Комментарии •

  • @zakatirashid4749
    @zakatirashid4749 6 лет назад

    Pole sana my sister huenda haikurziki,yako zidi,kumuomba mungu utapata wako insha Allah

  • @sheilanafula768
    @sheilanafula768 6 лет назад +1

    pole sana dada omba mungu akujalie wako...254 sasa tunakaribisha tu shem wetu...nawatakia ndoa ya amani kiba na dada wetu

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад

    Leo INTAGRAM imekuwa ya moto kila mtu hongera *Alikiba* mpaka adui leo wamefurahia, mambo ni hivi🔥🔥🔥🔥 IG, hongera sana Brother kiba cjutii kuwa kipenzi chako japo cna team ila wewe your are my number one, Allah akutangulie katika ndoa yako iwe yenye khery na Barakah maisha yako yote👏

  • @racheljacklin6415
    @racheljacklin6415 6 лет назад +1

    Wanawake wa mbongo ni wamalaya sana ndo mana wana achwa wanaowa wasio wa mbongo pole sana kwayile aliyo achwa nawale wote hawata owa wanawake wa mbongo wanataka wa lale nao tu sio kitukingine Alikiba mungu abaliki ndowayako awape wa toto na awalinde katika uyimba wenu❤❤❤❤❤

  • @mapenzitz
    @mapenzitz 6 лет назад +3

    Jokate na kidot chake anaachwa wew una shape kama pipa unashangaa kutemwa saiv tunaolea ughaibuni 😀😀

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 6 лет назад +4

    Lazima mfahamu kua ndoa inaandikwa na mungu. Mtu hajipangii mwenyewe vipi maisha yake kwani hupangwa na allah subhana wataallah. Joketi haikua rizki yake .

  • @nzomukundafatuma5364
    @nzomukundafatuma5364 6 лет назад +1

    Ongera sana Chr kaka king tanzania tu ni kiba love you mung abariki famile yenu

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 6 лет назад +1

    Welcome home Alikiba mombasa raha we one 🇰🇪🇹🇿 people 😗😗😗

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 6 лет назад

    Inshaallah joket Allah nawe atakujaalia Mume mwenyewe kheri na wewe kila jambo ni kwa wkt wake Inshaallah itafika wkt 🙏

  • @khaalidbinwaliid5689
    @khaalidbinwaliid5689 6 лет назад

    maasha allah king kiba سمع الله لمن حمد

  • @mariamhaidarijamali806
    @mariamhaidarijamali806 6 лет назад +1

    M nnachomsihi jokoty dadangu achana n master watakupotezae mda tafuta mtu ambaye c maarufu n inshaallAh Mungu atakupa wako inshaallAh

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 6 лет назад +3

    Kurukaruka mtaachwa wengi jaribu kwa chaijaba pengine waweza bahati mumy hata ucheke hata ukilia hayakusaidii kitu sisi tuko bizee na biharusi mtarajiwa mwenye sifa zote mashaalah # mombasa kwanza # tz tutafikiria pengine

    • @hoseanobocka4533
      @hoseanobocka4533 6 лет назад

      Wema Kalam kiba mwenyewe Malaya tu anawatoto kibao mtaani ,

    • @jenifamosha1611
      @jenifamosha1611 6 лет назад

      Wema Kalam huna lolote ni shabiki wa kibamia cjui kama atamfikisha huyo kibamia na kibamia chake wataachana tu siku so nyingi.

  • @nasrimohamed5202
    @nasrimohamed5202 6 лет назад +3

    Mm nampenda tu jokate hat iweje yaan jst lov her.

  • @nsjjsjdjjdjd841
    @nsjjsjdjjdjd841 6 лет назад

    Mm naona ali jafanya sahihi huezi kuoa mwanamke alie muacha mpinzani wako dai kavuruga mpaka kachoka hala yy awe mke wa ndoa hii sio sawa

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 6 лет назад +4

    Jomoni tusiwaze ivyo inawezekana kacheka tu kwa Amani na wala syo kwa Ajili ya Harusi ya kiba, chamsingi Nayeye kumuombea tu Apate mume na aolewe 🙏🏻

  • @rehemacabdalla1785
    @rehemacabdalla1785 6 лет назад

    ndiyo maana ngani ya kucheka yeye ndiye tumcheke coz ali kishmtumia na kikamuocha hapo kama kopo la mchele chakufanya ni kumove on

