Rest in peace Chira 😭😭I knew Chira 2023 when he come out and said he is HIV positive. Since then I started supporting him and he has left without me seen him. I will keep the Mpesa transaction message to be reminding me of his name all days 😭😭😭so painful. May your soul rest in peace Chira 😭
As I have been watching 👀 this from Namibia 🇳🇦 SADC SOUTHERN AFRICAN I'm very much touched by these untimely deaths isn't only in Kenya in Namibia we are experiencing the same problem we old ones are burring the youths. Satan is targeting our kids my the development is very high /what's it really going on God?
2 Wakorintho 6:14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 2 Wakorintho 6:15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 2 Wakorintho 6:16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 2 Wakorintho 6:17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
weuh weuh yaani masaa tu na wimbo already tuko nayo.....enyewe solo you are the king of gospel ukambani vai nguli yisa kuvosa musyakwa may his soul rest in eternal peace.....be blessed solo🙏
Wow🎉🎉🎉Kasolo has the best voice and pure talent may God bless you abundantly..May chira rest in peace😢😢😢kifo cha Chira kilitetemesha Dunia...Chira rest well we loved you....😢😢
Am your fan from meru, i lost my dad nkimkumbuka naweka nyimbo zako sana sana ile ya brayo mungu akinibariki one day ntakutafuta utolee my dad wimbo, keep resting well dad
Rest in peace B chira. Your wish to build grandma a house is been full filled, your cousins will have a good education they won't struggle with school fees like you did. Kwaheri chira
Wow this is incredible 👏🏻👏🏻👏🏻 Asante Kasolo kwa kuwatambua wengi kwa hii wimbo wish ungeweka ile sauti yake"I am Chira Brian Chira,,,na kama wewe sio pesa usinipee stress". Hongera kwa kazi safi👌👏🏻🌹🌹. May Chiras soul rest in peace🧎♀️🙏
@@christinemutindi6329 woii i wish ingekuwa hivo but he missused his youth na ikamulekeza mautini ,,,, hakuna lingine ni kungoja Yesu mara ya pili na kuhukumiwa kulingana na matendo yake
The death of Chira caught me by suprise and shock. I didnt know him personally nor did i constantly follow him but i used to feel his pains and am so sad i didnt ever take a chance to be an encouraging friend to him. But one thing i asked God is to give me a sign of what really happened to Chira and today i dreamt with a group of people and they were trying to cross a road to the other side and its like they were going on same destination but someone among them kept pushing anyone who tried to cross and one was almost hit by a speeding vehicle that the 'pusher' seemed to have timed as it was speeding towards them. I dont know what it really meant but the moment i woke up the first words were, "Chira was murdered!" May justice prevail. I will look for someone like Chira and try my best to guide them as a friend and compesate how i feel now that Chira is gone and i didnt locate him to show him some sisterly love. Amezikwa na bado yauma n still i havent blieved or accepted😢
Rest easy chiraa today I've believed you're no more again I've never met him in person but his death hit me really heard💔mungu hakuadalie mbele nzurii till we meet again champ🕊️🕊️🕊️🕊️♥️🙏
If you loved chira weka like hapa tukisonga
Rest in peace Chira 😭😭I knew Chira 2023 when he come out and said he is HIV positive. Since then I started supporting him and he has left without me seen him. I will keep the Mpesa transaction message to be reminding me of his name all days 😭😭😭so painful. May your soul rest in peace Chira 😭
May God bless you for your kindness❤
Be blessed Kevoo🎉🎉
You did well....
