Mgombea wa Azimio ahutubia mkutano wa mwisho
HTML-код
- Опубликовано: 5 авг 2022
- Kinara wa Azimio Raila Odinga amewataka wakenya kujitokeza kwa wingi jumanne kumpigia kura kuwa rais wa tano wa Kenya. Raila akiahidi kushughulikia kwa haraka matatizo yanayowazonga wakenya endapo atachaguliwa kuwa rais. Akizungumza kwenye mkutano wa mwisho wa kampeni zake, Raila amesema safari yake ya kupigania mabadiliko nchini imekuwa ndefu na ana nia ya kukamilisha safari hiyo katika afisi ya rais.
U've demonstrate dat u love Kenya, who doesn't know will never know,I salute Raila Odinga
This man looks very presidential
Remember blue is the colour
Very organised president with love to humanity
Love for humanity na alifanya watu wakufe juu ya siasa ,baby pendo
@@mosesgicharu9969 kwani raila ndiye alimuua baby pendo au ni polisi waliotumwa na serikali??
@@mosesgicharu9969 wacha zako,
@@mosesgicharu9969 aliuawa pier meru
Baba's campaign strategy team have been on top this time round..🔥🔥🔥
Hata Mimi niliona
Because of Uhuru
@@Alien_civilizations yeah..the 2 complemented each other so well...baba is creative and a great mobilizer but weak at planning,.
uhuru is very organized,a good timer and great at planning....his team filled that gap perfectly .
Even if Raila loses this election..I have enjoyed Azimio campaign strategy..
Our next week president 💙💙💙💙💙
Next president
Tutarauka sana
Asubuhi na mapema kila mtu
Baba is the real deal damn 🙌 🙏
Baba ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Let's turn out in large numbers and vote for RaRua ticket next week Tuesday
Waaaah,this man is a tsunami!!!!
prepare for baba next week as your president elect
Baba has done his part excellently. It's now our part left to be done and that is to VOTE. LET US GO OUT AND VOTE
Baba we are behind you...win this for us🧢🧢🧢
Baba n wewe tu
Baba Tosha ✊🇰🇪
💪💪💪💪
fools like you are a disgrace to Kenya Sasa wale sio wazee Uhuru na Ruto wamefanya nini nkt tumia akili
Baba means well for all Kenyans irrespective of their ethnic backgrounds.Let us all unite and vote him in to achieve greater prosperity.
My God it's now time for Raila Odinga🤲🤲🤲make it happen God,,,,
Compare this to the lackluster show going on at Nyayo……….
🤣🤣🤣🤣🤣
Raila Karua ticket straight to state house comes 9th August 2022
Azimio piga Kele wweeeee
Baba is presso at last
Babaaa
Kweli inawezekana
Babababababababababababa kama si baba nani sasa?
May dear Lord fulfill your wishes tuh come true
Amen
Raila Amolo Odinga
😭😭 love you Baba
Steven Letoo citizen tv Nairobi
Wunya kogo Koro Nyasaye oriti kod ng'uono kod jogi duto kod min Piny.
Amina
I love u baba but my vote goes to ruto am sorry
Sisi watanzania tunakuombea ushinde baba
Mr handshake
Baba lakini naona ruto ako juu sana sidhani kama uta make it 😞
Freedom is on the way with ruto
@@Irene-rt4bf hapo sasa Ameen inshallah 🙏
Sera za rafiki yake magufuli hiO
Baba the 5th
🤣🤣 surely hapa Kwa free education sidhani
Waiting if so and its quality yes private one's will lower fees
Nenda kwa wheelbarrow na udaku wako
Raiiiiiiiiiiiiiiiiiiilaaaaaaah
Baba tosha
The one carrying orange tshirts in the crowd is me baba the filth
Hahahaa
wachauongo ww guka. 6k itasaidia nini
Huongo kabisa ..masomo bure from nursery hio ni huongo
Tembea na wheelbarrow uko na udaku wako
Ya Ruto ndo ukweli
Huyu akwende bondo...amezeeka sana.....
Inawezekana
Inawezekana #
Zoea utajinyonga bure
Huna akili
This time tutahakikisha tumeamka mapema ndio tukusafirishe bondo
Say no to Ruto's presidency
Weee ni gomaaaaaaaa
My country,my pride,my prayer is for you is that God will give us to someone who knows who God is,Ruto❤️ this victory is yours make us proud🇰🇪✌🏾💪🏾
When and where did you take a specimen ,and what did you use ,is it by looting or burning our children in kiambaa church that you discovered how Godly he is?
@@earlybird._ add his arrogant speech my fellow kenyan. Ruto is a no go Zone
Ruto alikuwa nyayo. Enda watch video zake huko.toka hapa
@@jackieshamim3162 kwani Niko kwa? Funga mlango kaa Niko kwenu
Hahah,who is laughing now?!
Bado Tu Safari ya Bondo
kata miti🌳 😅😅😅
ni nyinyi mutaenda sogoi
Wezi sogoi
Zoeya rais wako babaaaa 💙💙🙏🙏🙏
Inawezekana
Amezeeeka huyu
Uzee si ungonjwa
Hatutakii kijana mwizi.
Nicholas wasema amezeeka na ndie rais wa kenya ajae alichaguliwa na Mungu .
Inawezekana
Madharao kwa wazee ndio maana hujui babako
Safari ya Bondo ndo utakamilisha
you're all over citizen tv following baba😆😆 youre training yourself to get used to your 5th🤣🤣🤣🤣 good job 👏 there's nothing worse than a bitter woman😆
Waota na makende yako
@@azamtn that's my job😅🤧
@@wycliffemachora572 sawa,but me najua hii Kenya haitaongozwa na ancestors
@@faithbreezy628 kata miti 🌳 🌳 😅😅 heri ancestors sasa imagine sura ya gachagua😆😆 na karibu mfanane btw😅😅😅