Do government know this kidney business?? Women are we going to remain silence and watch our kids perishing with pain?? My heart is bleeding!!! God hear my cry oh Lord. I lack words
Hawa watu n wanyama wanafa wafungwe ama wachomwe wanachezeaga maisha ya watoi bona watoi watolewe kidny 😢😢😢😢😢 awa n wanyama wapigwe ama wachomwe mm sioni watu kama hawa wanafaa kua ai. Governnent ya kenya do nalaumu juu hizi vitu wanavaa kufuatiliwa
Mukiwapata wafinyeni kabla vitu vitokee jamani serikali ya Kenya Mola anawaona aki, mkipata hawa watu tieni moto hawa mashetani jamani mana hata mukiwapeleka ndani kesho wako mtaa umbwa hawa, kitoo tafuta gongo la kutandika hawa nguruwe
Sitaki ku imagine yaani mtoto mdogo anaibiwa na mzazi wake kwenda kutolewa kidney na kuuza,, oh my God hii Dunia kwisha! Mbona huu unyama unazidi kwa country yetu????
OMG I tried this to my baby mama but si kuzaa kidney kuchukua tu mtoto nliona vumbi mamake ni fire🔥 hiyo siku nliona Kungfu master sijawai jaribu tena nowadays lazima npite kwa mamake ndo ni mwone waah mtoto anaweza fanya uliwe
Ana chunga watoto mpaka jioni but she had the kid for 3 days. They didn't even let the poor kid recover from the kidney transplant. They all should be jailed
Wuuuiiiiii mungu wangu katoto kumbe kamechaa tolewa figo akhi and were this people taking care of this baby surely hivyo walikuwa kwa kinyumba kinakaa uchafu ?
Kitoo tafta nyaunyo poa hawa ni magaidi...haki mungu atulindie watoto wetu....alafu tukidate tujue partners wetu coz nikubaya....unaweza kwa unajichocha uko kwa relationship kumbe ulisha uzwa unalishwa tu vizuri ndio wapate figo yenye Afya
😢😢😢😢😢washauza kidney za watoto mungu wangu kumbuka watoto wote ladies mchunge mabwana zenu muwe makini na wao if baba anaweza fanya hii nikunoma kitoo hawa watu usiwachilie wapeleke kwa kichaka weka tire na petrol wachomwe wamechokesha watu akili
Wenye mlikua mkisema eti hakuna watoi Jay huwa anatafuta wanapatikana sasa mtasema nini ingine?😏😏Kitoo hio matanye ni kubwa sana inahitaji nyaunyo sio mshipi alafu uzime camera
Everywhere Kidney selling. Now this is too much Kenyans where is the government. Can somebody text Kindiki to see the insecurity we have within our society. Too much where is the Doctor. It involves line-up of many people. God come you save us.
Haki true k TV kindly tell the make announcement to public to all people about this business it is too much haki doctors are operating people taking kidney's
But they are working how comes they have gone do far. Different Homes run differently . Appreciate them fur the far that they have gone the baby is already in the hospital thank God for that
Naendelea kuuliza kwani Kenya serikali na polisi wako wapi? Haiwezekani watu wanapotea na wanauwawa wanashindwa kwanza uuzaji wa viungo vya mwili kwa Nini wanaruhusu mtamaliza watoto na mashaka niliyo nayo watoto wa mitaani ndo watauliwa zaidi
Aseme the hospital inamusaidia kutoa body parts za watoto. The doctors wao na hii group iende ndani.. surely this people. Ni humanity to the society. Hii ni ungodly sana.
Ingekuwa Tanzania huy jamaa hilo jeuri lingeshaish angepigwa na kukaa kam mandaz,,,kenya jamn mbon mnatish hivo😢😢😢 hadi mzazi anamfanyia mtot wake unyam
Lord jesus, does the government of kenya know about the bussiness of kidneys selling, human beings treating human beings like animals, It's very wrong, Something has to be done. All RUclips tv, owners should present this go the high authorities .
Oooh my God 🙏 remember this kid,they were even planning to remove even the other kidney surely these criminals are very evil the law to take it's course.
