TUFUNUWE KITABU (SILSILA 8): Babu: I Saw the Future and It Works

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 25

  • @nassorelmahruki5047
    @nassorelmahruki5047 4 месяца назад +1

    Mh. Jussa Na Sky. Mohd munaileta history muhimu kwa kizazi kipya. Hongereni sana

  • @bunamay1000
    @bunamay1000 9 месяцев назад

    Ahsanteni sana kutufunguwa macho

  • @shaqsyonlinetv3669
    @shaqsyonlinetv3669 2 года назад +4

    Sh Mohamed mimi nathamini sana sana vipindi hivi unavyoandaa na kwa kweli nafarajika sana sana na uchambuzi wa Mheshimiwa Jussa na sioni sababu ya kumnanga Professor Abdulrahman Babu japokua napingana nae kwa asilimia 60-70 lakini heshima yangu kwake kama mwanamabadiliko na mpambanaji itabaki pale pale … na kwa kweli nimepata moyo sana kuona mpaka dakika za mwisho alitetea alichokiamini japokua si muungi mkono..
    OMBI KWA VIPINDI VIJAVYO
    Tunaomba uchambuzi wa kitabu cha Dr Harith Ghassani “kwaheri ukoloni “
    Shukran

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 года назад +3

    Tunawashukuru Sanaa bwana ismail
    NA bwana Muhammed

  • @nailamohd7693
    @nailamohd7693 2 года назад +4

    Asante saaana brodher Moh'd kwa kipindi kizur chenye faida kwetu pamoja na Mheshimiwa Jussa kwa uchambuzi mzuri sana 👏👏❤️

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 2 года назад +4

    Wow mashallah kwa uchambuzi mzuri

  • @jumakhamis8584
    @jumakhamis8584 2 года назад +2

    Ahsante Jussa kwa uchambuzi

  • @alijuma7204
    @alijuma7204 2 года назад +2

    Asanten sana lazima tufanye historical Reformation

  • @masilambazaim5302
    @masilambazaim5302 2 года назад +1

    Nafrah na najisikia hamu ya kutaka kujua mengi kutokana na kipindi chenu hiki ningependa muendelee zaidi na zaidi
    Sema kidogo katika kitabu cha leo ckupata nafasi ya kusikia kuhusu kesi iliyomkabiri babu na wenzake ya uhaini na je? aliachiwa vipi.
    Asanteni tunatarajia mengi kutoka kwenu mwenyezimungu akupeni afya.

  • @AlawiyaMSaleh
    @AlawiyaMSaleh 2 года назад +1

    Asante sana kwa maelezo yenu. Babu kusema kweli ametoka na ukoo wa Maulamaa wa kubwa na alistahili ashike ukanda wa wazee wake upande wa kwa baba yake kwakuwa yeye ndo alikua mwana mume pekee na ndugu zake wote walikua wanawake. Ukoo wake ni mfupi ulikua unamuhitaji sana kuendeleza mengi na makubwa waliyo yaacha wazee wake. Lakini hakufanya hivyo ndio maana hayo mnayo yasema hakuna na msimamo kamili

  • @shaficabdalaziiz218
    @shaficabdalaziiz218 2 года назад +2

    جزاكم الله خيرا، معاكم في كل حلقة👌👌

  • @ahmedjuma1213
    @ahmedjuma1213 2 года назад +1

    Kipindi kizuri MAASHAALLAH

  • @ahmedjuma1213
    @ahmedjuma1213 2 года назад +2

    Historia ya sheikh thabit Kombo tunaomba

  • @lmdos4382
    @lmdos4382 2 года назад +2

    Swali kwa Muheshimiwa Jussa, Je kulikua na jaribio lolote kwa chama cha CUF kujaribu kumshawishi Babu kujiunga nawo wakati wa siasa za 90's?

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 2 года назад +2

    A genius man, he was.

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 года назад +1

    Bwana ismail na Muhammad
    Tunaomba kujua familia ya babu
    Ipo na ipo wapi. Na wale makomredi
    Wenzake wapo hai na ni nikina nani
    ????

  • @wambura-cv3ut
    @wambura-cv3ut 2 года назад +4

    Kiukweli Ismaili na Moh'd naamini hata viongozi wanafatilia hichi kipindi endeleeni kupiga nondo

  • @lgf7297
    @lgf7297 2 года назад +1

    Ali huku kwa kilo 1973. Kwa nini hakunyongwa? Hawasemi alitetewa na Nyerere kwa kumpa u Waziri serkali ya Muungano akiishi Bara.

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 года назад

    Mapinduz daima, mapinduz daima ukoloni tumekomesha 1964 zanzibar wenye watu weusi ndio ss tupo Nayo zanzibar

  • @alijuma7882
    @alijuma7882 2 года назад +2

    Babu na makomred wenzake fitna zao mpaka yakafanywa mapinduzi na visiwa vyetu vimekuwa under occupation mpaka leo

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 2 года назад +1

    Babu anastahiki kuenziwa na kukumbukwa katika histora ya ZNZ. Apewe japo mtaa watu wamkumbuke. Tujifunze kuwaenzi watu kama hawa pamoja na el comandante Ali Mahfoudh na wengine. Kuna mitaa ina majina ya watu wasiotuhusu, wetu wenyewe tunawasahau kwa makusudi. What a shame!

  • @d15355
    @d15355 2 года назад

    mi nilikuwa naomba jamani hiki kitabu cha Babu nitakipata wapi maana nimetafuta miaka yote nimekikosa nimeonana hadi na mchapishaji mwenyewe pia hana,sasa mwenye nacho jamani naomba anielekeze nitakipata vipi? mana nakitafuta sana.

  • @lgf7297
    @lgf7297 2 года назад +1

    Huyu ni mtu wa Hizbu, wote na Jussa. Kwa nini hawasemi kuwa Nyerere alimfukuza. Balozi wa Ujerumani kutetea msimamo wa Muungano?

  • @azizamri1522
    @azizamri1522 2 года назад +3

    Babu was the biggest loser katika Zenj Revolution. He was nullified by Nyerere by appointing him in the Union cabinet thereby giving Karume breathing space and freedom to rule without fear of internal challenge.