Abdulswamad Shariff Nassir - Mlima Kenya Wakipambana Na Pombe, Waturuhusu Tupambane Na Muguka

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 130

  • @alabizoshazb5678
    @alabizoshazb5678 Месяц назад +12

    kazi nzuri sana Mombasa tuendelee kuamka 🙏🙏

  • @fablovesaadi9879
    @fablovesaadi9879 Месяц назад +15

    You have done the right thing governor Abdulswamad Shariff Nasser and I support this burning issue. "Moguka inaleta uwazimu na ugomvi katika jamii na ni ukweli".

    • @angle3600
      @angle3600 Месяц назад +1

      Niukweli unaongea,mimi mwenyewe nina jamaa yangu asipokula mogokaa ni mkali kama simba,yaani ameathirika vibaya

    • @kabuthakabutha9472
      @kabuthakabutha9472 Месяц назад

      ​@@angle3600ahhh maskini, poleni.😢 Jaribuni mumpelekeni rehabilitation center.

  • @donomondi
    @donomondi Месяц назад +6

    What you have done is an answered prayer for people at the coast. We are fully behind you our governor

  • @abubakarhassan2170
    @abubakarhassan2170 Месяц назад +5

    Brother Shariff, we are with you bumper to bumper, Kaza nati an sheria za county ya coast province zitumike vilivyo. wauze kwao, wale kwao sisi hatuna shida.

  • @kabuthakabutha9472
    @kabuthakabutha9472 Месяц назад +3

    Am proud of my governor Abdulswamad sharrif Nasir!! Endelea vivyo hivyo!!

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Месяц назад +5

    Allah. Atakusimamamia governor IshaaAllah simama na haki utaenda kulizwa kiama ogopa mwenyez Mungu pekee sio wanadamu

  • @oscarmarucha7612
    @oscarmarucha7612 Месяц назад +10

    my governor kazi nzuri

  • @nashonmisiko8342
    @nashonmisiko8342 Месяц назад +11

    people living in mombasa we support this issue fully

    • @JacksonMutinda-jw5qw
      @JacksonMutinda-jw5qw Месяц назад

      But mnachoka Bure ju kesho muguka inaigia kwa fujo apo mombasa,,,neda apo kwasoko mrng ujione e vile itaigia kwa fujo

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 Месяц назад

      ​@@JacksonMutinda-jw5qwhaikuhusu ndio ufanyweje sasa

  • @Mamu774
    @Mamu774 Месяц назад

    Kazi nzuri sana governor wetu mungu akuzidishi naakupe nguvu uzidi kutetea wana mombasa wote insha Allah🙏🙏🙏🙏🙏

  • @feizul.feisal
    @feizul.feisal Месяц назад +2

    Kazi nzuri Governor # Abdisamad shariif

  • @AliBadi-mc5cy
    @AliBadi-mc5cy Месяц назад +1

    Mtume s.a.w aliwaambia maswahaba wake waqti mmoja..."بادروا باالأعمال السّبعة...na akataja ndani yake أو غنامتغيا، hawa ni matajiri wa kupitiliza wasojali ubora wala afya za wanaadamu, uko sahihi Sheikh Abduswamad, na usisahau qauli y mtume wetu aliposema,,,"kiongozi akifanya uamuzi wa sahihi hupata ujira mara mbili", usirudi nyuma...uko katika usawa na nakuunga mkono...🙏

  • @kibeandyofficial-lm1kv
    @kibeandyofficial-lm1kv Месяц назад +5

    From Embu I choose the side of Mombasa governor but from my point of view I think instead of keeping the ban we should really hold on strictly regulating the ways of selling the product

    • @kabuthakabutha9472
      @kabuthakabutha9472 Месяц назад

      Unfortunately mulipatiwa hio opportunity ya self regulation mukakataa. The rule was very simple, dont sell to school kids.

    • @HuntersTV-zm6tb
      @HuntersTV-zm6tb Месяц назад

      I support you bruh

    • @Hk-ig3ex
      @Hk-ig3ex Месяц назад

      Sio watoto wa shule tuu..wanaume wanashindwa kumudu nyumba zao..marufuku ndio muafaka..

    • @Hk-ig3ex
      @Hk-ig3ex Месяц назад

      Tz na znz hakuna hizi vitu..wako vzr sana..

