Mwenye makovuuu amepata bn wakumdundaa sijui ndo janet pole yake yani mwanaume anawivuu kama nn .mm huwa nasema ukiwa nawivuu na mm usiniguse mwili wangu kwakipigo wew utuxeeee na majukumu yamwanamkee fanya namshangaaa baba mxima wivuu na mkekuuzaa mahindi hata kusaidiwaa hutaki asaidiwee.ila uliyatakayoteee hayoo
Poyeee jomoniiii ❤️❤️❤️
Jmn msimuliaji wetu anaumwa ..pole sana mr D oen ..
Tamu sana 🙏😘😘
Pole D Oen Kwa kuumwa
Nahisi Frank karauramba mghanga kama atauepuka atakuwa kilema🤣🤣🤣
Lidyaa sikiza maneno ya steveeee hao madakitari hawakutakii mema
Mwenye makovuuu amepata bn wakumdundaa sijui ndo janet pole yake yani mwanaume anawivuu kama nn .mm huwa nasema ukiwa nawivuu na mm usiniguse mwili wangu kwakipigo wew utuxeeee na majukumu yamwanamkee fanya namshangaaa baba mxima wivuu na mkekuuzaa mahindi hata kusaidiwaa hutaki asaidiwee.ila uliyatakayoteee hayoo
Pole sana D oen
Nice story mm najua Steve atahualpa Lydia huyo ndio hero wake
Yaani moja moja tu jamani.
Wow Mr Elya G Big up 👍👏👏👏Steve ur the Hero wanipa tabasamu tu wkti ukiwa ni Lydia 🤩🥰nice story tamu sna na haishi hamu👌 kazi nzur Mr.D Oen 🙏
Asante Sana simulizi mix
Naona ata Mr Director Oen umepatwa na Mafua,, ugua pole
Mukuwe munatutilia one and two please munatukata utamu jameni
Lidya nasitivu ndio nyotawetu was my hero
❤❤naona steve na Lydia ndio hero wetu mwisho wa simulizi ino
Shukrani
❤❤❤🥰🥰🥰
😊