Simba walifungwa 5-1 Baleke na Chama wakiwa ndani msimu uliopita. Tarehe nane haiko mbali. Baleke mechi 14 kakosa bao 44 akiwa pale Simba. Kilichofanya kukosa timu tangu atoke pale TP Mazembe kwa mkopo iko sababu ambayo nyie wachambuzi huwa hamsemi lakini 8 yaja.
wewe mjamzito ,attempt b4 baleke i think ulikuwa unaangalia mpira ukitamani kutangaza yanga ilivyozidiwa,post ya max na save ya shuti la aziz KI,kwako ilikuwa temptation au goal attempt.
Krementi Yuko sawa muangalieni vizuri amefanya vizuri sana muiangalie makosa tu angalieni pia nafasi karibatsyu alizofanya vizuri kwanini msimpe sifa yake
Huyo mtoto mzize ni mpumbavu sana Kila siku mm nasema kwanini gamondi anampa nafasi na wakati anatukokesha ushindi ,mm naboweka sana wanayanga wenzangu kuona mzize anapewa nafasi na wakat anakosa magoli.
Mzize anahusika kwenye 'build up' ya magoli, hata akikosa uwepo wake unasaidia hasa kwenye kuanza kukaba kuanzia juu...wachambuzi wengi hawaelewi, ndiyo maana wanaongea utumbo tu na ndiyo mnaowasikiliza...nyumbu tu...
Mzize apelekwe kwa mkopo timu ya ligi kuu ajifunze nadhan atapata confidence
Uko vizuri bro kuchambua
Safi sana
V good frij bov
Uyu jamaa Yuko vzr ktk uchambuz wake
Kabisa
Leo Amekuwa mzuri Kwa Sababu anaisifia Yanga???
Naomba hii video imfikie mzize aendelee kusikia maoni ya wadau na kujifunza kwani ni dadhina mzuri kwa taifa letu tuweke like ujumbe ufuke🎉🎉
uko vzr mzee wa frj bovi
Asante Sana broo❤❤❤
❤❤❤😊
❤❤❤❤
Jamaa fact sana
Yupo vzr
Mzize amesababisha usajili wa mastraika 3 wa kigeni.anabebwa hajishikilii
Kabisa mzize Bado hajakaa chini akaangalia wapo ankosea mzize Fanya vizuri Ili baadae update pesa nyingi kupitia streka
Safi sana Simba SC wako bora sana natamani season 2024/2025 ianze tupate burudani
Wamekula sita huko Misri 😂😂😂😂😂
Wakati wa MAKOLO huu, subiri LIGI ianze utawaskia ooo MANGUNGU...oooo sijui TFF...🤣🤣🤣
Yan Bro Mm Naenda Na Ww Mzize Sio Wakupewa Mechi Kubwa Kama Izi
Sana yaan mm hata simuelewi huyo dogo mzize tena nikikumbuka Ile mechi na mamerodi alivyofanya upuuzi wake ndio naumia sana na kumchukia Kwa kweli.
Upo Sahihi Anazingua Sana Mzize
Anazingua sana sio utani mm hata simtaki kabisa huyo mtoto mzize nikikumbuka Ile mechi ya mamerodi namchukia zaidi.
Tunamshauri kocha akae na fimbo mzize bado mdogo sana akiwa akikosea anamchapa tu hakuna shida
Ahahahaaa
Maneno yako Kwa mwenye akili tulivu atagundua kuwa hupendi YANGA waongea Kwa kuumia sana
Mnaitamka vibaya siyo ausbag ni augsb(u)rg badala ya a tamka u
U inaandikwa /u/
Frij unaujuwa mpira
Mzize ni mtu wa kupewa mechi baada ya kupata matokeo
Lakini kocha letu gamondi alielewi jambo sijui mzize anampa nn gamondi mpaka ampange Kila siku mm naumia sana.
Wakiwekwa benchi utaskia wazawa hawaaminiw@@michaelmsambusi9287
mzize anaweza asifunge ila kusema ukweli jamaa yupo vzr sana kwaio acha kocha aendelee kumuamini
Simba walifungwa 5-1 Baleke na Chama wakiwa ndani msimu uliopita.