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Месяц назад +2

    Mtangazaji anafaa aajiriwe Kwa TV. Yuko Sawa 💯. Awe Kwa mjadala ama News Anchor

  • @lucianahtatu5665
    @lucianahtatu5665 Месяц назад +3

    Perfect mhe#himiwa kazinzuri sana

  • @mashauriwapwani
    @mashauriwapwani Месяц назад +8

    My Governor 💯

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 Месяц назад +9

    Bwana Governor you don't need anybody's permission (ruhusa) to fight for your people. Wacha kuogopa!

    • @donomondi
      @donomondi Месяц назад

      He has to lead his people out of addiction and even before God, he is doing the right thing. God bless him

  • @user-vc4fy9ii2e
    @user-vc4fy9ii2e Месяц назад +1

    Abduli swamadi congratulations kwa kazi yako

  • @iceplay18
    @iceplay18 Месяц назад +4

    safi sana govonor mimi naishi finland kwa sasa na mogoka inatusumbua mbaka huku, wanatoletea ikiwa imekaushwa kwa majani chai imesambaratisha familia nyingi sana

  • @ismailsalim4082
    @ismailsalim4082 Месяц назад

    ALLAH AKUFANYIE WEPESI GOVERNOR NA WATOTO WETU 🙏

  • @user-nl8my3ye5d
    @user-nl8my3ye5d Месяц назад +2

    Ume fanya vizuri sana

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Месяц назад +1

    We support wapwaniwspige miguka kabisa

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Месяц назад

    God bless u governor. Usife moyo Mungu ypo nawe.

  • @jacintak2477
    @jacintak2477 Месяц назад +6

    i was praying everyday cz of my boyfriend to stop chewing and selling muguka...nikijaribu kumwambia aache tunakosana talking too much God answer my prayers machakos county to bann mguka...mtu ni graduate but anakaa kama hajui mlango wa darasa mungu tunakataa muguka in Jesus name

    • @alialmaawy8865
      @alialmaawy8865 Месяц назад

      Actually

    • @alialmaawy8865
      @alialmaawy8865 Месяц назад

      Mugokaa is a fight 4 all.Although coast imekuwa affected the most lkn ni janga la sote.

  • @mutulajohn1243
    @mutulajohn1243 Месяц назад +2

    Kazi zuri my governor

  • @user-wo1mu3bf4p
    @user-wo1mu3bf4p Месяц назад

    Hongera gorverna wetu simama imara tupate haki

  • @jacobomollo7100
    @jacobomollo7100 Месяц назад +7

    true..and alcohol makers did not complain when they were fighting the menace..let them feed goats those leaves

    • @Hamisi8465
      @Hamisi8465 Месяц назад

      Wallah mimi pia nashangaa

  • @user-ny2fu8bu2u
    @user-ny2fu8bu2u Месяц назад

    Usiogope binadamu muogope mungu basi mungu iiipushe hii fina ya duniya

  • @NicholasTabuche
    @NicholasTabuche Месяц назад +2

    Kazi kwako governor

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Месяц назад +4

    Governa umefanya jabo la kheir.

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 Месяц назад

    Good job Governor na mnazi na chang:aa👏👏👏

  • @vicvictheemperor2549
    @vicvictheemperor2549 Месяц назад

    YOU HAVE MY SUPPORT GOVERNOR

  • @user-tw9jk8ow1r
    @user-tw9jk8ow1r Месяц назад

    mimi nasema pongezi kwa kazi hii governor na nakuombea kwa allah akupe nguvu ili washindwe na ubaya waloupanga ameen

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Месяц назад +3

    Hata Miraa ipngwe marufuku huyu ulevi mbaya sana

  • @faizamahfudh8076
    @faizamahfudh8076 Месяц назад +2

    Very important: tusikae tuu tukiangalia pesa but our lives matters as well

  • @davidmwaura6031
    @davidmwaura6031 Месяц назад +3

    amazing

  • @user-ok3ou4yk4q
    @user-ok3ou4yk4q Месяц назад

    Abdulswammad is handsome and brave ❤❤❤❤❤

  • @mwanarusimusa3620
    @mwanarusimusa3620 Месяц назад +8

    Sisi huku pwani twauza mnazi wetu hukuhuku hatupeleki huko meru wala embu. Kwa nini hao wanalazima kuuza mugoka huku pwani.

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Месяц назад

      Maajabu

    • @TheeShann
      @TheeShann Месяц назад

      utasema ivo juu unajua mnazi uwezi safirisha ubwa 🦮

    • @MwanziaMulei
      @MwanziaMulei Месяц назад

      Mugoka lazma wapwani wakule kwani kuna mtu analazimishwa kununua.

