#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 66

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Месяц назад +3

    Mzize apelekwe kwa mkopo timu ya ligi kuu ajifunze nadhan atapata confidence

  • @danmbizo3472
    @danmbizo3472 Месяц назад +7

    Uko vizuri bro kuchambua

  • @florenskifyoga6997
    @florenskifyoga6997 Месяц назад +1

    Safi sana

  • @HassanMakongo
    @HassanMakongo Месяц назад +1

    V good frij bov

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 Месяц назад +15

    Uyu jamaa Yuko vzr ktk uchambuz wake

    • @Citymedia25
      @Citymedia25 Месяц назад +4

      Kabisa

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Месяц назад +3

      Leo Amekuwa mzuri Kwa Sababu anaisifia Yanga???

    • @Mazimoroyal
      @Mazimoroyal Месяц назад +2

      Naomba hii video imfikie mzize aendelee kusikia maoni ya wadau na kujifunza kwani ni dadhina mzuri kwa taifa letu tuweke like ujumbe ufuke🎉🎉

  • @georgeJohn-ct9pt
    @georgeJohn-ct9pt Месяц назад +5

    uko vzr mzee wa frj bovi

  • @ManenoJuma-xd3ii
    @ManenoJuma-xd3ii Месяц назад +1

    Asante Sana broo❤❤❤

  • @user-qg8rp7kl6o
    @user-qg8rp7kl6o Месяц назад +8

    ❤❤❤😊

  • @ManenoJuma-xd3ii
    @ManenoJuma-xd3ii Месяц назад +1

    ❤❤❤❤

  • @allyissa9600
    @allyissa9600 Месяц назад +4

    Jamaa fact sana

  • @omarybashiry5930
    @omarybashiry5930 Месяц назад +1

    Yupo vzr

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Месяц назад +1

    Mzize amesababisha usajili wa mastraika 3 wa kigeni.anabebwa hajishikilii

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES Месяц назад +4

    Kabisa mzize Bado hajakaa chini akaangalia wapo ankosea mzize Fanya vizuri Ili baadae update pesa nyingi kupitia streka

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад +2

    Safi sana Simba SC wako bora sana natamani season 2024/2025 ianze tupate burudani

    • @issackshayo7423
      @issackshayo7423 Месяц назад

      Wamekula sita huko Misri 😂😂😂😂😂

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Месяц назад

      Wakati wa MAKOLO huu, subiri LIGI ianze utawaskia ooo MANGUNGU...oooo sijui TFF...🤣🤣🤣

  • @IsmailMakeo-ne3iy
    @IsmailMakeo-ne3iy Месяц назад +4

    Yan Bro Mm Naenda Na Ww Mzize Sio Wakupewa Mechi Kubwa Kama Izi

    • @michaelmsambusi9287
      @michaelmsambusi9287 Месяц назад

      Sana yaan mm hata simuelewi huyo dogo mzize tena nikikumbuka Ile mechi na mamerodi alivyofanya upuuzi wake ndio naumia sana na kumchukia Kwa kweli.

  • @IsmailMakeo-ne3iy
    @IsmailMakeo-ne3iy Месяц назад +4

    Upo Sahihi Anazingua Sana Mzize

    • @michaelmsambusi9287
      @michaelmsambusi9287 Месяц назад +1

      Anazingua sana sio utani mm hata simtaki kabisa huyo mtoto mzize nikikumbuka Ile mechi ya mamerodi namchukia zaidi.

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 Месяц назад +4

    Tunamshauri kocha akae na fimbo mzize bado mdogo sana akiwa akikosea anamchapa tu hakuna shida

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Месяц назад +1

    Maneno yako Kwa mwenye akili tulivu atagundua kuwa hupendi YANGA waongea Kwa kuumia sana

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z Месяц назад +8

    Mnaitamka vibaya siyo ausbag ni augsb(u)rg badala ya a tamka u

  • @MandelaNdauka
    @MandelaNdauka Месяц назад +1

    Frij unaujuwa mpira

  • @AsifuSule
    @AsifuSule Месяц назад +4

    Mzize ni mtu wa kupewa mechi baada ya kupata matokeo

    • @michaelmsambusi9287
      @michaelmsambusi9287 Месяц назад +1

      Lakini kocha letu gamondi alielewi jambo sijui mzize anampa nn gamondi mpaka ampange Kila siku mm naumia sana.

    • @DarliotonTumaini
      @DarliotonTumaini Месяц назад

      Wakiwekwa benchi utaskia wazawa hawaaminiw​@@michaelmsambusi9287

    • @jifunze0042
      @jifunze0042 Месяц назад

      mzize anaweza asifunge ila kusema ukweli jamaa yupo vzr sana kwaio acha kocha aendelee kumuamini

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Месяц назад +1

    Simba walifungwa 5-1 Baleke na Chama wakiwa ndani msimu uliopita.
    Tarehe nane haiko mbali. Baleke mechi 14 kakosa bao 44 akiwa pale Simba. Kilichofanya kukosa timu tangu atoke pale TP Mazembe kwa mkopo iko sababu ambayo nyie wachambuzi huwa hamsemi lakini 8 yaja.

