Zitto Kabwe: Kupita bila kupingwa ni jambo ambalo lilikuwa linatuletea matatizo makubwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa Serikali imepiga hatua kubwa kwa kuamua kuheshimu amri ya mahakama kwa kurekebisha kifungu cha sheria ya uchaguzi iliyokuwa inaruhusu mgombea kupita bila kupingwa.
    Zitto ameyasema hayo leo Ijumaa, Novemba 10, 2023 nnje ya ukumbi wa bunge ambapo awali alishuhudia mishwada mitano iliyosomwa ukiwemo ambao una marekebisho hayo.

Комментарии •