  • @ruthkarimi2646
    @ruthkarimi2646 Месяц назад +3

    Kweli kabisa pambana nayo

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 Месяц назад

    I support you 💯 per cent

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Месяц назад +1

    2027 Ndani mapema sana InshaAllah kura zipo zasubiri wakati na mdaa wa debe Governor to terms . Mokoka Hana Kura za COAST 6 Countys . Wasitulete Watulete Makademiya na Avokados Tutanunua Embu wapate pesa na wafanya biashara wapate pesa this is the way to GO 🚶‍♂️Go 🚶‍♀️ 💪 👏 😄
    Not 👎 Mokoka.

  • @ruwaidaawadh1215
    @ruwaidaawadh1215 Месяц назад +6

    We the people of mombasa are proud to have you as our governor.

    • @donomondi
      @donomondi Месяц назад

      YES... I am proud of him

  • @sadnagoso-yn6iz
    @sadnagoso-yn6iz Месяц назад

    Thank you 🙏🏾

  • @paulokondo1631
    @paulokondo1631 Месяц назад

    Simba Wa Mombasa Hongera.Ishalaa.

  • @IsmailBaya
    @IsmailBaya Месяц назад

    Hosha haho gavana hosha haho

  • @kingofshorts6824
    @kingofshorts6824 Месяц назад +1

    Sasa ukitaka kuchonga si ujichange tu uchkue veve kwan lazma ule jaba kama mwanamke from Nairobi govana uko sawa

  • @yusufsaid8911
    @yusufsaid8911 Месяц назад +6

    YUKO WAPI MOHD ALI NA HASSAN SARAI WALIOKUA WAKIPIGA KELELE KUHUSU MIHADHARATI MOMBASA WAKATI WA JOHO. AMA SABABU WAKO KWA SERIKALI NDIO MAANA HAWANA HAJA NA VIJANA WANOUTUMIA MNGOKAA.

    • @johnmwangi9231
      @johnmwangi9231 Месяц назад

      Siasa ni UAMALAYA,kama huyo jicho pevu vile alitabuliwa kwa kumlika watu, Leo ni jicho chongo;

  • @user-lw3ne4zu3k
    @user-lw3ne4zu3k Месяц назад

    Ukweli kanisa umesema my governor

  • @josephnjogu9341
    @josephnjogu9341 Месяц назад

    Kupiga marufuku rasli mali la sumbua kwani haiwezi kuwa suluhu kamwe kwani mapenzi ya mama haiko ila tu kwa matemshi, heshima ya watoto na ulinzi uliowekwa na sheria haufwatiliwi hivi kuagua shida inayoitwa Adverse Childhood Experiences ambako kama nikimnukumu alivyosema mchunguzi wa akili Segmund Freud-mungu amueke pahali pema peponi 'unexpressed emotions will never die, they are buried alive and will come forth later in uglier ways' ni dhahiri kuwa jambo la bila shaka, ama mara kwa mara watoto hudhalaliswa, kwa HUCHAPWA BURE shuleni hasa pale kwa chekechea, nyumbani na kufuaatilia kunyimwa usingizi kwa kuamshwa saa kumi na moja usiku, kubebeshwa mizigo ya vitabu. Hasa ile lugha wanajua kutoka utotoni ni NITAKUCHAPA, SHENZI, MJINGA, KUBAFU, TUTAKOSANA, USINISUMBUE na hata SHETANI. Wanapokua wakubwa hawana machozi-Iliisha kwa kukataliwa, kudhalilishwa na kuchochwa hasa na waliowazaa. This is traumatizing at its best. Muguka ni njia rahisi pekee ya kuzika huzuni iliyotandazwa kwa MAIN MEMORY. (RAM)Jamii inapoteza muelekeo!!! Ingekua ni jambo la busara kwa Mhe. Rais kuwaomba msamaha na kuachilia walio korokoroni na kutafuta njia muafaka za kuwarudishia heshima. Kutokana na adhari za historia ama uzoefu wa utumwa kwa akili zao, wamerikani weusi huwa ni wenye fujo na ujeuri hata kwa familia zao. Na ndio sababu wengi wa vijana wao huwa hawawezi kuepuka matendo ya jinai kwani Amerika hawana mayirungi.

  • @timaidarus4220
    @timaidarus4220 Месяц назад +1

    Wanawake wa turkana walivamia shamba la merungi nakuvamia maeneo ya pombe waliona madhara yake na SISI wa MOMBASA tumeona madhara ya mogokaa na hata madawa ya kulevya lakini mogokaa iko affordable hata na watoto kwa bei ndogo.TUMEKATAA kABISAAA.