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma688 6 лет назад +12

    Leo alikiba kateka mitandao basi mange hapo roho inamuuma yy anahamasisha maandamano huku wasanii kila kukicha limekuja hili 😂😂

  • @aminaamina9836
    @aminaamina9836 6 лет назад +1

    Ndio shida ya mastaa wakike wa kibongo wakishajulikana sasa huwa wanataka umaarufu zaid mpka ndani ya chupi zao sasa oneni mulivyo ni aibu jmn oleweni bas mutunze heshma zenu kma wana wanawake na heshma ya inch yenu
    Ebu ona kidoti ni msichana mrembo kwann usiolewe?
    Kwer ndoa ni bahati lkn baadhi yenu munaridhika na maisha ya kudanga tena munajisifia kuwa eti sitaki kuolewa mm kwer jmn ww ni mwanamke na heshma yako utakataaje kuolewa??
    Badilikeni mastaa wetu tunawapenda bas muendlee kutunza heshma zenu ndoa ni stara huon haya unaachwa na anaenda kuolewa mwengine jiangalie sana ewe mwanamke mwezang tunza stara yako mwenyewe na mwanamke moja ya stara yake ni ndoa

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 лет назад +1

    Jokate nawew olewa nje ya nchi Mama usiwaze

  • @kaylahbaby6779
    @kaylahbaby6779 2 года назад

    Good good

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 6 лет назад +2

    Pia inaeza kua mtu anakusudia LOTS OF LOVE or LOADS OF LOVE.

  • @buabepacifique1800
    @buabepacifique1800 6 лет назад +1

    tena nyinyi wa bongo tuna wajua sana naubaguzi wa makabila na wivu mutamupiganisha mke wa alikiba ju muna roho mbaya na ndo kaka zenu wawa acha na kuenda owa mbali .lakini namupenda sana jojo alikiba mbaya sana

  • @maatumkhatib1668
    @maatumkhatib1668 6 лет назад +2

    Alipangalo Allah mja awezi kulipangua.Ndoa upangwa mbiguni.Joket Allah atakupa mume wko wa halali mda ukifika Bila sekunde kuikose na ww utakuwa mke wa Fulani.

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад

    Atulie atampata mwenza omba mungu joket

  • @pigapesa1013
    @pigapesa1013 6 лет назад

    Hongera sana alikiba!

  • @halimatanzania2069
    @halimatanzania2069 6 лет назад +1

    hata mucmcmange mdada wawatu kwani ulimwengu mzma mwanaume kaumbwa alikba peke ake kama alikba co ridhiki yake mungu atampa wake mahusiano niyakawaida kwakila mtu nawatu kustsha mahusiano kila mmoja akawa namaisha yake nikawaid jojo my ucjali leo mungu kampa alikba ubavu wake naww kwa uwezo wake atakupa aliye wako endeleatu kuitunza heshma yako my best sister kila kitu knapangwa na mungu

  • @emmabays9963
    @emmabays9963 6 лет назад +1

    hahaha roho inauma ulichezewa jamaa alivuka mpaka itakuuma tu

  • @tamimasharif4106
    @tamimasharif4106 6 лет назад +1

    jamani jokate pole kunywa dawa ya maumivu

  • @marryndewele785
    @marryndewele785 6 лет назад

    mnapenda kukuza mambo

  • @brigidmua9558
    @brigidmua9558 6 лет назад +1

    Ukiachwa achika. ......

  • @mwanashahusseni2214
    @mwanashahusseni2214 6 лет назад +10

    Hata shilole tulifikiri ataolewa na nuhu kumbe ataolewa na uchebe omba mungu utapata wako joketi