Tarehe nane haiko mbali. Baleke mechi 14 kakosa bao 44 akiwa pale Simba. Kilichofanya kukosa timu tangu atoke pale TP Mazembe kwa mkopo iko sababu ambayo nyie wachambuzi huwa hamsemi lakini 8 yaja.
kak yang wamejitahidi
Mara nyingi sana tunafelishwa na huyu mzize kocha aangalie aina gani ya mechi ya kumtumia wa mamelodi shughuli tungemaliza hapahapa
Diara na BACA HATARI
Jamaa acha kauongo basi Yanga ilipata iliattempt hata kipindi cha kwanza. Shuti la Max na Aziz ile ilikuwa nini😅😅😅
Kaka unatisha Kwa uchambuzi.
Mzize hakutakiwa kuanza ilitakiwa aingie kama sub
Apewe muda, bado mdogo😂
Gamond. Alisema,ts not about RESULTS!
Kuna ishu ya malipo Kati ya mazembe na yanga hawajamalizana Kaka ndio mana hawamtangazi yupo kwa mkopo
Unajua mkongwe uko vizuli me J.Naldo apa kutoka Bagamoyo unajua kuchambua mwamba
Mzinze aonane na mwanasaikolojia
wewe mjamzito ,attempt b4 baleke i think ulikuwa unaangalia mpira ukitamani kutangaza yanga ilivyozidiwa,post ya max na save ya shuti la aziz KI,kwako ilikuwa temptation au goal attempt.
Krementi Yuko sawa muangalieni vizuri amefanya vizuri sana muiangalie makosa tu angalieni pia nafasi karibatsyu alizofanya vizuri kwanini msimpe sifa yake
We mwongo, eti yanga hawakuwa na attemp yoyote kabla ya Baleke, iliyogonga mwamba siyo attempt? Nduki ya Azizi Ki siyo attempt?
Anajuwq kuchambuwq Co Akina jemedari hao washenzi,fyuu
Huyo mtoto mzize ni mpumbavu sana Kila siku mm nasema kwanini gamondi anampa nafasi na wakati anatukokesha ushindi ,mm naboweka sana wanayanga wenzangu kuona mzize anapewa nafasi na wakat anakosa magoli.
Mzize anahusika kwenye 'build up' ya magoli, hata akikosa uwepo wake unasaidia hasa kwenye kuanza kukaba kuanzia juu...wachambuzi wengi hawaelewi, ndiyo maana wanaongea utumbo tu na ndiyo mnaowasikiliza...nyumbu tu...
Kakosa goli Dube sio issue kaosa Mzize ni issue. Wabongo tuna roho mbaya sanaaaaaaa
Hapana ni kweli mzize ana presha sana ni zaidi ya mechi moja tumemshuhudia kwa hyo akiambiwa ukweli itakuwa sababu ya yy kujirekebisha
@@fettiemaganza1484 hio presha unaipimaje?kama kukosa magoli hata wengine wanakosa
Kaka unakitu uhakika unaongea vema
Friji bovu namkubali sana
Musilo lijuwa mzize ame silimishwa na injinia na ame muahidi hatokosa kucheza kw iyo gamondi huambiwa na injinia amchezeshe
Acha uongo ww
Muone doctor wa mental health akusaidiee ...pia zingatia ushauri pamoja na kutumia vyakula vinavyowez kurutubisha medulla oblongata yako......
Acha kuongea matapishi we kolokwinyo domo lako linatoa harufu mbaya ya UDINI, idiot
Unadhani gamond ndio wale makocha wa kupangiwa kikosi
Mzize wamuuze tu
Inabidi gamond na yanga waingie ktk mfumo wa chama au chama aingie ktk mfumo wa gamond
Muda utaongea baina Simba n yanga n chama ipi kubwa
Yanga sio Simba ndugu yangu
Yaan yanga wafuate mfumo wa chama? Atakaa bench tu hakuna namna
Mzize ni mtu wa kupewa mechi baada ya kupata matokeo