KOCHA wa MAGOLIKIPA SIMBA afunguka kupigana na VIDEO ANALYST/SIMBA inahitaji watendaji WENYE UELEDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Комментарии • 25

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 3 месяца назад

    So sorry couch come to the Young Africans we appreciate you 😊

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад +2

    Huyu bonge la kocha wa makipa muangalie Ali salim muangae Abel maboge wa kipa lakini manula mbaya kauzs DABI kafunguliwa duka pumbavu aende zake Azam na Azam watakuja kulipa wakicheza na yanga

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад +2

    na nyie waandishi mjitahidi kujifunza lugha kwa ufasaha mnatia aibu na kuungaunga maneno.

    • @FilbertFissoo-pe2xm
      @FilbertFissoo-pe2xm 3 месяца назад

      Kwani wazungu wote wanajua kiingereza acha kueneza ukoloni mamboleo

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 3 месяца назад +2

    Ila hii timu 😂 tutajua mengi sana kuhusu simba mwaka huu😂

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 3 месяца назад +1

    SIMBA fans still we love you, we don't want to lose you 😢😢

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад

    ALISEMA MCHEZAJI ,IKAWA STORY KUBWA . SASA VIONGOZI BADO MNATAKA NINI NA MPAKA SASA KOCHA ANATHIBITISHA KUWA UONGOZI HAUKUMPA USHIRIKIANO KWELI MPAKA MFE AU MBONA MNATUTAKIA MAGUMU NINYI?

  • @LaurentMpilu-qe6lq
    @LaurentMpilu-qe6lq 3 месяца назад

    Viongozi wengi walioko Simba ni bogus, huyu kaamua kufunguka ukweli, lazima watu kadhaa waondoke kuisafisha simba

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад

    ndugu zangu kwa mambo yaliyoendelea simba viongozi wametuangusha sana ,hawastahili hata kusimamia familia zao

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 3 месяца назад

    TUACHANE NA VYETI TUJIKITE KWENYE UJUZI NA KUJITOLEA KWA WACHEZAJI NA MAKOCHA .

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 3 месяца назад

    Shida ni muandishi unalazimisha ataje mabaya ya Simba na lugha huna unabakia we we wo hem jifunzeni lugha na wacheni uchawa fanyieni kazi tasnia zenu kiuhalisia

    • @EmmanuelZenda-ji5gc
      @EmmanuelZenda-ji5gc 3 месяца назад

      Mbona kamuuliza kuhusu moments nzuri na amesema hapo zipo nyingi.sana asa mashabiki wanapomsalimia akienda kufanya manunuzi mkuu,unamuonea tu muandishi kaka!

  • @petermabale4320
    @petermabale4320 3 месяца назад

    Hongera Rick Media. Hii ni exclusive interview nzuri sana

  • @AllenMwafilombe
    @AllenMwafilombe 3 месяца назад

    Even me I'm here the DC songwe I iprociet the coach is good

  • @johntulio2644
    @johntulio2644 3 месяца назад

    Akionndoka Mo, mishahara utalipa wewe, unadhani kuendesha team ni Jambo la mchezo mchezo!!!

    • @wangsomollel6169
      @wangsomollel6169 3 месяца назад

      itaendeshwa iende kushuka daraja😅😅😅

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Your best coach in Tanzania goal keeper I so abel now is good goal keeper please don't go

  • @NashonyNashon
    @NashonyNashon 3 месяца назад

    anajua maana yakuendesha time huyo

  • @EliudLubavu
    @EliudLubavu 3 месяца назад

    Please remain with us ww 💞💞 u

  • @CarlosRule-p6v
    @CarlosRule-p6v 3 месяца назад

    Viongozi ni zero 😂😂

  • @KosovoNaiiem
    @KosovoNaiiem 3 месяца назад

    Viongozi wetu haswa bodi yetu ya mo na mo wote waondoke mo ndio mbaya miaka mitatu tunaalibu yeye ajui anatufanya wanasimba wajinga sisi tunajuwa mo hatoi pesa mzushi tu aondoke na chama aondoke atumtaki

    • @mashambaelectronicsworksho495
      @mashambaelectronicsworksho495 3 месяца назад

      ushasikia simba inalia njaa lini? au hel anatoaga mama ako?

    • @alifredmkoka
      @alifredmkoka 3 месяца назад

      😂😂😂 Weka hela ndo uwaondoe sio comment ya bando la afu 3

  • @ErickKonki
    @ErickKonki 3 месяца назад

    Good coach Cadena

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 3 месяца назад

    Simba wana makipa wazuri sana miangalie lakred, salim na abel ni wanzuri mno