  • @timaidarus4220
    @timaidarus4220 Месяц назад

    Mtangazaji radio maisha unasema tunapata ushuru katika mogokaa. Hivi maisha na pesa tukubali pesa maisha ya watu yaharibike? HAPANA.MOGOKAA TUMEKATAA KABISA.

  • @mikesamba8465
    @mikesamba8465 Месяц назад +2

    Drugs now in mombasa is not selling good enough

  • @stephenngila827
    @stephenngila827 Месяц назад +3

    Usiluti nyuma

  • @jfabbyhussein6861
    @jfabbyhussein6861 Месяц назад +1

    Apo sawa waki4c sisi pia tuna samaki,maembe,korosho na utalii pia uko kwetu mbona awanunui samaki korosho wala maembe utalii waeumaliza bt mugokaa kwa kuwa wana pata faida awajali madhara tunayopata watuache MSA wasitupangie chakufanya .......

  • @ayanabdi7884
    @ayanabdi7884 Месяц назад +5

    Ginger governor watafute soko riftvalley

  • @chiwayamruche9415
    @chiwayamruche9415 Месяц назад

    Kaza viatu governor usilegeze kamba 💪💪💪💪

  • @shabankolia8204
    @shabankolia8204 Месяц назад

    Very true

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 Месяц назад +1

    👍👋👋👋👋💐

  • @Marara254
    @Marara254 Месяц назад +1

    One term governor

  • @koomejohn4287
    @koomejohn4287 Месяц назад +1

    Pwani ni Kenya.

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 Месяц назад +1

    Wapeleke mogoka Eldoret na sugoi😂😂😂😂😂

  • @hakeemprince6868
    @hakeemprince6868 Месяц назад

    Kwahivyo umehalalisha ushoga ngono pombe na drugs... kudos mr governor 🤙

  • @PatrickMutua-jn4vv
    @PatrickMutua-jn4vv Месяц назад

    SASA hitakuwa aje munguka hikishaa uko

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 Месяц назад

    Mugoka 🔞🔐wauze kwao central . Mombasa ❌❌❌

  • @KennethMwendia-og6oi
    @KennethMwendia-og6oi Месяц назад +1

    😊

  • @stocks2545
    @stocks2545 Месяц назад +2

    001 county

  • @paulokondo1631
    @paulokondo1631 Месяц назад

    Simba Wa Mombasa.

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Месяц назад +1

    tuko nyuma ako

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Месяц назад +2

    Kama wameru na wa embu wanakula Muguka na Miraa basi ni wale woe silazima walete Mombasa

    • @True-Kenyan
      @True-Kenyan Месяц назад

      Wewe haujalazimishwa kula jameni🤷‍♀️🤷‍♀️

  • @hakeemprince6868
    @hakeemprince6868 Месяц назад

    Miti ni dawa jamanii 🌿

  • @collinsoconnor5843
    @collinsoconnor5843 Месяц назад

    Mogoka mbaya, lakini Unga na Bangi Mzuri huko Mombasani 😂😂😂😂.

  • @daltonmboya
    @daltonmboya Месяц назад +3

    is it banned because of its effect or because the the muguka business is giving an headache to another business,,anyway i side with mothers crying for their addicted childrten

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Месяц назад

      Hatutaki kwasababu inahathiri watu upo

  • @johnlobuin4212
    @johnlobuin4212 Месяц назад +4

    Very correct

  • @halimamistri8638
    @halimamistri8638 Месяц назад +2

    Ni hasara ni munkar.

  • @IsmailBaya
    @IsmailBaya Месяц назад

    Tano tena

  • @SultanIqbal-qe1kg
    @SultanIqbal-qe1kg Месяц назад +1

    😂😂😂🔥🔥🔥💯

  • @mohamednyuni2631
    @mohamednyuni2631 Месяц назад +1

    What is pombe haramu na halali? Chang'aa na whisky tofauti ni ipi?wapi mungu amehalalisha pombe?

  • @Henry-xx7ql
    @Henry-xx7ql Месяц назад +1

    This confused governor is fighting a losing a battle🤣🤣🤣🤣

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mikesamba8465
    @mikesamba8465 Месяц назад

    What are you talking about

  • @gigimarco2592
    @gigimarco2592 Месяц назад

    Kwa nini hiyo Drug ya Mgokaa waiuze huko kwao Governor

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Месяц назад

    Ushoga je?

