MWILI WA RAS KILIMANJARO WAFIKISHWA NYUMBANI .
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- Mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt Tixon Nzunda umefikishwa nyumbani kwake katika eneo la Shanty Town katika manispaa ya Moshi siku chache baada ya kufariki dunia kwa ajali mbaya iliyotokea eneo la Mjohororoni nje kidogo yam ji wa Boimang’ombe wilaya ya Hai.
Poleni sn ndg zng , Mungu azidi kuwafariji, ni ngumu kuamini lkn ndio hivo
Poleniii mbeya yetu 😭😭😭😭
Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭
Pumzika kwa amani baba yetu kpenzi 😭😭😭😭😭
Huyu jamaa ni usalama, au kigogo? Mtu mkubwa sana huyu
Anahutbu asubh anakufa badae shida sana dunia
Duuuuuuuu😢😢😢😢
Poleni Sana wanafamilia