I wish you could also look for that doctor too and hospital that do this business and expose 😢
Hospitali ifungwe na doctor pia afungwe
Do government know this kidney business?? Women are we going to remain silence and watch our kids perishing with pain?? My heart is bleeding!!! God hear my cry oh Lord. I lack words
Nikama watu kenya hawawatch hizi videos
Oh my God and the government is just silent protecting this goons 😢😢😢😢😢😢😢 I lack words
wanahusika cz hua zinapita wapi cz hupelejwa nje
The government itself imeja illuminati
Jay si u expose these wicked people kwa citizen tv,,all medias
Ata wa expose na ni kuact
Yes plus hosi wanatoa watoi figo innocent souls
Ni ukweli juu ingekuwa ni ukweli kwa plot njoo viberiti havingetosha@@elizabethnduta1085
Yaani pesa tu inasababisha muhuze figo ee mwenyezi mungu tunaomba utuogoze maana atuwezi chochote bila wewe Mungu ❤❤❤❤
Lord why😢😢😢 innocent child😢😢 this word is not our home💔💔
Ooh Yesu wangu mtoto maskini wa MUNGU 😢😢😢 that's why we're being punished by God.
Kito i like ur job God bless you...aki saidia Senior dave apate tu bodyguard wake pls pls aki help him
Bodyguard wake alipotea kwani?
Kidnapped na wenye walikuw wameiba mtoto
Niko TANZANIA 🇹🇿
Kusema kweli
Nimeumia mno
Siwezi ongea
Mungu mponye
Huyo mtoto!
Kwa jina la Yesu!
Yaniwasichana wadogo vijana wadogo lakini mambo wanayofanya hawafanani
Nipo Tanzania 🇹🇿mm pia Hawa wakenya wameniogopesha sana😢 Mungu amponye tu jamani
End days that needs prayers 🙏 God protect humankind the love of money too much
Mutowe figo yamaxx muwekeye uyo mutoto maneno iiishe ivio
Kabisa
Kabisa ama ya Max irushiwe mbwa😢😢😢
Unasema ukwiri
Very true
i agreee
Hawa watu n wanyama wanafa wafungwe ama wachomwe wanachezeaga maisha ya watoi bona watoi watolewe kidny 😢😢😢😢😢 awa n wanyama wapigwe ama wachomwe mm sioni watu kama hawa wanafaa kua ai. Governnent ya kenya do nalaumu juu hizi vitu wanavaa kufuatiliwa
What is happening? Why is our leaders 🤐🤐🤐 quite? How comes the government is doing nothing about this? God have mercy upon our kids
LEADERSHIP IKIWA MBAYA PIAMASHINANI INAKUWA MBAYA KILA UONGOZI UNAO TAWALA KUNA PACKAGES YAKE SO USIULIZE
Kwanza kwa police services is totally rotten huwezi saidika ata ukuwe na shida
@@essy2023I was so shocked 😲😲 watching Senior Dave show, seeing a whole DCI compromising with criminals and turning against Dave.Jehovah
@@susannjoraGod have mercy upon us and our children
@@gladysmueni2534 AMEEEEEN AMEEEEEN na unipitie
Angekuwa wangu,, ningefungwa maisha juu...sitaki kusema hapa. Ni unyama kweli.. Expose this things Kwa media Director Jay pliz..
Siyo ww tuy sai wasingekuw hata na nguvu ya kuongea haw magaid yakiume na wakike
God protect our children's 😢😢😢😢😢
OMG this makes me love ma UGANDA d more,
ds OPEN LEVEL OF WICKEDNESS CANT GO ON WITH FOLDED HANDS
WHO WILL SAVE KENYA ........ WOOOOOEII
He was sleeping with the dead and selling his own child's kidney...there are people who eat humans in unganda
Uganda hawatolewi nikuje niishi huko?
Don't Rejoice, we too thought we are safe till these royalty tests came to be. Human beings are so wicked
No where is safe .. God protects us all
Serekali ya Kenya why this 😭😭😭😭😭😭
Jesus christ lord protect our kids
Uyu mwanaume kwani anataka pesa mingi aje mara analala na maiti mara anatoa watoto kidney.Please mungu asaidie watoto wetu mmbaka maid wanatumika aki.
mimi naona ni content tu juu alikua analala na maiti sai ni child kidneper na yule bibi yake mnono ako wapi
@@JacklineKhasiala-n3rpia wewe fanya content yako
This people wanastahili kuchomwa😢😢cox bado kuna daktari ako involved uko mwenye anatoa vigo😢😢
True mana wakipelekwa ndani wanaachiliwa
Mukiwapata wafinyeni kabla vitu vitokee jamani serikali ya Kenya Mola anawaona aki, mkipata hawa watu tieni moto hawa mashetani jamani mana hata mukiwapeleka ndani kesho wako mtaa umbwa hawa, kitoo tafuta gongo la kutandika hawa nguruwe
Jay please expose this criminals this is a serious case maybe si ya Kwanzaa
Obvious kidney imetolewa already.God have mercy 🙏
U hv to investigate abt their Dr who operated that kid 😢,may Lord fight for our Africa
True
Kama kuna kitu nimeogopa😢nikuogea na ex, never ever
Woiye innocent baby kameyapitia 😢😢😢
Sitaki ku imagine yaani mtoto mdogo anaibiwa na mzazi wake kwenda kutolewa kidney na kuuza,, oh my God hii Dunia kwisha! Mbona huu unyama unazidi kwa country yetu????
