MWILI WA RAS KILIMANJARO WAFIKISHWA NYUMBANI .

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt Tixon Nzunda umefikishwa nyumbani kwake katika eneo la Shanty Town katika manispaa ya Moshi siku chache baada ya kufariki dunia kwa ajali mbaya iliyotokea eneo la Mjohororoni nje kidogo yam ji wa Boimang’ombe wilaya ya Hai.

Комментарии • 8

  • @lucykiwelu4451
    @lucykiwelu4451 3 месяца назад +1

    Poleni sn ndg zng , Mungu azidi kuwafariji, ni ngumu kuamini lkn ndio hivo

  • @AtuganileAsubisye
    @AtuganileAsubisye 3 месяца назад +1

    Poleniii mbeya yetu 😭😭😭😭

  • @GraceKuziganika
    @GraceKuziganika 3 месяца назад

    Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭

  • @GraceKuziganika
    @GraceKuziganika 3 месяца назад

    Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭

  • @admirabisikiduduye1516
    @admirabisikiduduye1516 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni usalama, au kigogo? Mtu mkubwa sana huyu

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 3 месяца назад

    Anahutbu asubh anakufa badae shida sana dunia

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 3 месяца назад

    Duuuuuuuu😢😢😢😢

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg 3 месяца назад

    Poleni Sana wanafamilia