😢😢
Be blessed bro
Team strong pitia huku with love, tusimamie ukweli tusikubali kuwakiliswa na wenye wivu
Ana majinuna habibty fiii mahujudi 🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪✈️✈️✈️
Hii nyimbo imeenda Shule Aki
God bless you kasolo
May Chira's Soul rest in peace 🕊️
Nipewe likes wakwanza huku😢,rip Chiraa 🥹 hongera kasolo
seriously unataka likes 😭😭
Am mourning my dear,Na hata simjui
So stressed 😥 Hadi nashindwa Na kazi😭Karibu niambie boss
Sijui Kwa nn Ramadhan ikifika watu huaga most🥹
@@Reepearl nipitie pia
WA Kwanza Leo..hizo likes zikam❤❤❤
Asante Kwa kutuwakilisha solo
Go in peace chira
Wa mwisho leo ...hozo likes zikam asante kwa kutuwakilisha solo Go in peace CHIRA
Kifo ya chira iliniliuma sana kama mdogo wangu😢😢 i rebuke premature death in Jesus name
Ameeeen😢
I rebuke this spirit of premature deaths in our country in Jesus mighty name amen 😢😢
Amen 🙏🙏🙏🙏 this is too much
Same ❤
The awaited comment ... Asante Kwa revelation.
Ameen 🙏
Amen Amen
R.I.P BRIAN CHIRA.... nipeeeni likes na msubscribe Kwangu
Already done,,,,nipitie pia
Done pia mimi nisubscrifice
@@KendyJames done pitia
Nipitie pia
@@MelodyNyakio49nipitie nimekupitia
The only Kenyan who was given a talent by God ,good job kasolo 🎉🎉🎉🎉,may you never luck,rest is peace legend of tiktok
1:51 woow kasolo God good kwa song ya chiraa😭😭😭😭thim TikTok that's kwa ushapond chiraa rip😭😭
Wimbo imetungwa na masaa na imeashiliwa your are the king in music solo, wakubali tu na wawashe vita,,,,,Rip chira
Wish angeimba kwa mazishi.... Solo is talented.
Sure❤
Aki kasolo nampenda bure ata waktusi kwa mitandao
@@joytaliatabithatrue hata Ile ya syokau haikubamba. Sauti hapa imetokea poa poa
Wamusyi wee n king mwah ata wakatae akh hiyo song Iko poa 🤜🤜🤜🤜
Kasolo wewe kweli ni baba yao wakubali tu waache vita na wakuuge mkono all in all congratulation 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂
Kabisa
Kasolo may you be blessed,,Baba T and your team...may the almighty God bless you..
Yaani hadi gospel artist wameacha kazi ya mungu waimbie magay,kama ulikuwa mzuri bona ukumkanya
As I have been watching 👀 this from Namibia 🇳🇦 SADC SOUTHERN AFRICAN I'm very much touched by these untimely deaths isn't only in Kenya in Namibia we are experiencing the same problem we old ones are burring the youths. Satan is targeting our kids my the development is very high /what's it really going on God?
It's all about last days.
Utukufu solo has not slept cooking this 😢chira lala salama😢
Aki
@@StephenKasoloyaani within hours the song was out
Hii iende viral woow this is wonderful...
Mtoto hajawahi kutu disappoint aki umetunga wimbo na masaa af ukaachilia ❤❤❤ congratulations 🎉 Mungu akupe kukaa miaka mingi Kwa Jina la Yesu
Dust we came, dust we shall return... Rest in Peace Chira. I strongly love your work. One if this fine I would wish to interview you.
Wàaau kasolo true amezikwa ka king bb talisha mfano mwema we will miss you brian chira RIP 😭😭frm gulf
Wewe ni babayao yaani in hours ushapika congrats man and thanks for appreciation ❤
❤❤❤❤❤❤❤rip bro chira
Nakupenda xana baba❤❤❤ congratulations keep it up
Nipeeni likes❤...na mnifollow ...Rip chira😭
Already done,,, nipitie pia
Pitia pia
@@RayTVAfrica. Nimekupitia
Wow congrats papa, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu... Rest in peace Chiri 😢😢😢. Nipewe like na subscribe❤
Already done,,, nipitie pia
@@MelodyNyakio49 already
@@davidjelina271nipitie pia
2 Wakorintho 6:14
Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
2 Wakorintho 6:15
Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
2 Wakorintho 6:16
Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
2 Wakorintho 6:17
Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
weuh weuh yaani masaa tu na wimbo already tuko nayo.....enyewe solo you are the king of gospel ukambani vai nguli yisa kuvosa musyakwa may his soul rest in eternal peace.....be blessed solo🙏
Na ulisema kwa interview fulani utamwimbia good job Baba Shine🙏...Rest easy Brayo Amen 🙏
😢😢😢😢 i lost my husband through road accident last yr now is 7month but i have never been stressed vile kifo ya chira imenipea😢😢😢
Wish Chira can just wake up for just 1min😢he will be surprised of how people Loved him❤❤❤
May you Rest in Peace Champ
Wow🎉🎉🎉Kasolo has the best voice and pure talent may God bless you abundantly..May chira rest in peace😢😢😢kifo cha Chira kilitetemesha Dunia...Chira rest well we loved you....😢😢
Am your fan from meru, i lost my dad nkimkumbuka naweka nyimbo zako sana sana ile ya brayo mungu akinibariki one day ntakutafuta utolee my dad wimbo, keep resting well dad
Eeeeiiih so good kijana yetu mluhya congratulations
Bro ur blessed, with wonderful talent! hiyo wimbo inatubariki
Umoja Ni nguvu ,utengano niudhaifu.......