  • @rosemkuka9153
    @rosemkuka9153 6 лет назад

    Ukiachwa achikaaaa Mwegelo👌👌👌👌

  • @anisasaid4552
    @anisasaid4552 6 лет назад

    Aikuwa ridhiki yake mungu atampa aliechanguo lake

  • @erickstiven645
    @erickstiven645 6 лет назад +1

    Lazima utafute cha kuandika maana linakuchoma

  • @wanenetv9672
    @wanenetv9672 6 лет назад

    DAWA ZA ASILI/TIBA ZA ASILI/: ruclips.net/p/PL_DSXHfkoymz_mON4Y4rJ7Tu9HulfT8W7

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 6 лет назад

    Ucjali my Dada haikua rizq

  • @miraalema889
    @miraalema889 6 лет назад +1

    Kiukweli kabisa alikiba angemuoa Jojo diamond angemuzrau Sana kiba ukiangaliya Jojo katembea na mond akamuacha kiba akala makombo ya mind hara ingekuwa ni wewe lazim dunia nzma ingkunanga kiba piya nimutu na akilizake anafkira blpiya sema Jojo rojo imemuuma snjmni daah kuchezewa koteee alaf unaachwa doooh pole yke 😂

  • @mesaidsaid7969
    @mesaidsaid7969 6 лет назад

    Yuwaungulika Ila ndio hali usijali haikuwa fungu lako

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 лет назад

    bahat ya mwenzio usiilalie mlango wazi ata ukicheka ally ndo kashaoa

  • @craveryerasto7996
    @craveryerasto7996 6 лет назад

    Joketiiiiiiiiiiii, Povu ilo kafute kwa kitambaa cha kufutia Meza dada, kawaida ukiona mtu Unywa coca wakati pepsi hiko wabidi ujiulize, Pepsi inaupungufu gani, Mwache King kiba ajenge umoja kt ya nchi na nchi &@£####

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 6 лет назад +2

    Ondoa shaka Joketi Mungu yuko upande wako utapata akupendae

  • @chemsachouchou3087
    @chemsachouchou3087 6 лет назад

    Joketi mpole jamani Mungu ana mipango naww girl

  • @khadijaaziza7586
    @khadijaaziza7586 6 лет назад +1

    Jojo wangu polee huyo alikiba kaazaa na wangapi utapata tu wako tuliya my

  • @zainabualtz1455
    @zainabualtz1455 6 лет назад +1

    😄😄😄😄😄😄 inauma jaman eeee 😅😅😅😅😅😅😅

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 6 лет назад +1

    Kaumia bwn ata km waliachana vp

  • @mwanashahusseni2214
    @mwanashahusseni2214 6 лет назад +6

    Haikua rizki yake mungu atakupa mume dada eka hishima yako nakuomba mungu

  • @mumcorp5526
    @mumcorp5526 6 лет назад

    tatizo wadada hamjiheshimu mnabadlisha wanaume kama nguo ndio mana wanapita tu kama barabara then wanaenda kula hukooo👉👉mwenye wivu akajitupe coco beach

  • @hawaaa4522
    @hawaaa4522 6 лет назад

    Hiv binaadam wabaya kua nawanaume ao ndoumwet malaya ww kama mwana mke hebu jielewe kama mwana mme pia jitambue

  • @princessyvetteevedollyisma2586
    @princessyvetteevedollyisma2586 6 лет назад +1

    Ndiyo mytuliye wanawake wakibongo amja tuliya

    • @HuaweiPhone-om7qy
      @HuaweiPhone-om7qy 6 лет назад

      Wakina nani kuma ww kwani yye niwakwanza ? Kumuoa wacheni unafiki wenu hata yye atarudi Kenya Tz hatutaki mpango wakiwi ss

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад

    husuna usitake ufanane na mwanaume mwanaume ungesikia malaya anaweza kuhowa lakini mwanamke wanakupanua wanakucha safii Sana mfalume King kiba nimependa

  • @princeuzieri4548
    @princeuzieri4548 6 лет назад +1

    Duh ajikaze 😃🤣🤣😂

  • @laumamohammedi1203
    @laumamohammedi1203 6 лет назад

    uyoooo inamuuumaaaaaaa anogiiiiii kitaandaniiiiii oooooooo wiwowowowowowowoowowow

