KOCHA wa MAGOLIKIPA SIMBA afunguka kupigana na VIDEO ANALYST/SIMBA inahitaji watendaji WENYE UELEDI
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
So sorry couch come to the Young Africans we appreciate you 😊
Huyu bonge la kocha wa makipa muangalie Ali salim muangae Abel maboge wa kipa lakini manula mbaya kauzs DABI kafunguliwa duka pumbavu aende zake Azam na Azam watakuja kulipa wakicheza na yanga
na nyie waandishi mjitahidi kujifunza lugha kwa ufasaha mnatia aibu na kuungaunga maneno.
Kwani wazungu wote wanajua kiingereza acha kueneza ukoloni mamboleo
Ila hii timu 😂 tutajua mengi sana kuhusu simba mwaka huu😂
SIMBA fans still we love you, we don't want to lose you 😢😢
ALISEMA MCHEZAJI ,IKAWA STORY KUBWA . SASA VIONGOZI BADO MNATAKA NINI NA MPAKA SASA KOCHA ANATHIBITISHA KUWA UONGOZI HAUKUMPA USHIRIKIANO KWELI MPAKA MFE AU MBONA MNATUTAKIA MAGUMU NINYI?
Viongozi wengi walioko Simba ni bogus, huyu kaamua kufunguka ukweli, lazima watu kadhaa waondoke kuisafisha simba
ndugu zangu kwa mambo yaliyoendelea simba viongozi wametuangusha sana ,hawastahili hata kusimamia familia zao
TUACHANE NA VYETI TUJIKITE KWENYE UJUZI NA KUJITOLEA KWA WACHEZAJI NA MAKOCHA .
Shida ni muandishi unalazimisha ataje mabaya ya Simba na lugha huna unabakia we we wo hem jifunzeni lugha na wacheni uchawa fanyieni kazi tasnia zenu kiuhalisia
Mbona kamuuliza kuhusu moments nzuri na amesema hapo zipo nyingi.sana asa mashabiki wanapomsalimia akienda kufanya manunuzi mkuu,unamuonea tu muandishi kaka!
Hongera Rick Media. Hii ni exclusive interview nzuri sana
Even me I'm here the DC songwe I iprociet the coach is good
Akionndoka Mo, mishahara utalipa wewe, unadhani kuendesha team ni Jambo la mchezo mchezo!!!
itaendeshwa iende kushuka daraja😅😅😅
Your best coach in Tanzania goal keeper I so abel now is good goal keeper please don't go
anajua maana yakuendesha time huyo
Please remain with us ww 💞💞 u
Viongozi ni zero 😂😂
Viongozi wetu haswa bodi yetu ya mo na mo wote waondoke mo ndio mbaya miaka mitatu tunaalibu yeye ajui anatufanya wanasimba wajinga sisi tunajuwa mo hatoi pesa mzushi tu aondoke na chama aondoke atumtaki
ushasikia simba inalia njaa lini? au hel anatoaga mama ako?
😂😂😂 Weka hela ndo uwaondoe sio comment ya bando la afu 3
Good coach Cadena
Simba wana makipa wazuri sana miangalie lakred, salim na abel ni wanzuri mno