Mgombea wa Azimio ahutubia mkutano wa mwisho

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 авг 2022
  • Kinara wa Azimio Raila Odinga amewataka wakenya kujitokeza kwa wingi jumanne kumpigia kura kuwa rais wa tano wa Kenya. Raila akiahidi kushughulikia kwa haraka matatizo yanayowazonga wakenya endapo atachaguliwa kuwa rais. Akizungumza kwenye mkutano wa mwisho wa kampeni zake, Raila amesema safari yake ya kupigania mabadiliko nchini imekuwa ndefu na ana nia ya kukamilisha safari hiyo katika afisi ya rais.

Комментарии • 110

  • @johnopiyookelo37
    @johnopiyookelo37 Год назад +11

    U've demonstrate dat u love Kenya, who doesn't know will never know,I salute Raila Odinga

  • @dickensotieno9249
    @dickensotieno9249 Год назад +14

    This man looks very presidential

  • @euniceombogo5712
    @euniceombogo5712 Год назад +19

    Remember blue is the colour

  • @eenzjossi1828
    @eenzjossi1828 Год назад +19

    Very organised president with love to humanity

    • @mosesgicharu9969
      @mosesgicharu9969 Год назад

      Love for humanity na alifanya watu wakufe juu ya siasa ,baby pendo

    • @ismailosanoomar3326
      @ismailosanoomar3326 Год назад +1

      @@mosesgicharu9969 kwani raila ndiye alimuua baby pendo au ni polisi waliotumwa na serikali??

    • @marymutavi5446
      @marymutavi5446 Год назад

      @@mosesgicharu9969 wacha zako,

    • @erickodhiambo956
      @erickodhiambo956 Год назад

      @@mosesgicharu9969 aliuawa pier meru

  • @wuochembili8617
    @wuochembili8617 Год назад +10

    Baba's campaign strategy team have been on top this time round..🔥🔥🔥

    • @churchillmusa2276
      @churchillmusa2276 Год назад

      Hata Mimi niliona

    • @Alien_civilizations
      @Alien_civilizations Год назад

      Because of Uhuru

    • @wuochembili8617
      @wuochembili8617 Год назад

      @@Alien_civilizations yeah..the 2 complemented each other so well...baba is creative and a great mobilizer but weak at planning,.
      uhuru is very organized,a good timer and great at planning....his team filled that gap perfectly .
      Even if Raila loses this election..I have enjoyed Azimio campaign strategy..

  • @princessemmy8183
    @princessemmy8183 Год назад +14

    Our next week president 💙💙💙💙💙

  • @wycliffemachora572
    @wycliffemachora572 Год назад +13

    Next president

  • @victornyando598
    @victornyando598 Год назад +14

    Tutarauka sana

  • @mossmosey3453
    @mossmosey3453 Год назад +16

    Baba is the real deal damn 🙌 🙏

  • @euniceositer1301
    @euniceositer1301 Год назад +7

    Baba ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @dickensotieno9249
    @dickensotieno9249 Год назад +14

    Let's turn out in large numbers and vote for RaRua ticket next week Tuesday

  • @dickensotieno9249
    @dickensotieno9249 Год назад +9

    Waaaah,this man is a tsunami!!!!

  • @adanamir9487
    @adanamir9487 Год назад +15

    prepare for baba next week as your president elect

  • @Akama0927
    @Akama0927 Год назад +2

    Baba has done his part excellently. It's now our part left to be done and that is to VOTE. LET US GO OUT AND VOTE

  • @Everythinglife3
    @Everythinglife3 Год назад +2

    Baba we are behind you...win this for us🧢🧢🧢

  • @edwinmaeri
    @edwinmaeri Год назад +12

    Baba n wewe tu

  • @abrahambarasa2132
    @abrahambarasa2132 Год назад +6

    Baba Tosha ✊🇰🇪

    • @sarahkerubo8375
      @sarahkerubo8375 Год назад

      💪💪💪💪

    • @emperor7795
      @emperor7795 Год назад

      fools like you are a disgrace to Kenya Sasa wale sio wazee Uhuru na Ruto wamefanya nini nkt tumia akili

  • @zakayomwamba7475
    @zakayomwamba7475 Год назад +2

    Baba means well for all Kenyans irrespective of their ethnic backgrounds.Let us all unite and vote him in to achieve greater prosperity.

  • @guardianofthebibleftdavidw4001

    My God it's now time for Raila Odinga🤲🤲🤲make it happen God,,,,

  • @jongcheng5517
    @jongcheng5517 Год назад +5

    Compare this to the lackluster show going on at Nyayo……….

  • @Helen-yj1sn
    @Helen-yj1sn Год назад +2

    Raila Karua ticket straight to state house comes 9th August 2022

  • @mebakarimohamed686
    @mebakarimohamed686 Год назад +4

    Azimio piga Kele wweeeee

  • @pamelaowino9557
    @pamelaowino9557 Год назад +2

    Baba is presso at last

  • @abdiaziziisaac175
    @abdiaziziisaac175 Год назад +3

    Babaaa

  • @isaacnderitu1984
    @isaacnderitu1984 Год назад +2

    Kweli inawezekana

    • @joolayharon6577
      @joolayharon6577 Год назад +2

      Babababababababababababa kama si baba nani sasa?

