MAAJABU YA SHABIKI WA YANGA ATOKA MALAWI MPAKA DAR KWA BAISKELI KISA DABI/SIMBA HAWATUWEZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024

Комментарии • 23

  • @WilsonCharles-y4b
    @WilsonCharles-y4b 2 часа назад +4

    Nawaomba viongozi kama inawezekana hiyo baiskeli ibaki hapo Jangwani kama ukumbusho na Huyo jamaa apewe hela yenye thamani na hiyo baiskeli ili akifika kwao malawi akanunue nyingine.

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif 3 часа назад

    Hongera bro kazi nzuri oyeeeeee yanga yanga raha sana kila kheri bro 1st 💚💛💚💛💚💚💚💚💚

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 9 минут назад

    🎉🎉🎉

  • @LeylaSaria
    @LeylaSaria 3 часа назад +1

    Daah huu upendo gan wanayanga tunaipenda yanga yetu jamn

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 3 часа назад +2

    Jmn wananchi,Viongozi kamwe,mwalimu Yanga,priva,sekeli,Daudi,God,fumau makame,Harambee Kwa mmalawi nauli

  • @SaidMwendabwillah-v3z
    @SaidMwendabwillah-v3z 2 часа назад

    Blessed

  • @sabinkilondama2204
    @sabinkilondama2204 46 минут назад

    Naunga mkono baskeli ibaki apewe nyingine!

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania Час назад

    Huyu ni mmarawi kweri mimi namjua

  • @StevenKapugi-y7b
    @StevenKapugi-y7b 2 часа назад

    😢😢😢😢daaaah

  • @Zpauljr994
    @Zpauljr994 2 часа назад

    Wengine hamjamsikiliza mnaanza ku comment 😂😂😂

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 3 часа назад

    Huyu Kweli Ni mmalawi lkn anatokea karibu Na mpakani km anavyosema

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 3 часа назад

    Kasema mikumi kapata lift ya gari ilimvusha

  • @LusubisyoKamwela
    @LusubisyoKamwela Час назад

    Nikweli wewe unaebisha hiyo kapita hapa isongole ileje tumemshuhudia na tunamfahamu

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 3 часа назад

    Achangiwe nauli tuoneshe mfano huyo Ni mwafrica km Jina letu lilivyo tumsaidieni Itakua Ni aibu kumwacha arudi kwao Kwa baiskeli tena

  • @SylessKamanga
    @SylessKamanga 3 часа назад

    😂😂😂😂 Jama muongo sana hiyo haipo malawiri nmbari sana

  • @danielmussa7274
    @danielmussa7274 45 минут назад

    Hekima yako rais wa yanga, tunasuitegemea na Kwa hamu sana Kwa rafiki yetu hapo.

  • @Steve_tz
    @Steve_tz 5 часов назад

    Muongo uyo😂😂😂

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 3 часа назад

    Huyu sio muongo anaonekana Ni mmalawi

  • @chazp6436
    @chazp6436 4 часа назад

    Camaraderie

  • @SamweliMango
    @SamweliMango 3 часа назад

    Mikumi kapitaje???

  • @IdrissajumaLihonge
    @IdrissajumaLihonge 3 часа назад +1

    Huyu jamaaa mfano wakuigwaa natambua viongoz wangu niwatu wapenzi namashabiki zao wamuunge mkono