ABEE SHEM... 1 S 2 : SIMULIZI MAPENZI USALITI, UPELELEZI ,MAPIGANO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 49

  • @zenaathumani8144
    @zenaathumani8144 Месяц назад +7

    Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao

  • @AnnaMelikion
    @AnnaMelikion Месяц назад +2

    Mungu wangu😂😂😂😂 Yusuraty umekwishaaaaaaa😢😢😢😢😢 .kwisha habari yakooooooo🙌🙌🙌🙌🙌🙌Umejichanganya 😭😭😭😭

  • @fatumamatano8216
    @fatumamatano8216 Месяц назад +5

    Tunasonga

  • @raayMahmid
    @raayMahmid Месяц назад +3

    Asante ❤❤🎉

  • @raayMahmid
    @raayMahmid Месяц назад +4

    ❤❤

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di Месяц назад +2

    Tupo shemeji

  • @user-lq6kr2gl7n
    @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +4

    Ahmediiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii😆😆 nilisahau kumbe kaachika Smix shukrn kwa mwendelezo tuko pamoja🤝

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 Месяц назад

      Kwakweli😂😂😂😂😂

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +1

      Zena weee subir utaona😆😆😆ahmed talaka haimwachi mi anachoniuz kupiga hapo tu hawez kudhibiti hasira zake

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 Месяц назад

      @@user-lq6kr2gl7n 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Месяц назад +1

    Wadau uwamulala umu shukran D'Oen kwamwendelezo🎉🎉🎉🎉 Yuslat umemuciti Ahmed sijuwi kitakukuta🤣🤣🤣🤣

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 Месяц назад +1

    Asante sana bro D Oen eti hadi shrtani akausisha 😂😂😂

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 Месяц назад +3

    Wa 2 ❤❤🎉🎉

    • @zenaathumani8144
      @zenaathumani8144 Месяц назад +1

      ♥️♥️♥️♥️🎉🎉

    • @user-ke1ox6zl6k
      @user-ke1ox6zl6k Месяц назад +1

      Makofi kwa George wake🎉🎉🎉🎉❤❤❤😂😂😂 yaani one shoot one goal💪💪💪💪nimeipenda hiyo we Nusrat ukiolewa na Ahmed utadhalilika ukizaa hako katoto kanaweza kuwa photocopy ya George 😂😂😂😂😂

    • @user-ke1ox6zl6k
      @user-ke1ox6zl6k Месяц назад +1

      Mbona nimecheka hapo kwa kukosea message mimi😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

    • @user-ke1ox6zl6k
      @user-ke1ox6zl6k Месяц назад +1

      We kibaka pumbavu mbona unaharibu tena😂😂😂😂

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 Месяц назад +2

    Nusrat ww jamani yaani nusra nusra penzi linasonga 😅😅😅Alafu ss unalikoroga mwenyewe 😂😂😂shetani kausishwa 😂😂😂😂😂

  • @MwanaMpole-mo5di
    @MwanaMpole-mo5di Месяц назад +1

    Tupo wawachane

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 Месяц назад

    Pamoja

  • @lonakirao5275
    @lonakirao5275 Месяц назад +4

    Lakin wanawake tuna moto wetu kwa Mungu haki😂😂😂 ila Ahmed ndo chanzo maan wivu ndo wake ndo kafanya Nusrat kanyanduliwa na George 😂😂

  • @SabrinaAlimas
    @SabrinaAlimas Месяц назад +3

    🥰🔥🔥🔥

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +1

      Weeeee amkaaaa yusra ana baby wetu tumboni😅 chezea joji weweee kapita shwaaaaaaaaaaaa!!! 😅😅😅😅😅mi natak yusra arud kwa joji wetu bhn ahmed tumemchoka kwanz anatupigapiga kila muda

    • @SabrinaAlimas
      @SabrinaAlimas Месяц назад +1

      @@user-lq6kr2gl7n 😂😂😂😂 mmmh wewe tenaa,, m nataman bhn yusrat angeoana na Ahmedy ,,,kumpiga si n wivu jaman ndo mapenz yenyewee😂😂

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад +1

      Weeeeee😆😆😆ht km lkn mwenzang kipigo hpn mwanamke anabembelezwa na sio kumzaba makof kifup ahmed hapn

    • @SabrinaAlimas
      @SabrinaAlimas Месяц назад

      @@user-lq6kr2gl7n toka apaaa 😔🤣🤣🤣

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 Месяц назад +1

      Hizo mambo zakupigwa kabra ya kuowana weeee siwezi kabisa lazima ndoa ivunjwe mchana kweupeeee😂😂😂😂😂😂

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Месяц назад +1

    😢😢😢😢yusrat siri sawa lkn sasa mtoto akifanana na Charles itakuajee hapo ndo tatixo

    • @user-lq6kr2gl7n
      @user-lq6kr2gl7n Месяц назад

      Umeonaaaaaa😂😂😂😂mi nasubir nione hili move litaishia wap

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Месяц назад

      @@user-lq6kr2gl7n hapa kuna kuumia mtu ubaya bado anamsaliti mwezake

  • @Evelynmoreen3655
    @Evelynmoreen3655 Месяц назад +1

    Ahmed hizo hasira zake zakupigapiga mwanamke kabra hujamuowa hapana mi siwezi kuolewa hiyo inamanisha ukisha olewa nae utakuwa kiwanja chakujifunzia ngumi bola ndoa ivujwe mapema 😂😂😂😂😂yusrat mtoto wa George huyo damu ya mtu haipotei shauli yako bola umwambie Ahmed ukweli kuhusu ujauzito utakuja kuumbuka huko mbereni mara nyingi mtoto wainje anakuja na sura ya baba yake mzazi sasa jichanganye🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 Месяц назад

    We joji. Nae,umen'gan'gania mwanamke wa watu na unaleta mahacra.ukipanga kuiba chamtu jipange kwa liolote pumba ww

  • @aminanimbona1861
    @aminanimbona1861 Месяц назад +1

    Ahmed na khajrat walikuwa na paswa kupendana mana wamepitia msotoo kwenye mausianoo😅😅 ila khajrat kumsaliti Ahmed uko mbelenii itaniumaaa kweliii😅😅😅😅😅😅

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 Месяц назад +1

      Huyo hajirati kasha kuwa na pepo la ngono kasha toka na doctor na bado kutoka na shemeji yake Kassim wakaamuwa kumuuwa ahmed kwenye episode 1ikiwa imeanza 😂😂😂😂😂

    • @aminanimbona1861
      @aminanimbona1861 Месяц назад +1

      @@Evelynmoreen3655 yambeleni yanafurahisha wallah 😁😁😅😁😅😅

    • @Evelynmoreen3655
      @Evelynmoreen3655 Месяц назад +1

      @@aminanimbona1861 bado Ahmed ajipange🤣🤣🤣🤣

    • @MamahetuChikuti-mp5lj
      @MamahetuChikuti-mp5lj Месяц назад

      Lkn yote ni mipango ya kakake Ahamed

  • @twinssauditwinssaudi7248
    @twinssauditwinssaudi7248 Месяц назад +1

    Alafu ww Ahamed unastahili hili mpuuzi ww ulimfanya nini mchana alie kupenda mwaka mmoja nyuma lia na ulie tena mbwa ww

  • @bintimrope
    @bintimrope Месяц назад +4

    ❤❤❤🎉

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g Месяц назад +1

    ❤❤❤