  • @vincentodunga6442
    @vincentodunga6442 Год назад +1

    May dear Lord fulfill your wishes tuh come true

  • @sam.3782
    @sam.3782 Год назад +2

    Raila Amolo Odinga

  • @maxwelotieno6318
    @maxwelotieno6318 Год назад +1

    😭😭 love you Baba

  • @legootieno8208
    @legootieno8208 Год назад

    Steven Letoo citizen tv Nairobi

  • @veronicaogola1179
    @veronicaogola1179 Год назад +3

    Wunya kogo Koro Nyasaye oriti kod ng'uono kod jogi duto kod min Piny.

  • @salimkarama9354
    @salimkarama9354 Год назад +1

    I love u baba but my vote goes to ruto am sorry

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Год назад +1

    Sisi watanzania tunakuombea ushinde baba

  • @isaackpaulo23
    @isaackpaulo23 Год назад

    Mr handshake

  • @salimkarama9354
    @salimkarama9354 Год назад +1

    Baba lakini naona ruto ako juu sana sidhani kama uta make it 😞

    • @Irene-rt4bf
      @Irene-rt4bf Год назад +1

      Freedom is on the way with ruto

    • @salimkarama9354
      @salimkarama9354 Год назад

      @@Irene-rt4bf hapo sasa Ameen inshallah 🙏

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Год назад

    Sera za rafiki yake magufuli hiO

  • @denisgitongakagwiria5058
    @denisgitongakagwiria5058 Год назад

    Baba the 5th

  • @tritop8346
    @tritop8346 Год назад

    🤣🤣 surely hapa Kwa free education sidhani

  • @jacklinemaravi8688
    @jacklinemaravi8688 Год назад

    Raiiiiiiiiiiiiiiiiiiilaaaaaaah

  • @peterachira2116
    @peterachira2116 Год назад

    Baba tosha

  • @omondizahpaulo5976
    @omondizahpaulo5976 Год назад

    The one carrying orange tshirts in the crowd is me baba the filth

  • @ahsyshs2505
    @ahsyshs2505 Год назад

    wachauongo ww guka. 6k itasaidia nini

  • @sniperseniorofficial1252
    @sniperseniorofficial1252 Год назад

    Huongo kabisa ..masomo bure from nursery hio ni huongo

  • @edwardkamau9063
    @edwardkamau9063 Год назад +2

    Huyu akwende bondo...amezeeka sana.....

  • @stephenmwangi9311
    @stephenmwangi9311 Год назад +1

    This time tutahakikisha tumeamka mapema ndio tukusafirishe bondo

  • @faithbreezy628
    @faithbreezy628 Год назад +3

    My country,my pride,my prayer is for you is that God will give us to someone who knows who God is,Ruto❤️ this victory is yours make us proud🇰🇪✌🏾💪🏾

    • @earlybird._
      @earlybird._ Год назад +3

      When and where did you take a specimen ,and what did you use ,is it by looting or burning our children in kiambaa church that you discovered how Godly he is?

    • @euniceombogo5712
      @euniceombogo5712 Год назад +1

      @@earlybird._ add his arrogant speech my fellow kenyan. Ruto is a no go Zone

    • @jackieshamim3162
      @jackieshamim3162 Год назад

      Ruto alikuwa nyayo. Enda watch video zake huko.toka hapa

    • @faithbreezy628
      @faithbreezy628 Год назад

      @@jackieshamim3162 kwani Niko kwa? Funga mlango kaa Niko kwenu

    • @faithbreezy628
      @faithbreezy628 Год назад

      Hahah,who is laughing now?!

  • @kiplangatchepkosa8577
    @kiplangatchepkosa8577 Год назад +1

    Bado Tu Safari ya Bondo

  • @nicholasmusili7697
    @nicholasmusili7697 Год назад

    Amezeeeka huyu

  • @faithbreezy628
    @faithbreezy628 Год назад +2

    Safari ya Bondo ndo utakamilisha

    • @azamtn
      @azamtn Год назад +6

      you're all over citizen tv following baba😆😆 youre training yourself to get used to your 5th🤣🤣🤣🤣 good job 👏 there's nothing worse than a bitter woman😆

    • @wycliffemachora572
      @wycliffemachora572 Год назад +1

      Waota na makende yako

    • @faithbreezy628
      @faithbreezy628 Год назад

      @@azamtn that's my job😅🤧

    • @faithbreezy628
      @faithbreezy628 Год назад

      @@wycliffemachora572 sawa,but me najua hii Kenya haitaongozwa na ancestors

    • @azamtn
      @azamtn Год назад +2

      @@faithbreezy628 kata miti 🌳 🌳 😅😅 heri ancestors sasa imagine sura ya gachagua😆😆 na karibu mfanane btw😅😅😅