  • @harunnjiru6024
    @harunnjiru6024 Месяц назад

    Ni unga tu

  • @JulixYung-kw2tr
    @JulixYung-kw2tr Месяц назад

    Ambia huyu Governor vita vya pombe haramu ndio viko central na vita vya mihadarati cocain, hashish, crackd pigana nazo sio majani ya mbuzi!!!&😂🍀😁

  • @sarahmakena46
    @sarahmakena46 Месяц назад

    Tunaomba basi mutupe kazi ya kuuza unga na bangi maana atuna la kufanya.

    • @richardkarisa1949
      @richardkarisa1949 Месяц назад

      wewe nawe hauna akili ndio mana unasupport hii ujinga

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk Месяц назад +1

    Sio tu pombe pombe Bali Ni pombe haramu na hatari

  • @mikesamba8465
    @mikesamba8465 Месяц назад +1

    Drug's mr Govan

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 Месяц назад

    Ruto patia wakulima wa.Embu mbegu za makademia na ma'avokado wapande wakivuna watulete mombasa kilifi tana river lamu kwale taita taveta Wapwani watanunua na Wa Embu watapata pesa Wafanya biashara watapata pesa . LAKINI KAMA NI MOKOKA KULETWA 6 COUNTYS COAST TO MAKE AND MADE OUR CHILDREN'S ZOMBEZ ZOMBEZ ZOMBEZ Lazy mindset 😴 for other kenyans to benefit while our Children are taken to Rehab's . We say no no no Mokoka in our six County's.

  • @benja-rl6in
    @benja-rl6in Месяц назад

    Muguka si dawa wewe tumia akilii

  • @koomejohn4287
    @koomejohn4287 Месяц назад

    Mbona hamuongei juu ya bhangi sindano pombe,? twajua mihadarati yetu imepigwa competition na muguka. Utafiti mliufanya Kwa maabara ipi?

    • @rajabyanga3026
      @rajabyanga3026 Месяц назад

      Kwani ni lazima mlete huku c mkule wenyewe

  • @cleopaswamugi8578
    @cleopaswamugi8578 Месяц назад

    Your people have a laziness problem not a drug problem

  • @jameswakanyeki4191
    @jameswakanyeki4191 Месяц назад

    Kwani muguka inaharibu vijana wa Mombasa pekee?,maliza UNGA kwanza governor,io ndio tatizo kubwa Mombasa

    • @rajabyanga3026
      @rajabyanga3026 Месяц назад

      Haulewi kitu ww

    • @isagreg8482
      @isagreg8482 Месяц назад

      Kuleni wenyewe hyo ka ni nzuri kwenu mbona lazma Msa

  • @SoldierOfAllah435
    @SoldierOfAllah435 Месяц назад

    This man is a joke…afadhali joho huyu ni mbwakni 😂

  • @TheeShann
    @TheeShann Месяц назад

    why can't you talk about those bhang people of Mombasa are using

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 Месяц назад

      Aisha jibu Hilo swali halipo juu yake hio muulize ruto na kindiki mugokaa noo Mombasa kwendeni kwenu huko muuze

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 Месяц назад

    Badala apige marufuku kutombana mkundu na kutumia madawa ya cocaine na heroine Mombasa

  • @KennethMwendia-og6oi
    @KennethMwendia-og6oi Месяц назад

    😊

  • @hashimthuwein5412
    @hashimthuwein5412 Месяц назад

    Sisi ndio tume waharibu watoto wetu wenyewe kwa kutuiga sasa ikiwa ww ni kiongozi Umenyoa hivyo unatarajia watoto wako nawe waje wanyowe vipi, ata dini imekataza unyowaji huo, na mwenye nidhamu yake awezi kunyoa hivyo

  • @did3462
    @did3462 Месяц назад +2

    Hatutaki mungokaa pwani wauze kwao

    • @josephmwangi5644
      @josephmwangi5644 Месяц назад

      Pwani si kwenu. Pwani iko kenya😂😂

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Месяц назад

      ​@@josephmwangi5644 iko kenya lkn mgoka hatuutaki

    • @isagreg8482
      @isagreg8482 Месяц назад

      Kuleni wenyewe hyo aaaah lazma gani jameni

    • @alicejumaa89
      @alicejumaa89 Месяц назад

      @@josephmwangi5644 😂😂biashara yako inafilisishwa na magovernor wa pwani. Plz change biz haraka