  • @jaybchaponda6886
    @jaybchaponda6886 6 лет назад

    Kheri ya ndoa baba

  • @mirriam.mwangangi4614
    @mirriam.mwangangi4614 6 лет назад

    Kazi kwake jokate na wegne Wale wenye kuumwa na Io ndoa.hogera kiba

  • @nuruallydominic4356
    @nuruallydominic4356 6 лет назад

    ww ni mwanamke utapata wako sio liziki

  • @rummyfrank6800
    @rummyfrank6800 6 лет назад

    Acheke tu rohoo inaumaaa kabondwa af kaoa mwingine akazane tu apate wake😂😂😂😂

  • @laumamohammedi1203
    @laumamohammedi1203 6 лет назад

    poleeeeeee kwaaaaaaaa kuachwaaaaaaaaaaaaaaaaaa watuuuuuuu mombaxaaaaaaa

  • @fikiraahamadi8242
    @fikiraahamadi8242 6 лет назад

    utaisoma dada mwenzak kashaoa wedanga tu mumezid ukaaba

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 6 лет назад +2

    JoJo ndonge analo tele

  • @a2gmgimwa3
    @a2gmgimwa3 6 лет назад

    tatizo mnatutukana eti vibamia

  • @liliangilbert4837
    @liliangilbert4837 6 лет назад +4

    Tz mtaishia kutumika tyu

  • @chrisngalawa2069
    @chrisngalawa2069 6 лет назад

    kwani lazima akuoe wewe pambana na hali zako pole.

  • @davidmure6258
    @davidmure6258 6 лет назад

    Wat alikiba did to this chick dah aint good bt hey ule dem bana ametoka kwa kina joho kwenye pesa so unatarajia

  • @ashuraomary9054
    @ashuraomary9054 6 лет назад

    Alikiba Malaya

  • @mwangascalion398
    @mwangascalion398 6 лет назад

    mademu wabongo kila MTU amepita nae so alikiba ni MTU wadini ,

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад

      Mwanga scalion mhh km mtu wa nini mbona hana watoto watatu na kil mtoto ana mama yke.

  • @princekijay5450
    @princekijay5450 6 лет назад

    Nawe tunakucheka bila kuweka kelele endelea kuzeeka tu

  • @rahimarajab4306
    @rahimarajab4306 6 лет назад

    Kibaaa kila lakherii achana na joket wotee wivuuu tuuuu......

  • @jonaselias7729
    @jonaselias7729 6 лет назад

    Hawajui anachocheka anamuonea huruma kaolewa kimvuli Mke mwema hapo dimpoz

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад

      Jonas Elias 😂😂😂😂😂umenifanya nicheke wallah kwaio ana wake wawili

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 6 лет назад

    jojo tafunwa tu

  • @AishaAli-lk7gh
    @AishaAli-lk7gh 6 лет назад +3

    kumbe mnakuwa na wivu wa tz mpunguze kuvaa uchi na kusambaza wapenzi wenu hadharani wako wa moyoni ni secret yako na Mungu wako 😏😏😏

  • @Mariam-ez4qw
    @Mariam-ez4qw 6 лет назад

    usijal jojo angu utapata mume mwema

  • @marymbithe712
    @marymbithe712 6 лет назад

    Kiba amejikamatia at a ww utapata tu.........

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад +14

    wewe jojo tatizo umalaya umezidi leo unakua na alikiba kesho na diamodi vp leo umeona ata diamodi atahowa tz

    • @husnauthman7609
      @husnauthman7609 6 лет назад +3

      Idaya Key kiba mwenyewe malaya kazaa na wanawake wangap kila mtt na mamaake

    • @buabepacifique1800
      @buabepacifique1800 6 лет назад

      Idaya Key we ndo malaya si jojo koma kabisa joketi na mupenda na kumukubali kuliko ma star wenu wa bongo

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад +1

      Idaya Key Hakuna mwanamke asokuwa Malaya hat kwani ww unayobikira hapo ulipo ukitaka kusema la mwenzko jiangalie kwanza.

    • @emilykai6891
      @emilykai6891 6 лет назад

      Idaya Key jojo hakuwa mpenzi wa alikiba. Jojo ni mkristo na alikiba msilam. Upo

    • @aisharajab545
      @aisharajab545 6 лет назад

      Idaya Key tatizo unapenda pesa na sio mapenzi

  • @laumamohammedi1203
    @laumamohammedi1203 6 лет назад

    mala paaaaapooouuuuuu

  • @mwangascalion398
    @mwangascalion398 6 лет назад

    povu linamtoka kudadadeki

  • @kibokongurai5090
    @kibokongurai5090 6 лет назад

    siyo powa mbona jojo alijitunza tuu ila powa navyomjua simba lazima abebe nyumbani huko anatafuta ladha tuu ila akitaka kuoa laziama aje home land na ninavyoona atakuwa na jokate wetu

