Комментарии •

  • @MICHAELGUEDE-f8t
    @MICHAELGUEDE-f8t 12 дней назад +5

    Upo sawa bro Simba Kaz Bado 1:41

  • @DevidcosterNduye
    @DevidcosterNduye 12 дней назад +3

    Upo sawa kaka uchambuz makin

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 12 дней назад +2

    Sam msema kweli pamoja sana kaka 🎉🎉

  • @MICHAELGUEDE-f8t
    @MICHAELGUEDE-f8t 12 дней назад +1

    Upo sawa bro Simba Kaz Bado

  • @zaudolutambi9895
    @zaudolutambi9895 11 дней назад +1

    Nakuelewa sana mzee

  • @user-si2hu3rx9o
    @user-si2hu3rx9o 12 дней назад +4

    Hilo neno

  • @bisejulius4100
    @bisejulius4100 15 часов назад

    Uko vizuri, unaongea mpira sio ushabiki.

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 12 дней назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤mchambux Bora kabisa

  • @tonymwakalenga388
    @tonymwakalenga388 12 дней назад +4

    Unajua kuchambua

  • @abrahamchengula8137
    @abrahamchengula8137 12 дней назад +4

    HATA SIMBA WALITAKIWA KUWAJULISHA COAST KWA BARUA KUWA WAMESHINDWA KUINGIZA PESA KWA SABABU HUSIKA NA WAOMBE MUDA MWIGINE WA KULIPA.HAYO YOTE SIMBA HAIKUFANYA

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 12 дней назад

    Shukran Sam Simba 🎉🎉🎉

  • @msafirimalima3249
    @msafirimalima3249 12 дней назад

    Ni kweli bro

  • @SamsonMwaisenye
    @SamsonMwaisenye 12 дней назад +2

    Unajitahidi upo kimpira zaidi sio kishabiki

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew 12 дней назад +2

    Simba haisajili bali wanafanya sagura sagura kwenye mtumba timu haiwezi sajili wachezaji 12 ambao hata hawaeleweki wengine timu walizotoka msimu mzima mchezaji kacheza mechi 2 sasa sijui itakuwaje kocha mwenyewe mwanafunzi waliomleta msimu ujao tutatembea na helmenti maana watatupiga kwaajili ya makasiriko yao😂😂

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 11 дней назад

    Yaani ninyi, hamna kizuri Kwa Simba.

  • @user-xl5sv7lz4g
    @user-xl5sv7lz4g 11 дней назад

    Toka uko we ulsha Amia yanga Ayo maneno yako ivazi sawa

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd 11 дней назад

    😂😂😂 Wew unajuw pes kwel

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 12 дней назад

    Hamia yanga bc kama unaona yanga yinafanya vizuri. Kwann unaisemea vibaya Kila siku

  • @maxmia100
    @maxmia100 12 дней назад +2

    Sam wewe ndio shabiki wa Simba unaejitambua na wewe ni shabiki unaesema ukweli na unaitetea Simba na unaipenda

    • @user-mk8tp5dt6q
      @user-mk8tp5dt6q 12 дней назад

      acheni ukuma huo nani asiyejua kuwa huyu ni kuma mwenzeni

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 12 дней назад +1

    Wachezaji wa buku buku kibao 😂😂😂😂

  • @banagakatabazi9648
    @banagakatabazi9648 4 дня назад

    Wewe ni mchambuzi shabiki wa kwanza Simba kusema ukweli. Hali halisi ndiyo hiyo. Simba haiwezi kufanya maajabu msimu wa kwanza

  • @user-xl5sv7lz4g
    @user-xl5sv7lz4g 11 дней назад

    Kanye uko

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 12 дней назад +1

    Nitajie kocha gani Simba au yanga alisajili na mchezaji akawa Bora? Tuawapumzishe bas viongozi ata kwa mdaa

    • @Munyama675
      @Munyama675 10 дней назад

      Zahera.
      Alituletea
      1. Tshishimbi
      2. Makambo
      3. Feisal
      4. Job
      5. Kibwana

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 12 дней назад

    Huyu anabwabwaja tuu hajui haa analoongea

  • @user-xl5sv7lz4g
    @user-xl5sv7lz4g 11 дней назад

    Toka uko

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 12 дней назад

    Huyu mjinga tu avae jezi ya yanga . Atapigwa siku moja atajuta. Mchome na huyu Jamaa Kila siku nikukandia Simba.

  • @JonathanMgaiwa
    @JonathanMgaiwa 12 дней назад

    Hili bwabwa la utopolo limevalishwa tuu jezi za simba na kupewa maneno

  • @petersabasi7416
    @petersabasi7416 12 дней назад

    BOKO YUPO JKT TANZANIA

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 12 дней назад

    wewe na Mchome ni sawa sawa hujui kuizungumzia simba

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 12 дней назад

    Mpumbavu wewe na Gamoni kachukuwa ubingwa lakini wachezaji hajaleta yeye

  • @MICHAELGUEDE-f8t
    @MICHAELGUEDE-f8t 12 дней назад +2

    Upo sawa bro Simba Kaz Bado