ukamfuata

  • @YuniaPoul
    @YuniaPoul 4 месяца назад

    Tunasubili tareee kaka

  • @HussenNgulube
    @HussenNgulube 4 месяца назад

    Kka ww ni thaman kwetu achana nae unatuheshimisha watanga nakukubali sana

  • @PaulPeter-sl7rc
    @PaulPeter-sl7rc 4 месяца назад +4

    Watch out part3😂bongomovie😂

  • @MussaMelolo
    @MussaMelolo 4 месяца назад

    Kweli kabix broo iyo ni sarau aixee mpe bonge la ngumi haache wenge aixeee

  • @selemanshaban7496
    @selemanshaban7496 4 месяца назад

    MWAKINYO NI MTU POA SANA LKN SJUI NI KWANN WANAMCHOKONOA SANA
    ATAKUJA KUWEKA HISTORIA YA KUUA MTU ULINGONI HUYU JAMAA MUNGU ATUPE SUBRA TUTAONA YAJAYO

  • @MarwaKibwaga
    @MarwaKibwaga 2 месяца назад

    Mwakinyo ili ipate heshime piga had ue kabisa mm jeneza nanunua hana adabu

  • @Tanafa-j9q
    @Tanafa-j9q 4 месяца назад +2

    Wote kuma hao kistuli ftkinyooo kamwe hawawez zima nyimb za Simba la masimba dangote haujui#raha, commasava ndo abar ya mjini now

  • @abdallahhussein5997
    @abdallahhussein5997 4 месяца назад

    Mziki wa bongo diamond ndio aliyeleta mabadiliko na boxing Tanzania namuona huyu bwana akileta mabadiliko kimakubaliana ya malipo ubora wa ngumi na kuipa thamani na heshima kazi hii

  • @MarwaKibwaga
    @MarwaKibwaga 2 месяца назад

    Hata kama aweki pesa ,tunataka eshima yako ithaminie hapa ,mpe za chemba kata utumbo akome

  • @MarwaKibwaga
    @MarwaKibwaga 2 месяца назад

    Nilikua na msapot kimuc kumbe fara tuu ,amechoka kuishi ua mwambwa

  • @louiskalenga5745
    @louiskalenga5745 4 месяца назад

    AHSANTE SAANA CHAMP MIM SHABIKI AKE KBS ILA ALICHOFANYA SIMKUBALI KB S HARMO. PIGA HUA GARAGAZA KBS

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 4 месяца назад +4

    Eti nilikuwa bauwexo wakupigana ba wote wale msenge nini kwani boxing hautumii nguvu ?? Wew haumuez mudi msenge wew akikukamata unaweza ukamwea

    • @emmanuelbernard9552
      @emmanuelbernard9552 4 месяца назад +2

      Mbona unatumia hasira kujibu na matusi juu,tumia akili ww ni mtu mzima matusi ya nini ?

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 4 месяца назад

      Huna unachojua unaongea tu kwenye boxing kuna bondia na bodybuilding unatakiwa kuelewa sawa

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 4 месяца назад

      @@emmanuelbernard9552😂😂😂

    • @FabianAlex-y8c
      @FabianAlex-y8c 4 месяца назад

      Duu tuwe tujitaidi kutumia kauli nzuli au kama huwe kaakimya

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 4 месяца назад

      Huyo moody amewahi kuwa mpiganaji wa kick boxer mzuri sana, ameshinda mashindano mengi sana ya mkoa wa Dar, mpaka leo yupo fit sana, huo mwili ameamuwa kuuongezea ili awe na muonekano wa kupata kazi, ila ukiruhusu aoneshe uwezo wake jamaa yupo vzr sana, ukitaka uijuwe historia yake vizuri nenda manzese uliza moody mnyama, ngumi anazijuwa mpaka anakela, huyo mwakinyo watamzeesha namateke kama ya Van dame, hayupo kizembe anajuwa ngumi haswaa!!

  • @wamburakigumbo3703
    @wamburakigumbo3703 4 месяца назад

    Hawezi

  • @BenedictMgaza
    @BenedictMgaza 4 месяца назад

    Anazingua uy mtot af zile nyama tu akae akijua at kweny sambusa zipo uy kayakanyga

  • @Jkm237
    @Jkm237 4 месяца назад

    Harmonize hana akili hawezi pigana na mwakinyo awezane na mziki kuwa na mwili mkubwa siyo sababu atatolewa meno abaki kibogoyo

  • @selealli990
    @selealli990 4 месяца назад

    Mtu mkweli apendwi na wenge Mwakinyo ni mwamba wa mabondia

  • @PhilmonCosmas
    @PhilmonCosmas 4 месяца назад

    Ile video inaonyesha ulidauty kwa kumwona mmakond uku ukimtukan n ww ukashuka kwa kweny ulingo na kumsukuma unazngua

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 4 месяца назад +4

    Team konde tujuane. Mpaka tumkarishe Huyu Mtanga

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 4 месяца назад +1

      Yule kondeni fala kama unashabikia fala na vuta bangi kama lile umepata khasara pimbi wewe,angalia watu wakushabikia

    • @officiallnobystar
      @officiallnobystar 4 месяца назад

      @@allykayanda6930Tafuta Pesa Kk Acha Chuki Zako Za Kimasikini Kwani Usipokuwa Wewe Fans Yake Yeye Anakosa Nn Acha Kushobokea Watu Bro

  • @RechaelEasily
    @RechaelEasily 4 месяца назад

    Ninavo mkubali harmonize Yani mm nakuloga weww ndio akupige mpaka uvae pempasi alafu mm nakuchukia bila ata sababu

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye7989 4 месяца назад

    Mwakinyo utakinywa vibaya mno....na yule dogo wa kimakonde....anaye guvu saaana...huenda ukalemewa

  • @mansooranam831
    @mansooranam831 4 месяца назад +1

    Muuwe tu

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 4 месяца назад

    Kwani harmonize na twaha kiduku nani alianza kuomba pambano uyu hasani analolote pigana kwanza na twaha

  • @mussaali-n6s
    @mussaali-n6s 4 месяца назад +5

    mogadishu family💪🏾

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lb 3 месяца назад

    Kwahichi konde kakosea pole mwakinyo

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 4 месяца назад

    Shida ya amonaiz amebeba Jim ndio linalo mdanganya ngumi ni mchezo ambao ni hatali Santena San asichulie kubebajim ndio kujua ngumi ,Na mshauli ngumi inatakiwa uwe na punzi nyingi San ,Alfa amonaiz amewai pamban na nani hat mitaan tu ajalibisha kwanz mitaani ndio atajua ngumu ni Nini

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe 4 месяца назад

    Acheni mambo ya ajabu kumsema vibaya mwakinyo, YY amesema KWAMBA JAMAA alimkera SANA NA MWANZO alijua no masihara BAADAE akagundua hamo YUPO siriaz anamfungulia milango na anasikilizia ofa, na HATA huyo kiduku mnaesema mwamba alikua muazi SANA alisema wekeni mzigo afanye KAZI hakuna aliyeweka PESA anayoitaka mwamba, NYIE mnaomsema vibaya NDIO washamba, acheni chuki za kichawi.

  • @RuqmanMketo
    @RuqmanMketo 4 месяца назад

    Usizalau makabila ya wenzako ww nibinadamutu lolote wanawezakukifanya hunalolote

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 4 месяца назад

    Weee bondia gani unamtamani konde acha hizo level zako sio bongo kaka nakukubali akichanganya ya kabisaaaaa ili kajala awe huru jaman shavu kwako mwakinyooooooo

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 4 месяца назад +2

    😊😊😊