  • @rummyfrank6800
    @rummyfrank6800 6 лет назад

    Tyar mume wa mtu mbichiii we zeeka tu

  • @Mzayanine
    @Mzayanine 6 лет назад

    Kwa hilo atapata followers wengi

  • @mwanashahusseni2214
    @mwanashahusseni2214 6 лет назад +6

    Hata huyo kiba Malaya amezaa nawanawake wangapi sahii yuwajifanya anahishima malaya kiba

    • @philiposhilingi8066
      @philiposhilingi8066 6 лет назад +1

      Wew Dada haujielewi angalia mbele na nyuma kisha dadafua mambo jambo usilo lijua bora upite nalo mbali hongera sana @kingkiba

    • @sylviareuben8636
      @sylviareuben8636 6 лет назад

      yaan wewe Dada mungu akusamehesiye kila mwanammee aliyezaaa na mwanamke ndo wataoana mungu ndo mpangaji

    • @mamitomamita6284
      @mamitomamita6284 6 лет назад

      Mwanasha Husseni in shaa Allah MUNGU iwe ndio njia ya kumuondolea hayo mabaya tumuombe MUNGU mwenzetu

    • @aishamsoka2005
      @aishamsoka2005 6 лет назад

      Mwanasha hosen usiseme hivyo dada hakuna binadamu asiye kua maraya maana sote tungekaa majumbani kwetu bila kuolewa mwenyezi mungu asema niombeni nutawapa niiten nitawaitika

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 6 лет назад

    Nauliza ili vaz lkiume si la Omani kwann mnavaa nyie mnielewesh et

  • @rheanmutimanwa3471
    @rheanmutimanwa3471 6 лет назад

    Jokate kacheka post ya mange kimambi

  • @zeddysamo1276
    @zeddysamo1276 6 лет назад +1

    Alafu baadhi ya wanawake humu mnacoment ujinga tu unaposema wanawake bila kuweka baadhi yao ujue na ww pia brain Zero

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад

      Zuhura Alzuhura Bora useme ww my mwanamke anamuita mwanamke mwenzake malaya km so ujinga nin

  • @idayakey6886
    @idayakey6886 6 лет назад

    mwatumu khatb 😂 😂 😂 😂 usilolijua nikubie kitu mm namumewagu ninamaishayagu na watoto whawili wakike unajua kwanini najieshimu na mumewagu namueshumu upo natunapendana mwanamke kujisamini siyo kilamtu unafunulia sawa

    • @zainabswaleh4907
      @zainabswaleh4907 6 лет назад +1

      Tzd mumejiachia Sana bila ya kujistiri nafsi vp muolewe. Aah rekebisheni tabia acheni tamaa

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад

      Usiniaribie jina langu kwanza kabla ya KUOLEWA umepitiwa na wanaume wangap kwanza wacha kumuita mwenzko malaya na wakati ww mwenyew umepitia ukoukoo.Kila mtu anajiheshimu na kwani nani ambaye hayuko kweny ndoa ila km ww mwanamke ungemstir mwenzko lkn unamwita malaya na wakati unawatoto

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад

      Zainab Swaleh Bora ww umetoa maneno ya hekma km mwanamke unayejua stara lkn so uyo anayemuita mwanamke mwenzak malaya.

    • @maatumkhatib1668
      @maatumkhatib1668 6 лет назад

      Idaya Key halafu jitahidi kuandika vzr😂😂😂😂nikuambie na so nikubie,Nina mume wangu na so namumewagu,Nina maisha yngu so ninmaishyagu,sawa ila usipende kumsema mwanamke mwenzko malaya hkun asokuwa malaya mana hat ww kabla ya KUOLEWA ulikuw ivo sema asaiv umepata wa kukustri unawaita wenzako malaya sijapenda

  • @watchmovietimenightandligh2789
    @watchmovietimenightandligh2789 6 лет назад +1

    Muone diamond kwenye ndoa ya alikiba video hii hapa ruclips.net/video/oWbvJ-w-R8s/видео.html

  • @tamimasharif4106
    @tamimasharif4106 6 лет назад

    jamani jokate pole kunywa dawa ya maumivu

  • @chrisngalawa2069
    @chrisngalawa2069 6 лет назад

    kwani lazima akuoe wewe pambana na hali zako pole.