  • @BenedictoMeakyeja
    @BenedictoMeakyeja Месяц назад +4

    kak yang wamejitahidi

  • @carolinambalamwezi4216
    @carolinambalamwezi4216 Месяц назад +1

    Mara nyingi sana tunafelishwa na huyu mzize kocha aangalie aina gani ya mechi ya kumtumia wa mamelodi shughuli tungemaliza hapahapa

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si Месяц назад +3

    Diara na BACA HATARI

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 Месяц назад +1

    Jamaa acha kauongo basi Yanga ilipata iliattempt hata kipindi cha kwanza. Shuti la Max na Aziz ile ilikuwa nini😅😅😅

  • @WABONGOKADENGE
    @WABONGOKADENGE Месяц назад +1

    Kaka unatisha Kwa uchambuzi.

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g Месяц назад +2

    Mzize hakutakiwa kuanza ilitakiwa aingie kama sub

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +1

    Gamond. Alisema,ts not about RESULTS!

  • @Johnsonchristopher-uc5er
    @Johnsonchristopher-uc5er Месяц назад +1

    Kuna ishu ya malipo Kati ya mazembe na yanga hawajamalizana Kaka ndio mana hawamtangazi yupo kwa mkopo

  • @OmaryzingZing-jd3xm
    @OmaryzingZing-jd3xm Месяц назад +1

    Unajua mkongwe uko vizuli me J.Naldo apa kutoka Bagamoyo unajua kuchambua mwamba

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Месяц назад +2

    Mzinze aonane na mwanasaikolojia

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Месяц назад

    wewe mjamzito ,attempt b4 baleke i think ulikuwa unaangalia mpira ukitamani kutangaza yanga ilivyozidiwa,post ya max na save ya shuti la aziz KI,kwako ilikuwa temptation au goal attempt.

  • @JohnMaja
    @JohnMaja Месяц назад

    Krementi Yuko sawa muangalieni vizuri amefanya vizuri sana muiangalie makosa tu angalieni pia nafasi karibatsyu alizofanya vizuri kwanini msimpe sifa yake

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Месяц назад +1

    We mwongo, eti yanga hawakuwa na attemp yoyote kabla ya Baleke, iliyogonga mwamba siyo attempt? Nduki ya Azizi Ki siyo attempt?

  • @EleonoraHeiland
    @EleonoraHeiland Месяц назад +1

    Anajuwq kuchambuwq Co Akina jemedari hao washenzi,fyuu

  • @michaelmsambusi9287
    @michaelmsambusi9287 Месяц назад +1

    Huyo mtoto mzize ni mpumbavu sana Kila siku mm nasema kwanini gamondi anampa nafasi na wakati anatukokesha ushindi ,mm naboweka sana wanayanga wenzangu kuona mzize anapewa nafasi na wakat anakosa magoli.

    • @selemanmussa3459
      @selemanmussa3459 Месяц назад

      Mzize anahusika kwenye 'build up' ya magoli, hata akikosa uwepo wake unasaidia hasa kwenye kuanza kukaba kuanzia juu...wachambuzi wengi hawaelewi, ndiyo maana wanaongea utumbo tu na ndiyo mnaowasikiliza...nyumbu tu...

  • @adamuayubumwendolwa7723
    @adamuayubumwendolwa7723 Месяц назад +1

    Kakosa goli Dube sio issue kaosa Mzize ni issue. Wabongo tuna roho mbaya sanaaaaaaa

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      Hapana ni kweli mzize ana presha sana ni zaidi ya mechi moja tumemshuhudia kwa hyo akiambiwa ukweli itakuwa sababu ya yy kujirekebisha

    • @adamuayubumwendolwa7723
      @adamuayubumwendolwa7723 Месяц назад

      @@fettiemaganza1484 hio presha unaipimaje?kama kukosa magoli hata wengine wanakosa

  • @RebiamMwilike-ru8te
    @RebiamMwilike-ru8te Месяц назад +1

    Kaka unakitu uhakika unaongea vema

  • @user-sq4tm1ol7o
    @user-sq4tm1ol7o Месяц назад

    Friji bovu namkubali sana

  • @user-dd8ew6fw2x
    @user-dd8ew6fw2x Месяц назад +1

    Musilo lijuwa mzize ame silimishwa na injinia na ame muahidi hatokosa kucheza kw iyo gamondi huambiwa na injinia amchezeshe

    • @ramadhanimrungu5806
      @ramadhanimrungu5806 Месяц назад +1

      Acha uongo ww

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +2

      Muone doctor wa mental health akusaidiee ...pia zingatia ushauri pamoja na kutumia vyakula vinavyowez kurutubisha medulla oblongata yako......

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 Месяц назад

      Acha kuongea matapishi we kolokwinyo domo lako linatoa harufu mbaya ya UDINI, idiot

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад

      Unadhani gamond ndio wale makocha wa kupangiwa kikosi

  • @meckcassius3983
    @meckcassius3983 Месяц назад +1

    Mzize wamuuze tu

  • @vijasa1124
    @vijasa1124 Месяц назад +2

    Inabidi gamond na yanga waingie ktk mfumo wa chama au chama aingie ktk mfumo wa gamond
    Muda utaongea baina Simba n yanga n chama ipi kubwa

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Месяц назад +1

      Yanga sio Simba ndugu yangu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Месяц назад +1

      Yaan yanga wafuate mfumo wa chama? Atakaa bench tu hakuna namna

  • @AsifuSule
    @AsifuSule Месяц назад +2

    Mzize ni mtu wa kupewa mechi baada ya kupata matokeo