Bwana aliipeana,Bwana alitwaa...AMINA
#SAFIRISALAMACHIRA
Rest in peace B chira.
Your wish to build grandma a house is been full filled, your cousins will have a good education they won't struggle with school fees like you did. Kwaheri chira
Wow this is incredible 👏🏻👏🏻👏🏻
Asante Kasolo kwa kuwatambua wengi kwa hii wimbo wish ungeweka ile sauti yake"I am Chira Brian Chira,,,na kama wewe sio pesa usinipee stress".
Hongera kwa kazi safi👌👏🏻🌹🌹.
May Chiras soul rest in peace🧎♀️🙏
Your very talented stephen Mungu azidi kukuinua kbsa
Stephen Kasolo all the way🔥🔥,i was blessed with a daughter and i had to call her Shine as your daughter just because of you,...RIP Brian Chira
Mwenyezi Mungu apendezwe na wimbo huu, aipokee Roho ya Brian Chira kwenye ufalme weke wa milele.
True amuondoloee Tu adhabu ya kaburi aki
@@christinemutindi6329 woii i wish ingekuwa hivo but he missused his youth na ikamulekeza mautini ,,,, hakuna lingine ni kungoja Yesu mara ya pili na kuhukumiwa kulingana na matendo yake
Amen🙏
Sukuwa namjua but kifo chake kiliniuma sana.... Adi wa Leo uaga naumiaga tu
He deserves the flowers 🌹
Be blessed solo my brother from the same subcounty,,,you got talent 🎉🎉,,, R. I. P Brayo😭😭
The death of Chira caught me by suprise and shock. I didnt know him personally nor did i constantly follow him but i used to feel his pains and am so sad i didnt ever take a chance to be an encouraging friend to him. But one thing i asked God is to give me a sign of what really happened to Chira and today i dreamt with a group of people and they were trying to cross a road to the other side and its like they were going on same destination but someone among them kept pushing anyone who tried to cross and one was almost hit by a speeding vehicle that the 'pusher' seemed to have timed as it was speeding towards them. I dont know what it really meant but the moment i woke up the first words were, "Chira was murdered!" May justice prevail. I will look for someone like Chira and try my best to guide them as a friend and compesate how i feel now that Chira is gone and i didnt locate him to show him some sisterly love. Amezikwa na bado yauma n still i havent blieved or accepted😢
May THE LORD protect us from premature and evil deaths
Mwanoo wio munaa congrats sir
Neema ivunje sheria kwako
Wow kali sana 😢😢😢may God bless all tiktokers baba T ,tizian na mc kirubi na mama nyako may almighty God bless you all
Napenda Ii kasolo ubarikiwe sana ❤️❤️
congratulations Kasolomoni.....hii ni moto kama pasi you never disappoint
Wow ongera Baba T na team yako 🎉🎉 congratulations solo kwa nice song all be blessed ❤ RIP Chira
Congratulations solo,,,,,his soul rip...,
Team strong let's show love
Ii ya kasolo ni talent,,nice song
Solo si hata wewe ubarikiwe tu saana 🙏🙏
Iam shedding tears may God help us parents not to burry our children at early age
Prayer of every parent. I pray for my mine and know God is faithfull.