So sad 😭😭😭
Jay km mumeacha watoto nyuma mumetuudhi na mumefeli kuokoa maisha ya innocent children . Hata huyo maid Ali peleka watoto 2 .
No wonder we are having floods in Kenya 🇰🇪 nikubaya. We are beyond wicked... this love of money will kill us ohh
Yaani wameaja biashara ya ngombe saa hii wananunua na kuuza binadamu jameni..,mushindwe sana mapepo nyeuzi👹👹👹👹👹
Jesus....washachukua KIDNEY ya mtoto woiyee😭😭😭
Jay pia jueni hawa madaktari wanawatoa watu figo waanikwe watu waacha kueda kwa clinic zao wafunge😢😢😢
Wao ni wa juu. Hawa wa chini ndio hushikwa.
Good work director jay
Oh Lord protect our kids it's painful aki uwezi imagine
OMG I tried this to my baby mama but si kuzaa kidney kuchukua tu mtoto nliona vumbi mamake ni fire🔥 hiyo siku nliona Kungfu master sijawai jaribu tena nowadays lazima npite kwa mamake ndo ni mwone waah mtoto anaweza fanya uliwe
Ana chunga watoto mpaka jioni but she had the kid for 3 days. They didn't even let the poor kid recover from the kidney transplant. They all should be jailed
Wuuuiiiiii mungu wangu katoto kumbe kamechaa tolewa figo akhi and were this people taking care of this baby surely hivyo walikuwa kwa kinyumba kinakaa uchafu ?
We have no government... .How can these goons be walking free?
I congratulate you all for this good job 🤝🏿
End times God hide our lives from enemies
Amen
Kitoo engage human rights lawyer and our women leaders. They can be of great help
Kitoo tafta nyaunyo poa hawa ni magaidi...haki mungu atulindie watoto wetu....alafu tukidate tujue partners wetu coz nikubaya....unaweza kwa unajichocha uko kwa relationship kumbe ulisha uzwa unalishwa tu vizuri ndio wapate figo yenye Afya
😢😢😢😢😢washauza kidney za watoto mungu wangu kumbuka watoto wote ladies mchunge mabwana zenu muwe makini na wao if baba anaweza fanya hii nikunoma kitoo hawa watu usiwachilie wapeleke kwa kichaka weka tire na petrol wachomwe wamechokesha watu akili
Director Jay, all these guys should be in police they will explain evil they do , with this kind of people, am afraid children are at risk
All this people should face the law from the maid to everyone who is connected please 🙏🙏this is wrong 😢😢
Mofaaa😅😅😅😅 never disappoint 😂 🤣 nice job jay 😂
We're Jay nunua nyahuyo
Ukweli kabisa
Hao ni wakupeleka jela maisha hao nyinyi mnacheka nao sana hao kesi kama izo mwezi tu unatosha kukamilasha ushahida funga hao maisha watu waogepe
Huyo max atolewe Figo mtoto awekwe
..mungu wangu
Sanitize huyu max Ili update the surgeon responsible for this
Mungu asaidietu huyo mtoi kakini mambi kubwa ni mtoi arudishiwe hiyo kidney she is still young
Kitoo keep it up.Job well done
We have no government... How can these goons be walking free surely 😢😢😢😢😢
The government starts in your local area.
Aki uyu mwanaume ata hana roho ya utu kwa damu yake how i wish pia wao watolewe kidney zao zote mbona mtoi mdogo kupitia hii uchungu yote
Wenye mlikua mkisema eti hakuna watoi Jay huwa anatafuta wanapatikana sasa mtasema nini ingine?😏😏Kitoo hio matanye ni kubwa sana inahitaji nyaunyo sio mshipi alafu uzime camera
Mungu wangu huyo max ni shetan wallah mtt wake tena malaika mdog jaman wanaume achen roho hizo wanaume
Everywhere Kidney selling. Now this is too much Kenyans where is the government. Can somebody text Kindiki to see the insecurity we have within our society. Too much where is the Doctor. It involves line-up of many people. God come you save us.
Jay awatu wanapasha kushwikwa nakufungwa afi kufa niwakuuwawatu mbone munawaleya sana miye kama niwakwangu niteweza uwatu
This need to be exposed to every TV.even the other people..This is too much. Like now our area a class 5 boy is missing from Friday.
