MANGE KIMAMBI AFICHUA MAMBO MAZITO AWAANIKA JANUARY MAKAMBA NA NAPE ATOBOA SIRI ZAO KUUTAKA URAISI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • As you all know I’m not a fan of Nape Nnaye and I have never been ila kama mtakumbuka vizuri siku Nape na January walipoondolewa nilikaa kimya kama sipo, nikawa nawachora watu humu X mkishangalia na kumcheka Nape. Haki nilipata shock kidogo kuona wale wanaojiita ma genius wa nchi wakishangalia kitu ambacho kilikuwa kinaashiria kuwa Samia anaelekea kule kule kwa Magufuli, alafu leo wanajitia wako shocked na kulalamika juu ya muelekeo wa Samia.
    As much as I don’t like Nape ila simchukiii Nape more than I love my country.
    Mimi nilikaa kimya ile siku sababu nilijua chochote nitakachoongea mngesema ni sababu nna urafiki na Mwamvita Makamba, urafiki ambao hauko tena kutokana na kwamba niliamua kukaa mbali ili siasa zangu sisi affect maisha ya familia yao.
    Kinachosikitisha ni kwamba hata siku ambayo Nchimbi ataondelewa CCM mtashangilia pia bila kuangalia the bigger picture.
    Siku Nchimbi akiondelewa CCM inatakiwa kuwa ni siku ya msiba mkubwa Tanzania maana yoyote atakaechukua nafasi yake ni kwamba amekubali Samia aongezewe muda wa urais.
    Yes kuna wana CCM ambao woote hatuwapendi ila tuangalie mambo kwenye context ya nchi nzima na sio individual.
    Nape hakuondolewa sababu ya alichosema kuhusu uchaguzi, Nape aliondolewa sababu moja tu, undugu na January Makamba, ambae ana ndoto za kugombea Uraisi in 2030. Hiko ndo kilichomtoa Nape. Ingekuwa maneno yake ndo yamemtoa basi Maneno Bashite aliyoongea jana kwa Mwamposa kuwa Mungu pia haha demokrasia yangefanya Bashite aondolewe, au maneno mazito walioongea wana CCM wengine yangefanya waondolewe.
    Nachosema ni kwamba, kila anachofanya Samia kuanzia sana ni kwa kupimwa kwa mapana na marefu na Sio kushangilia tu
    #tanzania #maandamano #siasa

Комментарии • 23

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 5 дней назад +10

    Hahahaaaaa mange Kimavi maandamano yamebuma😂😂😂😂

  • @susanmusindi4123
    @susanmusindi4123 4 дня назад +1

    Kwa kweli zingatia herufi R na L.

  • @Hemedally-o9x
    @Hemedally-o9x 5 дней назад +3

    Hatutaki porojo zako zifayie huko uliko pia ni nchi

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq 5 дней назад +4

    Music wa nini unadisturb

  • @AsiaAroun
    @AsiaAroun 5 дней назад +1

    Nakweli hawa watu hawafai mama kaona mbali

  • @hidayahassan8014
    @hidayahassan8014 5 дней назад +1

    Wewe Mange huko Marekani sikunauchaguzi sasa kwanini unakaza tuu mkundu wako huku

  • @BenderaMussa
    @BenderaMussa 5 дней назад +1

    Ongea kiswahili fasaha we mtangazaji wa ovyo

  • @MontyrDfyo
    @MontyrDfyo 5 дней назад

    Ndugu mwandishi zingatia matumizi halisi ya herufi R na L

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 дней назад +3

    Who cares tunachotaka maendeleo tu

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j 5 дней назад

    Mm

  • @ipyanajacob
    @ipyanajacob 5 дней назад

    Eee eeeee so

  • @rosepaul7901
    @rosepaul7901 День назад

    Ila mm nina swali, kwani nape na january ni akina nani na hata wakiondolewa kwny mfumo ionekane hawatakiwi kuondolewa ni kama MUNGU wa taifa hili? Yaani wawe wanakorokochoa mambo halafu wanajiweka pembeni waachwe tu waogopwe, hawa wacha wakae benchi ili samia awe salama kwny uongozi wake maana nyie msotaka hawa waondolewe ni wazi mnajua kinachofanywa na hawa wahuni sasa samia kakataa acha wakae kando hawa maana yaliyomo yamo

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 5 дней назад +7

    Unatumia slogan za Trump i love my country. Mi nakuona hamnazo. Kama unpenda nchi yako njoo ukae sio mnaishi huko alafu mnatwambia love my country . Kizungu kingiiiiiii

  • @MichaelHaule-ex9ns
    @MichaelHaule-ex9ns 3 дня назад

    Kati yao mmoja si alikua anakukula dada

  • @theresiapastory9637
    @theresiapastory9637 5 дней назад

    Eeeeeeh eeeeeh ndugu mtangazaji

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 5 дней назад +2

    Tuongonzwe na mwanaume jamani majaliwa au doto awe rais na makamu basi au mbowe au lisu au lema tosha😊🎉

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 5 дней назад

      Doto hana kitu

    • @SaidShemkieti
      @SaidShemkieti 5 дней назад

      Hahaha unaota ndito za mchana bro

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 4 дня назад

      Kama ni rais wako,mpeleke jikoni​@@SaidShemkieti

    • @rosepaul7901
      @rosepaul7901 День назад

      Hawa chadema ulowataja hawaji kuongoza hii nchi, hatutaki kuwa watumwa wa wazungu period

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 22 часа назад

      Sisi hata sasa ni watumwa wa wazungu,​@@rosepaul7901