God is faithful❤
My heart is bleeding 😭😭😭💔💔💔kama ni kulia nimelia kichwa inaniuma 😭😭😭😭chira rest in peace 🕊️🕊️🕊️
Congratulations kasolo 🙏🙏,mungu akubariki sanaa🙏🙏,
U never disappoint kamba community kasolo
Likes za ukambani...💪💪💪lala salama Brian chira 😢
Wimbo mzuri pumzika kwa amani chira tulikupenda lakini Mungu akakupenda zaidi 😭😭😭
From jude diye huyu mimi pia mimi mni support
Congrats baba shine,,,, indeed umoja ni nguvu
Nice song kasolo...As luhyas we will always support you....
Congratulations stephen kasolo jana walikuuliza mbona hukuimba but within few hours finally umeimba hongera sana let our brother brian chira rip😭😭😭😭
@Stephen kasolo you are really talented keep.up the good.work may Chiras soul keep resting in eternal peace
The best... From our own keep going baba shine❤
Nye naisye ukaina Na malea,utungi wi kwaw'o Heko solo my brother Mungu pia akulinde milele,,rest in eternity Brian chira....
Congrats solo,,,,, few hours song is lit✅✅✅✅
chira true this song nimeamini umeenda tumekuruhusu rest in peace be blessed kasolo nice song
Congrats kasolo for this welfare song to Brian chira,may his soul rest peacefully
Solo congrats your the king of kamba gospel .... hours na tuko wimbo ya chira
Kazi safi kinara wa gospel ukambani Stephen kasolo kitole 👏👏
omg i cry again kasolo this is so emotional wish this song could be played kwa mazishi
❤❤❤❤wawu song nzuri sana
Thank you kasolo,,,God bless you for honouring Brian chira 🙏🙏
I'm still in tears 😢😢😢😢😢rest in peace Brian it's too early u left us😢😢😢congratulations baba shine our king of ukambani🙏🙏frm gulf
Great ,barikiwa
Wooow🎉barikiwa sana Solo umebarikiwa akh
Aih 🤔.Kwan kasolo kowithia na studio yaku indi.Ngai akuathime mwanoo.nyie dyisi .I lack words.but Baba king.b blezd
Wow,, finally Brian chira umefikiwa,,,be blessed brother solo👏👏👏👏Rest in peace comrade,,,now watu walifika kwa wingi,,
Asante Sana stivo napenda sana nyimbo zako🥰🥰🥰
Congratulations Mr stephen kasolo for the good message God bless you 🙏
Song himeweza sana God blesse you kasolo 🙏🙏♥️♥️
Parents and the society should not neglect young pple in whatever situations they may be in. We have learnt from Chira.
😢😢 hii kifo imenifunza lesson kubwa sana 😢rest in peace Brian chira
Hongera TikTok family
Hii nayo kali sana solo may God bless u, tuzidi kuombeana hii safari sio rahisi ina majaribu na dhoruba nyingi sana, CHIRA rip broooi❤❤❤❤😭😭😭😭🙌
Neema na ikutoshe Mr Solo..it's Soo emotional 😭 may chira rest well.(Solidarity)
Hongera sana kasolo, umoja ni nguvu
Pure talent!! Who can produce a powerful hit song within a couple of hours? only our dear man of God can! Hats off the King of gospel music!
Am still crying...Chira wake up😢
Congratulations kasolo be blessed 🙏 kwaheri brian chira
Gugu nation forever ❤❤❤❤❤congratulations our madam president Nyako being mom to our son chira❤our son rexal heaven ❤
Gugu nation tuko ndani❤🎉
❤❤❤❤ GuGu nation for life
Wow congrats solo ...God bless you
Wee kasolo hii yako ni talent❤
So talented solo ngai akuathime munoo❤❤❤❤❤
Rest easy chiraa today I've believed you're no more again I've never met him in person but his death hit me really heard💔mungu hakuadalie mbele nzurii till we meet again champ🕊️🕊️🕊️🕊️♥️🙏
Woow! Congratulations solo kaitu👏👏🥰❤️
Congratulations 👍👍 solo let her soul rip