Huyu wa maiti ako na pepo ya shetani nyingi sana. Kila msichana akilala na huyu mtu ako infected na maspirit mingi mbaya sana.
Oh my God,, wuuui mtoto ametolewa figo imeuzwa
Oooh my God. Mtoto ashaatolewa figo....Mwathani
Mama ya mtoto afungulie max mashtaka. Kisha huyo max atolewe Figo mtoto arudishiwe.mbona hao criminals wasiuze zao?
Agreeee😢😢😢
Figo na viungo ni mpaka damu isikizane.
I feel for that child,Ile uchungu amepitia aki😢😢..
Am just speechless, God protect our children
😢😢😢😢😢God this man is so wicked. You don't have mercy even to your own biological kid
I wonder y da gorvnment is quiet big up true k family
These need mob justice. Kwa police wataachiliwa tu
Aki wape e mob wachomwe
Haki true k TV kindly tell the make announcement to public to all people about this business it is too much haki doctors are operating people taking kidney's
Peeni Joshua hiyo kazi ya kuchapa hawa ,mnacheka tu hapo how can you smile around na hawa surely 😢 ,wooii
Joshua anajua kunyorosha wacha tu 🤣😅🤣🤣🤣
But they are working how comes they have gone do far. Different Homes run differently . Appreciate them fur the far that they have gone the baby is already in the hospital thank God for that
Kwanini wanfanyia watoto hivi jamani Mungu saidia
J and Kitoo take them to the Authority,don't release these goons .they're dangerous in the society.
Huyu max anafanyia Nini pesa,in the fast place😢may the baby find justice
Mnajihangaisha huyon boss anakuchekeni
Jay,jay na huyu mtoto mmewach huko jee? Endeni huyu mtoto mwingine plz
Ooooh God almighty, protect our children, have mercy upon us.
Naendelea kuuliza kwani Kenya serikali na polisi wako wapi? Haiwezekani watu wanapotea na wanauwawa wanashindwa kwanza uuzaji wa viungo vya mwili kwa Nini wanaruhusu mtamaliza watoto na mashaka niliyo nayo watoto wa mitaani ndo watauliwa zaidi
Hii mishipi kweli inawasikiza uchungu aiiii
This stories are so neuseating😢😢😢😢, yaani anauza kidney ya mtoto 😢😢😢. I cry for my mother land😢😢😢
Aseme the hospital inamusaidia kutoa body parts za watoto. The doctors wao na hii group iende ndani.. surely this people. Ni humanity to the society. Hii ni ungodly sana.
Ingekuwa Tanzania huy jamaa hilo jeuri lingeshaish angepigwa na kukaa kam mandaz,,,kenya jamn mbon mnatish hivo😢😢😢 hadi mzazi anamfanyia mtot wake unyam
Jey Miya naumiya juu hamuwafinge hawo wa dada miye munipe Ile kz ya kufinya wa mama wa alifu
Please true k mukipata watoto wengi munawaokoa please musiangalie mtoto mumoja tuu mukipata watoto okoa wote please ata munasearch hizo manyumba yao
Ohoo Lord remember our innocent children 😢😢
Do we have a government?expose this case to Ntv and citizen Tv please jay
Wote waede Dani 😢😢😢
Oh , Jesus government should decrea wacomwe wote wanausiwa na izo case
Why these activities so many with this government something is wrong somewhere please may God the Almighty intervene
You could have rescued both kinds, meanwhile expose that doctor
I don't have words 😢😢
Mgonge kila mahali usimhurumie
Hao watu wapingwe bana akuna kitu ya kuhurumia hapo ama muniite niwaunde kwanza uyo max anaitaji tu vita poa
Aki am in pain..mbona watoto wanayapitia haya😢😢
Haki nyinyi mashetani Mungu awapige radi
Lord jesus, does the government of kenya know about the bussiness of kidneys selling, human beings treating human beings like animals,
It's very wrong,
Something has to be done.
All RUclips tv, owners should present this go the high authorities .
Oooh my God watoto wamekosea wapi surely 😢😢😢😢😢😢😢
Oooh my God 🙏 remember this kid,they were even planning to remove even the other kidney surely these criminals are very evil the law to take it's course.
Bona kitoo mliacha mtoi moja huku kitoo haki wote mlikue mnafaa mjukue poe haki😢😢😢😢😢
😭😭😭mbona mtoe mtoto figo aki kitoo msiachilie hao watu
Huyu Max anafa afungwe maisha